< Esta 10 >

1 Kisha Mfalme Ahusiero akaweka kodi juu ya nchi na maeneo ya bahari.
Te te manghai Ahasuerus loh khohmuen neh tuipuei sanglak ah Ahasuerus kah saldong te a paek.
2 Mafanikio yote na nguvu na ukuu wake, pamoja na wa Modekai ambao mfalme alimwinua, yameandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu ya wafalme wa Wamedi na Waajemi.
Mordekai kah a saithainah bitat boeih neh a thayung thamal khaw, a lennah ciim neh manghai loh a pantai sak te khaw Madai neh Persia manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek moenih a?
3 Modekai Muyahudi alikuwa wa pili kutoka kwa Mfalme Ahusiero. Alikuwa mkuu na maarufu miongoni mwa ndugu zake Wayahudi, kwa sababu alitetea mahitaji ya watu wake na haki za watu na akatetea amani kwa watu wote.
Judah Mordekai he manghai Ahasuerus kah hnukthoi la om tih Judah lakli ah khaw len. A manuca boeih loh a moeithen tih a pilnam ham hnothen a toem pah. A tiingan boeih kah rhoepnah te a thui.

< Esta 10 >