< Kutoka 40 >

1 Kisha Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
Entonces Yavé habló a Moisés:
2 “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka lazima wewe uandae hema la kukutania.
El primer día del mes primero ordenarás levantar el Tabernáculo de Reunión.
3 Utaweka sanduku la ushuhuda ndani yake, na utaziba sanduku kwa pazia.
Pondrás allí el Arca del Testimonio y la ocultarás con el velo.
4 Utaleta ndani meza na kuandaa kwa mpangilio vitu vyake. Kisha utaleta kinara cha taa na kuandaa taa.
Introducirás la mesa, arreglarás sus utensilios, pondrás el candelabro y mandarás encender sus lámparas.
5 Nawe utaweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba mbele ya sanduku la ushuhuda, na utaweka pazia katika mwingilio wa hema la kukutania.
Luego pondrás el altar de oro para el incienso frente al Arca del Testimonio, y pondrás la cortina en la entrada del Tabernáculo.
6 Utaweka madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa mbele ya mwingilio wa hema ya kukutania.
Pondrás el altar del holocausto después de la entrada al Tabernáculo de Reunión.
7 Utaweka ile saani kubwa katikati ya hema la kukutania na madhabahu na utaweka maji ndani yake.
Pondrás la fuente entre la entrada al Tabernáculo de Reunión y el altar, y echarás agua en ella.
8 Uandae nyuani inayoizunguka, na utundike pazia katika mwingilio wa nyuani.
Arreglarás el patio alrededor, y colgarás la cortina de la entrada al patio.
9 Lazima uchukuwe mafuta ya upako na upake hema la kukutania na kila kitu kilichopo ndani yake. Lazima uitenge na samani zake kwangu; kisha itakuwa takatifu.
Tomarás el aceite de la unción y ungirás el Tabernáculo y todo lo que hay en él. Así lo consagrarás junto con todos sus utensilios, y será sagrado.
10 Lazima upake mafuta madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake. Lazima utenge madhabhu kwa ajili yangu na itakuwa takatifu kwangu.
Ungirás también el altar del holocausto y todos sus utensilios, y santificarás el altar. El altar será santísimo.
11 Upake mafuta beseni la shaba na sakafu yake na uitenge kwa ajili yangu.
También ungirás la fuente y su basa y la consagrarás.
12 Umlete Aruni na wanae kwa mwingilio wa hema la kukutania na uwaoshe wote kwa maji.
En seguida ordenarás que Aarón y sus hijos se acerquen a la entrada del Tabernáculo de Reunión, y los lavarás con agua.
13 Utamfunika Aruni kwa mavazi yaliyo tengwa kwa ajili yangu, mpake mafuta na umtenge ili anitumikie kama kuhani.
Vestirás a Aarón las ropas sagradas, lo ungirás y lo consagrarás para que sea mi sacerdote.
14 Utawaleta wana wake na kuwafunika kwa nguo nzito.
Ordenarás que se acerquen sus hijos, les pondrás las túnicas
15 Utawapaka mafuta kama ulivyo mpaka baba yao ili wanitumikie kama makuhani. Upako wao utawafanya makuhani wa kudumu vizazi vyote vya watu wao.”
y los ungirás como ungiste a su padre. Serán mis sacerdotes. Su unción les servirá como sacerdocio perpetuo para sus generaciones.
16 Hivi ndivyo Musa alivyo sema; alifuata yote Yahweh aliyo muamuru. Alifanya vitu vyote hivi.
Moisés hizo conforme a todo lo que Yavé le ordenó. Así lo hizo.
17 Hivyo hema la kukutania liliandaliwa siku ya kwanza ya mwezi wa mwaka wa pili.
Aconteció que el Tabernáculo fue levantado el primer día del primer mes del segundo año.
18 Musa alianda hema la kukutania, akaeka sakafu zake sehemu yake, akaanda fremu zake, akashikisha chuma zake, na akaanda minara na nguzo zake.
Moisés ordenó levantar el Tabernáculo. Asentó sus basas, puso sus tablones, metió sus travesaños y ordenó levantar sus columnas.
19 Alitandaza mfuniko juu ya hema la kukutania na kuweka hema juu yake, kama Yahweh alivyo muamuru.
Extendió la tienda sobre el Tabernáculo, y puso el cobertor de la tienda encima de él, como Yavé ordenó a Moisés.
20 Alichukuwa amri za agano na kuweka kwenye sanduku. Pia aliweka nguzo kwenye sanduku na kuweka mfuniko wa kiti cha rehema.
Después tomó el Testimonio y lo puso dentro del Arca, colocó las varas en el Arca y puso el Propiciatorio encima del Arca.
