< Kutoka 14 >

1 Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
2 “Waambie Waisraeli wageuke na kueka kambi mbele ya Pi Hahirothi, katikati ya Migdoli na bahari, mbele ya Baali Zefoni. Wapaswa kueka kambi pembenni ya Pi Hahirothi.
»Govori Izraelovim otrokom, da se obrnejo in se utaborijo pred Pi Hahirótom, med Migdólom in morjem, nasproti Báal Cefónu. Pred njim se boste utaborili ob morju.
3 Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'
Kajti faraon bo o Izraelovih otrocih rekel: ›Zapletli so se v deželi, divjina jih je zaprla noter.‹
4 Nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na yeye ata wakimbiza. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote. Wamisri watajua mimi ni Yahweh.” Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa.
Jaz pa bom zakrknil faraonovo srce, da bo sledil za njimi in počaščen bom na faraonu in na vsej njegovi vojski, da bodo Egipčani lahko spoznali, da jaz sem Gospod.« In tako so storili.
5 Mfalme wa Misri alipo ambiwa Waisraeli wametoroka, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu. Wakasema, “Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?”
Egiptovskemu kralju je bilo povedano, da je ljudstvo zbežalo. In srce faraona in njegovih služabnikov je bilo obrnjeno zoper ljudstvo in rekli so: »Zakaj smo storili to, da smo pustili Izraela oditi od služenja nam?«
6 Kisha Farao akachukuwa magari yake ya farasi na jeshi lake.
In pripravil je svoj bojni voz in s seboj vzel svoje ljudstvo.
7 Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara na magari yote ya farasi ya Misri, pamoja na maafisa wa hayo magari.
Vzel je šeststo izbranih bojnih voz in vse egiptovske bojne vozove in častnike nad vsakim izmed njih.
8 Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, na mfalme akawafukuzia Waisraeli. Sasa Waisraeli waliondoka kwa shangwe.
Gospod je zakrknil srce faraonu, egiptovskemu kralju in ta je zasledoval Izraelove otroke. Izraelovi otroci pa so izšli z vzdignjeno roko.
9 Lakini Wamisri wali wafukuzia, pamoja na farasi na magari ya farasi, wapanda farasi, na jeshi lake. Walikuta Waisraeli wameeka kambi pembezoni mwa bahari kati ya Pi Hahirothi na Baali Zefoni.
Toda Egipčani so jih zasledovali, vsi faraonovi konji in bojni vozovi in njegovi konjeniki in njegova vojska in jih dohiteli ob morju, utaborjene poleg Pi Hahiróta, pred Báal Cefónom.
10 Farao alipo karibia, Waisraeli walitaza juu na kushangaa. Wamisri walikuwa wakija kwao, na waliogopa. Waisraeli walimlilia Yahweh.
Ko se je faraon približal, so Izraelovi otroci povzdignili svoje oči in glej, Egipčani so korakali za njimi in bili so boleče prestrašeni in Izraelovi otroci so zavpili h Gospodu.
11 Walimwambia Musa, “Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani? Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri?
Mojzesu so rekli: »Ali si nas odpeljal proč, da umremo v divjini, ker ni bilo grobov v Egiptu? Zakaj si tako ravnal z nami, da si nas odvedel iz Egipta?
12 Hili si ndilo tulilo kwambia Misri? Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.' Ingekuwa bora kwetu sisi kuwafanyia kazi kuliko kufa nyikani.”
Mar ni to beseda, ki smo ti jo povedali v Egiptu, rekoč: ›Pusti nas pri miru, da lahko služimo Egipčanom?‹ Kajti za nas bi bilo bolje, da služimo Egipčanom, kakor pa, da bi umrli v divjini.«
13 Musa akawaambia watu, “Msiogope. Simameni imara na muone wokovu Yahweh atakao uleta kwenu leo. Kwa maana hamtawaona tena Wamisri mnao waona leo.
Mojzes je ljudstvu rekel: »Ne bojte se, mirno stojte in glejte Gospodovo rešitev duš, ki vam jo bo danes pokazal, kajti Egipčane, ki ste jih videli danes, jih na veke ne boste več videli.
14 Yahweh ata wapigania, na ninyi mtasima imara.”
Gospod se bo boril za vas in vi boste ohranili svoj mir.«
15 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi? Waambie Waisraeli waendelee mbele.
Gospod je rekel Mojzesu: »Zakaj vpiješ k meni? Govori Izraelovim otrokom, da gredo naprej.
16 Nyanyua gongo lako juu, nyoosha mkono wako kuelekea baharini na uigawanye sehemu mbili, ili watu wa Israeli wapite baharini kwenye nchi kavu.
Toda ti vzdigni svojo palico in iztegni svojo roko nad morje in ga razdeli in Izraelovi otroci bodo šli po suhih tleh skozi sredo morja.
17 Jitahadharishe kuwa nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu ili wawafuate. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote, magari yake ya farasi, na wapanda farasi.
Glej, zakrknil bom srca Egipčanom in oni jim bodo sledili in jaz si bom pridobil čast nad faraonom in nad vso njegovo vojsko, nad njegovimi bojnimi vozovi in nad njegovimi konjeniki.
