< Kutoka 12 >

1 Yahweh akasema na Musa na Aruni katika nchi ya Misri. Alisema,
RAB Mısır'da Musa'yla Harun'a, “Bu ay sizin için ilk ay, yılın ilk ayı olacak” dedi,
2 “Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako.
3 Liambie kusanyiko la Israeli, 'Siku ya kumi mwezi huu kila mtu lazima achukuwe mwana kondoo au mbuzi mdogo wa kwake, kila familia ifanye hivi, mwana kondoo kwa kila nyumba.
“Bütün İsrail topluluğuna bildirin: Bu ayın onunda herkes ailesine göre kendi ev halkına birer kuzu alacak.
4 Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo, mwanaume na jirani yake wachukuwe mwana kondoo au nyama ya mbuzi mdogo ambayo itatosha watu. Lazima iwe yatosha kwa kila mtu kula, kwaiyo lazima wachukuwe nyama ya kutosha kulisha wote.
Eğer bir kuzu bir aileye çok geliyorsa, aile bireylerinin sayısı ve herkesin yiyeceği miktar hesaplanacak ve aile kuzuyu en yakın komşusuyla paylaşabilecek.
5 Mwana kondoo wako au mbuzi wako mdogo lazima asiwe na upungufu, dume mwenye mwaka mmoja. Unaweza kuchukuwa mmoja wa kondoo au mbuzi.
Koyun ya da keçilerden seçeceğiniz hayvan kusursuz, erkek ve bir yaşında olmalı.
6 Lazima umtunze mpaka siku ya kumi na nne ya huo mwezi. Kisha kusanyiko lote la Israeli lazima liwaue hawa wanyama jioni.
Ayın on dördüne kadar ona bakacaksınız. O akşamüstü bütün İsrail topluluğu hayvanları boğazlayacak.
7 Lazima uchukuwe baadhi ya damu na uweke kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango ambapo utalia hizo nyama.
Hayvanın kanını alıp, etin yeneceği evin yan ve üst kapı sövelerine sürecekler.
8 Lazima ule hizo nyama usiku, baada ya kuchoma kwenye moto. Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira, pamoja na mimea michungu.
O gece ateşte kızartılmış et mayasız ekmek ve acı otlarla yenmelidir.
9 Usiile mbichi au imechemshwa kwenye maji. Badala yake, choma kwenye moto na kichwa chake, miguu na sehemu za ndani.
Eti çiğ veya haşlanmış olarak değil, başı, bacakları, bağırsakları ve işkembesiyle birlikte kızartarak yiyeceksiniz.
10 Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui. Lazima uchome chochote kilicho baki asubui.
Sabaha kadar bitirmelisiniz. Artakalan olursa, sabah ateşte yakacaksınız.
11 Hivi ndivyo wa paswa kula: ukiwa umefunga mkanda wako, umevaa viatu vyako, na gongo lako mkononi mwako. Lazima ule kwa haraka. Ni Pasaka ya Yahweh.
Eti şöyle yemelisiniz: Beliniz kuşanmış, çarıklarınız ayağınızda, değneğiniz elinizde olmalı. Eti çabuk yemelisiniz. Bu RAB'bin Fısıh kurbanıdır.
12 Yahweh anasema hili: Nitaenda katika nchi ya Misri usiku na kushambulia wazaliwa wote wa kwanza wa wanadamu na wanyama katika nchi ya Misri. Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. Mimi ni Yahweh.
“O gece Mısır'dan geçeceğim. Hem insanların hem de hayvanların bütün ilk doğanlarını öldüreceğim. Mısır'ın bütün ilahlarını yargılayacağım. Ben RAB'bim.
13 Damu itakuwa ishara kwenye nyumba zenu ya kuja kwangu. Nitakapo ona damu, nitapita nitakapo shambulia nchi ya Misri. Ili pigo halitawajia na kuwaharibu.
