< Ezekieli 31 >

1 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Potem, w jedenastym roku, w trzecim [miesiącu], pierwszego [dnia] tego miesiąca, doszło do mnie słowo PANA mówiące:
2 “Mwanadamu, mwambie Farao, mfalme wa Misri, na watu wake wanaomzunguka, 'Katika ukuu wako, je! wewe ni kama nani?
Synu człowieczy, mów do faraona, króla Egiptu, i do jego ludu: Do kogo jesteś podobny w swojej wielkości?
3 Tazama! Ashuru ilikuwa mwerezi katika Lebanoni pamoja na matawi mazuri, yakitoa kivuli kwenye msitu, na mirefu katika kimo, na matawi yalitengeneza kilele cha mti wake.
Oto Assur [był] jak cedr na Libanie, o pięknych gałęziach i szeroko rzucającym cieniu, o wysokim wzroście, a jego wierzchołek był wśród gęstych gałęzi.
4 Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu; maji ya chini yaliufanya kuwa mkuba. Mito ilitiririka sehemu zake zote, kwa kuwa mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba.
Wody dodały mu wzrostu i głębiny go wywyższyły, ich rzeki roztoczyły dokoła jego korzeń i puściły swoje strumienie ku wszystkim drzewom polnym.
5 Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba, na matawi yake yakawa mengi; matawi yake yalikuwa marefu kwa sababu ya maji mengi yalipokuwa yakikua.
Dlatego swym wzrostem przewyższył wszystkie drzewa polne i jego konary rozkrzewiły się, a dzięki obfitości wód rozszerzyły się jego gałęzie, które wypuścił.
6 Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake, wakati kila kiumbe hai cha shamba kilizaa mtoto chini ya tawi. Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake.
Na jego gałęziach uwiło sobie gniazda wszelkie ptactwo niebieskie, pod jego gałęziami rodziły się wszelkie zwierzęta polne i w jego cieniu siadały wszystkie wielkie narody.
7 Kwa kuwa ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake, kwa kuwa mizizi yake ilikuwa katika maji mengi.
Był piękny w swojej wielkości przez długość swoich gałęzi, gdyż jego korzeń był nad obfitymi wodami.
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kuwa sawa nayo. Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake, na miti ya miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake. Hapakuwa na mti mwingine katika bustani ya Mungu ulikuwa kama huo katika uzuri wake.
Cedry w ogrodzie Bożym nie przewyższały go. Cyprysy nie były podobne do jego gałęzi i drzewa kasztanowe nie były podobne do jego konarów. Żadne drzewo w ogrodzie Bożym nie dorównało mu swoją pięknością.
9 Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake mengi na miti yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu ilimwonea wivu.
Ja uczyniłem go pięknym przez mnóstwo jego gałęzi. Zazdrościły mu wszystkie drzewa Edenu, które [były] w ogrodzie Bożym.
10 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu ilikuwa mirefu kwa kina, na imekiweka kilele chake kati ya matawi yake, moyo wake umeinua kwa sababu ya urefu wake.
Dlatego tak mówi Pan BÓG: Ponieważ wysoko wyrósł, wywyższył swój wierzchołek wśród gęstych gałęzi i jego serce podniosło się z powodu jego wysokości;
11 Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa, kuishughulikia kulingana na yale maovu anayostahili. Nimeufukuza.
Wydałem go w rękę najmocniejszego z narodów, aby się z nim srogo obszedł. Odrzuciłem go z powodu jego niegodziwości.
12 Wageni waliokuwa wakiogofya wa mataifa yote wameikatilia mbali kuiacha ife. Matawi yake yameanguka kwenye milima na mabonde yote, na matawi yake yameanguka katika mito yote ya nchi. Kisha mataifa yote juu ya nchi wakatoka nje kutoka chini ya kivuli na kwenda zao wakamwacha.
A cudzoziemcy, ci najsrożsi z narodów, wycięli go i porzucili. Jego gałęzie padły na górach i we wszystkich dolinach i jego konary połamały się nad wszystkimi strumieniami tej ziemi. Wszystkie ludy ziemi ustąpiły spod jego cienia i opuściły go.
13 Ndege wa agani watapumzika kwenye shina la mti ulioanguka, na kila mnyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake.
Na jego powalonym [pniu] osiądzie wszelkie ptactwo niebieskie i na jego gałęziach będzie wszelki zwierz polny;
14 Hii litokea ili kwamba pasiwe na miti mingine itakayopandwa karibu na maji yatang'oa majani yake hata kwenye kina cha miti mirefu, na kwamba hakuna miti mingine itakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye hicho kina. Wote wametolewa kufa, chini ya nchi, miongoni mwa watoto wa binadamu, pamoja na wale washukao chini.
Aby żadne drzewo [stojące] nad wodami nie wynosiło się z powodu swego wzrostu i nie wypuszczało swoich wierzchołków wśród gęstych gałęzi, i nie pyszniło się swoją wysokością żadne drzewo, które pije wodę. Ci wszyscy bowiem są wydani na śmierć, wrzuceni do najgłębszych stron ziemi, wśród synów ludzkich wraz z tymi, którzy zstępują do dołu.
15 Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
Tak mówi Pan BÓG: W dniu, kiedy zstąpił do grobu, wzbudziłem lament, zamknąłem dla niego głębinę i wstrzymałem jej strumienie, i zastawiłem wielkie wody. Sprawiłem, że Liban okrył się ciemnością z jego powodu i z jego powodu wszystkie drzewa polne zemdlały. (Sheol h7585)
16 Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
Na huk jego upadku zadrżały narody, gdy go wrzucałem do piekła z tymi, co do dołu zstępują. Wszystkie drzewa Edenu, najwyborniejsze i najlepsze z Libanu, które piją wodę, doznają pociechy w najgłębszych stronach ziemi. (Sheol h7585)
17 Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
One także zstąpiły z nim do piekła, do zabitych mieczem, którzy byli jego ramieniem i którzy mieszkali w jego cieniu wśród narodów. (Sheol h7585)
18 Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni? Kwa kuwa utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni hata pande zote nne za dunia miongoni mwa wasiotahiriwa; utaishi pamoja na watu wake wote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavy.”
Do kogo byłeś podobny chwałą i wielkością między drzewami Edenu? Oto zostaniesz zrzucony wraz z drzewami Edenu do najgłębszych stron ziemi. Będziesz leżał wśród nieobrzezanych wraz z pobitymi mieczem. To jest z faraonem i całą jego rzeszą – mówi Pan BÓG.

< Ezekieli 31 >