< Kutoka 14 >

1 Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
Et l'Éternel parla à Moïse, en disant:
2 “Waambie Waisraeli wageuke na kueka kambi mbele ya Pi Hahirothi, katikati ya Migdoli na bahari, mbele ya Baali Zefoni. Wapaswa kueka kambi pembenni ya Pi Hahirothi.
Parle aux enfants d'Israël; et qu'ils retournent et campent devant Pi-Hahiroth, entre Migdol et la mer, devant Baal-Tsephon; vous camperez vis-à-vis de ce lieu, près de la mer.
3 Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'
Et Pharaon dira des enfants d'Israël: Ils sont égarés dans le pays; le désert les a enfermés.
4 Nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na yeye ata wakimbiza. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote. Wamisri watajua mimi ni Yahweh.” Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa.
Et j'endurcirai le cœur de Pharaon, et il les poursuivra; mais je serai glorifié en Pharaon et dans toute son armée, et les Égyptiens sauront que je suis l'Éternel. Et ils firent ainsi.
5 Mfalme wa Misri alipo ambiwa Waisraeli wametoroka, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu. Wakasema, “Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?”
Or, on rapporta au roi d'Égypte que le peuple s'était enfui. Et le cœur de Pharaon et de ses serviteurs fut changé à l'égard du peuple, et ils dirent: Qu'est-ce que nous avons fait, que nous ayons laissé aller Israël, en sorte qu'il ne nous serve plus?
6 Kisha Farao akachukuwa magari yake ya farasi na jeshi lake.
Alors il attela son char et il prit son peuple avec lui.
7 Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara na magari yote ya farasi ya Misri, pamoja na maafisa wa hayo magari.
Il prit six cents chars d'élite et tous les chars d'Égypte, et des combattants sur chacun d'eux.
8 Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, na mfalme akawafukuzia Waisraeli. Sasa Waisraeli waliondoka kwa shangwe.
Et l'Éternel endurcit le cœur de Pharaon, roi d'Égypte, et il poursuivit les enfants d'Israël. Or les enfants d'Israël étaient sortis à main levée.
9 Lakini Wamisri wali wafukuzia, pamoja na farasi na magari ya farasi, wapanda farasi, na jeshi lake. Walikuta Waisraeli wameeka kambi pembezoni mwa bahari kati ya Pi Hahirothi na Baali Zefoni.
Les Égyptiens les poursuivirent; et tous les chevaux des chars de Pharaon, ses cavaliers et son armée les atteignirent, comme ils étaient campés près de la mer, près de Pi-Hahiroth, vis-à-vis de Baal-Tsephon.
10 Farao alipo karibia, Waisraeli walitaza juu na kushangaa. Wamisri walikuwa wakija kwao, na waliogopa. Waisraeli walimlilia Yahweh.
Et comme Pharaon approchait, les enfants d'Israël levèrent les yeux, et voici, les Égyptiens marchaient après eux. Alors les enfants d'Israël eurent une fort grande peur, et crièrent à l'Éternel.
11 Walimwambia Musa, “Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani? Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri?
Et ils dirent à Moïse: Est-ce qu'il n'y avait pas de tombeaux en Égypte, que tu nous aies emmenés pour mourir au désert? Qu'est-ce que tu nous a fait, de nous faire sortir d'Égypte?
12 Hili si ndilo tulilo kwambia Misri? Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.' Ingekuwa bora kwetu sisi kuwafanyia kazi kuliko kufa nyikani.”
N'est-ce pas ce que nous te disions en Égypte: Laisse-nous servir les Égyptiens; car il nous vaut mieux servir les Égyptiens, que de mourir au désert?
13 Musa akawaambia watu, “Msiogope. Simameni imara na muone wokovu Yahweh atakao uleta kwenu leo. Kwa maana hamtawaona tena Wamisri mnao waona leo.
Et Moïse dit au peuple: Ne craignez point; tenez-vous là, et voyez la délivrance de l'Éternel, qu'il vous accordera aujourd'hui; car les Égyptiens que vous avez vus aujourd'hui, vous ne les reverrez jamais plus.
14 Yahweh ata wapigania, na ninyi mtasima imara.”
L'Éternel combattra pour vous, et vous, vous resterez tranquilles.
15 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi? Waambie Waisraeli waendelee mbele.
Et l'Éternel dit à Moïse: Pourquoi cries-tu à moi? Parle aux enfants d'Israël, et qu'ils marchent.
16 Nyanyua gongo lako juu, nyoosha mkono wako kuelekea baharini na uigawanye sehemu mbili, ili watu wa Israeli wapite baharini kwenye nchi kavu.
Et toi, élève ta verge, et étends ta main sur la mer, et fends-la; et que les enfants d'Israël entrent au milieu de la mer, à sec.
17 Jitahadharishe kuwa nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu ili wawafuate. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote, magari yake ya farasi, na wapanda farasi.
Et moi, voici, je vais endurcir le cœur des Égyptiens, et ils y entreront après eux; et je serai glorifié en Pharaon et en toute son armée, en ses chars et en ses cavaliers.
