< Kutoka 17 >

1 Jamii yote ya Israeli ili safiri kutoka nyikani ya Sinu, wakifuata maelekezo ya Yahweh. Walieka kambi Refidimu, lakini hapakuwa na maji ya watu kunywa.
Toute la congrégation des enfants d'Israël partit du désert de Sin, selon l'ordre de l'Éternel, et campa à Rephidim; mais il n'y avait pas d'eau à boire pour le peuple.
2 Hivyo watu wakamlaumu Musa kwa hali yao na kusema, “Tupe maji ya kunywa.” Musa akasema, “Kwanini mnagombana na mimi? Kwanini mnajaribu Yahweh?”
Le peuple se querella avec Moïse, et dit: « Donne-nous de l'eau à boire. » Moïse leur dit: « Pourquoi vous disputez-vous avec moi? Pourquoi mettez-vous Yahvé à l'épreuve? »
3 Watu walikuwa na kiu sana, na waka mlalamikia Musa. Wakasema, “Kwanini umetutoa Misri? Ili utuue sisi na watoto wetu na mifugo yetu kwa kiu?”
Le peuple avait soif d'eau à cet endroit; alors le peuple murmura contre Moïse et dit: « Pourquoi nous as-tu fait sortir d'Égypte, pour nous faire mourir de soif, nous, nos enfants et notre bétail? »
4 Kisha Musa akamlilia Yahweh, “Nini ni fanya kwa hawa watu? Wako tayari ata kunipiga mawe.”
Moïse cria à Yahvé en disant: « Que dois-je faire de ce peuple? Ils sont presque prêts à me lapider. »
5 Yahweh akamwambia Musa, “Nenda mbele yao, na uchukuwe baadhi ya wazee wa Israeli. Chukuwa gongo ulilo piga nalo mto, na uende.
Yahvé dit à Moïse: « Avance devant le peuple, prends avec toi les anciens d'Israël, prends dans ta main le bâton avec lequel tu as frappé le Nil, et pars.
6 Nitasimama mbele yako pale kwenye mwamba wa Horebu, na utaupiga mwamba. Maji yatatoka ya watu kunywa.” Kisha Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Israeli.
Voici, je me tiendrai devant toi, là, sur le rocher de l'Horeb. Tu frapperas le rocher, et il en sortira de l'eau que le peuple pourra boire. » Moïse fit ainsi, sous les yeux des anciens d'Israël.
7 Aliita ile sehemu Massa na Meriba kwasababu ya malalamishi ya Waisraeli, na kwasababu walimjaribu Bwana kwa kusema, “Je Yahweh yupo miongoni mwetu au hapana?”
Il donna à ce lieu le nom de Massa et de Meriba, parce que les enfants d'Israël se disputaient et qu'ils mettaient Yahvé à l'épreuve, en disant: « Yahvé est-il au milieu de nous, ou non? »
8 Kisha jeshi la watu wa Ameleki wakaja na kushambulia Israeli huko Refidimu.
Amalek vint combattre Israël à Rephidim.
9 Hivyo Musa akamwambia Yoshua, “Chagau wanaume kadha na uende nje. Pigana na Ameleki. Kesho nitasimama juu ya kilima na gongo la Mungu mkononi mwangu.”
Moïse dit à Josué: « Choisis des hommes pour nous, et va combattre Amalek. Demain, je me tiendrai sur le sommet de la colline, la verge de Dieu dans ma main. »
10 Hivyo Yoshua akapigana na Ameleki kama Musa alivyo elekeza, wakati Musa, Aruni, na Huri walienda juu ya kilima.
Josué fit ce que Moïse lui avait dit et combattit Amalek. Moïse, Aaron et Hur montèrent au sommet de la colline.
11 Wakati Musa alipo kuwa ameshikilia mikono yake juu, Israeli ilikuwa yashinda; alipo acha mikono yake ipumzike, Ameleki alianza kushinda.
Lorsque Moïse leva la main, Israël l'emporta. Quand il baissa la main, Amalek l'emporta.
12 Mikono ya Musa alipo kuwa mizito, Aruni na Huri walichukuwa jiwe na kuweka chini yake alikalie. Muda huo huo, Aruni na Huri walinyanyua mikono yake juu, mtu mmoja upande mmoja, na mtu mmoja upande mwingine. Hivyo mikono ya Musa ilishikiliwa tuli mpaka jua lilipo zama.
Mais les mains de Moïse étaient lourdes; on prit donc une pierre, on la mit sous lui, et il s'assit dessus. Aaron et Hur soutenaient ses mains, l'un d'un côté, l'autre de l'autre. Ses mains restèrent stables jusqu'au coucher du soleil.
13 Hivyo Yoshua akawashinda watu wa Ameleki kwa upanga.
Josué vainquit Amalek et son peuple au fil de l'épée.
14 Yahweh akamwambia Musa, “Andika haya kwenye kitabu na umsomee Yoshua, kwasababu nitaondoa kumbukumbu ya Ameleki kutoka chini ya mbingu.”
Yahvé dit à Moïse: « Ecris ceci dans un livre, comme souvenir, et répète-le aux oreilles de Josué: j'effacerai la mémoire d'Amalek de dessous le ciel. »
15 Kisha Musa akajenga madhabahu na kuiita “Yahweh ni bendera yangu.”
Moïse bâtit un autel et l'appela « Yahvé notre bannière ».
16 Alisema, “Kwa kuwa mkono ulinyanyuliwa juu kuelekea kiti cha enzi cha Yahweh - kwamba Yahweh ata fanya vita na Ameleki vizazi na vizazi.”
Il dit: « L'Éternel l'a juré: l'Éternel fera la guerre à Amalek de génération en génération. »

< Kutoka 17 >