< Ezekieli 30 >

1 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
Un Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
2 “Mwanadamu, toa unabii na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Maombolezo. “Ole unakuja siku hiyo.”
Cilvēka bērns, sludini un saki: tā saka Tas Kungs Dievs: kauciet: Ak vai, tai dienai!
3 siku ikaribu. Siku ikaribu kwa ajili ya Yahwe. Itakuwa siku ya mawingu, mda wa hukumu kwa ajili ya mataifa.
Jo tā diena ir tuvu, tiešām Tā Kunga diena ir tuvu, diena tumši apmākusies, pagānu laiks ir klāt.
4 Kisha upanga utakuja dhidi ya Misri, na huko kutakuwa na maumivu makali katika Kushi wakati wauaji wa watu watakapoanguka katika Misri-wakati watakapochukua utajiri, na wakati misingi yake itakapoharibiwa.
Un zobens nāks Ēģiptes zemē, un Moru zemē būs lielas sāpes, kad kautie kritīs Ēģiptes zemē, un viņas pulki taps aizvesti, un viņas pamati taps nolauzti.
5 Kushi, Putu, na Ludi, na wageni wote, pamoja na watu wa nyumba ya agano-wote wataanguka chini kwa upanga.
Moru zeme un Libija un Lidija un visādi ļaudis un Kubs un tās derības zemes bērni kritīs līdz ar viņiem caur zobenu.
6 Yahwe asema hivi: Basi wale wanaoisaidia Misri wataanguka, na kiburi cha uweza wake kitashuka chini. Kutoka Migdoli hata Sewene maaskari wao wataanguka kwa upanga-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Tā saka Tas Kungs: tiešām, Ēģiptes palīgi kritīs, un viņas lepnais stiprums taps nogāzts, no Migdolas līdz Ziēnei tie tur kritīs caur zobenu, saka Tas Kungs Dievs.
7 Wataogofya kati ya nchi zilizotupwa, na miji yao itakuwa miongoni mwa miji yote iliharibika.
Un tie taps postīti vidū starp postītām zemēm, un viņu pilsētas būs starp postītām pilsētām;
8 Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapouweka moto katika Misri, na wakati wasaidizi wake wote watakapoharibiwa.
Un tie samanīs, ka Es esmu Tas Kungs, kad Es uguni kuršu Ēģiptes zemē, un visi viņas palīgi taps satriekti.
9 Katika siku hiyo wajumbe watatoka mbele yangu katika meli ili kuitia hofu Kushi iliyo salama, na kutakuwa na maumivu makali miongoni mwao katika siku ya kuangamizwa Misri. Kwa kuwa tazama! inakuja.
Tai dienā no Manis izies vēstneši ar laivām, iztrūcināt Moru zemi, kas droši dzīvo, un pie tiem būs lielas bēdas, tā kā Ēģiptes dienā, jo redzi, (tie) nāk!
10 Bwana Yahwe asema hivi: Nitaufanya mwisho wa watu wa Misri kwa mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli.
Tā saka Tas Kungs Dievs: tiešām, Es nobeigšu Ēģiptes pulkus caur Nebukadnecara, Bābeles ķēniņa, roku.
11 Yeye na jeshi lake pamoja naye, hofu ya mataifa, italetwa kuiharibu nchi; watafuta panga zao juu ya Misri na kuijaza nchi pamoja na watu waliokufa.
Šis un viņa ļaudis līdz ar viņu, tie visbriesmīgākie starp tautām, taps atvesti, postīt zemi, un izvilks savus zobenus pret Ēģipti un piepildīs zemi ar nokautiem.
12 Nitaifanya mito kuwa nchi kavu, na nitaiuza nchi kwenye mkono wa watu waovu. Nitaifanya nchi na viijazavyo ukiwa kwa mkono wa wageni-mimi, Yahwe, nimesema.
Un Es upes darīšu sausas un zemi pārdošu tiem nikniem rokā, un zemi un kas tur ir, Es izpostīšu caur svešinieku roku; Es Tas Kungs to esmu runājis.
13 Bwana Yahwe asema hivi: Nitaziharibu sanamu, na nitaleta mwisho wa sanamu za ubatili za Nofu. Hakutakuwa na mkuu katika Misri, na nitaweka hofu katika nchi ya Misri.
Tā saka Tas Kungs Dievs: un Es izdeldēšu tos elkus un darīšu galu Nofas(Memfisas) dievekļiem, un valdnieka vairs nebūs Ēģiptes zemē; un Es sūtīšu izbailes pār Ēģiptes zemi.
