< Kutoka 14 >

1 Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
I reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
2 “Waambie Waisraeli wageuke na kueka kambi mbele ya Pi Hahirothi, katikati ya Migdoli na bahari, mbele ya Baali Zefoni. Wapaswa kueka kambi pembenni ya Pi Hahirothi.
Kaži sinovima Izrailjevijem neka saviju i stanu u oko pred Pi-Airot izmeðu Migdola i mora prema Vel-Sefonu; prema njemu neka stanu u oko pokraj mora.
3 Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'
Jer æe Faraon reæi za sinove Izrailjeve: zašli su u zemlju, zatvorila ih je pustinja.
4 Nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na yeye ata wakimbiza. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote. Wamisri watajua mimi ni Yahweh.” Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa.
I uèiniæu da otvrdne srce Faraonu, te æe poæi u potjeru za vama, i ja æu se proslaviti na njemu i na svoj vojsci njegovoj, i Misirci æe poznati da sam ja Gospod. I uèiniše tako.
5 Mfalme wa Misri alipo ambiwa Waisraeli wametoroka, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu. Wakasema, “Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?”
A kad bi javljeno caru Misirskom da je pobjegao narod, promijeni se srce Faraonovo i sluga njegovijeh prema narodu, te rekoše: šta uèinismo, te pustismo Izrailja da nam ne služi?
6 Kisha Farao akachukuwa magari yake ya farasi na jeshi lake.
I upreže u kola svoja, i uze narod svoj sa sobom.
7 Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara na magari yote ya farasi ya Misri, pamoja na maafisa wa hayo magari.
I uze šest stotina kola izabranih i što još bješe kola Misirskih, i nad svjema vojvode.
8 Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, na mfalme akawafukuzia Waisraeli. Sasa Waisraeli waliondoka kwa shangwe.
I Gospod uèini, te otvrdnu srce Faraonu caru Misirskom, i poðe u potjeru za sinovima Izrailjevijem, kad sinovi Izrailjevi otidoše pod rukom visokom.
9 Lakini Wamisri wali wafukuzia, pamoja na farasi na magari ya farasi, wapanda farasi, na jeshi lake. Walikuta Waisraeli wameeka kambi pembezoni mwa bahari kati ya Pi Hahirothi na Baali Zefoni.
I tjeravši ih Misirci stigoše ih, sva kola Faraonova, konjici njegovi i vojska njegova, kad bjehu u okolu na moru kod Pi-Airota prema Vel-Sefonu.
10 Farao alipo karibia, Waisraeli walitaza juu na kushangaa. Wamisri walikuwa wakija kwao, na waliogopa. Waisraeli walimlilia Yahweh.
I kad se približi Faraon, podigoše sinovi Izrailjevi oèi svoje a to Misirci idu za njima, i uplašiše se vrlo, i povikaše sinovi Izrailjevi ka Gospodu.
11 Walimwambia Musa, “Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani? Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri?
I rekoše Mojsiju: zar ne bješe grobova u Misiru, nego nas dovede da izginemo u pustinji? Šta uèini, te nas izvede iz Misira?
12 Hili si ndilo tulilo kwambia Misri? Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.' Ingekuwa bora kwetu sisi kuwafanyia kazi kuliko kufa nyikani.”
Nijesmo li ti govorili u Misiru i rekli: proði nas se, neka služimo Misircima? jer bi nam bolje bilo služiti Misircima nego izginuti u pustinji.
13 Musa akawaambia watu, “Msiogope. Simameni imara na muone wokovu Yahweh atakao uleta kwenu leo. Kwa maana hamtawaona tena Wamisri mnao waona leo.
A Mojsije reèe narodu: ne bojte se, stanite pa gledajte kako æe vas Gospod izbaviti danas; jer Misirce koje ste vidjeli danas, neæete ih nigda više vidjeti dovijeka.
14 Yahweh ata wapigania, na ninyi mtasima imara.”
Gospod æe se biti za vas, a vi æete muèati.
15 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi? Waambie Waisraeli waendelee mbele.
A Gospod reèe Mojsiju: što vièeš k meni? kaži sinovima Izrailjevijem neka idu.
16 Nyanyua gongo lako juu, nyoosha mkono wako kuelekea baharini na uigawanye sehemu mbili, ili watu wa Israeli wapite baharini kwenye nchi kavu.
A ti digni štap svoj i pruži ruku svoju na more, i rascijepi ga, pa neka idu sinovi Izrailjevi posred mora suhim.
17 Jitahadharishe kuwa nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu ili wawafuate. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote, magari yake ya farasi, na wapanda farasi.
I gle, ja æu uèiniti da otvrdne srce Misircima, te æe poæi za njima; i proslaviæu se na Faraonu i na svoj vojsci njegovoj, na kolima njegovijem i na konjicima njegovijem.
