< Ezekieli 14 >

1 Baadhi ya viongozi wa Israeli wakaja kwangu na kuketi mbele yangu.
Un pie manis atnāca kādi Israēla vecaji un apsēdās manā priekšā.
2 Ndipo neno la Yahwe likanijia, likisema,
Tad Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
3 “Mwanadamu, hawa watu wamchukua sanamu zao kwenye mioyo yao na kuweka pingamizi la uovu wao mbele ya nyuso zao wenyewe. Je naweza kuulizwa yote na wao?
Cilvēka bērns, šie vīri savus elkadievus uzņēmuši savā sirdī un to, kas viņus apgrēcina, cēluši priekš savām acīm; vai tad tādiem bija Mani jautāt?
4 Kwa hiyo watangazie hivi na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kila mtu wa nyumba ya Israeli achukuaye sanamu moyoni mwake, au awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake, na kisha yule ajaye kwa nabii-Mimi, Yahwe, nitamjibu kulingana na sanamu zake.
Tādēļ runā ar tiem un saki uz tiem: tā saka Tas Kungs Dievs: ikviens no Israēla nama, kas savā sirdī uzņem elkudievus un ceļ priekš savām acīm, kas viņus apgrēcina, un nāk pie pravieša, - tad Es Tas Kungs viņam atbildēšu pēc viņu elkadievu pulka,
5 Nitafanya hivi ili kwamba niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao ambayo ilikuwa mbali nami kwa ajili ya sanamu zao.'
Lai Es Israēla namam sirdi aizgrābju, jo tie visi no Manis ir atkāpušies caur saviem elkadieviem.
6 Kwa hiyo sema kwa nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote.
Tāpēc saki uz Israēla namu: tā saka Tas Kungs Dievs: atgriežaties un nogriežaties no saviem elkadieviem un nogriežat savu vaigu no visām savām negantībām.
7 Kwa kuwa kila mmoja kutoka kwenye nyumba ya Israeli na kila mmoja wa wageni wanaoishi katika Israeli ajitengaye nami, achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe, na kisha yule ajaye kwa nabii kunitafuta-mimi, Yahwe, nitamjibu mimi mwenyewe.
Jo ikviens no Israēla nama un no tiem svešiniekiem, kas Israēla starpā dzīvo, kas no Manis atkāpjas un uzņem savus elkadievus savā sirdī un ceļ priekš savām acīm, kas viņus apgrēcina, un nāk pie pravieša caur viņu Mani vaicāt, - Es esmu Tas Kungs, - tam no Manis kļūs atbilde,
8 Hivyo nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu na kumfanya ishara na mithali, kwa kuwa nitamkata kutoka kati ya watu wangu, na mtajua kuwa mimi ni Yahwe.
Un Es celšu Savu vaigu pret šo vīru un to likšu par zīmi un sakāmu vārdu un to izdeldēšu no viņa ļaužu vidus, un jūs samanīsiet, ka Es esmu Tas Kungs.
9 Kama nabii atadanganywa na kuongea ujumbe, kisha Mimi Yahwe, nitamdanganya huyo nabii; Nitanyoosha mkono wangu na kumwangamizaku toka kati watu wangu Israeli.
Kad nu kāds pravietis pievilsies un kaut ko runās, šim pravietim Es, Tas Kungs, atkal likšu pievilties, un izstiepšu Savu roku pret viņu un to izdeldēšu no Savu Israēla ļaužu vidus.
10 Watabeba uovu wao wenyewe; uwovu wa nabii utakua uleule kama uovu wa yule aulizaye kutoka kwake.
Tā tie nesīs savu noziegumu; kā tā vaicātāja noziegums būs, tāpat būs tā pravieša noziegums,
11 Kwa sababu hiyo basi, nyumba ya Israeli haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi wala kujinajisi wenyewe kupitia dhambi zao zote. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”'
Lai Israēla nams no Manis vairs nenomaldās un vairs neapgānās ar visiem saviem pārkāpumiem; tad tie Man būs par ļaudīm, un Es tiem būšu par Dievu, saka Tas Kungs, Dievs.
12 Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
Atkal Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
13 “Mwanadamu, wakati nchi itakapo asi dhidi yangu kwa kufanya dhambi ili kwamba ninyooshe mkono wangu dhidi yake na kuvunja tegemea la mkate wake, na kuleta njaa juu yake na kukata mnyama kutoka kwenye nchi;
Cilvēka bērns, kad kāda zeme pret Mani apgrēkojās un no Manis atkāpjas, tad Es izstiepšu Savu roku pret viņu un viņai atņemšu maizes padomu un tai sūtīšu badu un izdeldēšu no tās cilvēkus un lopus.