21 Aliichukuwa sanduku na kuweka ndani ya hema la kukutania. Aliandaa pazia ili lizibe sanduku la ushuhuda, kama Yahweh alivyo muamuru.
Introdujo el Arca en el Tabernáculo, y puso el velo de separación. De este modo ocultó el Arca del Testimonio, como Yavé ordenó a Moisés.
22 Alieka meza kwenye hema la kukutania, kwa upande wa kaskazini mwa hema la kukutania, nje ya pazia.
Luego puso la mesa en el Tabernáculo de Reunión, al lado norte del Tabernáculo, fuera del velo,
23 Alieka mkate kwa mpangilio katika meza ya Yahweh, kama Yahweh alivyo amuru.
y puso en orden sobre ella los panes delante de Yavé, como Yavé ordenó a Moisés.
24 Alieka kinara cha taa kwenye hema la kukutania, upande wa pili wa meza, kusini mwa hema la kukutani.
Luego puso el candelabro en el Tabernáculo de Reunión enfrente de la mesa, al lado sur del Tabernáculo,
25 Aliwasha taa mbele za Yahweh, kama Yahweh alivyo muamuru.
y ordenó encender las lámparas delante de Yavé, como Yavé ordenó a Moisés.
26 Aliweka madhabahu ya dhahabu ya uvumba ndani ya hema la kukutania mbele ya pazia.
Luego puso el altar de oro dentro del Tabernáculo de Reunión delante del velo,
27 Alichoma uvumba wa manukato hapo, kama Yahweh alivyo muamuru.
y quemó incienso aromático sobre él, como Yavé ordenó a Moisés.
28 Alitundika pazia katika hema ya kukutania.
Puso también la cortina en la entrada al Tabernáculo,
29 Aliweka madhabahu ya sadaka ya kuteketeza katika hema ya kukutania. Aliitolea sadaka ya kuteketeza na sadaka ya unga, kama Yahweh alivyo muamuru.
puso el altar del holocausto en la entrada del Tabernáculo de Reunión y ofreció holocausto y ofrenda vegetal sobre él, como Yavé ordenó a Moisés.
30 Aliweka beseni katikati ya hema ya kukutunia na madhabahu, na maji ya kuoshea.
Después colocó la fuente entre la entrada al Tabernáculo de Reunión y el altar, y puso allí agua para lavarse.
31 Musa, Aruni, na wanae waliosha mikono yao na miguu kwenye beseni
Moisés y Aarón y sus hijos se lavaban sus manos y sus pies en ella.
32 muda wowote walipoenda kwenye hema ya kukutania na muda wowote walipoenda kwenye madhabahu. Walijisafisha, kama Yahweh alivyo muamuru Musa.
Siempre se lavaban cuando entraban en el Tabernáculo de Reunión y al acercarse al altar, como Yavé ordenó a Moisés.
33 Musa alianda nyuani nyuma ya hema ya kukutania na madhabahu. Alianda pazia katika mwingilio wa nyuani. Katika hili, Musa alimaliza kazi.
Finalmente, hizo levantar el patio alrededor del Tabernáculo y del altar y puso la cortina en la entrada del patio. Así acabó Moisés la obra.
34 Kisha wingu likafunika hema ya kukutania, na utukufu wa Yahweh ukafunika hema ya kukutania.
Entonces la nube cubrió el Tabernáculo de Reunión y la gloria de Yavé llenó el Tabernáculo.
35 Musa hakuweza kuingia hema ya kukutania kwasababu wingu lilikuwa juu yake, na kwasababu utukufu wa Yahweh ulijaza hema ya kukutania.
Moisés no podía entrar en el Tabernáculo de Reunión, porque la nube estaba sobre él y la gloria de Yavé llenó el Tabernáculo.
36 Muda wowote wingu lilipo chukuliwa juu kutoka hema ya kukutania, watu wa Israeli waliendelea na safari yao.
Cuando la nube se levantaba de sobre el Tabernáculo, los hijos de Israel salían en todas sus jornadas,
37 Lakini kama wingu haliku nyanyuka juu kutoka hema ya kukutania, kisha basi watu hawaku safiri. Walibaki hadi siku lilipo nyanyuliwa juu.
pero si la nube no se levantaba, no salían hasta el día cuando se levantaba,
38 Kwa kuwa wingu la Yahweh lilikuwa juu ya hema ya kukutania mchana, na moto wake ulikuwa juu yake usiku, wazi kwa watu wote wa Israeli kipindi chote cha safari yao.
porque la nube de Yavé permanecía de día sobre el Tabernáculo, y de noche había fuego en él, a la vista de toda la casa de Israel.

< Kutoka 40 >