< Kutoka 12 >

1 Yahweh akasema na Musa na Aruni katika nchi ya Misri. Alisema,
And Jehovah spoke to Moses and Aaron in the land of Egypt, saying,
2 “Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako.
This month shall be to you the beginning of months; it shall be the first month of the year to you.
3 Liambie kusanyiko la Israeli, 'Siku ya kumi mwezi huu kila mtu lazima achukuwe mwana kondoo au mbuzi mdogo wa kwake, kila familia ifanye hivi, mwana kondoo kwa kila nyumba.
Speak ye to all the congregation of Israel, saying, In the tenth day of this month they shall take to them every man a lamb, according to their fathers' houses, a lamb for a household.
4 Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo, mwanaume na jirani yake wachukuwe mwana kondoo au nyama ya mbuzi mdogo ambayo itatosha watu. Lazima iwe yatosha kwa kila mtu kula, kwaiyo lazima wachukuwe nyama ya kutosha kulisha wote.
And if the household be too little for a lamb, then he and his neighbor next to his house shall take one according to the number of the souls, according to every man's eating ye shall make your count for the lamb.
5 Mwana kondoo wako au mbuzi wako mdogo lazima asiwe na upungufu, dume mwenye mwaka mmoja. Unaweza kuchukuwa mmoja wa kondoo au mbuzi.
Your lamb shall be without blemish, a male a year old. Ye shall take it from the sheep, or from the goats.
6 Lazima umtunze mpaka siku ya kumi na nne ya huo mwezi. Kisha kusanyiko lote la Israeli lazima liwaue hawa wanyama jioni.
And ye shall keep it until the fourteenth day of the same month, and the whole assembly of the congregation of Israel shall kill it at evening.
7 Lazima uchukuwe baadhi ya damu na uweke kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango ambapo utalia hizo nyama.
And they shall take of the blood, and put it on the two side-posts and on the lintel upon the houses in which they shall eat it.
8 Lazima ule hizo nyama usiku, baada ya kuchoma kwenye moto. Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira, pamoja na mimea michungu.
And they shall eat the flesh in that night, roasted with fire, and unleavened bread, with bitter herbs they shall eat it.
9 Usiile mbichi au imechemshwa kwenye maji. Badala yake, choma kwenye moto na kichwa chake, miguu na sehemu za ndani.
Do not eat of it raw, nor boiled at all with water, but roasted with fire, its head with its legs and with the inwards of it.
10 Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui. Lazima uchome chochote kilicho baki asubui.
And ye shall let nothing of it remain until the morning, but that which remains of it until the morning ye shall burn with fire.
11 Hivi ndivyo wa paswa kula: ukiwa umefunga mkanda wako, umevaa viatu vyako, na gongo lako mkononi mwako. Lazima ule kwa haraka. Ni Pasaka ya Yahweh.
And thus ye shall eat it: with your loins girded, your shoes on your feet, and your staff in your hand. And ye shall eat it in haste. It is Jehovah's Passover.
12 Yahweh anasema hili: Nitaenda katika nchi ya Misri usiku na kushambulia wazaliwa wote wa kwanza wa wanadamu na wanyama katika nchi ya Misri. Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. Mimi ni Yahweh.
For I will go through the land of Egypt in that night, and will smite all the firstborn in the land of Egypt, both man and beast, and against all the gods of Egypt I will execute judgments. I am Jehovah.
13 Damu itakuwa ishara kwenye nyumba zenu ya kuja kwangu. Nitakapo ona damu, nitapita nitakapo shambulia nchi ya Misri. Ili pigo halitawajia na kuwaharibu.
And the blood shall be to you for a sign upon the houses where ye are. And when I see the blood, I will pass over you, and there shall no plague be upon you to destroy you, when I smite the land of Egypt.
14 Hii siku itakuwa kumbukumbu kwenu, ambayo lazima muadhimishe kama sherehe ya Yahweh. Itakuwa sheria kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu, ambayo mwapaswa kuadhimisha leo.
And this day shall be to you for a memorial, and ye shall keep it a feast to Jehovah; throughout your generations ye shall keep it a feast by an ordinance forever.
15 Utakula mkate bila hamira wakati wa siku saba. Siku ya kwanza utaondoa hamira kwenye nyumba zenu. Yeyote atakaye kula mkate uliyotiwa chachu kwanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli.
Seven days ye shall eat unleavened bread, even the first day ye shall put away leaven out of your houses, for whoever eats leavened bread from the first day until the seventh day, that soul shall be cut off from Israel.
16 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko kama hilo. Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku, zaidi ya kupika kila mmoja ale. Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe.
And in the first day there shall be to you a holy convocation, and in the seventh day a holy convocation, no manner of work shall be done in them, except that which every man must eat, that only may be done by you.
