< Kutoka 6 >

1 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Sasa utaona nitakacho fanya kwa Farao. Utaona hili, kwa kuwa ata waacha waenda kwa mkono wangu hodari. Kwasababu ya mkono wangu hodari, ata waondoa nje ya nchi.”
Adonai said to Moses [Drawn out], “Now you shall see what I will do to Pharaoh, for by a strong hand he shall let them go, and by a strong hand he shall divorce them out of his land.”
2 Mungu akasema na Musa na kumwambia, “Mimi ni Yahweh.
God spoke to Moses [Drawn out], and said to him, “I am Adonai;
3 Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo kama Mungu mwenye nguvu; lakini kwa jina langu, Yahweh, sikujuliikana kwao.
and I appeared to Abraham [Father of a multitude], to Isaac [Laughter], and to Jacob [Supplanter], as El Shaddai [God Almighty]; but by my name Adonai I was not known to them.
4 Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
I have also established my covenant ·binding contract between two or more parties· with them, to give them the land of Canaan [Humbled], the land of their travels, in which they lived as aliens.
5 Zaidi ya yote, nimesikia kilio cha Waisraeli ambao wa Misri wame wa chukua watumwa, na nimekumbuka agano langu.
Moreover I have sh'ma ·heard obeyed· the groaning of the children of Israel [God prevails], whom the Egyptians [people from Abode of slavery] keep in bondage, and I have remembered my covenant.
6 Kisha basi, sema kwa Waisraeli, 'Mimi ni Yahweh. Nitawatoa kwenye utumwa chini ya wa Misri, na kuwaweka huru na nguvu zao. Nitawaokoa kwa kudhihirisha nguvu zangu, na kwa matendo ya ajabu ya hukumu.
Therefore tell the children of Israel [God prevails], ‘I am Adonai, and I will bring you out from under the burdens of the Egyptians [people from Abode of slavery], and I will rid you out of their bondage, and I will redeem you with an outstretched arm, and with great judgments:
7 Nitawaleta kwangu kama watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu. Mtajua kuwa mimi ndiye Yahweh Mungu wenu, aliye watoa kwenye utumwa chini ya wa Misri.
and I will take you to be my people, and I will be your God; and you shall know that I am Adonai your God, who brings you out from under the burdens of the Egyptians [people from Abode of slavery].
8 Nitawaleta kwenye nchi niliyo muahidi kumpa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Nitawapa kama mali yenu. Mimi ni Yahweh.”'
I will bring you into the land which I swore to give to Abraham [Father of a multitude], to Isaac [Laughter], and to Jacob [Supplanter]; and I will give it to you for a heritage: I am Adonai.’”
9 Musa alipo waambia haya Waisraeli, hawakumsiliza kwasababu ya mateso magumu ya utumwa wao.
Moses [Drawn out] spoke so to the children of Israel [God prevails], but they didn’t sh'ma ·hear obey· unto Moses [Drawn out] for anguish of spirit, and for cruel bondage.
10 Hivyo Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia,
Adonai spoke to Moses [Drawn out], saying,
11 “Nenda umwambie Farao, mfalme wa Misri, awaache watu wa Israeli waondoke kwenye nchi yake.”
“Go in, speak to Pharaoh king of Egypt [Abode of slavery], that he let the children of Israel [God prevails] go out of his land.”
12 Musa akamwambia Yahweh, “Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi, kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?”
Moses [Drawn out] spoke before Adonai, saying, “Behold, the children of Israel [God prevails] haven’t sh'ma ·heard obeyed· unto me. How then shall Pharaoh listen to me, who am of uncircumcised lips?”
13 Yahweh akasema na Musa na Aruni. Akawapa amri ya Waisraeli na Farao, mfalme wa Misri, awatoe Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
Adonai spoke to Moses [Drawn out] and to Aaron [Light-bringer], and gave them a enjoin to the children of Israel [God prevails], and to Pharaoh king of Egypt [Abode of slavery], to bring the children of Israel [God prevails] out of the land of Egypt [Abode of slavery].
14 Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao: wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Rubeni.
