< Ezekieli 10 >

1 Nilipokuwa nikingalia mbele ya anga ambalo liliyokuwa juu ya vichwa vya kerubi; kitu kikawatokea juu yao kama rangi ya samawati mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi.
Og jeg skuede og se, over Hvælvingen over Kerubernes Hoveder var der noget som Safir; noget ligesom en Trone viste sig over dem.
2 Kisha Yahwe akaongea na yule mtu alikuwa maevaa nguo za kitani na kusema, “Nenda kati ya magurudumu chini ya kerubi, na jaza mikono yako yote na watawanye juu ya mji.” Kisha yule mtu akaenda ndani nikiwa natazama.
Saa sagde han til Manden i det linnede Klædebon: »Gaa ind mellem Hjulene under Keruberne og tag Hænderne fulde af glødende Kul fra Rummet mellem Keruberne og strø det ud over Byen!« Og jeg saa ham gaa derhen.
3 Kerubi likasimama juu ya upande wa kulia wa nyumba wakati yule mtu alipoingia, na wingu likaja a ndani ya uzio.
Keruberne stod sønden for Templet, da Manden gik derhen, og Skyen fyldte den indre Forgaard.
4 Utukufu wa Yahwe ukainuka kutoka kwenye kerubi na kusimama kwenye kizingiti cha nyumba. Ukaijaza nyumaba kwa wingu, na uzio ulikuwa umejaa nuru ya utukufu wa Yahwe.
Og HERRENS Herlighed hævede sig fra Keruberne og flyttede sig hen til Templets Tærskel; da fyldtes Templet af Skyen, og Forgaarden fyldtes af HERRENS Herligheds Glans.
5 Sauti ya mabawa ya kerubi ikasikika kwa mbali nje ya uzio, kama sauti ya Mungu mwenyezi wakati akiwa anaongea.
Og Suset af Kerubernes Vinger hørtes helt ud i den ydre Forgaard som Gud den Almægtiges Røst, naar han taler.
6 Ikawa kuhusu, Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema, “Chukua moto kutoka kwenye ya kerubi,” yule mtu akaenda na kusimama karibu na gurudumu.
Saa bød han Manden i det linnede Klædebon: »Tag Ild fra Rummet mellem Hjulene, inde mellem Keruberne!« Og Manden stillede sig hen ved Siden af det ene Hjul
7 Kerubi akaunyoosha mkono wake kwenye kerubi kwenye moto uliokuwa miongoni mwa kerubi, na kuiacha juu na kuiweka kwenye mikono ya yule mtu aliyekuwa amevaa vazi la kitani. Yule mtu akaichukua na kurudi.
og rakte Haanden ind i Ilden, som brændte mellem Keruberne, og kom ud med noget deraf.
8 Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao.
Under Kerubernes Vinger saas noget, der lignede en Menneskehaand;
9 Hivyo nikaona, na tazama! Magurudumu manne yalikuwa karibu na kerubi-gurudumu moja karibu na kila kerubi-na mwonekano wa hayo magurudumu ulikuwa kama jiwe la zabarajadi.
og jeg skuede, og se, der var fire Hjul ved Siden af Keruberne, eet ved hver Kerub, og Hjulene var som funklende Krysolit at se til.
10 Mwonekano wake ulikuwa unaofanana kama wa wote wanne, kama gurudumu lililokuwa kwenye gurudumu lingine.
De saa alle fire ens ud, og det var, som om der i hvert Hjul var et andet Hjul,
11 wakati walipokuwa wakitembea, walienda katika pande zote nne bila kugeuka katika kwenye njia nyingine. Badala yake, popote kichwa kilipoelekea, walilifuata. Hawakugeuka kwenye njia yeyote nyingine walipokuwa wakienda.
De kunde gaa til alle fire Sider de vendte sig ikke, naar de gik. Thi de gik i den Retning, den forreste vendte, og de vendte sig ikke, naar de gik.
12 Mwili wao wote-pamoja na migongo yao, mikono yao, na mabawa yao-vilikuwa vimefunikwa kwa macho, na macho kufunika magurudumu manne kuzunguka pote pia.
Hele deres Legeme, Ryg, Hænder og Vinger og ligeledes Hjulene var fulde af Øjne rundt om; saaledes var det med alle fire Hjul.
13 Nilikuwa nasikia, magurudumu yalikuwa yakiita, “Kuzunguka.”
Og jeg hørte, at Hjulene kaldtes Galgal.
14 Walikuwa na nyuso nne kila moja; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mtu, uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa malaika.
Hver af dem havde fire Ansigter; det ene var et Kerubansigt, det andet et Menneskeansigt, det tredje et Løveansigt og det fjerde et Ørneansigt.
15 Kisha makerubi-hawa walikuwa viumbe hai nilivyokuwa nimeviona karibu na Keberi Kanali-wakainuka juu.
Og Keruberne hævede sig i Vejret. Det var det samme levende Væsen, jeg saa ved Floden Kebar.
16 Popote makerubi walipoenda, magurudumu yalienda karibu nao, na popote makerubi walipoinua juu mabawa yao kupaa juu kutoka kwenye nchi, magurudumu hayakugeuka. Yaliendelea kuwa karibu nao.
Naar Keruberne gik, gik ogsaa Hjulene ved Siden af, og naar Keruberne løftede Vingerne for at hæve sig fra Jorden, vendte Hjulene sig ikke fra dem;
17 Wakati makerubi waliposimama, magurudumu yalisimama pia, na wakati walipoinuka juu, magurudumu yaliinuka juu pamoja nao, kwa kuwa roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu.
naar de standsede, standsede ogsaa de; og naar de hævede sig, hævede de sig med, thi Væsenets Aand var i dem.
18 Kisha utukufu wa Yahwe ukaja kutoka juu ya kizingiti cha nyumba na kusimama juu ya kerubi.
Saa forlod HERRENS Herlighed Templets Tærskel og stillede sig over Keruberne.
19 Lile kerubi likaacha juu mabawa na kuinuka kutoka kwenye jicho langu wakati walipotoka nje, na yale magurudumu yakafanya vivyo hivyo karibu yao. Wakasimama upande wa mashariki kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, na utukufu wa Mungu wa Israeili ukaja juu yao kutoka juu.
Og jeg saa, hvorledes Keruberne løftede Vingerne og hævede sig fra Jorden, da de gik, og Hjulene med dem; og de standsede ved Indgangen til HERRENS Hus's Østport, og Israels Guds Herlighed var oven over dem.
20 Hawa walikuwa viumbe hai ambao niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na Kebari Kanali, hivyo nilijua kwamba walikuwa makerubi!
Det var det samme levende Væsen, jeg saa under Israels Gud ved Floden Kebar; og jeg skønnede, at det var Keruber.
21 Walikuwa na macho manne kila mmoja na mabawa manne, na mfanano wa nyuso zao zilikuwa na mfanano wa mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao,
Hver af dem havde fire Ansigter og fire Vinger og noget ligesom Menneskehænder under Vingerne.
22 na mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama nyuso nilizokuwa nimeziona kwa maono huko Keberi Kanali, na kila mmoja wao alienda mbele.
Og deres Ansigter var ligesom de Ansigter, jeg saa ved Floden Kebar. De gik alle lige ud.

< Ezekieli 10 >