17 Lazima uadhimishe hii Sherehe ya Mkate Usiotiwa Chachu kwasababu ni siku hii ambayo nitawaleta watu wako, makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha, kutoka nchi ya Misri. Lazima uadhimishe hii siku kwa vizazi vyote vya watu wako. Hii itakuwa sheria kwako.
And ye shall observe the feast of unleavened bread, for in this selfsame day I have brought your armies out of the land of Egypt. Therefore ye shall observe this day throughout your generations by an ordinance forever.
18 Lazima ule mkate usiotiwa chachu kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza wa mwaka, mpaka jioni ya siku ya ishirini na moja ya mwezi.
In the first month, on the fourteenth day of the month at evening, ye shall eat unleavened bread, until the twenty-first day of the month at evening.
19 Wakati wa hizi siku, nyumbani mwenu kusipatikane na hamira. Yeyote atakaye kula mkate ulio andaliwa na hamira lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli, huyo mtu awe ni mgeni au mtu aliye zaliwa nchini mwenu.
Seven days there shall be no leaven found in your houses, for whoever eats that which is leavened, that soul shall be cut off from the congregation of Israel, whether he be a sojourner, or one who is born in the land.
20 Hautakula chochote kilicho andaliwa na hamira. Popote utapo ishi, lazima ule mkate usio na hamira.”'
Ye shall eat nothing leavened, in all your habitations ye shall eat unleavened bread.
21 Kisha Musa akawaita viongozi wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni na mchague mwana kondoo au mbuzi watakao tosha kulisha familia zenu na muue mwana kondoo wa pasaka.
Then Moses called for all the elders of Israel, and said to them, Draw out, and take to you lambs according to your families, and kill the Passover.
22 Kisha chukua jani la hisopu na uchovye kwenye damu itakayo kuwa kwenye beseni. Paka damu iliyo kwenye beseni juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango. Hakuna ata mmoja atakaye toka nje ya mlango wake mpaka asubui.
And ye shall take a bunch of hyssop, and dip it in the blood that is in the basin, and strike the lintel and the two side-posts with the blood that is in the basin, and none of you shall go out of the door of his house until the morning.
23 Kwa kuwa Yahweh atapita kushambulia Wamisri. Atakapo ona damu juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango, atapita mlango wako na ata ruhusu mharibifu kuja nyumbani kwenu kuwashambulia.
For Jehovah will pass through to smite the Egyptians, and when he sees the blood upon the lintel, and on the two side-posts, Jehovah will pass over the door, and will not allow the destroyer to come in to your houses to smite you.
24 Lazima uadhimishe hili tukio. Hili litakuwa daima sheria kwako na kwa uzao wenu.
And ye shall observe this thing for an ordinance to thee and to thy sons forever.
25 Utakapo ingia nchi Yahweh atakayo kupa, kama alivyo ahidi kufanya, lazima uadhimishe hili tendo la ibada.
And it shall come to pass, when ye have come to the land which Jehovah will give you, according as he has promised, that ye shall keep this service.
26 Watoto wako watakapo kuuliza, 'Hili tendo la ibada lina maana gani?'
And it shall come to pass, when your sons shall say to you, What do ye mean by this service?
27 kisha lazima useme, 'Ni sadaka ya Pasaka ya Yahweh, kwasababu Yahweh kapita nyumba za Waisraeli Misri alipo washambulia Wamisri. Aliweka nyumba zetu huru.”' Kisha watu wakamsujudia Yahweh.
that ye shall say, It is the sacrifice of Jehovah's Passover, who passed over the houses of the sons of Israel in Egypt, when he smote the Egyptians, and delivered our houses. And the people bowed the head and worshiped.
28 Waisraeli wakaenda na kufanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
And the sons of Israel went and did so, as Jehovah had commanded Moses and Aaron, so did they.
29 Ikawa usiku wa manane kuwa Yahweh akawashambulia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, aliye keti kiti chake cha enzi, mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani na wazaliwa wote wa kwanza wa mifugo.
And it came to pass at midnight, that Jehovah smote all the firstborn in the land of Egypt, from the firstborn of Pharaoh who sat on his throne to the firstborn of the captive who was in the dungeon, and all the firstborn of cattle.
30 Farao akaamka usiku - yeye, watumishi wake, na Wamisri. Palikuwa na kelele za maombolezo Misri, kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa.
And Pharaoh rose up in the night, he, and all his servants, and all the Egyptians, and there was a great cry in Egypt, for there was not a house where there was not one dead.
31 Farao akamuita Musa na Aruni usiku na kusema, “Inuka, tokeni miongoni mwa watu wangu, nyie pamoja na Waisraeli. Nenda, mmuabudu Yahweh, kama mlivyo sema mnataka kufanya.