Bulunduğunuz evlerin üzerindeki kan sizin için belirti olacak. Kanı görünce üzerinizden geçeceğim. Mısır'ı cezalandırırken ölüm saçan size hiçbir zarar vermeyecek.
14 Hii siku itakuwa kumbukumbu kwenu, ambayo lazima muadhimishe kama sherehe ya Yahweh. Itakuwa sheria kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu, ambayo mwapaswa kuadhimisha leo.
Bu gün sizin için anma günü olacak. Bu günü RAB'bin bayramı olarak kutlayacaksınız. Gelecek kuşaklarınız boyunca sürekli bir kural olarak bu günü kutlayacaksınız.”
15 Utakula mkate bila hamira wakati wa siku saba. Siku ya kwanza utaondoa hamira kwenye nyumba zenu. Yeyote atakaye kula mkate uliyotiwa chachu kwanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli.
“Yedi gün mayasız ekmek yiyeceksiniz. İlk gün evlerinizden mayayı kaldıracaksınız. Kim bu yedi gün içinde mayalı bir şey yerse, İsrail'den atılacaktır.
16 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko kama hilo. Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku, zaidi ya kupika kila mmoja ale. Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe.
Birinci ve yedinci günler kutsal toplantı yapacaksınız. O günler hiçbir iş yapılmayacak. Herkes yalnız kendi yiyeceğini hazırlayacak.
17 Lazima uadhimishe hii Sherehe ya Mkate Usiotiwa Chachu kwasababu ni siku hii ambayo nitawaleta watu wako, makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha, kutoka nchi ya Misri. Lazima uadhimishe hii siku kwa vizazi vyote vya watu wako. Hii itakuwa sheria kwako.
Mayasız Ekmek Bayramı'nı kutlayacaksınız, çünkü sizi ordular halinde o gün Mısır'dan çıkardım. Bu günü kalıcı bir kural olarak kuşaklarınız boyunca kutlayacaksınız.
18 Lazima ule mkate usiotiwa chachu kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza wa mwaka, mpaka jioni ya siku ya ishirini na moja ya mwezi.
Birinci ayın on dördüncü gününün akşamından yirmi birinci gününün akşamına kadar mayasız ekmek yiyeceksiniz.
19 Wakati wa hizi siku, nyumbani mwenu kusipatikane na hamira. Yeyote atakaye kula mkate ulio andaliwa na hamira lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli, huyo mtu awe ni mgeni au mtu aliye zaliwa nchini mwenu.
Evlerinizde yedi gün maya bulunmayacak. Mayalı bir şey yiyen yerli yabancı herkes İsrail topluluğundan atılacaktır.
20 Hautakula chochote kilicho andaliwa na hamira. Popote utapo ishi, lazima ule mkate usio na hamira.”'
Mayalı bir şey yemeyeceksiniz. Yaşadığınız her yerde mayasız ekmek yiyeceksiniz.”
21 Kisha Musa akawaita viongozi wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni na mchague mwana kondoo au mbuzi watakao tosha kulisha familia zenu na muue mwana kondoo wa pasaka.
Musa İsrail'in bütün ileri gelenlerini çağırtarak onlara şöyle dedi: “Hemen gidin, aileleriniz için kendinize davarlar seçip Fısıh kurbanı olarak boğazlayın.
22 Kisha chukua jani la hisopu na uchovye kwenye damu itakayo kuwa kwenye beseni. Paka damu iliyo kwenye beseni juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango. Hakuna ata mmoja atakaye toka nje ya mlango wake mpaka asubui.
Bir demet mercanköşkotu alın, leğendeki kana batırıp kanı kapılarınızın yan ve üst sövelerine sürün. Sabaha kadar kimse evinden çıkmasın.
23 Kwa kuwa Yahweh atapita kushambulia Wamisri. Atakapo ona damu juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango, atapita mlango wako na ata ruhusu mharibifu kuja nyumbani kwenu kuwashambulia.
