< Kutoka 14 >

1 Yahweh akasema na Musa na kumwambia,
Then Yahweh said to Moses/me,
2 “Waambie Waisraeli wageuke na kueka kambi mbele ya Pi Hahirothi, katikati ya Migdoli na bahari, mbele ya Baali Zefoni. Wapaswa kueka kambi pembenni ya Pi Hahirothi.
“Tell the Israeli people to turn around and go back and set up their tents in front of Pi-Hahiroth [town]. That town is between Migdol and the sea, across from Baal-Zephon [town]. Set up your tents there, close to the sea.
3 Farao atasema kuhusu Waisraeli, 'Wanaangaika kwenye nchi. Nyikani imewafunika.'
When the king [knows you have done that], he will think, ‘The Israeli people are confused. They are wandering around, and the desert blocks their path.’
4 Nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na yeye ata wakimbiza. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote. Wamisri watajua mimi ni Yahweh.” Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa.
But I will make the king stubborn [again], and he will [take his army and] pursue you. Then my people will praise/thank me for winning a victory over the king and his army. And the Egyptians will know that I, Yahweh, [have the power to do what I say that I will do].” So [Moses/I told my people that, and] they did what he/I told them to do.
5 Mfalme wa Misri alipo ambiwa Waisraeli wametoroka, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu. Wakasema, “Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?”
When someone told the king that the Israeli people had left [during the night], he and his officials changed their minds and said, “(What have we done?/What we have done was stupid!) [RHQ] The Israeli people will no longer be our slaves!”
6 Kisha Farao akachukuwa magari yake ya farasi na jeshi lake.
So the king got his chariot and his army ready.
7 Alichukuwa magari ya farasi mia sita imara na magari yote ya farasi ya Misri, pamoja na maafisa wa hayo magari.
Then he selected 600 of the best chariots, and in each chariot he placed a driver, a soldier, and a commander, and they left. Other chariots, with a driver and a soldier in each of them, also went along.
8 Yahweh akafanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, na mfalme akawafukuzia Waisraeli. Sasa Waisraeli waliondoka kwa shangwe.
Because Yahweh made the king of Egypt so stubborn that he and his army went to pursue the Israelis, who were leaving triumphantly,
9 Lakini Wamisri wali wafukuzia, pamoja na farasi na magari ya farasi, wapanda farasi, na jeshi lake. Walikuta Waisraeli wameeka kambi pembezoni mwa bahari kati ya Pi Hahirothi na Baali Zefoni.
the Egyptian army, with all the king’s horses and chariots and horsemen, pursued the Israelis. They caught up with them as they were camped near the sea, close to Pi-Hahiroth, in front of Baal-Zephon [town].
10 Farao alipo karibia, Waisraeli walitaza juu na kushangaa. Wamisri walikuwa wakija kwao, na waliogopa. Waisraeli walimlilia Yahweh.
When the king’s army got near, the Israeli people were surprised to see that the Egyptians were marching toward them. They were terrified; so they cried out to Yahweh [to help them].
11 Walimwambia Musa, “Ni kwasababu hakukuwa na makaburi Misri, hadi umetuleta tufe huku nyikani? Kwanini umetutendea hivi, kwa kututoa Misri?
Then they said to Moses/me, “Is it because there were no places in Egypt [where we could] be buried that you have brought us here to die in this desert [RHQ]? Look what you have done to us by bringing us out of Egypt [RHQ]!
12 Hili si ndilo tulilo kwambia Misri? Tulikwambia, 'Utuache, ili tuwafanyie Wamisri kazi.' Ingekuwa bora kwetu sisi kuwafanyia kazi kuliko kufa nyikani.”
That is what we told you when we were in Egypt! We said, ‘Leave us alone, and let us work for the Egyptians [RHQ]!’ It would have been better for us to be slaves for the Egyptians than to die here in the desert!”
13 Musa akawaambia watu, “Msiogope. Simameni imara na muone wokovu Yahweh atakao uleta kwenu leo. Kwa maana hamtawaona tena Wamisri mnao waona leo.
Moses/I replied to the people, “Do not be afraid! Be brave, and see how Yahweh will rescue you! He will save you today, and the result will be that the Egyptians that you are looking at today—you will never see them again!
14 Yahweh ata wapigania, na ninyi mtasima imara.”
Yahweh will fight for you! Just keep quiet. There is nothing else that you will have to do.”
15 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Kwanini wewe, Musa, unaendelea kuniita mimi? Waambie Waisraeli waendelee mbele.
Yahweh said to Moses/me, “Tell the people to stop crying out for me [to help them], and tell them to go forward. Lift up your stick and stretch it out toward the sea. The water will divide, so that all you Israeli people can go in the middle of the sea, walking on dry ground.
16 Nyanyua gongo lako juu, nyoosha mkono wako kuelekea baharini na uigawanye sehemu mbili, ili watu wa Israeli wapite baharini kwenye nchi kavu.
17 Jitahadharishe kuwa nitafanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu ili wawafuate. Nitapata utukufu kwasababu ya Farao na jeshi lake lote, magari yake ya farasi, na wapanda farasi.