18 Kisha Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitakapo pata utukufu kwasababu ya Farao, magari yake ya farasi, na wapanda farasi wake.”
I Misirci æe poznati da sam ja Gospod, kad se proslavim na Faraonu, na kolima njegovijem i na konjicima njegovijem.
19 Malaika wa Mungu, aliyeenda mbele ya Waisraeli, aliama na kwenda nyuma yao. Nguzo ya wingu ili sogea mbele yao na kwenda kusimama nyumba yao.
I podiže se anðeo Gospodnji, koji iðaše pred vojskom Izrailjskom, i otide im za leða; i podiže se stup od oblaka ispred njih, i stade im za leða.
20 Wingu lilikuja katikati ya kambi ya Misri na kambi ya Israeli. Lilikuwa wingu jeusi kwa Wamisri, lakini liliangaza usiku kwa ajili ya Waisraeli, hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine usiku wote.
i došav meðu vojsku Misirsku i vojsku Izrailjsku bješe onijem oblak mraèan a ovijem svijetljaše po noæi, te ne pristupiše jedni drugima cijelu noæ.
21 Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari. Yahweh akasogeza bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku huo wote na kufanya bahari nchi kavu. Kwa namna hii maji yaligawanyika.
I pruži Mojsije ruku svoju na more, a Gospod uzbi more vjetrom istoènijem, koji jako duvaše cijelu noæ, i osuši more, i voda se rastupi.
22 Waisraeli walienda katikati ya bahari kwa nchi kavu. Maji yaliunda ukuta mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto.
I poðoše sinovi Izrailjevi posred mora suhim, i voda im stajaše kao zid s desne strane i s lijeve strane.
23 Wamisri waka wafukuzia. Wali wafuata hadi katikati ya bahari - farasi wote wa Farao, magari ya farasi, na wapanda farasi.
I Misirci tjerajuæi ih poðoše za njima posred mora, svi konji Faraonovi, kola i konjici njegovi.
24 Lakini masaa ya mapema ya asubui, Yahweh alitazama chini jeshi la Wamisri kupitia nguzo ya moto na wingu. Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri.
A u stražu jutrenju pogleda Gospod na vojsku Misirsku iz stupa od ognja i oblaka, i smete vojsku Misirsku.
25 Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi, na wapanda farasi waliendesha kwa ugumu. Hivyo Wamisri walisema, “Acha tuwakimbie Waisraeli, kwa kuwa Yahweh anawapigania dhidi yetu.”
I pozbaca toèkove kolima njihovijem, te ih jedva vucijahu. Tada rekoše Misirci: bježimo od Izrailja, jer se Gospod bije za njih s Misircima.
26 Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono kuelekea bahari ili maji yawarudie Wamisri, magari yao ya farasi, na wapanda farasi wao.”
A Gospod reèe Mojsiju: pruži ruku svoju na more, neka se vrati voda na Misirce, na kola njihova i na konjike njihove.
27 Hivyo Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari, na ikarudi kwenye hali yake ya kawaida palipo pambazuka. Wamisri walikimbilia ndani ya bahari, na Yahweh akawaingiza Wamisri katikati ndani yake.
I Mojsije pruži ruku svoju na more, i doðe opet more na silu svoju pred zoru, a Misirci nagoše bježati prema moru; i Gospod baci Misirce usred mora.
28 Maji yakarudi na kufunika magari ya farasi ya Farao, wapanda farasi, na jeshi lake lote lililo fuata magari ya farasi kwenye bahari. Hakuna aliyepona.
A vrativši se voda potopi kola i konjike sa svom vojskom Faraonovom, što ih god bješe pošlo za njima u more, i ne osta od njih nijedan.
29 Walakini, Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari. Maji yalikuwa ukuta kwao mkono wa kulia na mkono wa kushoto.
I sinovi Izrailjevi iðahu posred mora suhim; i stajaše im voda kao zid s desne strane i s lijeve strane.
30 Hivyo Yahweh akaokoa Israeli hiyo siku kutoka mkono wa Wamisri, na Israeli ikaona maiti za Wamisri ufukweni.
I izbavi Gospod Izrailja u onaj dan iz ruku Misirskih; i vidje Izrailj mrtve Misirce na brijegu morskom.
31 Israeli ilipoona nguvu kubwa Yahweh aliyo itumia dhidi ya Wamisri, watu walimsifu Yahweh, na kumwamini Yahweh na mtumishi wake Musa.
I vidje Izrailj silu veliku, koju pokaza Gospod na Misircima, i narod se poboja Gospoda, i vjerova Gospodu i Mojsiju sluzi njegovu.

< Kutoka 14 >