< Kutoka 11 >

1 Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Bado kuna pigo moja nitalo lileta kwa Farao na Misri. Baada ya hilo, atakuacha uondoke hapa. Atakapo kuachia uende, ata kuondoa kabisa.
Adonai said to Moses [Drawn out], “Yet one plague more will I bring on Pharaoh, and on Egypt [Abode of slavery]; afterwards he will surely divorce you and let you go. When he casts you out, he will surely divorce you out altogether.
2 Waelekeze watu kwamba kila mwanaume na mwanamke amuulizie jirani yake vitu vya fedha na vitu vya dhahabu.”
Speak now in the ears of the people, and let every man ask of his neighbor, and every woman of her neighbor, jewels of silver, and jewels of gold.”
3 Sasa Yahweh aliwafanya Wamisri kuwa na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Aidha, Musa alikuwa wakuvutia sana machoni pa watumishi wa Farao na watu wa Misri.
Adonai gave the people chen ·grace· in the sight of the Egyptians [people from Abode of slavery]. Moreover the man Moses [Drawn out] was very great in the land of Egypt [Abode of slavery], in the sight of Pharaoh’s servants, and in the sight of the people.
4 Musa akasema, “Yahweh asema hivi: 'Wakati wa usiku wa manane nitaenda Misri yote.
Moses [Drawn out] said, “This is what Adonai says: ‘About midnight I will go out into the middle of Egypt [Abode of slavery],
5 Wazaliwa wa kwanza wote wa nchi ya Misri watakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, anaye keti kiti chake cha enzi, mpaka mzaliwa wa kwanza wa misichana mtumwa anaye saga mbegu, na kwa wazaliwa wa kwanza wa mifugo.
and all the firstborn in the land of Egypt [Abode of slavery] shall die, from the firstborn of Pharaoh who sits on his throne, even to the firstborn of the female servant who is behind the mill; and all the firstborn of livestock.
6 Kisha kutakuwa na kilio kikubwa nchi yote ya Misri, kama ambacho hakijawai wala hakitatokea tena.
There shall be a great cry throughout all the land of Egypt [Abode of slavery], such as there has not been, nor shall be any more.
7 Lakini ata mbwa hata bweka kwa watu wa Israeli, dhidi ya mtu au mnyama. Kwa hili utajuwa kuwa nina watendea Wamisri na Waisraeli tofauti.'
But against any of the children of Israel [God prevails] a dog won’t even bark or move its tongue, against man or animal; that you may know that Adonai makes a distinction between the Egyptians [people from Abode of slavery] and Israel [God prevails].
8 Watumishi wote hawa wako, Farao, watakuja chini yangu na kunisujudu mimi. Watasema, 'Nenda, wewe na watu wote wanao kufuata!' Baada ya hapo nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao kwa hasira kubwa.
All these servants of yours will come down to me, and bow down themselves to me, saying, “Get out, with all the people who follow you;” and after that I will go out.’” He went out from Pharaoh in hot anger.
9 Yahweh akamwambia Musa, Farao hatakusikiliza. Hii ni ili nifanye mambo ya ajabu katika nchi ya Misri.”
Adonai said to Moses [Drawn out], “Pharaoh won’t sh'ma ·hear obey· you, that my wonders may be multiplied in the land of Egypt [Abode of slavery].”
10 Musa na Aruni wakafanya mambo haya ya kushangaza mbele za Farao. Lakini Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu, na Farao hakuwaacha watu wa Israeli kuondoka katika nchi yake.
Moses [Drawn out] and Aaron [Light-bringer] did all these wonders before Pharaoh, and Adonai hardened Pharaoh’s heart, and he didn’t let the children of Israel [God prevails] go out of his land.

< Kutoka 11 >