< Esta 1 >

1 Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127),
У време Асвирово, а тај Асвир цароваше од Индије до Етиопије у сто и двадесет и седам земаља,
2 katika siku hizo Mfalme Ahasuero aliketi katika kiti chake cha utawala katika ngome ya Shushani.
У то време, кад сеђаше цар Асвир на престолу царства свог у Сусану царском граду,
3 mwaka wa tatu wa utawala wake aliwaandalia sherehe viongozi na watumwa wake wote. Waliohudhuria katika sherehe hiyo walikuwa wakuu wa jeshi la Uajemi na Umedi, watu wenye vyeo, na viongozi wa majimbo.
Треће године царовања свог учини гозбу свим кнезовима својим и слугама својим, те беше код њега сила персијска и мидска, властељи и управитељи земаљски;
4 Mfalme akaweka wazi utajiri na utukufu wa ufalme wake na heshima ya ukufu wa ukuu alio upata kwa siku nyingi, kwa siku180.
И он показиваше богатство и славу царства свог и дику и красоту величине своје много дана, сто и осамдесет дана.
5 Siku hizi zilipotimia, Mfalme aliaandaa karamu iliyodumu kwa siku saba. Karamu hii ilikuwa kwa watu wote walioishi katika ikulu ya Shushani, tangu mkubwa hadi mdogo. Behewa la bustani ya ikulu ya mfalme ndiyo karamu ilipofanyikia.
И после тих дана учини цар свему народу што га беше у Сусану царском граду од малог до великог гозбу за седам дана у трему у врту од царског двора.
6 Behewa la bustani lilipambwa kwa mapazia meupe ya pamba na urujuani, yalifungwa kwa kamba za kitani safi na zambarau, yakiwa yametundikwa kwa pete za fedha na nguzo za marimari. Kulikuwa na makochi ya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya marimari, mawe mekundu na meupe, na ya manjano na meusi.
Завеси бели, зелени и љубичасти беху обешени врпцама белим, ланеним и скерлетним о биочузима сребрним на ступовима мраморним; одри беху златни и сребрни по поду од зеленог, белог, жутог и црвеног мрамора.
7 Vinywaji viliandaliwa katika vikombe vya dhahabu. Na kila kikombe kilikuwa ni cha kipekee na kwa sababu ya ukarimu wa mfalme kulikuwa mvinyo mwingi.
А пиће даваху у судовима златним, и то у судовима другим и другим, а вина царског беше изобила, како може бити у цара.
8 Mfalme aliwambia wahudumu watu wagawiwe vinywaji kwa kila mtu kulingana na matakwa yake. Maana tayari mfalme alikuwa ametoa agizo kwa watumishi wa ikulu kuwafanyia wageni kulingana na matakwa ya kila mgeni.
И пићем нико не наваљиваше по наредби, јер цар беше заповедио свим приставима дома свог да чине како ко хоће.
9 Wanawake nao walikuwa wamealikwa katika karamu na Malkia Vashiti katika ikulu ya Mfalme Ahusuero.
И царица Астина учини гозбу женама у царском двору цара Асвира.
10 katika siku ya saba moyo wa mfalme ulipokuwa na furaha kwa sababu ya mvinyo, aliwaagiza Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkas (hawa saba ndio waliohudumu mbele ya mfalme)
Седми дан кад се цар развесели од вина рече Меуману, Висати, Арвони, Викти, Авакти, Зетару и Харкасу, седморици дворана који двораху пред царем Асвиром,
11 kumleta Malkia Vashiti akiwa katika mavazi yake ya kimalkia. Akiwa na lengo la kuwaonyesha watu na maakida urembo wake, maana alikuwa mrembo.
Да доведу царицу Астину пред цара под царским венцем, да покаже народима и кнезовима лепоту њену, јер беше лепа.
12 Pamoja na maagizo ya Mfalme, Malkia Vashiti alikataa kwenda kama alivyokuwa amewaagiza viongozi wake. Hivyo mfalme akakasirika sana; ghadhabu yake ikawaka ndani yake
Али царица Астина не хте доћи на реч цареву, коју јој поручи по дворанима; зато се цар врло разгневи и гнев се његов распали у њему.