14 kisha hata kama hawa watu watatu-Nuhu, Danieli, na Ayubu-walikuwa katikati ya nchi, wangeweza kuokoa maisha yao wenyewe kwa haki-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Jebšu šie trīs vīri, Noa, Daniēls un Ījabs būtu viņas vidū, tad tie caur savu taisnību tikai izglābtu savas dvēseles, saka Tas Kungs Dievs.
15 Kama nikileta wanyama waovu kwenye nchi na kuwafanya wasizae hivyo basi itakuwa hakuna mtu asiweze kupita kwa sababu ya hao wanyama,
Un ja Es sūtītu niknus zvērus tai zemē, ka tā paliktu bez ļaudīm un par tuksnesi un to zvēru dēļ neviens tur nestaigātu,
16 kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
Un šie trīs vīri būtu viņas vidū, - tik tiešām kā Es dzīvoju, saka Tas Kungs Dievs, tie neizglābtu nedz dēlus nedz meitas; tie paši vien izglābtos, bet tā zeme paliktu par tuksnesi.
17 Au nikileta upanga juu ya hiyo nchi na kusema, 'Upanga, nenda kwenye nchi na wakate wote mtu na mnyama kutoka huo',
Jeb kad Es zobenu sūtītu pār šo zemi un sacītu: zoben, ej pa to zemi! Un Es no tās izdeldētu cilvēkus un lopus,
18 kisha hata kama hawa watu watatu watakuwa katikatai ya nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa japo watoto wao wala binti; ila tu maisha yao wenyewe yangeokolewa.
Jebšu tie trīs vīri būtu viņas vidū, tik tiešām kā Es dzīvoju, saka Tas Kungs Dievs, tie neizglābtu nedz dēlus nedz meitas, bet paši vien izglābtos.
19 Au kama nikipeleka tauni juu ya nchi na kumwaga dhahabu yangu juu yake kwa damu, ili kuwakata mtu na mnyama,
Jeb kad Es mēri sūtītu šai zemē, un pār to izgāztu savu bardzību ar asinīm, un izdeldētu no tās cilvēkus un lopus,
20 kisha hata kama Nuhu, Danieli, na Ayubu wangekuwa kwenye hiyo nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuokoa hata watoto wao au binti; maisha yao pekee yangeokoka kwa haki.
Jebšu Noa, Daniēls un Ījabs būtu viņas vidū, tik tiešām kā Es dzīvoju, saka Tas Kungs Dievs, tie neizglābtu nedz dēlus nedz meitas, bet caur savu taisnību tie izglābtu tikai savu dvēseli.
21 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: hakika nitafanya mambo makali sana kwa kuleta adhabu zangu nne-njaa, upanga, wanyama wa porini, na tauni-juu ya Yerusalemu kuwakata wote mtu na mnyama kutoka kwake.
Bet tā saka Tas Kungs Dievs: jebšu Es pret Jeruzālemi sūtīšu Savas četras sodības, zobenu un badu un niknus zvērus un mēri, un izdeldēšu cilvēkus un lopus no turienes,
22 Kisha, tazama! mabaki yatasalia kwake, watakaokoka wataenda pamoja na wana na binti. Tazama! Watawatokea, na mtaona njia zao na matendo yao yakiwafariji kuhusu adhabu niliyoipeleka Yerusalemu, na kuhusu kila kitu kingine ambacho nilichopeleka juu ya nchi.
Tomēr redzi, tur atliks kādi izglābti, kas taps izvesti, dēli un meitas; redzi, tie nāks pie jums, un jūs redzēsiet, kā tiem klājās un ko tie dara, un tapsiet iepriecināti pār to ļaunumu, ko Es esmu vedis pār Jeruzālemi ar visu to citu, ko Es pār to esmu vedis.
23 Waliokoka watawafariji ninyi mtakapoona njia zao na matendo yao, hivyo mtayajua haya mambo niliyoyafanya juu yake, kwamba sijayafanya bure! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Tie jūs iepriecinās, kad jūs redzēsiet, kā tiem klājās un ko tie dara, un jūs redzēsiet, ka Es neesmu darījis bez iemesla, ko Es tur esmu darījis, saka Tas Kungs Dievs.

< Ezekieli 14 >