< Kutoka 12 >

1 Yahweh akasema na Musa na Aruni katika nchi ya Misri. Alisema,
Also the Lord seide to Moises and Aaron in the lond of Egipt,
2 “Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako.
This monethe, the bigynnyng of monethis to you, schal be the firste in the monethis of the yeer.
3 Liambie kusanyiko la Israeli, 'Siku ya kumi mwezi huu kila mtu lazima achukuwe mwana kondoo au mbuzi mdogo wa kwake, kila familia ifanye hivi, mwana kondoo kwa kila nyumba.
Speke ye to al the cumpanye of the sones of Israel, and seie ye to hem, In the tenthe dai of this monethe ech man take a lomb by hise meynees and housis;
4 Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo, mwanaume na jirani yake wachukuwe mwana kondoo au nyama ya mbuzi mdogo ambayo itatosha watu. Lazima iwe yatosha kwa kila mtu kula, kwaiyo lazima wachukuwe nyama ya kutosha kulisha wote.
but if the noumbre is lesse, that it may not suffice to ete the lomb, he schal take his neiybore, which is ioyned to his hows, bi the noumbre of soulis, that moun suffice to the etyng of the lomb.
5 Mwana kondoo wako au mbuzi wako mdogo lazima asiwe na upungufu, dume mwenye mwaka mmoja. Unaweza kuchukuwa mmoja wa kondoo au mbuzi.
Forsothe the lomb schal be a male of o yeer, without wem; bi which custom ye schulen take also a kide;
6 Lazima umtunze mpaka siku ya kumi na nne ya huo mwezi. Kisha kusanyiko lote la Israeli lazima liwaue hawa wanyama jioni.
and ye schulen kepe hym til to the fouretenthe dai of this monethe; and al the multitude of the sones of Israel schal offre hym at euentid.
7 Lazima uchukuwe baadhi ya damu na uweke kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango ambapo utalia hizo nyama.
And thei schulen take of his blood, and schulen put on euer either post, and in lyntels, `ether hiyer threschfoldis, of the housis, in whiche thei schulen ete hym;
8 Lazima ule hizo nyama usiku, baada ya kuchoma kwenye moto. Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira, pamoja na mimea michungu.
and in that niyt thei schulen ete fleischis, roostid with fier, and therf looues, with letusis of the feeld.
9 Usiile mbichi au imechemshwa kwenye maji. Badala yake, choma kwenye moto na kichwa chake, miguu na sehemu za ndani.
Ye schulen not ete therof ony raw thing, nether sodun in watir, but roostid oneli by fier; ye schulen deuoure the heed with feet and entrailis therof;
10 Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui. Lazima uchome chochote kilicho baki asubui.
nether ony thing therof schal abide til the morewtid; if ony thing is residue, ye schulen brenne in the fier.
11 Hivi ndivyo wa paswa kula: ukiwa umefunga mkanda wako, umevaa viatu vyako, na gongo lako mkononi mwako. Lazima ule kwa haraka. Ni Pasaka ya Yahweh.
Forsothe thus ye schulen ete hym; ye schulen girde youre reynes, and ye schulen haue schoon in the feet, and ye schulen holde stauys in hondis, and ye schulen ete hastili; for it is fase, that is, the passyng of the Lord.
12 Yahweh anasema hili: Nitaenda katika nchi ya Misri usiku na kushambulia wazaliwa wote wa kwanza wa wanadamu na wanyama katika nchi ya Misri. Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. Mimi ni Yahweh.
And Y schal passe thorou the lond of Egipt in that niyt, and Y schal smyte al the firste gendrid thing in the lond of Egipt, fro man til to beeste; and Y the Lord schal make domes in alle the goddis of Egipt.
13 Damu itakuwa ishara kwenye nyumba zenu ya kuja kwangu. Nitakapo ona damu, nitapita nitakapo shambulia nchi ya Misri. Ili pigo halitawajia na kuwaharibu.