18 Kisha Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitakapo pata utukufu kwasababu ya Farao, magari yake ya farasi, na wapanda farasi wake.”
Et les Égyptiens sauront que je suis l'Éternel, quand je serai glorifié en Pharaon, en ses chars et en ses cavaliers.
19 Malaika wa Mungu, aliyeenda mbele ya Waisraeli, aliama na kwenda nyuma yao. Nguzo ya wingu ili sogea mbele yao na kwenda kusimama nyumba yao.
Et l'ange de Dieu, qui allait devant le camp d'Israël, partit et alla derrière eux; et la colonne de nuée partit de devant eux, et se tint derrière eux;
20 Wingu lilikuja katikati ya kambi ya Misri na kambi ya Israeli. Lilikuwa wingu jeusi kwa Wamisri, lakini liliangaza usiku kwa ajili ya Waisraeli, hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine usiku wote.
Et elle vint entre le camp des Égyptiens et le camp d'Israël. Et elle fut d'un côté une nuée obscure; mais, de l'autre, elle éclairait la nuit; et ils ne s'approchèrent point les uns des autres de toute la nuit.
21 Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari. Yahweh akasogeza bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku huo wote na kufanya bahari nchi kavu. Kwa namna hii maji yaligawanyika.
Or, Moïse étendit la main sur la mer, et l'Éternel refoula la mer, toute la nuit, par un fort vent d'Orient; et il mit la mer à sec, et les eaux se fendirent.
22 Waisraeli walienda katikati ya bahari kwa nchi kavu. Maji yaliunda ukuta mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto.
Et les enfants d'Israël entrèrent au milieu de la mer à sec; et les eaux leur formaient une muraille à leur droite et à leur gauche.
23 Wamisri waka wafukuzia. Wali wafuata hadi katikati ya bahari - farasi wote wa Farao, magari ya farasi, na wapanda farasi.
Et les Égyptiens les poursuivirent; et tous les chevaux de Pharaon, ses chars et ses cavaliers, entrèrent après eux au milieu de la mer.
24 Lakini masaa ya mapema ya asubui, Yahweh alitazama chini jeshi la Wamisri kupitia nguzo ya moto na wingu. Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri.
Mais il arriva, sur la veille du matin, que l'Éternel, étant dans la colonne de feu et de nuée, regarda le camp des Égyptiens, et le mit en déroute.
25 Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi, na wapanda farasi waliendesha kwa ugumu. Hivyo Wamisri walisema, “Acha tuwakimbie Waisraeli, kwa kuwa Yahweh anawapigania dhidi yetu.”
Et il ôta les roues de leurs chars, et fit qu'on les menait pesamment. Alors les Égyptiens dirent: Fuyons de devant les Israélites, car l'Éternel combat pour eux contre les Égyptiens.
26 Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono kuelekea bahari ili maji yawarudie Wamisri, magari yao ya farasi, na wapanda farasi wao.”
Et l'Éternel dit à Moïse: Étends ta main sur la mer, et les eaux retourneront sur les Égyptiens, sur leurs chars et sur leurs cavaliers.
27 Hivyo Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari, na ikarudi kwenye hali yake ya kawaida palipo pambazuka. Wamisri walikimbilia ndani ya bahari, na Yahweh akawaingiza Wamisri katikati ndani yake.
Moïse étendit donc sa main sur la mer, et la mer retourna vers le matin dans son lit; et les Égyptiens s'enfuyant la rencontrèrent, et l'Éternel jeta les Égyptiens au milieu de la mer.
28 Maji yakarudi na kufunika magari ya farasi ya Farao, wapanda farasi, na jeshi lake lote lililo fuata magari ya farasi kwenye bahari. Hakuna aliyepona.
Les eaux retournèrent donc et couvrirent les chars et les cavaliers de toute l'armée de Pharaon, qui étaient entrés après les Israélites dans la mer; il n'en resta pas un seul.
29 Walakini, Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari. Maji yalikuwa ukuta kwao mkono wa kulia na mkono wa kushoto.
Mais les enfants d'Israël marchèrent à sec au milieu de la mer; et les eaux leur formaient une muraille à leur droite et à leur gauche.
30 Hivyo Yahweh akaokoa Israeli hiyo siku kutoka mkono wa Wamisri, na Israeli ikaona maiti za Wamisri ufukweni.
En ce jour-là l'Éternel délivra Israël de la main des Égyptiens; et Israël vit les Égyptiens morts, sur le rivage de la mer.
31 Israeli ilipoona nguvu kubwa Yahweh aliyo itumia dhidi ya Wamisri, watu walimsifu Yahweh, na kumwamini Yahweh na mtumishi wake Musa.
Ainsi Israël vit la grande puissance que l'Éternel avait déployée contre les Égyptiens; et le peuple craignit l'Éternel, et ils crurent en l'Éternel et en Moïse, son serviteur.

< Kutoka 14 >