< Ezekieli 31 >

1 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Hagi Babilonima kinama ome hutama mani'nonkeno, 11nima hiankafumofona namba 3 ikantera, ese knazupa Ra Anumzamo'a amanage huno nasami'ne.
2 “Mwanadamu, mwambie Farao, mfalme wa Misri, na watu wake wanaomzunguka, 'Katika ukuu wako, je! wewe ni kama nani?
Vahe'mofo mofavre Izikieliga, Isipi kini ne' Ferone sondia vahe'anena amanage hunka zamasamio, tamagra mika vahera zamagatereta, tusi hihamu vahe mani'naze.
3 Tazama! Ashuru ilikuwa mwerezi katika Lebanoni pamoja na matawi mazuri, yakitoa kivuli kwenye msitu, na mirefu katika kimo, na matawi yalitengeneza kilele cha mti wake.
Hagi ko, Asiria vahe'mo'za Lebanoni sida zafagna hu'za knare'nare azankuna omente amente hazageno mago'a zafaramina tona huzmantene. Agra za'za huno amunagamu hampompi marerino, mika zafaramina zamagatere'ne.
4 Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu; maji ya chini yaliufanya kuwa mkuba. Mito ilitiririka sehemu zake zote, kwa kuwa mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba.
Hagi ana zafamofona timo ne'zana nemigeno, mopa agu'afima me'nea timo ana zafa ne'zana amigeno zazara hu'ne. Hagi ana zafaramima tima ne'zamiana, timo mika zafafina nevuno tina nezamie.
5 Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba, na matawi yake yakawa mengi; matawi yake yalikuwa marefu kwa sababu ya maji mengi yalipokuwa yakikua.
E'ina hunegu ana zafamo'a mika zafaramina hageno agatenereno, rama'a azanku'nareno ani'na kuronkuro hu'ne. Na'ankure agra rama'a ti agafafintira eri'negu anara hu'ne.
6 Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake, wakati kila kiumbe hai cha shamba kilizaa mtoto chini ya tawi. Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake.
Hagi maka namaramimo'za ana zafa azankunataminte nona eme negizageno, mika zaga kafamo'za ana zafa agafafi anentara eme kasente'naze. Hagi ana zafamofo turunapi mika zamagima me'nea vahe'mo'za kokantegatira enemanize.
7 Kwa kuwa ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake, kwa kuwa mizizi yake ilikuwa katika maji mengi.
Hagi ana zafamofona hentofa azankunatmi me'ne. Na'ankure ana zafamofo arafu'namo'za rama'a tima me'nefi amefenkame urami'za tina ani avazu nehaze.
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kuwa sawa nayo. Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake, na miti ya miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake. Hapakuwa na mti mwingine katika bustani ya Mungu ulikuwa kama huo katika uzuri wake.
Hagi Anumzamofo hozafima me'nea sida zafamo'za ana zafa gnara osazageno, meni zafane mago'a zafaramimo'za ana zafa gnara osu'naze. Anumzamofo hozafima me'nea zafamo'zanena ana zafa gnara osu'naze.
9 Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake mengi na miti yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu ilimwonea wivu.
Na'ankure Nagra ana zafa rama'a azankunataminu konariria huntogeno knare'za higeno, mika Anumzamofo hozafima me'nea zafaramimo'za kezmasane nehaze.
10 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu ilikuwa mirefu kwa kina, na imekiweka kilele chake kati ya matawi yake, moyo wake umeinua kwa sababu ya urefu wake.
E'ina hu'negu Ra Anumzana Agra Anumzamo'a amanage hu'ne, Na'ankure agra mika zafaramina zamagatereno amunagamuma mareri'nea zanku agra avufga ra hu'ne.
11 Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa, kuishughulikia kulingana na yale maovu anayostahili. Nimeufukuza.
Ana hu'negu Nagra ana zafa nagotente'na namefi hunemina hankavenentake ha' vahe'mokizmi zamazampi zamavare antanenkeno, zamazeri havizantfa hugahie.
12 Wageni waliokuwa wakiogofya wa mataifa yote wameikatilia mbali kuiacha ife. Matawi yake yameanguka kwenye milima na mabonde yote, na matawi yake yameanguka katika mito yote ya nchi. Kisha mataifa yote juu ya nchi wakatoka nje kutoka chini ya kivuli na kwenda zao wakamwacha.
Hagi ruregati vahe'ma zamazeri haviza hu'arema vugota hu'naza kefo vahe'mo'za ana zafa antagi atre'naze. Hagi ana zafamofo azankuna'mo'a agonaramimpine, agupofine, krahopina hantagiramino mase'ne. Hagi ana zafa agafafima nemaniza vahe'mo'za atre'za vu'za e'za hu'naze.
13 Ndege wa agani watapumzika kwenye shina la mti ulioanguka, na kila mnyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake.
Hagi maka namaramimo'za anama antagitre zafa atupare nemanizageno, zagagafamo'za ana zafamofo azankunatamimofo agofetu vano hu'naze.
14 Hii litokea ili kwamba pasiwe na miti mingine itakayopandwa karibu na maji yatang'oa majani yake hata kwenye kina cha miti mirefu, na kwamba hakuna miti mingine itakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye hicho kina. Wote wametolewa kufa, chini ya nchi, miongoni mwa watoto wa binadamu, pamoja na wale washukao chini.
E'inama hanigeno'a tinkenafima me'nea zafamo'za hage'za zaza hu'za mago'a zafaramina zamagate'nere'za zamavufaga rana osugahaze. Na'ankure zamagranena e'inahu kna hu'za frisaza vahe mani'nazanki'za, fri'za kerifima urami'za mani'naza vahe'ene umanigahaze.
15 Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
Hagi Ra Anumzana Agra Anumzamo'a amanage hie, sida zafamo'ma frino fri vahe kumapima urami'nea kna zupa, mopa agu'afima me'nea tintamina hanuge'za zavi krafa hu'za zamasunku nehanage'na, mika tintamina eri tanegahue. Anama hanige'za maka Lebanoni zafamo'za zamasunku huza zavi nete'nageno maka zafamo'za hagege hugahaze. (Sheol h7585)
16 Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
Hagi ana zafama trakama huno'ma nemaseno vagri'ma hia agasasa kenu mago'a mopafi vahera Nagra zamazeri koro hu'noe. Hagi fri kumapima nevaza vahe'enema huntoge'noma nevige'za, Idenima me'naza zafamo'zane knare'nare zafama Lebanoni me'naza zafamo'zane, knare'ma hu'za tima e'neriza zafamo'zanena fri vahe kumapi mani'ne'za musena hu'naze. (Sheol h7585)
17 Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
Hagi ana zafamofo tonapima nemaniza, agri'enema erigaherafiza nemaniza vahe'mo'za bainati kazinteti'ma zamahe'naza vahe'ene magoka matipina urami'naze. (Sheol h7585)
18 Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni? Kwa kuwa utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni hata pande zote nne za dunia miongoni mwa wasiotahiriwa; utaishi pamoja na watu wake wote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavy.”
Hagi Ideni hozafima me'nea zafaramimpintira ina zafamo kagri knara huno za'zara huno ragi'ane zafa me'ne? Hagi kagra Ideni hozafima me'nea zafaramine, magoka fri vahe kumapina uramita zamagoza anoma taga osu' vahe'ma kazinteti'ma zamahazage'zama mase'naza kumapi vugahaze. Ama ana zantamina Ferone mika sondia vahe'are fore hugahie huno Ra Anumzamo'a hu'ne.

< Ezekieli 31 >