< Kutoka 27 >

1 Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita, urefu wake utakuwa ni dhiraa tano na upana wake dhiraa tano. Hiyo madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.
Rhining thing hmueihtuk a yun dong nga neh a daang dong nga ah saii. Hmueihtuk te hniboeng la om saeh lamtah a sang te dong thum lo saeh.
2 Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe. Hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu, nawe utayafunika kwa shaba.
Te phoeiah a ki te a kil pali ah saii pah. Te lamkah a ki aka om khaw rhohum ben thil.
3 Lazima vyombo vyake vya kuyaondoa majivu yake utavifanya, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake. Vyombo vyake vyote utavifanya vya shaba.
A duen ham a am neh a hmaisoh khaw, a baelcak neh a ciksum khaw, a baelphaih khaw saii, a hnopai boeih te rhohum mah saii.
4 Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba. Kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
Rhohum vairhuek dongkah kutngo la pahak saii lamtah vairhuek dongkah a hmoi pali ah rhohum kutcaeng pali saii pah.
5 Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu upande wa chini.
Te te hmueihtuk kong dangah a laedil la khueh lamtah vairhuek te hmueihtuk boengli hil om saeh.
6 Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.
Te phoeiah rhining thing thingpang te hmueihtuk ham a cung la saii lamtah te te rhohum ben thil.
7 Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.
A cung te kutcaeng khuila rholh lamtah hmueihtuk a koh vaengah a cung a vae rhoi ah om saeh.
8 Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake kama ulivyooneshwa mlimani.
Te te thingphael aka khui neh saii lamtah tlang ah nang n'tueng bangla saii tangloeng.
9 Nawe ufanye ua wa maskani. Upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja.
Tuithim ben ah dungtlungim vongup ham tuithim thoh te thung pah. Te vaengah vongtung hamla hnitang te a yun dong yakhat ah a hmoi pakhat la rhuih tah pah.
10 Na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
A tung pakul neh a buenhol pakul te rhohum saeh lamtah tung dongkah voei neh a yaeltlang te ngun saeh.
11 Ni vivyo hivyo upande wa kaskazini, urefu wake hiyo chandarua utakuwa ni dhiraa mia moja, na nguzo zake ishirini, na vitako vyake ishirini vitakuwa vya shaba, kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
Tlangpuei ben ah khaw thoh te a yun la a yun yakhat lo van saeh. A tung bal khaw a tung pakul neh a buenhol pakul tah rhohum vetih tung dongkah voei neh a yaeltlang te ngun saeh.
12 Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi.
Khotlak ben kah vongtung la thoh a daang dong sawmnga lo saeh. A tung parha neh a buenhol khaw parha lo saeh.
13 Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
Vongtung kah a daang te khocuk khothoeng ben ah dong sawmnga lo saeh.
14 Chandarua upande mmoja wa lango itakuwa dhiraa kumi na tano upana wake. Lazima nguzo zake zitakuwa tatu na vitako vyake vitatu.
A hlaep kah thoh te dong hlai nga vetih a tung pathum neh a buenhol khaw pathum saeh.
15 Upande wa pili ni vivyo hivyo chandarua ya dhiraa kumi na tano; nguzo zake tatu, na vitako vyake vitatu.
A pabae a hlaep ah khaw thoh dong hlai nga neh a tung pathum, a buenhol pathum om saeh.
16 Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini, kitakuwa cha nguo ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji taraza; nguzo zake zitakuwa nne, na vitako vyake vinne.
Vongtung vongka kah himbaiyan ham te dong kul ah a thim, daidi neh hlampai lingdik neh hnitang la tah pah. Kutci neh en thil lamtah a tung pali neh a buenhol pali lo saeh.
17 Nguzo zote za ule ua ziuzungukao pande zote zitakuwa na vitanzi vya fedha; kulabu zake za fedha, na vitako vyake vya shaba.
Vongup kaepvai kah tung boeih te cak neh cen saeh. A voei khaw cak saeh lamtah a buenhol te rhohum saeh.
18 Urefu wa huo ua utakuwa dhiraa mia moja, na upana wake utakuwa dhiraa hamsini kotekote, na kwenda juu kwake dhiraa tano; yawe ya nguo ya kitani nzuri, na vitako vyake vitakuwa vya shaba.
Vongtung kah a yun te dong yakhat vetih a daang dong sawmnga, sawmnga lo ni. Te vaengah a sang dong nga ah hnitang la tak saeh lamtah a buenhol tah rhohum saeh.
19 Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.
Dungtlungim kah hnopai boeih neh a thothuengnah boeih dongkah khaw, a ciphuem boeih neh vongtung hlingcong boeih te rhohum saeh.
20 awe waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta ya zeituni safi ya kupondwa kwa ajili ya nuru, ili kufanya ile taa kuwaka daima.
Namah loh Israel ca rhoek te uen lamtah hmaithoi dongah hmaivang la phat tok ham olive situi cil a sui te nang taengla hang khuen uh saeh.
21 Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.
Laipainah hmai, hniyan vongvoel kah tingtunnah dap ah te Aaron neh anih koca rhoek loh BOEIPA mikhmuh ah hlaem lamloh mincang hil te te tael uh saeh. He he Israel ca taengkah a cadilcahma ham kumhal kah khosing ni.

< Kutoka 27 >