Forsothe blood schal be to you in to signe, in the housis in whiche ye schulen be; and Y schal se the blood, and Y schal passe you; nether a wounde distriynge schal be in you, whanne Y schal smyte the lond of Egipt.
14 Hii siku itakuwa kumbukumbu kwenu, ambayo lazima muadhimishe kama sherehe ya Yahweh. Itakuwa sheria kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu, ambayo mwapaswa kuadhimisha leo.
Forsothe ye schulen haue this dai in to mynde, and `ye schulen make it solempne to the Lord in youre generaciouns bi euerlastynge worschipyng.
15 Utakula mkate bila hamira wakati wa siku saba. Siku ya kwanza utaondoa hamira kwenye nyumba zenu. Yeyote atakaye kula mkate uliyotiwa chachu kwanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli.
In seuene daies ye schulen ete therf breed; in the firste dai no thing diyt with sour douy schal be in youre housis; who euer schal ete ony thing diyt with sour douy, fro the firste dai til the seuenthe dai, that soule schal perische fro Israel.
16 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko kama hilo. Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku, zaidi ya kupika kila mmoja ale. Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe.
The firste day schal be hooli and solempne, and the seuenthe dai schal be worschipful bi the same halewyng; ye schulen not do ony werk in tho daies, outakun these thingis that perteynen to mete;
17 Lazima uadhimishe hii Sherehe ya Mkate Usiotiwa Chachu kwasababu ni siku hii ambayo nitawaleta watu wako, makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha, kutoka nchi ya Misri. Lazima uadhimishe hii siku kwa vizazi vyote vya watu wako. Hii itakuwa sheria kwako.
and ye schulen kepe therf breed. For in that same dai Y schal lede out of the lond of Egipt youre oost; and ye schulen kepe this dai in youre generaciouns bi euerlastynge custom.
18 Lazima ule mkate usiotiwa chachu kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza wa mwaka, mpaka jioni ya siku ya ishirini na moja ya mwezi.
In the first monethe, in the fouretenthe dai of the monethe, at euentid, ye schulen ete therf breed, til to the oon and twentithe dai of the same monethe at euentid.
19 Wakati wa hizi siku, nyumbani mwenu kusipatikane na hamira. Yeyote atakaye kula mkate ulio andaliwa na hamira lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli, huyo mtu awe ni mgeni au mtu aliye zaliwa nchini mwenu.
In seuene dayes no thing `diyt with sour douy schal be foundun in youre housis; if ony etith ony thing diyt with sour dow, his soule schal perische fro the cumpeny of Israel, as wel of comelyngis, as of hem that ben borun in the lond.
20 Hautakula chochote kilicho andaliwa na hamira. Popote utapo ishi, lazima ule mkate usio na hamira.”'
Ye schulen not ete ony thing diyt with sour dow, and ye schulen ete therf breed in alle youre dwellyng placis.
21 Kisha Musa akawaita viongozi wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni na mchague mwana kondoo au mbuzi watakao tosha kulisha familia zenu na muue mwana kondoo wa pasaka.
Forsothe Moises clepide alle the eldre men of the sones of Israel, and seide to hem, Go ye, and take a beeste by youre meynees, and offre ye fase; and dippe ye a bundel of isope,
22 Kisha chukua jani la hisopu na uchovye kwenye damu itakayo kuwa kwenye beseni. Paka damu iliyo kwenye beseni juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango. Hakuna ata mmoja atakaye toka nje ya mlango wake mpaka asubui.
in the blood which `is in the threisfold, and sprynge ye therof the lyntel, and euer either post; noon of you schal go out at the dore of his hows til the morewtid.
23 Kwa kuwa Yahweh atapita kushambulia Wamisri. Atakapo ona damu juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango, atapita mlango wako na ata ruhusu mharibifu kuja nyumbani kwenu kuwashambulia.