14 Kisha nitaifanya Pathrosi ukiwa na kuweka moto katika Soani, nitatekeleza matendo ya hukumu katika No.
Un Es izpostīšu Patrus zemi, un kuršu uguni Coanā, un turēšu tiesu Noā:
15 Kwa kuwa nitamwaga ghadhabu yangu juu Sini, ngome ya Misri, na kuwakatilia mbali watu wa mataifa.
Un Es izgāzīšu Savu bardzību pār Sinu, Ēģiptes stiprumu, un izdeldēšu tos pulkus Noā.
16 Kisha nitaweka moto katika Misri; Sini itakuwa katika dhiki kuu, No itavunjika, na Nofu itakabiliana na maadui kila siku.
Un iededzināšu uguni Ēģiptes zemē; Sina cietīs lielas sāpes, un No taps sašķelta, un Nofa dienas vidū taps spaidīta.
17 Vijana katika Oni na Pi-besethi wataanguka kwa upanga, na miji yao itaenda utumwani.
Avenas un Pibozetes jaunekļi kritīs caur zobenu, un pašas aizies cietumā.
18 Huko Tapanesi, siku itabadilika kuwa usiku nitakapo ivunja nira ya Misri huko, na kiburi cha uwezo wake kitaisha. Kutakuwa na wingu likimfunika, na binti zake wataenda utumwani.
Un Takvanesā gaisma taps aptumšota, kad Es Ēģiptes jūgu tur salauzīšu un viņas lepno stiprumu tur nobeigšu; mākonis viņu apklās, un viņas meitas ies cietumā.
19 Nitatekeleza matendo ya hukumu katika Misri, hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
Tā Es turēšu tiesu Ēģiptes zemē, lai tie atzīst, ka Es esmu Tas Kungs.
20 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa kwanza, katika siku ya saba ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Un vienpadsmitā gadā, pirmā mēnesī, septītā mēneša dienā Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
21 “Mwanadamu, nimeuvunja mkono wa Farao, mfalme wa Misri. Tazama! Haukufungwa, au kufungwa kwa kitambaa cha bendeji ili upone, hivyo basi uweze kuwa imara kushika upanga.
Cilvēka bērns! Faraona, Ēģiptes ķēniņa, elkoni Es esmu satriecis, un redzi, to nesasies, plāksteri neuzliks, ar autiem neaptīs, un tas vairs neatspirgs, ka varētu zobenu turēt.
22 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama, mimi niko juu ya Farao, mfalme wa Misri. Kwa kuwa nitauvunja mkono wake, wote yule aliye hodari na yule aliyevunjika, nitaufanya upanga wangu kuanguka kutoka kwenye mkono wake.
Tāpēc tā saka Tas Kungs Dievs: redzi, Es celšos pret Faraonu, Ēģiptes ķēniņu, un satriekšu viņa elkoņus, to stipro kā to satriekto, un Es viņa zobenam likšu izkrist no viņa rokas.
23 Kisha nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbali mbali.
Un Es ēģiptiešus izkaisīšu starp tautām un tos izputināšu pa zemēm.
24 Nitaunyoosha mikono kwa mfalme wa Babeli na kuweka upanga wangu katika mkono wake ili kwamba niweze kuiharibu mikono ya Farao. Atagugumia mbele ya mfalme wa Babeli kwa mgumio wa mtu anayekufa.
Un Es stiprināšu Bābeles ķēniņa elkoņus, un Savu zobenu došu viņa rokā, bet Faraona elkoņus Es satriekšu, ka tam viņa priekšā būs vaidēt, tā kā ievainots vaid.
25 Kwa kuwa nitainyoosha mikono ya mfalme wa Babeli, wakati mkono wa Farao utakapoanguka. Kisha watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapoweka upanga wangu kwenye mkono wa mfalme wa Babeli; kwa kuwa ataishambulia nchi ya Misri kwa huo.
Tiešām, Es stiprināšu Bābeles ķēniņa elkoņus, bet Faraona elkoņi nogurs, un tie samanīs, ka Es esmu Tas Kungs, kad Es Savu zobenu došu Bābeles ķēniņam rokā, un viņš to pacels pār Ēģiptes zemi.
26 Hivyo nitaitawanya miongoni mwa mataifa na kuyatawanya kwenye nchi tofauti tofauti. Kisha watajua yakwamba mimi ni Yahwe.”'
Un Es izkaisīšu ēģiptiešus starp tautām un tos izputināšu pa zemēm, lai tie atzīst, ka Es esmu Tas Kungs.

< Ezekieli 30 >