< Kutoka 12 >

1 Yahweh akasema na Musa na Aruni katika nchi ya Misri. Alisema,
Derpaa talede HERREN til Moses og Aron i Ægypten og sagde:
2 “Kwako wewe, mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi, mwezi wa kwanza wa mwaka kwako.
»Denne Maaned skal hos eder være Begyndelsesmaaneden, den skal hos eder være den første af Aarets Maaneder.
3 Liambie kusanyiko la Israeli, 'Siku ya kumi mwezi huu kila mtu lazima achukuwe mwana kondoo au mbuzi mdogo wa kwake, kila familia ifanye hivi, mwana kondoo kwa kila nyumba.
Tal til hele Israels Menighed og sig: Paa den tiende Dag i denne Maaned skal hver Familiefader tage et Lam, et Lam for hver Familie.
4 Kama hiyo nyumba ni ndogo sana kwa mwana kondoo, mwanaume na jirani yake wachukuwe mwana kondoo au nyama ya mbuzi mdogo ambayo itatosha watu. Lazima iwe yatosha kwa kila mtu kula, kwaiyo lazima wachukuwe nyama ya kutosha kulisha wote.
Og dersom en Familie er for lille til et Lam, skal han sammen med sin nærmeste Nabo tage et Lam, svarende til Personernes Antal; hvor mange der skal være om et Lam, skal I beregne efter, hvad hver enkelt kan spise.
5 Mwana kondoo wako au mbuzi wako mdogo lazima asiwe na upungufu, dume mwenye mwaka mmoja. Unaweza kuchukuwa mmoja wa kondoo au mbuzi.
Det skal være et lydefrit, aargammelt Handyr, og I kan tage det enten blandt Faarene eller Gederne.
6 Lazima umtunze mpaka siku ya kumi na nne ya huo mwezi. Kisha kusanyiko lote la Israeli lazima liwaue hawa wanyama jioni.
I skal have det gaaende til den fjortende Dag i denne Maaned, og hele Israels Menigheds Forsamling skal slagte det ved Aftenstid.
7 Lazima uchukuwe baadhi ya damu na uweke kwenye sehemu mbili za mihimili ya milango na juu ya fremu za milango ambapo utalia hizo nyama.
Og de skal tage noget af Blodet og stryge det paa de to Dørstolper og Overliggeren i de Huse, hvor I spiser det.
8 Lazima ule hizo nyama usiku, baada ya kuchoma kwenye moto. Kula na mkate ulio andaliwa kwa hamira, pamoja na mimea michungu.
I skal spise Kødet samme Nat, stegt over Ilden, og I skal spise usyret Brød og bitre Urter dertil.
9 Usiile mbichi au imechemshwa kwenye maji. Badala yake, choma kwenye moto na kichwa chake, miguu na sehemu za ndani.
I maa ikke spise noget deraf raat eller kogt i Vand, men kun stegt over Ilden, og Hoved, Ben og Indmad maa ikke være skilt fra.
10 Usiache ata kidogo kubaki mpaka asubui. Lazima uchome chochote kilicho baki asubui.
I maa intet levne deraf til næste Morgen, men hvad der bliver tilovers deraf til næste Morgen, skal I brænde.
11 Hivi ndivyo wa paswa kula: ukiwa umefunga mkanda wako, umevaa viatu vyako, na gongo lako mkononi mwako. Lazima ule kwa haraka. Ni Pasaka ya Yahweh.
Og naar I spiser det, skal I have Bælte om Lænden, Sko paa Fødderne og Stav i Haanden, og I skal spise det i største Hast. Det er Paaske for HERREN.
12 Yahweh anasema hili: Nitaenda katika nchi ya Misri usiku na kushambulia wazaliwa wote wa kwanza wa wanadamu na wanyama katika nchi ya Misri. Nitaleta pigo kwa miungu yote ya Misri. Mimi ni Yahweh.
I denne Nat vil jeg drage igennem Ægypten og ihjelslaa alt det førstefødte i Ægypten baade blandt Folk og Fæ; og over alle Ægyptens Guder vil jeg holde Dom. Jeg er HERREN!
13 Damu itakuwa ishara kwenye nyumba zenu ya kuja kwangu. Nitakapo ona damu, nitapita nitakapo shambulia nchi ya Misri. Ili pigo halitawajia na kuwaharibu.
