< Ezekieli 1 >

1 Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, na siku ya tano ya mwezi, ikawa kuhusu kwamba nilikuwa nikiishi miongoni mwa wafungwa karibu na Kebari Kanali. Mbingu zilifunguka, na kuona maono ya Mungu.
I stało się w trzydziestym roku, w czwartym [miesiącu], piątego [dnia] tego miesiąca, gdy byłem wśród uprowadzonych nad rzeką Kebar, że otworzyły się niebiosa i miałem widzenie Boże.
2 Katika siku ya tano katika mwezi huo-ilikuwa mwaka wa tano wa utumwani wa Mfalme Yehoyakini-
Piątego [dnia] tego miesiąca – [był] to piąty rok od uprowadzenia do niewoli króla Jojakina;
3 Neno la Yahwe likamjia Ezekieli mwana wa Buzi kuhani, katika nchi ya Wakaldayo karibu na Keberi Kanali, na mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake hapo.
Słowo PANA doszło wyraźnie do kapłana Ezechiela, syna Buziego, w ziemi Chaldejczyków nad rzeką Kebar, a była nad nim ręka PANA.
4 Kisha nikaona, kulikuwa na upepo wa dhoruba unakuja kutoka kaskazini; wingu kubwa pamoja na moto wa nuru ndani yake na kung'aa ukizunguka ndani yake, na moto ulikuwa na rangi ya kaharabu ndani ya hilo wingu.
I spojrzałem, a oto gwałtowny wiatr nadszedł od północy, a [z nim] wielka chmura, ogień pałający oraz blask dokoła niego, a z jego środka [widoczne było] coś jakby blask bursztynu – ze środka ognia.
5 Katikati kulikuwa na viumbe vinne vinavyofanana. Mwonekano wao ulikuwa hivi: walikuwa wanamfanano wa mtu,
Także ze środka [ukazało się] coś na kształt czterech istot żywych. A wyglądały tak: miały one postać człowieka.
6 lakini walikuwa na sura nne kila mmoja, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
Każda z nich miała po cztery twarze i każda po cztery skrzydła.
7 Miguu yao ilikuwa imenyooka, lakini nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za ndama zilizokuwa zinang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
Ich nogi były proste, a ich stopy jak stopy u cielca; lśniły jak polerowany brąz.
8 Bado walikuwa na mikono ya binadamu chini ya mabawa yao chini kwenye pande zote nne. Kwa wote wanne, nyuso zao na mabawa vilikuwa hivi:
Pod skrzydłami, po czterech bokach, [miały] ręce ludzkie; a one cztery miały twarze i skrzydła.
9 mabawa yao yalikuwa yameungana na kiumbe kingine, na hawakurudi walipokuwa wameenda; badala yake, kila mmoja alienda mbele.
Ich skrzydła były złączone jedno z drugim; gdy szły, nie odwracały się, ale każda [istota] szła prosto przed siebie.
10 Mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama uso wa mwanadamu. Wanne hao walikuwa na uso wa simba kwa upande wa kuume. Hao wanne pia walikuwa na uso wa tai.
A ich twarze miały [taki] wygląd: wszystkie cztery miały [z przodu] twarz ludzką, z prawej strony – twarz lwa, z lewej strony wszystkie cztery [miały] twarze wołu, a także [z tyłu] miały wszystkie twarz orła.
11 Nyuso zao zilikuwa hivyo, na mabawa yao yalikuwa yametawanyika juu, hivyo basi kila kiumbe kilikuwa na jozi ya za mabawa yaliyokuwa yameshikamana na bawa la kiumbe kingine, na pia jozi za mabawa yaliyokuwa yamefunika miili yao.
A ich twarze i skrzydła [były] rozwinięte ku górze; dwa skrzydła każdej [istoty] łączyły się ze sobą, a dwa okrywały ich ciało;
12 Kila mmoja alienda mbele, hivyo basi popote Roho alipowaelekeza kwanda, walienda bila kurudi.
A każda z istot szła prosto przed siebie. Dokądkolwiek duch zmierzał, tam szły, a gdy szły, nie odwracały się.
13 Kama kwa mfanano wa hao viumbe hai, mwonekano wao ulikuwa ni kama kuchoma kaa la moto, kama mwonekano wa nuru; mng'ao wa moto pia ulihama karibu na miongoni mwa viumbe, na kulikuwa na nuru za radi.
A wygląd tych istot był taki: wyglądały jak węgle rozżarzone w ogniu, jak palące się pochodnie. Ten ogień krążył między istotami, jaśniał blaskiem, a z niego wychodziła błyskawica.
14 Hao viumbe hai vilikuwa vikihama mbio mbele na nyuma, na walikuwa na mwonekano wa radi!
Te istoty biegały tam i z powrotem jak błysk pioruna.
15 Kisha nikawatazama wale viumbe hai; kulikuwa na gurudumu moja juu ya aridhi kando ya vile viumbe hai.
A gdy się przypatrywałem tym istotom żywym, oto znajdowało się jedno koło na ziemi przy tych czterech istotach mających cztery twarze;
16 Huu ndio ulikuwa mwonekano na umbo wa hizo gurudumu: kila gurudumu lilikuwa kama zabarajadi, na manne hayo yalikuwa na mfano mmoja; mwonekano wao na umbo vilikuwa kama gurudumu lililoungana na jingine.
