< Kutoka 33 >

1 Yahweh anasema na Musa, “Nenda kutoka hapa, wewe na watu ulio watoa kutoka nchi ya Misri. Nenda kwenye nchi nilio fanya nadhiri na Ibrahimu, Isaka, Yakobo, nilipo sema, 'Nitakupa wewe na uzao wako'.'
And he spoke Yahweh to Moses go go up from here you and the people which you have brought up from [the] land of Egypt to the land which I swore to Abraham to Isaac and to Jacob saying to offspring your I will give it.
2 Nitatuma malaika mbele yako, na kuwaondoa Wakanani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
And I will send before you an angel and I will drive out the Canaanite[s] the Amorite[s] and the Hittite[s] and the Perizzite[s] the Hivite[s] and the Jebusite[s].
3 Nenda kwenye hiyo nchi, inayo tiririka kwa maziwa na asali, lakini sitaenda nawe, kwasababu ninyi ni watu wajehuri. Ninaweza kuwaharibu njiani.”
To a land flowing of milk and honey for not I will go up in midst your for [are] a people stiff of neck you lest I should make an end of you on the journey.
4 Watu walipo sikia haya maneno ya kushtua, walilia, na hakuna aliye vaa mikufu.
And it heard the people the word bad this and they mourned and not they placed anyone ornament[s] his on himself.
5 Yahweh alisema kwa Musa, “Waambie Waisraeli, 'Ninyi ni watu wakorofi. Kama ningeenda miongoni mwenu ata kwa muda kidogo, nigewaharibu ninyi. Hivyo sasa, toa mikufu yenu ili niamue nini cha kufanya kwenu.”'
And he had said Yahweh to Moses say to [the] people of Israel you [are] a people stiff of neck a moment one I will go up in midst your and I will make an end of you and therefore take down ornament[s] your from on yourself so let me consider what? will I do to you.
6 Hivyo Waisraeli hawaku vaa mikufu kutoka Mlima Horebu na kwendelea.
And they stripped themselves [the] people of Israel ornament[s] their from [the] mountain of Horeb.
7 Musa akachukua hema na kukita nje ya kambi, umbali kidogo na kambini. Aliita hema ya kukutania. Kila mtu alliye muuliza Yahweh kitu chochote alienda kwenye hema ya kukutania, nje ya kambi.
And Moses he took the tent and he pitched it - from [the] outside of the camp at a distance from the camp and he called it [the] tent of meeting and it was any [one who] sought Yahweh he went out to [the] tent of meeting which [was] from [the] outside of the camp.
8 Kisha Musa alipo enda kwenye hema, watu wote walisima kando ya hema yao na kumuangalia Musa hadi alipo ingia ndani.
And it was when went out Moses to the tent they arose all the people and they stood everyone [the] opening of tent his and they looked after Moses until went he the tent towards.
9 Wakati wowote Musa alipo ingia hemani, nguzo ya wingu ilishuka chini na kusimama nje ya lango la hema, na Yahweh alizungumza na Musa.
And it was when went Moses the tent towards it came down [the] pillar of cloud and it stood [the] opening of the tent and he spoke with Moses.
10 Wakati wowote watu walipo ona nguzo ya wingu imesimama langoni mwa hema, waliamka na kuabudu, kila langoni mwa hema yake.
And it saw all the people [the] pillar of cloud standing [the] opening of the tent and it arose all the people and they bowed down everyone [the] opening of tent his.
11 Yahweh alizungumza na Musa uso kwa uso, kama mtu anapo zungumza na rafiki yake. Kisha Musa alirudi kambini, lakini mtumishi wake Yoshua mwana wa Nuni, kijana, alibaki hemani.
And he spoke Yahweh to Moses face to face just as he speaks a person to companion his and he returned to the camp and servant his Joshua [the] son of Nun a young man not he departed from [the] midst of the tent.
12 Musa alisema na Yahweh, “Ona, umekuwa ukisema na mimi, 'Chukuwa watu hawa safarini,' lakini hauja niambia nani utamtuma na mimi. Umesema, 'Nina kujua kwa jina, na umepata upendeleo kwangu.'
And he said Moses to Yahweh see you [are] saying to me bring up the people this and you not you have made know me whom you will send with me and you you have said I know you by name and also you have found favor in eyes my.
13 Kama nimepata upendeleo machoni pako, nionyeshe njia zako ili nikujue na kuendelea kupata upendeleo machoni pako. Kumbuka ili taifa ni watu wako.”
And therefore if please I have found favor in eyes your show me please ways your so I may know you so that I may find favor in eyes your and consider that [is] people your the nation this.
14 Yahweh akajibu, “Uwepo wangu utaenda nawe, na nitakupa pumziko.”
And he said presence my they will go and I will give rest to you.
15 Musa akasema, “Kama uwepo wako hautaenda nasi, usitutoe hapa.
And he said to him if not presence your [is] going may not you bring up us from here.
16 Au je, itajulikanaje niimepata upendeleo machoni pako, mimi na watu wako? Haitakuwa kuwa tu kama ukienda nasi mimi na watu wako tutakuwa na utofauti na watu wengine wote waliopo katika uso wa dunia?”
And how? - will it be known then that I have found favor in eyes your I and people your ¿ not by going you with us and we will be distinguished I and people your from every people which [is] on [the] surface of the ground.
17 Yahweh akamwambia Musa, “Nitafanya pia hichi kitu ulicho niomba, kwa kuwa umepata upendeleo machoni mwangu, na nina kujua kwa jina lako.”
And he said Yahweh to Moses also the thing this which you have spoken I will do for you have found favor in eyes my and I have known you by name.
18 Musa akasema, Tafadhali nionyeshe utukufu wako.”
And he said show me please glory your.
19 Yahweh akasema, “Nitafanya wema wangu wote ujulikani kwako, na nitatangaza jina langu 'Yahweh' kwako. Nitakuwa na neema kwake nitakae kuwa na neema, na nitaonyesha rehema kwake nitakaye onyesha rehema.”
And he said I I will cause to pass by all goodness my on face your and I will proclaim [the] name of Yahweh before you and I will show favor to [those] whom I will show favor and I will have compassion on [those] whom I will have compassion.
20 Lakini Yahweh akasema, “Hauta ona uso wangu, kwa kuwa hakuna aonaye uso wangu na kuiishi.”
And he said not you will be able to see face my for not he will see me person and he will live.
21 Yahweh akasema, “Ona, hapa kuna sehemu yangu; utasimama kwenye huu mwamba.
And he said Yahweh there! a place [is] with me and you will stand on the rock.
22 Wakati utukufu wangu unapita, nitakuweka kwenye shimo kubwa la mwamba na kukufunika kwa mkono wangu mpaka nitakapo pita.
And it will be when passes by glory my and I will put you in [the] cleft of the rock and I will hold palm my over you until have passed by I.
23 Kisha nitaondoa mkono wangu, na utaona mgongo wangu, ila uso wangu hautaonekana.”
And I will remove palm my and you will see back parts my and face my not they will be visible.

< Kutoka 33 >