Men for eder skal Blodet paa Husene, hvor I er, tjene som Tegn, og jeg vil se Blodet og gaa eder forbi; intet ødelæggende Slag skal ramme eder, naar jeg slaar Ægypten.
14 Hii siku itakuwa kumbukumbu kwenu, ambayo lazima muadhimishe kama sherehe ya Yahweh. Itakuwa sheria kwenu pia, kwenye vizazi vyote vya watu wenu, ambayo mwapaswa kuadhimisha leo.
Denne Dag skal være eder en Mindedag, og I skal fejre den som en Højtid for HERREN, Slægt efter Slægt; som en evig gyldig Ordning skal I fejre den.
15 Utakula mkate bila hamira wakati wa siku saba. Siku ya kwanza utaondoa hamira kwenye nyumba zenu. Yeyote atakaye kula mkate uliyotiwa chachu kwanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba, huyo mtu lazima akatwe kutoka Israeli.
I syv Dage skal I spise usyret Brød. Straks den første Dag skal I skaffe al Surdejg bort af eders Huse; thi hver den, som spiser noget syret fra den første til den syvende Dag, det Menneske skal udryddes af Israel.
16 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko lililo tengwa kwa ajili yangu, na siku ya saba kutakuwa na kusanyiko kama hilo. Hakuna kazi itakayo fanywa hizi siku, zaidi ya kupika kila mmoja ale. Hiyo ndio kazi pekee itakayo fanywa na wewe.
Paa den første Dag skal I holde Højtidsstævne og ligeledes paa den syvende Dag. Intet Arbejde maa udføres paa dem; kun det, enhver behøver til Føde, det og intet andet maa I tilberede.
17 Lazima uadhimishe hii Sherehe ya Mkate Usiotiwa Chachu kwasababu ni siku hii ambayo nitawaleta watu wako, makundi yaliyo na silaha, kwa makundi yaliyo na silaha, kutoka nchi ya Misri. Lazima uadhimishe hii siku kwa vizazi vyote vya watu wako. Hii itakuwa sheria kwako.
I skal holde det usyrede Brøds Højtid, thi paa denne selv samme Dag førte jeg eders Hærskarer ud af Ægypten, derfor skal I højtideligholde denne Dag i alle kommende Slægtled som en evig gyldig Ordning.
18 Lazima ule mkate usiotiwa chachu kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza wa mwaka, mpaka jioni ya siku ya ishirini na moja ya mwezi.
Paa den fjortende Dag i den første Maaned om Aftenen skal I spise usyret Brød og vedblive dermed indtil Maanedens en og tyvende Dag om Aftenen.
19 Wakati wa hizi siku, nyumbani mwenu kusipatikane na hamira. Yeyote atakaye kula mkate ulio andaliwa na hamira lazima akatwe kutoka jamii ya Israeli, huyo mtu awe ni mgeni au mtu aliye zaliwa nchini mwenu.
I syv Dage maa der ikke findes Surdejg i eders Huse, thi hver den, som spiser noget syret, det Menneske skal udryddes af Israels Menighed, de fremmede saa vel som de indfødte i Landet.
20 Hautakula chochote kilicho andaliwa na hamira. Popote utapo ishi, lazima ule mkate usio na hamira.”'
I maa ikke nyde noget som helst syret; hvor I end bor, skal I spise usyret Brød.«
21 Kisha Musa akawaita viongozi wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni na mchague mwana kondoo au mbuzi watakao tosha kulisha familia zenu na muue mwana kondoo wa pasaka.
Da kaldte Moses alle Israels Ældste sammen og sagde til dem: »Gaa ud og hent eder Smaakvæg til eders Familier og slagt Paaskeofferet;
22 Kisha chukua jani la hisopu na uchovye kwenye damu itakayo kuwa kwenye beseni. Paka damu iliyo kwenye beseni juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango. Hakuna ata mmoja atakaye toka nje ya mlango wake mpaka asubui.
og tag eder Ysopkoste, dyp dem i Blodet i Fadet og stryg noget deraf paa Overliggeren og de to Dørstolper; og ingen af eder maa gaa ud af sin Husdør før i Morgen.
