< Ezekieli 26 >

1 Hivyo ilikuwa katika mwaka wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Kum hlai at dongkah hla khat dongla a om vaengah kai taengla BOEIPA ol ha pawk tih,
2 “Mwanadamu, kwa sababu Tiro amesema juu ya Yerusalemuu, 'Aha! Malango ya watu waliovunjika! Amenigeukia; Nitajazwa kwa sababu ameharibika.'
Hlang capa aw, Tyre loh Jerusalem te, ‘Ahuei, pilnam kah thohkhaih po coeng tih kai taengla ha mael coeng. Te dongah la anih a khah vaengah kai ka hah bitni,’ a ti.
3 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama! Niko juu yako, Tiro, na nitayainua mataifa mengi juu yako kama bahari iiunuavyo mawimbi yake.
Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Kai loh Tyre nang kam pai thil coeng tih namtom te nang taengah tuipuei tuiphu aka cet bangla muep kang khuen ni he.
4 Wataziharibu kuta za Tiro na kuiangusha chini minara yao. Nitafagia mavumbi yake mbali na kumfanya kama jiwe tupu.
Te vaengah Tyre vongtung te a phae uh vetih a rhaltoengim khaw a koengloeng uh ni. A pum dongkah laipi te ka kuet pah vetih anih te thaelpang aka tlaai la ka khueh ni.
5 Atakuwa sehemu ya kuwekea nyavu kati ya bahari, kwa kuwa nimesema hilo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-na atakuwa mateka kwa ajili ya mataifa.
Te vaengah tuipuei laklung kah yaehtaboeih a yaalnah la poeh ni. Ka Boeipa Yahovah kah olphong he ka thui coeng dongah namtom ham maeh la poeh ni.
6 Binti zake walioko mashambani watachinjwa kwa panga, na watajua kwamba mimi ni Yahwe.'
A canu rhoek te khohmuen kah cunghang loh a ngawn vaengah BOEIPA kamah te m'ming uh bitni.
7 Kwa kuwa hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Tazama, kutoka kaskazini namleta Nebukadreza mfalme wa Babeli, mfalme wa wafalme, dhidi ya Tiro, pamoja na farasi na magari ya farasi, na pamoja na waendesha farasi na watu wengi.
Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Manghai rhoek manghai tlangpuei lamkah Babylon manghai Nebukhanezar te marhang neh, leng neh, marhang caem neh, hlangping neh pilnam boeiping neh Tyre taengla ka thoeng sak coeng he.
8 Atawaua binti zako katika shamba. Ataweka kazi ya boma na kujenga ulaghai dhidi ya kuta zako na kuziinua ngao dhidi yao.
Na canu rhoek te khohmuen ah cunghang neh a ngawn ni. Nang te buep n'to thil vetih nang te tanglung n'lun thil uh phoeiah nang te photlinglen m'bai thil ni.
9 Ataweka vyombo vya kubomolea dhidi ya kuta zako, na vyombo vyake vitaanguka chini ya minara yako.
Na vongtung te a khongmawt neh pet a tung thil vetih na rhaltoengim te a cunghang neh a phil ni.
10 Farasi zake zitakuwa nyingi kwamba mavumbi yao yatawafunika. Kuta zako zitatikisika kwa mlio wa waendesha farasi, magurudumu, na magari ya farasi. Wakati atakapoingia malango yako, ataingia kama watu waingiavyo kwenye mji ambao kuta zimebomolewa.
A marhang cako lamkah laipi loh nang m'vuei ni. Marhang caem neh humhae neh leng ol ah na vongtung khaw tuen ni. Na vongka lamloh a moe ham vaengah khopuei khuirhai bangla ueth coeng.
11 Kwato za farasi zake zitaikanyaga mitaa yako yote. Atawaua watu wako kwa upanga na nguzo za uweza wako zitaanguka chini.
A marhang khomae loh na tol boeih a taelh ni. Na pilnam te cunghang neh a ngawn vetih na sarhi kaam khaw diklai la bung ni.
12 Watauteka nyara utajiri wako na bidhaa iliyoporwa. Watabomoa kuta zako na kuziharibu nyumba zako za kifahari. Mawe yako, mbao zako, na kokoto watazitupa kwenye maji.