RAB Mısırlılar'ı öldürmek için gelecek, kapılarınızın yan ve üst sövelerindeki kanı görünce üzerinden geçecek, ölüm saçanın evlerinize girip sizi öldürmesine izin vermeyecek.
24 Lazima uadhimishe hili tukio. Hili litakuwa daima sheria kwako na kwa uzao wenu.
“Sen ve çocukların kalıcı bir kural olarak bu olayı kutlayacaksınız.
25 Utakapo ingia nchi Yahweh atakayo kupa, kama alivyo ahidi kufanya, lazima uadhimishe hili tendo la ibada.
RAB'bin size söz verdiği topraklara girdiğiniz zaman bu töreye uyacaksınız.
26 Watoto wako watakapo kuuliza, 'Hili tendo la ibada lina maana gani?'
Çocuklarınız size, ‘Bu törenin anlamı nedir?’ diye sorduklarında,
27 kisha lazima useme, 'Ni sadaka ya Pasaka ya Yahweh, kwasababu Yahweh kapita nyumba za Waisraeli Misri alipo washambulia Wamisri. Aliweka nyumba zetu huru.”' Kisha watu wakamsujudia Yahweh.
‘Bu RAB'bin Fısıh kurbanıdır’ diyeceksiniz, ‘Çünkü RAB Mısırlılar'ı öldürürken evlerimizin üzerinden geçerek bizi bağışladı.’” İsrailliler eğilip tapındılar.
28 Waisraeli wakaenda na kufanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Sonra gidip RAB'bin Musa'yla Harun'a verdiği buyruğu eksiksiz uyguladılar.
29 Ikawa usiku wa manane kuwa Yahweh akawashambulia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, aliye keti kiti chake cha enzi, mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani na wazaliwa wote wa kwanza wa mifugo.
Gece yarısı RAB tahtında oturan firavunun ilk çocuğundan zindandaki tutsağın ilk çocuğuna kadar Mısır'daki bütün insanların ve hayvanların ilk doğanlarını öldürdü.
30 Farao akaamka usiku - yeye, watumishi wake, na Wamisri. Palikuwa na kelele za maombolezo Misri, kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa.
O gece firavunla görevlileri ve bütün Mısırlılar uyandı. Büyük feryat koptu. Çünkü ölüsü olmayan ev yoktu.
31 Farao akamuita Musa na Aruni usiku na kusema, “Inuka, tokeni miongoni mwa watu wangu, nyie pamoja na Waisraeli. Nenda, mmuabudu Yahweh, kama mlivyo sema mnataka kufanya.
Aynı gece firavun Musa'yla Harun'u çağırttı ve, “Kalkın!” dedi, “Siz ve İsrailliler halkımın arasından çıkıp gidin, istediğiniz gibi RAB'be tapın.
32 Chukuweni ng'ombe zenu na kondoo zenu, kama mlivyo sema, na muende, na pia mnibariki.”
Dediğiniz gibi davarlarınızı, sığırlarınızı da alın götürün. Beni de kutsayın!”
33 Wamisri walikuwa na haraka ya kuwa ondoa nchini, kwa kuwa walisema, “Sisi ni watu tuliokufa.”
İsrailliler'in ülkeyi hemen terk etmesi için Mısırlılar diretti. “Yoksa hepimiz öleceğiz!” diyorlardı.
34 Watu wakachukuwa ngano yao pasipo kuongeza hamira yeyote. Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao.
Böylece halk mayası henüz katılmamış hamurunu aldı, giysilere sarılı hamur teknelerini omuzlarında taşıdı.
35 Watu Waisraeli walifanya kama Musa alivyo waambia. Waliwaomba Wamisri vitu vya fedha, vitu vya dhahabu, na nguo.
İsrailliler Musa'nın dediğini yapmış, Mısırlılar'dan altın, gümüş eşya ve giysi istemişlerdi.
36 Yahweh aliwafanya Wamisri na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Hivyo Wamisri waliwapa chochote walicho waomba. Katika hili, Waisraeli waliwachukulia vingi Wamisri.