23 Kwa kuwa Yahweh atapita kushambulia Wamisri. Atakapo ona damu juu ya fremu ya mlango na kwenye mihimili miwili ya mlango, atapita mlango wako na ata ruhusu mharibifu kuja nyumbani kwenu kuwashambulia.
Thi HERREN vil gaa omkring og slaa Ægypterne, og naar han da ser Blodet paa Overliggeren og de to Dørstolper, vil han gaa Døren forbi og ikke give Ødelæggeren Adgang til eders Huse for at slaa eder.
24 Lazima uadhimishe hili tukio. Hili litakuwa daima sheria kwako na kwa uzao wenu.
Dette skal I varetage som en Anordning, der gælder for dig og dine Børn til evig Tid.
25 Utakapo ingia nchi Yahweh atakayo kupa, kama alivyo ahidi kufanya, lazima uadhimishe hili tendo la ibada.
Og naar I kommer til det Land, HERREN vil give eder, saaledes som han har forjættet, saa skal I overholde denne Skik.
26 Watoto wako watakapo kuuliza, 'Hili tendo la ibada lina maana gani?'
Naar da eders Børn spørger eder: Hvad betyder den Skik, I der har?
27 kisha lazima useme, 'Ni sadaka ya Pasaka ya Yahweh, kwasababu Yahweh kapita nyumba za Waisraeli Misri alipo washambulia Wamisri. Aliweka nyumba zetu huru.”' Kisha watu wakamsujudia Yahweh.
saa skal I svare: Det er Paaskeoffer for HERREN, fordi han gik Israeliternes Huse forbi i Ægypten, dengang han slog Ægypterne, men lod vore Huse urørte!« Da bøjede Folket sig og tilbad.
28 Waisraeli wakaenda na kufanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Og Israeliterne gik hen og gjorde, som HERREN havde paalagt Moses og Aron.
29 Ikawa usiku wa manane kuwa Yahweh akawashambulia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, aliye keti kiti chake cha enzi, mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani na wazaliwa wote wa kwanza wa mifugo.
Men ved Midnatstid ihjelslog HERREN alle de førstefødte i Ægypten lige fra Faraos førstefødte, der skulde arve hans Trone, til den førstefødte hos Fangen, der sad i Fangehullet, og alt det førstefødte af Kvæget.
30 Farao akaamka usiku - yeye, watumishi wake, na Wamisri. Palikuwa na kelele za maombolezo Misri, kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa.
Da stod Farao op om Natten tillige med alle sine Tjenere og alle Ægypterne, og der lød et højt Klageskrig i Ægypten, thi der var intet Hus, hvor der ikke fandtes en død.
31 Farao akamuita Musa na Aruni usiku na kusema, “Inuka, tokeni miongoni mwa watu wangu, nyie pamoja na Waisraeli. Nenda, mmuabudu Yahweh, kama mlivyo sema mnataka kufanya.
Og han lod Moses og Aron kalde om Natten og sagde: »Bryd op og drag bort fra mit Folk, I selv og alle Israeliterne, og drag ud og dyrk HERREN, som I har forlangt.
32 Chukuweni ng'ombe zenu na kondoo zenu, kama mlivyo sema, na muende, na pia mnibariki.”
Tag ogsaa eders Smaakvæg og Hornkvæg med, som I har forlangt, og drag bort; og bed ogsaa om Velsignelse for mig!«
33 Wamisri walikuwa na haraka ya kuwa ondoa nchini, kwa kuwa walisema, “Sisi ni watu tuliokufa.”
Og Ægypterne trængte paa Folket for at paaskynde deres Afrejse fra Landet, thi de sagde: »Vi mister alle Livet!«
34 Watu wakachukuwa ngano yao pasipo kuongeza hamira yeyote. Bakuli zao zakukandia ngano zilifungiwa kwenye nguo zao na kwenye mabega yao.
Og Folket tog deres Dejg med sig, før den var syret, og de bar Dejgtrugene paa Skulderen, indsvøbte i deres Kapper.
35 Watu Waisraeli walifanya kama Musa alivyo waambia. Waliwaomba Wamisri vitu vya fedha, vitu vya dhahabu, na nguo.
Men Israeliterne havde gjort, som Moses havde sagt, og bedt Ægypterne om Sølv og Guldsmykker og om Klæder;
36 Yahweh aliwafanya Wamisri na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Hivyo Wamisri waliwapa chochote walicho waomba. Katika hili, Waisraeli waliwachukulia vingi Wamisri.
og HERREN havde stemt Ægypterne gunstigt mod Folket, saa de havde givet dem, hvad de bad om. Saaledes tog de Bytte fra Ægypterne.