And he called for Moses and Aaron by night, and said, Rise up, get you forth from among my people, both ye and the sons of Israel, and go, serve Jehovah, as ye have said.
32 Chukuweni ng'ombe zenu na kondoo zenu, kama mlivyo sema, na muende, na pia mnibariki.”
Take both your flocks and your herds, as ye have said, and be gone, and bless me also.
33 Wamisri walikuwa na haraka ya kuwa ondoa nchini, kwa kuwa walisema, “Sisi ni watu tuliokufa.”
And the Egyptians were urgent upon the people, to send them out of the land in haste, for they said, We are all dead men.
34 Watu wakachukuwa ngano yao pasipo kuongeza hamira yeyote. Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao.
And the people took their dough before it was leavened, their kneading-troughs being bound up in their clothes upon their shoulders.
35 Watu Waisraeli walifanya kama Musa alivyo waambia. Waliwaomba Wamisri vitu vya fedha, vitu vya dhahabu, na nguo.
And the sons of Israel did according to the word of Moses, and they asked of the Egyptians jewels of silver, and jewels of gold, and raiment.
36 Yahweh aliwafanya Wamisri na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Hivyo Wamisri waliwapa chochote walicho waomba. Katika hili, Waisraeli waliwachukulia vingi Wamisri.
And Jehovah gave the people favor in the sight of the Egyptians, so that they let them have what they asked. And they despoiled the Egyptians.
37 Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
And the sons of Israel journeyed from Rameses to Succoth, about six hundred thousand on foot who were men, besides children.
38 Mchanganyiko wa kundi la wasio Waisraeli pia walienda nao, pamoja na ng'ombe na kondoo, idadi kumbwa ya mifugo.
And a mixed multitude also went up with them, and flocks, and herds, even very much cattle.
39 Walioka mikate na unga wa ngano wenye hamira walio utoa Misri. Ulikuwa hauna hamira kwasababu waliondolewa Misri na hawakuweza chelewa kuandaa chakula.
And they baked unleavened cakes of the dough which they brought forth out of Egypt, for it was not leavened, because they were thrust out of Egypt, and could not tarry, neither had they prepared for themselves any provisions.
40 Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430.
Now the time that the sons of Israel dwelt in the land of Egypt and the land of Canaan was four hundred and thirty years.
41 Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
And it came to pass at the end of four hundred and thirty years, even the selfsame day it came to pass, that all the armies of Jehovah went out from the land of Egypt.
42 Huu ulikuwa usiku wakuwa macho, ili Yahweh awatoe kutoka nchi ya Misri. Huu ulikuwa usiku wa Yahweh wa kuadhimishwa na Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote.
It is a night to be much observed to Jehovah for bringing them out from the land of Egypt. This is that night of Jehovah, to be much observed of all the sons of Israel throughout their generations.
43 Yahweh akamwambia Musa na Aruni, “Hii ni sheria ya Pasaka: hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila.
And Jehovah said to Moses and Aaron, This is the ordinance of the Passover. There shall no foreigner eat of it,
44 Walakini, kila mtumwa wa Misraeli, aliye nunuliwa kwa pesa, anaeza kula baada ya kutahiriwa.
but every man's servant who is bought for money, when thou have circumcised him, then he shall eat of it.
45 Wageni na watumishi waajiriwa hawapaswi kula chakula chochote.
A sojourner and a hired servant shall not eat of it.
46 Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja. Hauruhusiwi kubeba nyama yeyote nje ya nyumba, na hauruhusiwi kuvunja mfumba wowote.
In one house it shall be eaten. Thou shall not carry forth any of the flesh abroad out of the house, neither shall ye break a bone of it.
47 Jamii zote za Israeli za paswa kuadhimisha sherehe.
All the congregation of Israel shall keep it.
48 Kama mgeni anaishi na wewe na anataka kuadhimisha Pasaka kwa Yahweh, ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa. Kisha anaeza kuja na kuadhimisha. Atakuwa kama watu walio zaliwa kwenye nchi. Walakini, hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula chakula chochote.
And when a stranger shall sojourn with thee, and will keep the Passover to Jehovah, let all his males be circumcised, and then let him come near and keep it, and he shall be as one who is born in the land, but no uncircumcised man shall eat of it.
49 Sheria hii hii itahusika kwa mzaliwa wa asili na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
One law shall be to him who is home-born, and to the stranger who sojourns among you.
50 Waisraeli wote walifanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Thus did all the sons of Israel, as Jehovah commanded Moses and Aaron, so did they.
51 Ikaja kuwa siku hiyo Yahweh akawaleta Israeli kutoka nchi ya Misri kwa makundi yalio jiami.
And it came to pass the selfsame day, that Jehovah brought the sons of Israel out of the land of Egypt by their armies.

< Kutoka 12 >