RAB İsrailliler'in Mısırlılar'ın gözünde lütuf bulmasını sağladı. Mısırlılar onlara istediklerini verdiler. Böylece İsrailliler onları soydular.
37 Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
İsrailliler kadın ve çocukların dışında altı yüz bin kadar erkekle yaya olarak Ramses'ten Sukkot'a doğru yola çıktılar.
38 Mchanganyiko wa kundi la wasio Waisraeli pia walienda nao, pamoja na ng'ombe na kondoo, idadi kumbwa ya mifugo.
Daha pek çok kişi de onlarla birlikte gitti. Yanlarında çok sayıda davar ve sığır vardı.
39 Walioka mikate na unga wa ngano wenye hamira walio utoa Misri. Ulikuwa hauna hamira kwasababu waliondolewa Misri na hawakuweza chelewa kuandaa chakula.
Mısır'dan getirdikleri hamurla mayasız pide pişirdiler. Maya yoktu. Çünkü Mısır'dan kovulmuşlar, kendilerine azık hazırlayacak zaman bulamamışlardı.
40 Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430.
İsrailliler Mısır'da dört yüz otuz yıl yaşadı.
41 Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
Dört yüz otuz yılın sonuncu günü RAB'bin halkı ordular halinde Mısır'ı terk etti.
42 Huu ulikuwa usiku wakuwa macho, ili Yahweh awatoe kutoka nchi ya Misri. Huu ulikuwa usiku wa Yahweh wa kuadhimishwa na Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote.
O gece RAB İsrailliler'i Mısır'dan çıkarmak için sürekli bekledi. İsrailliler de kuşaklar boyunca aynı gece RAB'bi yüceltmek için uyanık olmalıdır.
43 Yahweh akamwambia Musa na Aruni, “Hii ni sheria ya Pasaka: hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila.
RAB Musa'yla Harun'a şöyle dedi: “Fısıh Bayramı'nın kuralları şunlardır: Hiçbir yabancı Fısıh etini yemeyecek.
44 Walakini, kila mtumwa wa Misraeli, aliye nunuliwa kwa pesa, anaeza kula baada ya kutahiriwa.
Ama satın aldığınız köleler sünnet edildikten sonra ondan yiyebilir.
45 Wageni na watumishi waajiriwa hawapaswi kula chakula chochote.
Konuklar ve ücretli işçiler ondan yemeyecek.
46 Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja. Hauruhusiwi kubeba nyama yeyote nje ya nyumba, na hauruhusiwi kuvunja mfumba wowote.
Fısıh eti evde yenmeli, evin dışına çıkarılmamalı. Kemikleri kırmayacaksınız.
47 Jamii zote za Israeli za paswa kuadhimisha sherehe.
Bütün İsrail topluluğu Fısıh Bayramı'nı kutlayacak.
48 Kama mgeni anaishi na wewe na anataka kuadhimisha Pasaka kwa Yahweh, ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa. Kisha anaeza kuja na kuadhimisha. Atakuwa kama watu walio zaliwa kwenye nchi. Walakini, hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula chakula chochote.
Yanınızdaki yabancı bir konuk RAB'bin Fısıh Bayramı'nı kutlamak isterse, önce evindeki bütün erkekler sünnet edilmeli; sonra yerel halktan biri gibi İsrail halkına katılıp bayramı kutlayabilir. Ama sünnetsiz biri Fısıh etini yemeyecektir.
49 Sheria hii hii itahusika kwa mzaliwa wa asili na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
Ülkede doğan için de, aranızda yaşayan yabancı için de aynı kural geçerlidir.”
50 Waisraeli wote walifanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
İsrailliler RAB'bin Musa'yla Harun'a verdiği buyruğu eksiksiz yerine getirdiler.
51 Ikaja kuwa siku hiyo Yahweh akawaleta Israeli kutoka nchi ya Misri kwa makundi yalio jiami.
O gün RAB İsrailliler'i ordular halinde Mısır'dan çıkardı.

< Kutoka 12 >