37 Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
Saa brød Israeliterne op fra Ra'meses til Sukkot, henved 600 000 Mand til Fods foruden Kvinder og Børn.
38 Mchanganyiko wa kundi la wasio Waisraeli pia walienda nao, pamoja na ng'ombe na kondoo, idadi kumbwa ya mifugo.
Desuden fulgte en stor Hob sammenløbet Folk med og dertil Smaakvæg og Hornkvæg, en vældig Mængde Kvæg.
39 Walioka mikate na unga wa ngano wenye hamira walio utoa Misri. Ulikuwa hauna hamira kwasababu waliondolewa Misri na hawakuweza chelewa kuandaa chakula.
Og af den Dejg, de havde bragt med fra Ægypten, bagte de usyret Brød; den var nemlig ikke syret, de var jo drevet ud af Ægypten uden at faa Tid til noget; de havde ikke engang tilberedt sig Tæring til Rejsen.
40 Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430.
Den Tid, Israeliterne havde boet i Ægypten, udgjorde 430 Aar.
41 Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
Netop paa den Dag da de 430 Aar var til Ende, drog alle HERRENS Hærskarer ud af Ægypten.
42 Huu ulikuwa usiku wakuwa macho, ili Yahweh awatoe kutoka nchi ya Misri. Huu ulikuwa usiku wa Yahweh wa kuadhimishwa na Waisraeli wote na watu wa vizazi vyao vyote.
En Vaagenat var det for HERREN, i hvilken han vilde føre dem ud af Ægypten. Den Nat er viet HERREN, en Vaagenat for alle Israeliterne, Slægt efter Slægt.
43 Yahweh akamwambia Musa na Aruni, “Hii ni sheria ya Pasaka: hakuna mgeni anaye ruhusiwa kuila.
HERREN sagde til Moses og Aron: »Dette er Ordningen angaaende Paaskelammet: Ingen fremmed maa spise deraf.
44 Walakini, kila mtumwa wa Misraeli, aliye nunuliwa kwa pesa, anaeza kula baada ya kutahiriwa.
Men enhver Træl, der er købt for Penge, maa spise deraf, saafremt du har faaet ham omskaaret.
45 Wageni na watumishi waajiriwa hawapaswi kula chakula chochote.
Ingen indvandret eller Daglejer maa spise deraf.
46 Chakula chapaswa kuliwa ndani ya nyumba moja. Hauruhusiwi kubeba nyama yeyote nje ya nyumba, na hauruhusiwi kuvunja mfumba wowote.
Det skal spises i et og samme Hus, og intet af Kødet maa bringes ud af Huset; I maa ikke sønderbryde dets Ben.
47 Jamii zote za Israeli za paswa kuadhimisha sherehe.
Hele Israels Menighed skal fejre Paasken.
48 Kama mgeni anaishi na wewe na anataka kuadhimisha Pasaka kwa Yahweh, ndugu zake wote wa kiume wapaswa kutahiriwa. Kisha anaeza kuja na kuadhimisha. Atakuwa kama watu walio zaliwa kwenye nchi. Walakini, hakuna mtu asiye tahiriwa anaruhusiwa kula chakula chochote.
Dersom en fremmed bor som Gæst hos dig og vil fejre Paaske for HERREN, da skal alle af Mandkøn hos ham omskæres; saa maa han være med til at fejre den, og han skal være ligestillet med den indfødte i Landet; men ingen uomskaaren maa spise deraf.
49 Sheria hii hii itahusika kwa mzaliwa wa asili na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
En og samme Lov skal gælde for den indfødte i Landet og for den fremmede, der bor som Gæst hos eder.«
50 Waisraeli wote walifanya kama Yahweh alivyo waamuru Musa na Aruni.
Og Israeliterne gjorde, som HERREN havde paalagt Moses og Aron.
51 Ikaja kuwa siku hiyo Yahweh akawaleta Israeli kutoka nchi ya Misri kwa makundi yalio jiami.
Paa denne selv samme Dag førte HERREN Israeliterne ud af Ægypten, Hærskare for Hærskare.

< Kutoka 12 >