< Kutoka 27 >

1 Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita, urefu wake utakuwa ni dhiraa tano na upana wake dhiraa tano. Hiyo madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.
Да направиш олтара от ситимово дърво, пет лакътя широк; четвъртит да бъде олтарът, и височината му да бъде три лакътя.
2 Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe. Hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu, nawe utayafunika kwa shaba.
На четирите му ъгъла да му направиш рогове; роговете да бъдат част от самия него; и да го обковеш с мед.
3 Lazima vyombo vyake vya kuyaondoa majivu yake utavifanya, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake. Vyombo vyake vyote utavifanya vya shaba.
Да му направиш и гърнета за изнасяне на пепелта и лопатите му, тасовете му, вилиците му и въглениците му; медни да направиш всичките му прибори.
4 Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba. Kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
И да му направиш медна решетка във вид на мрежа, и на четирите ъгъла на мрежата да направиш четири медни колелца.
5 Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu upande wa chini.
И да я положиш под полицата, която е около олтара отдолу, така щото мрежата да стигне до средата на олтара.
6 Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.
Да направиш и върлини за олтара, върлини от ситимово дърво, които да обковеш с мед.
7 Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.
Върлините да се проврат през колелцата, и върлините да бъдат от двете страни на олтара, за да се носи с тях.
8 Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake kama ulivyooneshwa mlimani.
Кух, от дъски, да направиш олтара посред, както ти се показа на планината, така да го направиш.
9 Nawe ufanye ua wa maskani. Upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja.
Да направиш двора на скинията; за южната страна, към пладне, да има за двора завеси от препреден висон; дължината им за едната страна да бъде сто лакътя.
10 Na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
Стълбовете му да бъдат двадесет, и медните им подложки двадесет; а куките на стълбовете и и връзките им да бъдат сребърни.
11 Ni vivyo hivyo upande wa kaskazini, urefu wake hiyo chandarua utakuwa ni dhiraa mia moja, na nguzo zake ishirini, na vitako vyake ishirini vitakuwa vya shaba, kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
Също на длъж по северната страна да има завеси дълги сто лакътя, и за тях двадесет стълба и двадесетте им медни подложки; а куките на стълбовете и връзките им да бъдат сребърни.
12 Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi.
После, за широчината на двора, на западната страна, да има петдесет лакътя завеси; за тях да има десет стълба и десетте им подложки.
13 Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
Широчината на двора на предната страна, към изток, да бъде петдесет лакътя.
14 Chandarua upande mmoja wa lango itakuwa dhiraa kumi na tano upana wake. Lazima nguzo zake zitakuwa tatu na vitako vyake vitatu.
И завесите за едната страна на входа да бъдат дълги петнадесет лакътя, и в тях три стълба и трите им подложки.
15 Upande wa pili ni vivyo hivyo chandarua ya dhiraa kumi na tano; nguzo zake tatu, na vitako vyake vitatu.
Също и за другата страна да има завеси петнадесет лакътя дълги, и за тях три стълба с трите им подложки.
16 Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini, kitakuwa cha nguo ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji taraza; nguzo zake zitakuwa nne, na vitako vyake vinne.
А за входа на двора да има покривка, дълга двадесет лакътя, везана работа от синьо, мораво, червено и препреден висон, и за тях четирите им подложки.
17 Nguzo zote za ule ua ziuzungukao pande zote zitakuwa na vitanzi vya fedha; kulabu zake za fedha, na vitako vyake vya shaba.
Всичките стълбове около двора да бъдат опасани със сребро; куките им да бъдат сребърни, а подложките им медни.
18 Urefu wa huo ua utakuwa dhiraa mia moja, na upana wake utakuwa dhiraa hamsini kotekote, na kwenda juu kwake dhiraa tano; yawe ya nguo ya kitani nzuri, na vitako vyake vitakuwa vya shaba.
Дължината на двора да е сто лакътя, широчината навсякъде петдесет лакътя, а височината пет лакътя; завесите му да са от препреден висон, и подложките на стълбовете му медни.
19 Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.
Всичките прибори на скинията, за всяка служба в нея, всичките й колове, и всичките колове на двора, да бъдат медни.
20 awe waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta ya zeituni safi ya kupondwa kwa ajili ya nuru, ili kufanya ile taa kuwaka daima.
И ти заповядай на израилтяните да ти донесат дървено масло първоток, чисто, за осветление, за да горят винаги светилата.
21 Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.
В шатъра за срещане, извън завесата, която е пред плочите на свидетелството, Аарон и синовете му да ги нареждат да горят от вечер до заран пред Господа. Това да бъде вечен закон за израилтяните във всичките им поколания.

< Kutoka 27 >