< Ezekieli 31 >

1 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Och det begaf sig i ellofte årena, på första dagen i tredje månadenom, skedde Herrans ord till mig, och sade:
2 “Mwanadamu, mwambie Farao, mfalme wa Misri, na watu wake wanaomzunguka, 'Katika ukuu wako, je! wewe ni kama nani?
Du menniskobarn, säg till Pharao, Konungen i Egypten, och till allt hans folk: Huru stor menar du då att du äst?
3 Tazama! Ashuru ilikuwa mwerezi katika Lebanoni pamoja na matawi mazuri, yakitoa kivuli kwenye msitu, na mirefu katika kimo, na matawi yalitengeneza kilele cha mti wake.
Si, Assur var lika som ett cedreträ på Libanon, med sköna grenar, och tjockt af löf, och ganska högt, så att dess skate stod högt upp ibland stora tjocka qvistar.
4 Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu; maji ya chini yaliufanya kuwa mkuba. Mito ilitiririka sehemu zake zote, kwa kuwa mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba.
Det hade vatten nog, att det högt vardt, och många källor, att det starkt vardt; dess strömmar gingo allt omkring dess rot, och dess bäcker till all trä i skogenom.
5 Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba, na matawi yake yakawa mengi; matawi yake yalikuwa marefu kwa sababu ya maji mengi yalipokuwa yakikua.
Derföre är det högre vordet än all trä på markene, och fick många grenar och långa qvistar; ty det hade vatten nog till att utbreda sig.
6 Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake, wakati kila kiumbe hai cha shamba kilizaa mtoto chini ya tawi. Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake.
Alle himmelens foglar bodde uppå dess qvistar, och all vilddjur hade ungar under dess grenar, och under dess skugga bodde mång och stor folk.
7 Kwa kuwa ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake, kwa kuwa mizizi yake ilikuwa katika maji mengi.
Det hade sköna, stora och långa grenar; ty dess rot hade mycket vatten.
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kuwa sawa nayo. Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake, na miti ya miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake. Hapakuwa na mti mwingine katika bustani ya Mungu ulikuwa kama huo katika uzuri wake.
Och intet cedreträ var desso likt i Guds lustgård; furoträn voro dess grenom intet liknande, och mandelträn voro intet emot dess qvistar; ja, det var så dägeligit, att det öfvergick all trä i Guds lustgård.
9 Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake mengi na miti yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu ilimwonea wivu.
Jag hafver gjort det så skönt, att det fick så många qvistar, att all lustig trä i Guds lustgård båro afund dervid.
10 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu ilikuwa mirefu kwa kina, na imekiweka kilele chake kati ya matawi yake, moyo wake umeinua kwa sababu ya urefu wake.
Derföre säger Herren Herren alltså: Efter han så hög vorden är, att hans skate stod ibland stora, höga, tjocka qvistar, och hans hjerta upphof sig, att han så hög var;
11 Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa, kuishughulikia kulingana na yale maovu anayostahili. Nimeufukuza.
Derföre hafver jag gifvit honom dem mägtigasta ibland Hedningarna i händer; han skall vara till verka med honom, och fördrifvan, såsom han med sitt ogudaktiga väsende förtjent hafver;
12 Wageni waliokuwa wakiogofya wa mataifa yote wameikatilia mbali kuiacha ife. Matawi yake yameanguka kwenye milima na mabonde yote, na matawi yake yameanguka katika mito yote ya nchi. Kisha mataifa yote juu ya nchi wakatoka nje kutoka chini ya kivuli na kwenda zao wakamwacha.
Att främmande skola utrota honom, nämliga Hedningarnas tyranner, och förskingra honom, att hans qvistar skola ligga på all berg, och i alla dalar, och hans qvistar sönderbrutne vid alla bäcker i landena, så att all folk på jordene måste bortdraga undan hans skugga, och öfvergifva honom.
13 Ndege wa agani watapumzika kwenye shina la mti ulioanguka, na kila mnyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake.
Och alle himmelens foglar såto på hans kullfallna bål, och all vilddjur lade sig på hans afhuggna qvistar;
14 Hii litokea ili kwamba pasiwe na miti mingine itakayopandwa karibu na maji yatang'oa majani yake hata kwenye kina cha miti mirefu, na kwamba hakuna miti mingine itakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye hicho kina. Wote wametolewa kufa, chini ya nchi, miongoni mwa watoto wa binadamu, pamoja na wale washukao chini.
På det härefter intet trä vid vatten skall förhäfva sig af sine höjd, att dess skate ibland stora, tjocka qvistar står, och att intet trä vid vatten skall förhäfva sig öfver de andra; ty de måste alle under jordena, och dödenom öfvergifne varda, lika som andra menniskor, de der uti kulona fara.
15 Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
Detta säger Herren Herren: På den tiden, då han nederfor till helvetes, då gjorde jag en klagolåt, att djupet öfvertäckte honom, och hans strömmar måste stilla stå, och de stora vattnen intet löpa kunde; och gjorde det så, att Libanon sörjde öfver honom, och all trä i markene förtorkades öfver honom. (Sheol h7585)
16 Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
Jag förskräckte Hedningarna, då de hörde honom falla, då jag nederstörte honom till helvetes, med dem som uti kulona fara; och all lustig trä under jordene unte honom det väl, de ädlesta och bästa på Libanon, och all de som vid vatten ståndit hade. (Sheol h7585)
17 Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
Ty de måste ock med honom neder åt helvetet, till de slagna med svärd, efter de under hans arms skugga ibland Hedningarna bott hade. (Sheol h7585)
18 Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni? Kwa kuwa utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni hata pande zote nne za dunia miongoni mwa wasiotahiriwa; utaishi pamoja na watu wake wote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavy.”
Huru stor menar du då att du äst, med ditt prål och härlighet, ibland de lustiga trän? Ty du måste med de lustiga trän fara neder under jordena, och ligga ibland de oomskorna, hvilke med svärd slagne äro; alltså skall det gå dig, Pharao, med allo dino folke, säger Herren Herren.

< Ezekieli 31 >