< Ezekieli 31 >

1 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
La onzième année, au troisième mois, le premier du mois, la parole de Yahweh me fut adressée en ces termes:
2 “Mwanadamu, mwambie Farao, mfalme wa Misri, na watu wake wanaomzunguka, 'Katika ukuu wako, je! wewe ni kama nani?
" Fils de l'homme, dis à Pharaon, roi d'Egypte, et à sa multitude: A qui ressembles-tu dans ta grandeur?
3 Tazama! Ashuru ilikuwa mwerezi katika Lebanoni pamoja na matawi mazuri, yakitoa kivuli kwenye msitu, na mirefu katika kimo, na matawi yalitengeneza kilele cha mti wake.
Voilà qu'Assur était un cèdre sur le Liban, à la belle ramure, à l'ombrage épais, à la taille élevée, et ayant sa cime dans les nues.
4 Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu; maji ya chini yaliufanya kuwa mkuba. Mito ilitiririka sehemu zake zote, kwa kuwa mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba.
Les eaux l'avaient fait croître, l'abîme l'avait fait grandir, en faisant couler ses fleuves autour du lieu où il était planté et en envoyant ses ruisseaux à tous les arbres des champs.
5 Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba, na matawi yake yakawa mengi; matawi yake yalikuwa marefu kwa sababu ya maji mengi yalipokuwa yakikua.
C'est pourquoi sa taille s'élevait, plus haute que les arbres des champs; ses branches avaient grandi, ses rameaux s'étaient allongés, grâce aux eaux abondantes du temps de sa croissance.
6 Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake, wakati kila kiumbe hai cha shamba kilizaa mtoto chini ya tawi. Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake.
Dans ses branches tous les oiseaux du ciel nichaient; sous ses rameaux mettaient bas tous les animaux des champs, et à son ombre étaient assises des nations nombreuses.
7 Kwa kuwa ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake, kwa kuwa mizizi yake ilikuwa katika maji mengi.
Il était beau par sa grandeur, par la longueur de ses branches, car ses racines plongeaient dans des eaux abondantes.
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kuwa sawa nayo. Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake, na miti ya miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake. Hapakuwa na mti mwingine katika bustani ya Mungu ulikuwa kama huo katika uzuri wake.
Les cèdres ne l'obscurcissaient pas dans le jardin de Dieu, les cyprès n'égalaient pas ses branches, et les platanes n'étaient pas comme ses rameaux; aucun arbre dans le jardin de Dieu ne l'égalait en beauté.
9 Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake mengi na miti yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu ilimwonea wivu.
Je l'avais rendu beau par la multitude de ses rameaux; tous les arbres d'Eden lui portaient envie, tous ceux qui sont dans le jardin de Dieu.
10 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu ilikuwa mirefu kwa kina, na imekiweka kilele chake kati ya matawi yake, moyo wake umeinua kwa sababu ya urefu wake.
C'est pourquoi ainsi parle le Seigneur Yahweh: Parce qu'il s'est élevé en hauteur, parce qu'il a porté sa cime jusque dans les nues; et que son cœur s'est enorgueilli de son élévation,
11 Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa, kuishughulikia kulingana na yale maovu anayostahili. Nimeufukuza.
je l'ai livré aux mains du dieu des nations, qui le traitera à sa guise; à cause de sa méchanceté, je l'ai chassé.
12 Wageni waliokuwa wakiogofya wa mataifa yote wameikatilia mbali kuiacha ife. Matawi yake yameanguka kwenye milima na mabonde yote, na matawi yake yameanguka katika mito yote ya nchi. Kisha mataifa yote juu ya nchi wakatoka nje kutoka chini ya kivuli na kwenda zao wakamwacha.
Des étrangers l'ont coupé, — nation féroce entre toutes, — et laissé là; sur les montagnes et dans toutes les vallées, ses branches sont tombées; ses rameaux brisés gisent dans tous les ravins du pays; tous les peuples de la terre se sont éloignés de son ombre et l'ont abandonné.
13 Ndege wa agani watapumzika kwenye shina la mti ulioanguka, na kila mnyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake.
Sur ses débris tous les oiseaux du ciel viennent se poser, et dans ses rameaux se sont retirés tous les animaux des champs:
14 Hii litokea ili kwamba pasiwe na miti mingine itakayopandwa karibu na maji yatang'oa majani yake hata kwenye kina cha miti mirefu, na kwamba hakuna miti mingine itakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye hicho kina. Wote wametolewa kufa, chini ya nchi, miongoni mwa watoto wa binadamu, pamoja na wale washukao chini.
afin qu'aucun arbre planté sur les eaux ne s'élève en hauteur et ne porte sa cime jusque dans les nues, et qu'aucun de ceux qui s'abreuvent d'eau ne s'appuie sur lui-même dans son orgueil. Car ils sont tous voués à la mort, aux profondeurs de la terre, mêlés aux enfants des hommes, à ceux qui descendent dans la fosse.
15 Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
Ainsi parle le Seigneur Yahweh: Le jour où il descendit au schéol, j'ai fait mener le deuil; à cause de lui j'ai voilé l'abîme, j'ai retenu le cours de ses fleuves, et les grandes eaux se sont arrêtées; à cause de lui, j'ai assombri le Liban, et à cause de lui, tous les arbres des champs ont langui. (Sheol h7585)
16 Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
Au bruit de sa chute, j'ai fait trembler les nations, quand je l'ai fait descendre au schéol, avec ceux qui descendent dans la fosse. Ils se sont consolés dans les profondeurs de la terre, tous les arbres d'Eden, les plus beaux et les plus magnifiques du Liban, tous ceux que les eaux abreuvaient. (Sheol h7585)
17 Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
Ceux-là aussi sont descendus avec lui au schéol, vers les victimes de l'épée, qui étaient son bras et étaient assises à son ombre au milieu des nations. (Sheol h7585)
18 Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni? Kwa kuwa utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni hata pande zote nne za dunia miongoni mwa wasiotahiriwa; utaishi pamoja na watu wake wote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavy.”
Ainsi à qui ressembles-tu en gloire et en grandeur, parmi les arbres d'Eden? Tu seras précipité avec les arbres d'Eden, dans les profondeurs de la terre, pour être couché au milieu d'incirconcis, avec ceux que l'épée a transpercés. Tel sera le sort de Pharaon et de toute sa multitude; — oracle du Seigneur Yahweh. "

< Ezekieli 31 >