Na thadueng a buem uh vetih na hnothungnah te a poelyoe uh ni. Na vongtung te a koengloeng uh vetih na sahnaih im khaw a phil uh ni. Na lungto neh na thing neh na laipi pataeng tui lung la a voeih uh ni.
13 Nitaikomesha sauti ya nyimbo zako. Sauti ya vinubi haitasikika tena.
Na laa a lilup te ka paa sak vetih na rhotoeng ol khaw ya voel mahpawh.
14 Nitakufanya jiwe tupu, utakuwa mahali ambapo nyavu zitasambazwa kuzikausha. Hutajengwa tena, kwa kuwa mimi, Bwana Yahwe nimesema-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Nang te thaelpang aka tlaai la kang khueh vetih yaehtaboeih yaalnah la na poeh ni. BOEIPA kamah loh ka thui coeng dongah na thoh thai voel mahpawh. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
15 Bwana Yahwe amwambia hivi Tiro, 'Je visiwa havitatetemeka kwa mlio wa kuanguka kwako, na pamoja na watakaogumia kwa jeraha wakati machinjio mabaya yatakapokuwa kati yako?
Ka Boeipa Yahovah loh Tyre ham he ni a thui. Na cungkunah ol dongah pawt nim rhok a kii ham neh na laklung kah ngawnnah dongah ngawn ham vaengah sanglak rhoek a hinghuen?
16 Kisha wakuu wote wa bahari watakaposhuka kutoka kwenye viti vyao vya enzi na kuvua mavazi yao rasmi na kutupa mavazi yaliyonakshiwa. Watavaa wenyewe kwa kutetemeka, wataketi chini na kutetemeka kila wakati, na wataogopa kwa sababu yako.
Te vaengah tuipuei khoboei boeih khaw a ngolkhoel dong lamloh suntla uh ni. A hnikul te a rhoe uh vetih a rhaekva himbai te khaw a pit uh ni. Thuennah te a bai uh vetih diklai ah ngol uh ni. Mikhaptok ah lakueng uh vetih na taengah pong uh ni.
17 Watainua maombolezo juu yako na kukwambia, umekuwaje, uliyekuwa umekaliwa na manahodha wa meli, umeharibika. Mji mashuhuri ulikuwa imara sana-sasa umetoka kwenye bahari. Wale wanaoishi ndani yake wanaotia hofu kuhusu wenyewe juu ya kila mmoja aliyeishi karibu nao.
Te vaengah nang ham rhahlung ham phueih vetih nang te, ‘Balae tih tuipuei khosa lamloh na milh, tuitunli neh a khuikah khosa rhoek soah khopuei thangthen neh tlungluen la na om ta. Amih a khuikah khosa boeih soah rhihnah a khueh uh ta.
18 Sasa fukwe zitatetemeka katika siku ya kuanguka kwako. Visiwa katika bahari vimeogofya, kwa sababu umekufa.'
Na cungkunah khohnin ah sanglak te lakueng tih na khum lamloh tuipuei kah sanglak rhoek khaw let uh.
19 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: wakati nitakapokufanya wewe mji kuwa ukiwa, kama miji mingine ambayo haikaliwi, wakati nitakapoviinua vilindi dhidi yako, na wakati maji makuu yatakapokufunika,
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Khopuei nang te kang khueh vaengah khosa aka om pawh khopuei bangla n'khah ni. Te vaengah nang soah tuidung hang khuen vetih tui len loh nang n'khuk ni.
20 kisha nitakushusha chini kwenda kwa watu wa nyakati za zamani, kama wengingine walioenda chini kwenye shimo; kwa kuwa nitakufanya uishi katika falme za chini za dunia kama uharibifu wa nyakati za zamani. Kwa sababu hii hutarudi na kusimama katika nchi ya walio hai.
Te vaengah nang te tangrhom khuila aka suntla khosuen pilnam taengla kan suntlak sak ni. Nang te tangrhom khuila aka suntla khosuen imrhong bangla diklai laedil ah kang om sak ni. Na om pawt daengah ni mulhing khohmuen ah kirhang khaw kam paek eh.
21 Nitaweka janga juu yako, na hutakuwepo tena milele. Kisha utatafutwa, lakini hutapatikana milele tena-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Nang te mueirhih kam paek vaengah na om voel mahpawh. N'toem cakhaw kumhal duela koep m'hmu mahpawh. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni,” a ti.

< Ezekieli 26 >