These are the heads of their fathers’ houses. The sons of Reuben [See, a son!] the firstborn of Israel [God prevails]: Hanoch, and Pallu, Hezron, and Carmi; these are the families of Reuben [See, a son!].
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli - mwana wa mwanamke wa Kanani. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Simeoni.
The sons of Simeon [Hearing]: Jemuel, and Jamin, and Ohad, and Jachin, and Zohar, and Shaul [Asked for] the son of a Canaanite [Descendant of Humbled] woman; these are the families of Simeon [Hearing].
16 Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137.
These are the names of the sons of Levi [United with] according to their generations: Gershon, and Kohath, and Merari; and the years of the life of Levi [United with] were one hundred thirty-seven years.
17 Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei.
The sons of Gershon: Libni and Shimei, according to their families.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133.
The sons of Kohath: Amram, and Izhar, and Hebron, and Uzziel; and the years of the life of Kohath were one hundred thirty-three years.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hawa walikuja kuwa mababu wa ukoo wa Walawi, pamoja na uzao wao.
The sons of Merari: Mahli and Mushi. These are the families of the Levites [Descendants of United with] according to their generations.
20 Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa.
Amram took Jochebed his father’s sister to himself as wife; and she bore him Aaron [Light-bringer] and Moses [Drawn out]: and the years of the life of Amram were a hundred and thirty-seven years.
21 Wana wa Izhari walikuwa Kora, Nefegi, na Zikri.
The sons of Izhar: Korach [Bald one, Frost], and Nepheg, and Zichri.
22 Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elizafani na Sithri.
The sons of Uzziel: Mishael, and Elzaphan, and Sithri.
23 Aruni alimuoa Elisheba, binti wa Aminadabu, dada wa Nashoni. Alimzaa Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
Aaron [Light-bringer] took Elisheba, the daughter of Amminadab, the sister of Nahshon, as his wife; and she bore him Nadab and Abihu, Eleazar [Help of God] and Ithamar.
24 Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasa. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Wakora.
The sons of Korach [Bald one, Frost]: Assir, and Elkanah, and Abiasaph; these are the families of the Korahites.
25 Eleazari, mwana wa Aruni, alimuoa mmoja wa mabinti Wa Putieli. Alimzalia Fineazi. Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao miongoni mwa Walawi, pamoja na uzao wao.
Eleazar [Help of God] Aaron [Light-bringer]’s son took one of the daughters of Putiel as his wife; and she bore him Pinchas [Bronze skin]. These are the heads of the fathers’ houses of the Levites [Descendants of United with] according to their families.
26 Hawa wanaume wawili walikuwa Musa na Aruni ambao Yahweh alisema, “Waleteni Waisraeli kutoka nchi ya Misri, kwa makundi ya wanaume wapiganaji.”
These are that Aaron [Light-bringer] and Moses [Drawn out], to whom Adonai said, “Bring out the children of Israel [God prevails] from the land of Egypt [Abode of slavery] according to their armies.”
27 Aruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Aruni wale wale.
These are those who spoke to Pharaoh king of Egypt [Abode of slavery], to bring out the children of Israel [God prevails] from Egypt [Abode of slavery]. These are that Moses [Drawn out] and Aaron [Light-bringer].
28 Pale Yahweh alipo zungumza na Musa katika nchi ya Misri,
On the day when Adonai spoke to Moses [Drawn out] in the land of Egypt [Abode of slavery],
29 alimwambia, “Mimi ni Yahweh. Sema kwa Farao, mfalme wa MIsri, kila kitu nitacho kwambia.”
Adonai spoke to Moses [Drawn out], saying, “I am Adonai. Speak to Pharaoh king of Egypt [Abode of slavery] all that I speak to you.”
30 Lakini Musa alimwambia Yahweh, “Mimi sio mzuri wa kuongea, hivyo kwanini Farao anisikilize mimi?”
Moses [Drawn out] said before Adonai, “Behold, I am of uncircumcised lips, and how shall Pharaoh sh'ma ·hear obey· unto me?”

< Kutoka 6 >