13 Mfalme akawandea wenye hekima, waliofahamu nyakati (kwa kuwa huu ndio uliokuwa utaratibu wa mfalme kuhusu wale waliokuwa watalaamu wa sheria na hukumu.
И рече цар мудрацима који разумеваху времена (јер тако цар изношаше ствари пред све који разумеваху закон и правду,
14 Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, na Memucan, majimbo saba ya Uajemi na Umedi walikuwa karibu na mfalme na walikuwa na vyeo vikubwa katika ufalme.
А најближи до њега беху Карсена, Сетар, Адмата, Тарсис, Мерес, Марсена и Мемукан, седам кнезова персијских и мидских, који гледаху лице царево и сеђаху на првим местима у царству):
15 Katika kutafsiri nini kifanyike kwa mjibu wa sheria kutoka na mgomo wa Malkia Vashiti dhidi ya agizo la mfalme Ahusiero kwa Malkia Vashiti.
Шта треба по закону чинити с царицом Астином што није учинила шта је заповедио цар Асвир преко дворана?
16 Mmoja wao aliyejulikana kwa jina la Memukani alisema mbele ya Mfalme na mbele ya viongozi, Malkia Vashiti hajamkosea tu mfame na wakuu na watu wote walio katika majimbo ya mfale Ahusiero.
Тада рече Мемукан пред царем и кнезовима: Није само цару скривила царица Астина него и свим кнезовима и свим народима по свим земљама цара Асвира.
17 kwa kuwa jambo la malkia litafahamika kwa wanawake wote. watawatendea waume zao vibaya. Watasema, 'Mfalme Ahusiero Malkia Vashiti hakumtii mme wake, Mfalme Ahusiero alipotaka ahudhurie mbele yake.'
Јер ће се дело царичино разићи међу све жене, па ће презирати мужеве своје говорећи: Цар Асвир заповеди да доведу преда њ царицу Астину, а она не дође.
18 Kabla ya siku hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi walipata taarifa ya mgomo wa malkia Vashiti watawatendea waume zao, viongozi wa mfalme. kutakuwa na ghasia na nyingi hasira.
И од данас ће кнегиње персијске и мидске које чују шта је учинила царица тако говорити свим кнезовима царевим; те ће бити много пркоса и свађе.
19 kama ni jambo jema kwa mfalme, ruhusu tangazo litolewe, na iwe katika sheria ya Waajemi na Wamedi, ambao haiwezi kutanguliwa, kwamba Vashiti hatakuja tena mbele za mfalme kama malkia. Nafasi ya Vashiti apewe mwingine ambaye ni bora zaidi ya Vashiti.
Ако је угодно цару, да изиђе царска заповест од њега и да се упише међу законе персијске и мидске да је непроменљиво, да Астина не излази више пред цара Асвира и да ће цар дати њено царство другој, бољој од ње.
20 Tangazo la mfalme litakapotolewa katika ufalme wote, wanawake wote watawaheshimu waume zao, tangu mwenye cheo hadi asiye na cheo.”
И кад се заповест царева коју учини чује по царству његовом свему коликом, све ће жене поштовати своје мужеве, од великог до малог.
21 Ushauri huu ulikuwa mzuri kwa mfalme na wakuu wengine, mfalme akafamya kama Memkani alivyopendekeza.
И ово би по вољи цару и кнезовима, и учини цар како рече Мемукан.
22 Akatuma barua katika majimbo yote ya mfalme, kwa kilajambo na andiko lake, na watu kwa makabila yao. Aliamuru kwamba kila mme awe msimamizi katika nyumba yake mwenyewe. Tangazo hili lilitolewa katika lungha ya kila mtu katika ufalme.
И разасла књиге по свим земљама царским, у сваку земљу њеним писмом и сваком народу његовим језиком, да би сваки муж био господар у својој кући; и би проглашено језиком сваког народа.

< Esta 1 >