< Ezekieli 39 >

1 “Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
«پس تو‌ای پسر انسان درباره جوج نبوت کرده، بگو خداوند یهوه چنین می‌فرماید که اینک‌ای جوج رئیس روش وماشک و توبال من به ضد تو هستم.۱
2 Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
و تو رابرمی گردانم و رهبری می‌نمایم و تو را از اطراف شمال برآورده، بر کوههای اسرائیل خواهم آورد.۲
3 Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
و کمان تو را از دست چپت انداخته، تیرهای تو را از دست راستت خواهم افکند.۳
4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
وتو و همه افواجت و قوم هایی که همراه تو هستندبر کوههای اسرائیل خواهید افتاد و تو را به هرجنس مرغان شکاری و به حیوانات صحرا به جهت خوراک خواهم داد.۴
5 Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
خداوند یهوه می‌گوید که به روی صحرا خواهی افتاد زیرا که من تکلم نموده‌ام.۵
6 Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
و آتشی بر ماجوج و بر کسانی که در جزایر به امنیت ساکنند خواهم فرستاد تابدانند که من یهوه هستم.۶
7 Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
و نام قدوس خود را درمیان قوم خویش اسرائیل، معروف خواهم ساخت و دیگر نمی گذارم که اسم قدوس من بی‌حرمت شود تا امت‌ها بدانند که من یهوه قدوس اسرائیل می‌باشم.۷
8 Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
اینک خداوند یهوه می‌گوید: آن می‌آید و به وقوع خواهد پیوست. واین همان روز است که درباره‌اش تکلم نموده‌ام.۸
9 Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
و ساکنان شهرهای اسرائیل بیرون خواهند آمدو اسلحه یعنی مجن و سپر و کمان و تیرها وچوب دستی و نیزه‌ها را آتش زده، خواهندسوزانید. و مدت هفت سال آتش را به آنها زنده نگاه خواهند داشت.۹
10 Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
و هیزم از صحرا نخواهندآورد و چوب از جنگلها نخواهند برید زیرا که اسلحه‌ها را به آتش خواهند سوزانید. و خداوندیهوه می‌گوید که غارت کنندگان خود را غارت خواهند کرد و تاراج کنندگان خویش را تاراج خواهند نمود.۱۰
11 Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
و در آن روز موضعی برای قبردر اسرائیل یعنی وادی عابریم را بطرف مشرق دریا به جوج خواهم داد. و راه عبور کنندگان رامسدود خواهد ساخت. و در آنجا جوج و تمامی جمعیت، او را دفن خواهند کرد و آن را وادی هامون جوج خواهند نامید.۱۱
12 Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
و خاندان اسرائیل مدت هفت ماه ایشان را دفن خواهند کرد تا زمین را طاهر سازند.۱۲
13 Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
و تمامی اهل زمین ایشان رادفن خواهند کرد. و خداوند یهوه می‌گوید: روزتمجید من نیکنامی ایشان خواهد بود.۱۳
14 Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
وکسانی را معین خواهند کرد که پیوسته در زمین گردش نمایند. و همراه عبورکنندگان آنانی را که بر روی زمین باقی‌مانده باشند دفن کرده، آن راطاهر سازند. بعد از انقضای هفت ماه آنها راخواهند طلبید.۱۴
15 Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
و عبورکنندگان در زمین گردش خواهند کرد. و اگر کسی استخوان آدمی بیند نشانی نزد آن برپا کند تا دفن کنندگان آن را دروادی هامون جوج مدفون سازند.۱۵
16 Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
و اسم شهرنیز هامونه خواهد بود. پس زمین را طاهر خواهندساخت.۱۶
17 Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
«و اما تو‌ای پسر انسان! خداوند یهوه چنین می‌فرماید که بهر جنس مرغان و به همه حیوانات صحرا بگو: جمع شوید و بیایید و نزد قربانی من که آن را برای شما ذبح می‌نمایم، فراهم آیید. قربانی عظیمی بر کوههای اسرائیل تا گوشت بخورید و خون بنوشید.۱۷
18 Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
گوشت جباران راخواهید خورد و خون روسای جهان را خواهیدنوشید. از قوچها و بره‌ها و بزها و گاوها که همه آنها از پرواریهای باشان می‌باشند.۱۸
19 Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
و از قربانی من که برای شما ذبح می‌نمایم، پیه خواهید خوردتا سیر شوید و خون خواهید نوشید تا مست شوید.۱۹
20 Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
و خداوند یهوه می‌گوید که بر سفره من از اسبان و سواران و جباران و همه مردان جنگی سیر خواهید شد.۲۰
21 Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
و من جلال خود را در میان امت‌ها قرار خواهم داد و جمیع امت‌ها داوری مرا که آن را اجرا خواهم داشت و دست مرا که برایشان فرود خواهم آورد، مشاهده خواهند نمود.۲۱
22 Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
و خاندان اسرائیل از آن روز و بعد خواهنددانست که یهوه خدای ایشان من هستم.۲۲
23 Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
وامت‌ها خواهند دانست که خاندان اسرائیل به‌سبب گناه خودشان جلای وطن گردیدند. زیراچونکه به من خیانت ورزیدند، من روی خود را ازایشان پوشانیدم و ایشان را به‌دست ستم کاران ایشان تسلیم نمودم که جمیع ایشان به شمشیرافتادند.۲۳
24 Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
برحسب نجاسات و تقصیرات ایشان به ایشان عمل نموده، روی خود را از ایشان پوشانیدم.»۲۴
25 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
بنابراین خداوند یهوه چنین می‌گوید: «الان اسیران یعقوب را باز آورده، بر تمامی خاندان اسرائیل رحمت خواهم فرمود و بر اسم قدوس خود غیرت خواهم نمود.۲۵
26 Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
و حینی که ایشان درزمین خود به امنیت ساکن شوند و ترساننده‌ای نباشد، آنگاه خجالت خود را و خیانتی را که به من ورزیده‌اند متحمل خواهند شد.۲۶
27 Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
و چون ایشان را از میان امت‌ها برگردانم و ایشان را از زمین دشمنانشان جمع نمایم، آنگاه در نظر امت های بسیار در ایشان تقدیس خواهم شد.۲۷
28 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
و خواهنددانست که من یهوه خدای ایشان هستم، از آن روکه من ایشان را در میان امت‌ها جلای وطن ساختم و ایشان را به زمین خودشان جمع کردم و بار دیگرکسی را از ایشان در آنجا باقی نخواهم گذاشت.۲۸
29 Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
و خداوند یهوه می‌گوید که من بار دیگرروی خود را از ایشان نخواهم پوشانید زیراکه روح خویش را بر خاندان اسرائیل خواهم ریخت.»۲۹

< Ezekieli 39 >