For the Lord schal passe smytynge Egipcians; and whanne he schal se the blood in the lyntel, and in euer either post, he schal passe the dore of the hows; and he schal not suffre the smytere to entre in to youre housis, and to hirte.
24 Lazima uadhimishe hili tukio. Hili litakuwa daima sheria kwako na kwa uzao wenu.
Kepe thou this word; it schal be a lawful thing to thee and to thi sones til in to with outen ende.
25 Utakapo ingia nchi Yahweh atakayo kupa, kama alivyo ahidi kufanya, lazima uadhimishe hili tendo la ibada.
And whanne ye schulen entre in to the lond which the Lord schal yyue to you, as he bihiyte, ye schulen kepe these cerymonyes;
26 Watoto wako watakapo kuuliza, 'Hili tendo la ibada lina maana gani?'
and whanne youre sones schulen seie to you, What is this religioun? ye schulen seie to hem,
27 kisha lazima useme, 'Ni sadaka ya Pasaka ya Yahweh, kwasababu Yahweh kapita nyumba za Waisraeli Misri alipo washambulia Wamisri. Aliweka nyumba zetu huru.”' Kisha watu wakamsujudia Yahweh.
It is the sacrifice of the passyng of the Lord, whanne he passide ouer the housis of the sones of Israel in Egipt, and smoot Egipcians, and delyueride oure housis. And the puple was bowid, and worschipide.
28 Waisraeli wakaenda na kufanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
And the sones of Israel yeden out, and diden as the Lord comaundide to Moises and to Aaron.
29 Ikawa usiku wa manane kuwa Yahweh akawashambulia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, aliye keti kiti chake cha enzi, mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani na wazaliwa wote wa kwanza wa mifugo.
Forsothe it was doon in the myddis of the nyyt, the Lord smoot al the firste gendrid thing in the lond of Egipt, fro the firste gendrid of Farao, that sat in the trone of hym, til to the first gendrid of the caitif womman, that was in the prisoun, and alle the first gendrid of beestis.
30 Farao akaamka usiku - yeye, watumishi wake, na Wamisri. Palikuwa na kelele za maombolezo Misri, kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa.
And Farao roos in the nyyt, and alle hise seruauntis, and al Egipt; and a greet cry was maad in Egipt, for noon hows was, in which a deed man lay not.
31 Farao akamuita Musa na Aruni usiku na kusema, “Inuka, tokeni miongoni mwa watu wangu, nyie pamoja na Waisraeli. Nenda, mmuabudu Yahweh, kama mlivyo sema mnataka kufanya.
And whanne Moises and Aaron weren clepid in the nyyt, Farao seide, Rise ye, go ye out fro my puple, bothe ye and the sones of Israel; go ye, offre ye to the Lord, as ye seien;
32 Chukuweni ng'ombe zenu na kondoo zenu, kama mlivyo sema, na muende, na pia mnibariki.”
take ye youre scheep and greete beestis, as ye axiden; and go ye, and blesse ye me.
33 Wamisri walikuwa na haraka ya kuwa ondoa nchini, kwa kuwa walisema, “Sisi ni watu tuliokufa.”
And Egipcians constreyneden the puple to go out of the lond swiftli, and seiden, All we schulen die!
34 Watu wakachukuwa ngano yao pasipo kuongeza hamira yeyote. Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao.
Therfor the puple took meele spreynd togidere, bifor that it was diyt with sour douy; and boond in mentils, and puttide on her schuldris.
35 Watu Waisraeli walifanya kama Musa alivyo waambia. Waliwaomba Wamisri vitu vya fedha, vitu vya dhahabu, na nguo.
And the sones of Israel diden as the Lord comaundide to Moises; and thei axiden of Egipcians siluerne vesselis and goldun, and ful myche clooth.
36 Yahweh aliwafanya Wamisri na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Hivyo Wamisri waliwapa chochote walicho waomba. Katika hili, Waisraeli waliwachukulia vingi Wamisri.