18 Kisha Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitakapo pata utukufu kwasababu ya Farao, magari yake ya farasi, na wapanda farasi wake.”
Egipčani bodo vedeli, da jaz sem Gospod, ko sem si pridobil čast nad faraonom, nad njegovimi bojnimi vozovi in nad njegovimi konjeniki.«
19 Malaika wa Mungu, aliyeenda mbele ya Waisraeli, aliama na kwenda nyuma yao. Nguzo ya wingu ili sogea mbele yao na kwenda kusimama nyumba yao.
Božji angel, ki je šel pred Izraelovim taborom, se je odstranil in odšel za njimi, in oblačni steber je odšel izpred njihovih obrazov in stal za njimi.
20 Wingu lilikuja katikati ya kambi ya Misri na kambi ya Israeli. Lilikuwa wingu jeusi kwa Wamisri, lakini liliangaza usiku kwa ajili ya Waisraeli, hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine usiku wote.
Prišel je med tabor Egipčanov in tabor Izraela. Njim je bil oblak in tema, toda le-tem je dajal svetlobo ponoči, tako da vso noč eni niso prišli blizu k drugim.
21 Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari. Yahweh akasogeza bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku huo wote na kufanya bahari nchi kavu. Kwa namna hii maji yaligawanyika.
Mojzes je svojo roko iztegnil nad morje in Gospod je storil, da je morje vso tisto noč šlo nazaj z močnim vzhodnikom in naredilo morje kopno zemljo in vode so bile razdeljene.
22 Waisraeli walienda katikati ya bahari kwa nchi kavu. Maji yaliunda ukuta mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto.
In Izraelovi otroci so šli v sredo morja po suhih tleh in vode so jim bile zid na njihovi desnici in na njihovi levici.
23 Wamisri waka wafukuzia. Wali wafuata hadi katikati ya bahari - farasi wote wa Farao, magari ya farasi, na wapanda farasi.
Egipčani pa so jih zasledovali in šli noter za njimi v sredo morja, celo vsi faraonovi konji, njegovi bojni vozovi in njegovi konjeniki.
24 Lakini masaa ya mapema ya asubui, Yahweh alitazama chini jeshi la Wamisri kupitia nguzo ya moto na wingu. Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri.
Pripetilo se je, da je ob jutranji straži Gospod skozi ognjen in oblačen steber pogledal na vojsko Egipčanov in prizadel vojsko Egipčanov.
25 Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi, na wapanda farasi waliendesha kwa ugumu. Hivyo Wamisri walisema, “Acha tuwakimbie Waisraeli, kwa kuwa Yahweh anawapigania dhidi yetu.”
Snemal je kolesa njihovim bojnim vozovom, da so jih težko vozili. Tako da so Egipčani rekli: »Zbežimo pred obličjem Izraela, kajti Gospod se bori zanje zoper Egipčane.«
26 Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono kuelekea bahari ili maji yawarudie Wamisri, magari yao ya farasi, na wapanda farasi wao.”
Gospod je rekel Mojzesu: »Svojo roko iztegni nad morje, da lahko vode ponovno pridejo nad Egipčane, nad njihove bojne vozove in nad njihove konjenike.«
27 Hivyo Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari, na ikarudi kwenye hali yake ya kawaida palipo pambazuka. Wamisri walikimbilia ndani ya bahari, na Yahweh akawaingiza Wamisri katikati ndani yake.
Mojzes je svojo roko iztegnil nad morje in ko se je prikazalo jutro, se je morje vrnilo k svoji moči in Egipčani so bežali proti le-temu; in Gospod je Egipčane porazil v sredi morja.
28 Maji yakarudi na kufunika magari ya farasi ya Farao, wapanda farasi, na jeshi lake lote lililo fuata magari ya farasi kwenye bahari. Hakuna aliyepona.
Vode so se vrnile in pokrile bojne vozove, konjenike in vso faraonovo vojsko, ki je za njimi prišla v morje. Tam ni ostal niti eden izmed njih.
29 Walakini, Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari. Maji yalikuwa ukuta kwao mkono wa kulia na mkono wa kushoto.
Toda Izraelovi otroci so hodili po suhi zemlji v sredi morja. Vode so jim bile zid na njihovi desnici in na njihovi levici.
30 Hivyo Yahweh akaokoa Israeli hiyo siku kutoka mkono wa Wamisri, na Israeli ikaona maiti za Wamisri ufukweni.
Tako je Gospod tega dne rešil Izraela iz roke Egipčanov, in Izrael je videl Egipčane mrtve na morski obali.
31 Israeli ilipoona nguvu kubwa Yahweh aliyo itumia dhidi ya Wamisri, watu walimsifu Yahweh, na kumwamini Yahweh na mtumishi wake Musa.
Izrael je videl to veliko delo, ki ga je Gospod storil na Egipčanih, in ljudstvo se je balo Gospoda in verjelo Gospodu in njegovemu služabniku Mojzesu.

< Kutoka 14 >