Wygląd tych kół i ich wykonanie były jak blask berylu i wszystkie cztery koła miały jednakowy kształt, a tak wyglądały i tak były wykonane, jakby [jedno] koło [było] w środku [drugiego] koła;
17 Wakati yale magurudumu yalipokuwa yakitembea, yalienda bila kurudi kwenye mwelekeo wowote viumbe vilipokuwa vimeelekea.
Gdy się poruszały, szły w czterech kierunkach, a idąc, nie odwracały się.
18 Kama kwa upande kingo, walikuwa warefu na wakutisha, kwa upande kingo kulikuwa na macho yamezunguka kote.
Obręcze [były] tak wysokie, że wzbudzały strach, a te cztery obręcze miały pełno oczu wokoło.
19 Popote vile viumbe hai vilipokuwa vikielekea, yale magurudumu yalielekea karibu nao. Wakati vile viumbe hai vilipoinuka kutoka kwenye nchi, na yale magurudumu yaliinuka pia.
A gdy istoty żywe szły, koła szły obok nich; gdy istoty żywe podnosiły się ponad ziemię, podnosiły się także koła.
20 Popote Roho alipokwenda, walikwenda, na yale magurudumu yaliinuka karibu nao, roho wa kiumbe hai ilikuwa magurudumu.
Dokądkolwiek zmierzał duch, tam szły – właśnie [tam], gdzie zmierzał duch; a koła podnosiły się przed nimi, bo duch istot żywych był w kołach.
21 Popote vile viumbe vilipoelekea, magurudumu pia yalielekea huko; na wakati wale viumbe viliposimama hata hivyo, magurudumu yalisimama bado; wakati viumbe viliposimama kutoka kwenye nchi, magurudumu yalisimama karibu nao, kwa sababu yule roho wa wale viumbe alikuwa kwenye magurudumu.
Gdy one szły, poruszyły się [i koła]; gdy one stawały, zatrzymywały się [i koła]; a gdy podnosiły się ponad ziemię, wraz z nimi podnosiły się też koła, bo duch istot żywych był w kołach.
22 Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfanano wa anga la kutanuka; ilikuwa inang'aa kama mfano wa barafu juu ya vichwa vyao.
Nad głowami istot żywych [było] coś na kształt sklepienia jak blask straszliwego kryształu, rozpostartego w górze nad ich głowami.
23 Chini ya anga, kila mabawa ya kiumbe kimoja yalinyooshwa mbele na kugusana kila mabawa na kiumbe kimoja. Pia kila kiumbe hai kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika vyenyewe; kila kimoja kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika mwili wake mwenyewe.
A pod sklepieniem skrzydła ich [były] podniesione, jedno z drugim [złączone]; każda [istota miała] po dwa, którymi okrywała [jedną stronę], i każda [miała] po dwa, którymi okrywała [drugą stronę] swego ciała.
24 Kisha nikasikia sauti ya mabawa yao. Kama mlio wa maji mengi. Kama sauti ya mwenye enzi popote walipoelekea. Kama sauti ya jeshi. Popote pale waliposimama, walishusha mabawa yao.
I gdy szły, słyszałem szum ich skrzydeł jak szum wielkich wód, jak głos Wszechmocnego i głos huku, jak zgiełk wojska. [A gdy] stały, opuszczały swoje skrzydła.
25 Sauti ikaja kutoka juu ya anga juu ya vichwa vyao popote waliposimama na kushusha mabawa yao.
Gdy stały i opuszczały swoje skrzydła, rozległ się głos znad sklepienia, które [było] nad ich głową.
26 Juu ya anga juu ya vichwa vyao kulikuwa na mfanao wa kiti cha enzi ambacho kilikuwa na mwonekano wa jiwe la samawati, na juu mfano wa kiti cha enzi kilifanana kama mwonekano wa mwanadamu.
A ponad sklepieniem, które było nad ich głową, było coś podobnego do tronu, z wyglądu jak kamień szafiru. I u góry, na tym, co było podobne do tronu, [znajdowało się] coś z wyglądu przypominające człowieka.
27 Nikaona umbo lenye mwonekano wa chuma chenye kung'aa pamoja na moto ndani yake kutoka kwenye mwonekano wa juu ya nyonga zake juu; Nikaona kutoka kwenye mwonekano wa nyonga zake upande wa chini mwonekano wa moto na mng'ao umezunguka kote.
I widziałem jakby kolor bursztynu niczym ogień wewnątrz niego wokoło; od jego bioder wzwyż i od jego bioder w dół widziałem coś, co wyglądało jak ogień, a wokół niego blask.
28 Kama mwonekano wa upinde wa mvua kwenye mawingu katika siku ya mvua ulikuwa na mwonekano wa taa iliyowaka imeizunguka. ulikuwa na mwonekano unaofanana na utukufu wa Yahwe. Wakati nilipouona, nilihisi kwenye uso wangu, na nikasikia sauti ikiongea.
Jak widok tęczy, która pojawia się w chmurze w dzień deszczowy, tak wyglądał blask wokoło. To [było] widzenie podobieństwa chwały PANA. A gdy [ją] zobaczyłem, upadłem na twarz i usłyszałem głos mówiącego.

< Ezekieli 1 >