< Ezekieli 14 >

1 Baadhi ya viongozi wa Israeli wakaja kwangu na kuketi mbele yangu.
And he came to me men from [the] elders of Israel and they sat down before me.
2 Ndipo neno la Yahwe likanijia, likisema,
And it came [the] word of Yahweh to me saying.
3 “Mwanadamu, hawa watu wamchukua sanamu zao kwenye mioyo yao na kuweka pingamizi la uovu wao mbele ya nyuso zao wenyewe. Je naweza kuulizwa yote na wao?
O son of humankind the men these they have brought up idols their on heart their and [the] stumbling block of iniquity their they have put before faces their ¿ really will I let myself be consulted by them.
4 Kwa hiyo watangazie hivi na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kila mtu wa nyumba ya Israeli achukuaye sanamu moyoni mwake, au awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake, na kisha yule ajaye kwa nabii-Mimi, Yahwe, nitamjibu kulingana na sanamu zake.
Therefore speak with them and you will say to them thus he says - [the] Lord Yahweh a person a person from [the] house of Israel who he will bring up idols his to heart his and [the] stumbling block of iniquity his he will put before face his and he will go to the prophet I Yahweh I will let myself give an answer to him (he came *QK) by [the] multitude of idols his.
5 Nitafanya hivi ili kwamba niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao ambayo ilikuwa mbali nami kwa ajili ya sanamu zao.'
So as to capture [the] house of Israel by heart their who they have become estranged from with me by idols their all of them.
6 Kwa hiyo sema kwa nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote.
Therefore say - to [the] house of Israel thus he says [the] Lord Yahweh turn back and turn away from with idols your and from with all abominations your turn away faces your.
7 Kwa kuwa kila mmoja kutoka kwenye nyumba ya Israeli na kila mmoja wa wageni wanaoishi katika Israeli ajitengaye nami, achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe, na kisha yule ajaye kwa nabii kunitafuta-mimi, Yahwe, nitamjibu mimi mwenyewe.
For a person a person from [the] house of Israel and from the sojourner who he sojourns in Israel so he may separate himself from after me and he will bring up idols his to heart his and [the] stumbling block of iniquity his he will put before face his and he will go to the prophet to consult to him me I Yahweh [will] let myself give an answer to him by myself.
8 Hivyo nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu na kumfanya ishara na mithali, kwa kuwa nitamkata kutoka kati ya watu wangu, na mtajua kuwa mimi ni Yahwe.
And I will set face my on the person that and I will make him into a sign and into bywords and I will cut off him from among people my and you will know that I [am] Yahweh.
9 Kama nabii atadanganywa na kuongea ujumbe, kisha Mimi Yahwe, nitamdanganya huyo nabii; Nitanyoosha mkono wangu na kumwangamizaku toka kati watu wangu Israeli.
And the prophet if he will be deceived and he will speak a word I Yahweh I have deceived the prophet that and I will stretch out hand my on him and I will destroy him from among people my Israel.
10 Watabeba uovu wao wenyewe; uwovu wa nabii utakua uleule kama uovu wa yule aulizaye kutoka kwake.
And they will bear iniquity their as [the] iniquity of the enquirer as [the] iniquity of the prophet it will be.
11 Kwa sababu hiyo basi, nyumba ya Israeli haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi wala kujinajisi wenyewe kupitia dhambi zao zote. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”'
So that not they will wander again [the] house of Israel from after me and not they will make themselves unclean again by all transgressions their and they will become for me a people and I I will become for them God [the] utterance of [the] Lord Yahweh.
12 Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
And it came [the] word of Yahweh to me saying.
13 “Mwanadamu, wakati nchi itakapo asi dhidi yangu kwa kufanya dhambi ili kwamba ninyooshe mkono wangu dhidi yake na kuvunja tegemea la mkate wake, na kuleta njaa juu yake na kukata mnyama kutoka kwenye nchi;
O son of humankind a land if it will sin to me by acting unfaithfully unfaithfulness and I will stretch out hand my on it and I will break of it staff of bread and I will send on it famine and I will cut off from it humankind and animal[s].
14 kisha hata kama hawa watu watatu-Nuhu, Danieli, na Ayubu-walikuwa katikati ya nchi, wangeweza kuokoa maisha yao wenyewe kwa haki-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
And they will be [the] three the men these in [the] midst of it Noah (Daniel *QK) and Job they by righteousness their they will deliver own life their [the] utterance of [the] Lord Yahweh.
15 Kama nikileta wanyama waovu kwenye nchi na kuwafanya wasizae hivyo basi itakuwa hakuna mtu asiweze kupita kwa sababu ya hao wanyama,
If animal[s] wild I will cause to pass in the land and it will make childless it and it will be a desolation because not [one who] passes by because of the animal[s].
16 kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
[the] three The men these [will be] in [the] midst of it [by] [the] life of me [the] utterance of [the] Lord Yahweh if sons and if daughters they will deliver they to alone them they will be delivered and the land it will be a desolation.
17 Au nikileta upanga juu ya hiyo nchi na kusema, 'Upanga, nenda kwenye nchi na wakate wote mtu na mnyama kutoka huo',
Or a sword I will bring on the land that and I will say a sword let it pass in the land and I will cut off from it humankind and animal[s].
18 kisha hata kama hawa watu watatu watakuwa katikatai ya nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa japo watoto wao wala binti; ila tu maisha yao wenyewe yangeokolewa.
And [the] three the men these [will be] in [the] midst of it [by] [the] life of me [the] utterance of [the] Lord Yahweh not they will deliver sons and daughters for they to alone them they will be delivered.
19 Au kama nikipeleka tauni juu ya nchi na kumwaga dhahabu yangu juu yake kwa damu, ili kuwakata mtu na mnyama,
Or pestilence I will send against the land that and I will pour out rage my on it by blood to cut off from it humankind and animal[s].
20 kisha hata kama Nuhu, Danieli, na Ayubu wangekuwa kwenye hiyo nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuokoa hata watoto wao au binti; maisha yao pekee yangeokoka kwa haki.
And Noah (Daniel *QK) and Job [will be] in [the] midst of it [by] [the] life of me [the] utterance of [the] Lord Yahweh if a son if a daughter they will deliver they by righteousness their they will deliver own life their.
21 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: hakika nitafanya mambo makali sana kwa kuleta adhabu zangu nne-njaa, upanga, wanyama wa porini, na tauni-juu ya Yerusalemu kuwakata wote mtu na mnyama kutoka kwake.
For thus he says [the] Lord Yahweh indeed? if [the] four judgments my - harmful sword and famine and animal[s] wild and pestilence I will send against Jerusalem to cut off from it humankind and animal[s].
22 Kisha, tazama! mabaki yatasalia kwake, watakaokoka wataenda pamoja na wana na binti. Tazama! Watawatokea, na mtaona njia zao na matendo yao yakiwafariji kuhusu adhabu niliyoipeleka Yerusalemu, na kuhusu kila kitu kingine ambacho nilichopeleka juu ya nchi.
And there! it will be left in it an escaped remnant about to be led out sons and daughters there they [are] about to come out to you and you will see conduct their and practices their and you will be comforted on the calamity which I have brought on Jerusalem all that I have brought on it.
23 Waliokoka watawafariji ninyi mtakapoona njia zao na matendo yao, hivyo mtayajua haya mambo niliyoyafanya juu yake, kwamba sijayafanya bure! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
And they will comfort you if you will see conduct their and practices their and you will know that not without cause I have done all that I have done in it [the] utterance of [the] Lord Yahweh.

< Ezekieli 14 >