I will make the Egyptians stubborn, so that they will try to follow you. And then as a result of [what I will do to the] king and his army and his chariots and his horsemen, [my people] will praise/thank me.
18 Kisha Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitakapo pata utukufu kwasababu ya Farao, magari yake ya farasi, na wapanda farasi wake.”
And when I have won a glorious [victory] over the king and his chariots and his horsemen, the [other] Egyptians will know that I, Yahweh, [have the power to do what I say that I will do].”
19 Malaika wa Mungu, aliyeenda mbele ya Waisraeli, aliama na kwenda nyuma yao. Nguzo ya wingu ili sogea mbele yao na kwenda kusimama nyumba yao.
Then the angel of God, who had been in front of the Israeli people, moved and went behind them. The tall bright cloud that had been in front of them also moved behind them,
20 Wingu lilikuja katikati ya kambi ya Misri na kambi ya Israeli. Lilikuwa wingu jeusi kwa Wamisri, lakini liliangaza usiku kwa ajili ya Waisraeli, hivyo upande mmoja haukuweza kuja karibu ya mwingine usiku wote.
until it was between the Egyptian army and the Israeli people. The cloud caused the Egyptian army to be in the dark but it gave light for the Israelis. As a result, neither group could come near the other group during the whole night.
21 Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari. Yahweh akasogeza bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku huo wote na kufanya bahari nchi kavu. Kwa namna hii maji yaligawanyika.
[That evening], Moses/I stretched out his/my hand toward the sea. Then Yahweh sent a strong wind from the east. It blew all night and pushed the water apart, and it caused the ground between the water to dry up.
22 Waisraeli walienda katikati ya bahari kwa nchi kavu. Maji yaliunda ukuta mkono wao wa kulia na mkono wao wa kushoto.
Then we Israeli people went on the dry land in the middle of the sea. The water was like a wall on each side of us, on the right side and on the left side.
23 Wamisri waka wafukuzia. Wali wafuata hadi katikati ya bahari - farasi wote wa Farao, magari ya farasi, na wapanda farasi.
Then the Egyptian army pursued them, and went after them into the middle of the sea, with their horses and their chariots and the chariot-drivers.
24 Lakini masaa ya mapema ya asubui, Yahweh alitazama chini jeshi la Wamisri kupitia nguzo ya moto na wingu. Alisababisha hofu miongoni mwa Wamisri.
Just before dawn, Yahweh looked down from the fiery cloud, and then he caused the Egyptian army to panic.
25 Magari yao ya farasi yalikuwa yana kwama matairi, na wapanda farasi waliendesha kwa ugumu. Hivyo Wamisri walisema, “Acha tuwakimbie Waisraeli, kwa kuwa Yahweh anawapigania dhidi yetu.”
He caused the wheels of the chariots to get stuck [in the mud], so that they could hardly move. So the Egyptians said, “Yahweh is fighting for the Israelis and against us; let’s get out of here!”
26 Yahweh akamwambia Musa, “Nyoosha mkono kuelekea bahari ili maji yawarudie Wamisri, magari yao ya farasi, na wapanda farasi wao.”
Then Yahweh said to Moses/me, “Stretch out your arm toward the sea again. Then the water will come back on the Egyptians and on their chariots and their horsemen.”
27 Hivyo Musa akanyoosha mkono wake kuelekea bahari, na ikarudi kwenye hali yake ya kawaida palipo pambazuka. Wamisri walikimbilia ndani ya bahari, na Yahweh akawaingiza Wamisri katikati ndani yake.
So Moses/I stretched out his/my arm, and as the sun was rising, the water returned to its normal level. The Egyptians tried to escape, but Yahweh hurled them back into the sea.
28 Maji yakarudi na kufunika magari ya farasi ya Farao, wapanda farasi, na jeshi lake lote lililo fuata magari ya farasi kwenye bahari. Hakuna aliyepona.
The water returned and covered the chariots and the horsemen and the whole Egyptian army that had tried to follow us Israelis into the sea. Every one of the Egyptians drowned.
29 Walakini, Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari. Maji yalikuwa ukuta kwao mkono wa kulia na mkono wa kushoto.
But we Israeli people had already crossed through the sea by walking on dry ground, with the water being [like two] walls, one on the right side and one on the left side.
30 Hivyo Yahweh akaokoa Israeli hiyo siku kutoka mkono wa Wamisri, na Israeli ikaona maiti za Wamisri ufukweni.
That is the way Yahweh saved the Israeli people from the Egyptian army on that day. The Israeli people saw the Egyptians lying dead, [with their bodies washed up] on the shore.
31 Israeli ilipoona nguvu kubwa Yahweh aliyo itumia dhidi ya Wamisri, watu walimsifu Yahweh, na kumwamini Yahweh na mtumishi wake Musa.
The Israelis saw what Yahweh did to the Egyptians by his great power [MTY], and they were in awe of Yahweh. They trusted in Yahweh and they also trusted Moses/me.

< Kutoka 14 >