< Ezekieli 39 >

1 “Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
and you(m. s.) son: child man to prophesy upon Gog and to say thus to say Lord YHWH/God look! I to(wards) you Gog leader prince Meshech and Tubal
2 Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
and to return: return you and to lead you and to ascend: attack you from flank north and to come (in): bring you upon mountain: mount Israel
3 Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
and to smite bow your from hand left your and arrow your from hand right your to fall: fall
4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
upon mountain: mount Israel to fall: kill you(m. s.) and all band your and people which with you to/for bird of prey bird all wing and living thing [the] land: country to give: give you to/for food
5 Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
upon face: surface [the] land: country to fall: kill for I to speak: speak utterance Lord YHWH/God
6 Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
and to send: depart fire in/on/with Magog and in/on/with to dwell [the] coastland to/for security and to know for I LORD
7 Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
and [obj] name holiness my to know in/on/with midst people my Israel and not to profane/begin: profane [obj] name holiness my still and to know [the] nation for I LORD holy in/on/with Israel
8 Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
behold to come (in): come and to be utterance Lord YHWH/God he/she/it [the] day which to speak: speak
9 Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
and to come out: come to dwell city Israel and to burn: burn and to kindle in/on/with weapon and shield and shield in/on/with bow and in/on/with arrow and in/on/with rod hand and in/on/with spear and to burn: burn in/on/with them fire seven year
10 Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
and not to lift: raise tree: wood from [the] land: country and not to chop from [the] wood for in/on/with weapon to burn: burn fire and to loot [obj] to loot them and to plunder [obj] to plunder them utterance Lord YHWH/God
11 Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
and to be in/on/with day [the] he/she/it to give: give to/for Gog place there grave in/on/with Israel Valley [the] (Valley of) the Travelers east [the] sea and to muzzle he/she/it [obj] [the] to pass and to bury there [obj] Gog and [obj] all (crowd his *Qk) and to call: call to (Hamon-gog) Valley Hamon-gog (Valley) Hamon-gog (Valley)
12 Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
and to bury them house: household Israel because be pure [obj] [the] land: country/planet seven month
13 Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
and to bury all people [the] land: country/planet and to be to/for them to/for name day to honor: honour I utterance Lord YHWH/God
14 Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
and human continually to separate to pass in/on/with land: country/planet to bury [obj] [the] to pass [obj] [the] to remain upon face: surface [the] land: country/planet to/for be pure her from end seven month to search
15 Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
and to pass [the] to pass in/on/with land: country/planet and to see: see bone man and to build beside him signpost till to bury [obj] him [the] to bury to(wards) (Hamon-gog) Valley Hamon-gog (Valley) Hamon-gog (Valley)
16 Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
and also name city Hamonah and be pure [the] land: country/planet
17 Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
and you(m. s.) son: child man thus to say Lord YHWH/God to say to/for bird all wing and to/for all living thing [the] land: country to gather and to come (in): come to gather from around upon sacrifice my which I to sacrifice to/for you sacrifice great: large upon mountain: mount Israel and to eat flesh and to drink blood
18 Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
flesh mighty man to eat and blood leader [the] land: country/planet to drink ram ram and goat bullock fatling Bashan all their
19 Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
and to eat fat to/for satiety and to drink blood to/for drunkenness from sacrifice my which to sacrifice to/for you
20 Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
and to satisfy upon table my horse and chariot mighty man and all man battle utterance Lord YHWH/God
21 Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
and to give: put [obj] glory my in/on/with nation and to see: see all [the] nation [obj] justice: judgement my which to make: do and [obj] hand: power my which to set: put in/on/with them
22 Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
and to know house: household Israel for I LORD God their from [the] day [the] he/she/it and further
23 Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
and to know [the] nation for in/on/with iniquity: crime their to reveal: remove house: household Israel upon which be unfaithful in/on/with me and to hide face my from them and to give: give them in/on/with hand: power enemy their and to fall: kill in/on/with sword all their
24 Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
like/as uncleanness their and like/as transgression their to make: do [obj] them and to hide face my from them
25 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
to/for so thus to say Lord YHWH/God now to return: rescue [obj] (captivity *Qk) Jacob and to have compassion all house: household Israel and be jealous to/for name holiness my
26 Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
and to lift: forgive [obj] shame their and [obj] all unfaithfulness their which be unfaithful in/on/with me in/on/with to dwell they upon land: soil their to/for security and nothing to tremble
27 Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
in/on/with to return: return I [obj] them from [the] people and to gather [obj] them from land: country/planet enemy their and to consecrate: holiness in/on/with them to/for eye: seeing [the] nation many
28 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
and to know for I LORD God their in/on/with to reveal: remove I [obj] them to(wards) [the] nation and to gather them upon land: soil their and not to remain still from them there
29 Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
and not to hide still face my from them which to pour: pour [obj] spirit my upon house: household Israel utterance Lord YHWH/God

< Ezekieli 39 >