Forsothe the Lord yaf grace to the puple bifor Egipcians, that the Egipcians lenten to hem; and thei maden bare Egipcians.
37 Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
And the sones of Israel yeden forth fro Ramasses in to Socoth, almest sixe hundrid thousind of foot men, with out litle children and wymmen;
38 Mchanganyiko wa kundi la wasio Waisraeli pia walienda nao, pamoja na ng'ombe na kondoo, idadi kumbwa ya mifugo.
but also comyn puple of malis and femalis vnnoumbrable stieden with hem; scheep, and oxun, and ful many beestis of diuerse kynde, stieden with hem.
39 Walioka mikate na unga wa ngano wenye hamira walio utoa Misri. Ulikuwa hauna hamira kwasababu waliondolewa Misri na hawakuweza chelewa kuandaa chakula.
And thei bakiden meele, which spreynd to gidere `a while ago thei token fro Egipt, and maden therf looues bakun vnder the aischis; for the looues miyten not be diyt with sour dow, for Egipcians compelliden to go out, and suffriden not to make ony tariyng, nether it was leiser to make ony seew.
40 Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430.
Forsothe the dwellyng of the sones of Israel, bi which thei dwelliden in Egipt, was of foure hundrid and thretti yeer;
41 Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
and whanne tho weren fillid, al the oost of the Lord yede out of the lond of Egipt in the same dai.
42 Huu ulikuwa usiku wakuwa macho, ili Yahweh awatoe kutoka nchi ya Misri. Huu ulikuwa usiku wa Yahweh wa kuadhimishwa na Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote.
This nyyt is worthi to be kept in the worschipyng of the Lord, whanne he ladde hem out of the lond of Egipt; alle the sones of Israel owen to kepe this in her generaciouns.
43 Yahweh akamwambia Musa na Aruni, “Hii ni sheria ya Pasaka: hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila.
Also the Lord seide to Moises and Aaron, This is the religioun of fase; ech alien schal not ete therof;
44 Walakini, kila mtumwa wa Misraeli, aliye nunuliwa kwa pesa, anaeza kula baada ya kutahiriwa.
sotheli ech seruaunt bouyt schal be circumcidid, and so he schal ete;
45 Wageni na watumishi waajiriwa hawapaswi kula chakula chochote.
a comelyng and hirid man schulen not ete therof;
46 Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja. Hauruhusiwi kubeba nyama yeyote nje ya nyumba, na hauruhusiwi kuvunja mfumba wowote.
it schal be etun in oon hows; nether ye schulen bere out of the fleischis therof; nether ye schulen breke a boon therof.
47 Jamii zote za Israeli za paswa kuadhimisha sherehe.
Ech company of the sones of Israel schal make that fase;
48 Kama mgeni anaishi na wewe na anataka kuadhimisha Pasaka kwa Yahweh, ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa. Kisha anaeza kuja na kuadhimisha. Atakuwa kama watu walio zaliwa kwenye nchi. Walakini, hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula chakula chochote.
that if ony pilgrym wole passe into youre feith and worschipyng, and make fase of the Lord, ech male kynde of hym schal be circumcidid bifore, and thanne he schal make lawfuli, and he schal be to gidere as a man borun of the lond; forsothe if ony man is not circumcidid, he schal not ete therof.
49 Sheria hii hii itahusika kwa mzaliwa wa asili na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
The same lawe schal be to a man borun of the lond, and to a comelyng, that takith youre feith, which is a pilgrym anentis you.
50 Waisraeli wote walifanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
And alle the sones of Israel diden as the Lord comaundide to Moises and Aaron.
51 Ikaja kuwa siku hiyo Yahweh akawaleta Israeli kutoka nchi ya Misri kwa makundi yalio jiami.
And in the same dai the Lord ladde out of `the lond of Egipt the sones of Israel, bi her cumpanies.

< Kutoka 12 >