< Waefeso 5 >

1 Kwa hiyo muwe watu wa kumfuata Mungu, kama watoto wake wapendwao.
Soyez donc imitateurs de Dieu comme de bien-aimés enfants,
2 Mtembee katika pendo, vilevile kama Kristo alivyotupenda sisi, alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu. Yeye alikuwa sadaka na dhabihu, kuwa harufu nzuri ya kumfurahisha Mungu.
et marchez dans l’amour, comme aussi le Christ nous a aimés et s’est livré lui-même pour nous, comme offrande et sacrifice à Dieu, en parfum de bonne odeur.
3 Zinaa au uchafu wowote na tamaa mbaya lazima visitajwe kati yenu, kama inavyotakiwa kwa waaminio,
Mais que ni la fornication, ni aucune impureté ou cupidité, ne soient même nommées parmi vous, comme il convient à des saints;
4 wala machukizo yasitajwe, mazungumzo ya kipumbavu, au mizaha ya udhalilishaji, ambayo siyo sawa, badala yake iwepo shukrani.
ni aucune chose honteuse, ni parole folle ou plaisanterie, lesquelles ne sont pas bienséantes, mais plutôt des actions de grâces.
5 Mnaweza kuwa na uhakika ya kwamba kuna zinaa, uchafu, wala atamaniye, huyo nimwabudu sanamu, hana urithi wowote katika ufalme wa Kristo na Mungu.
Cela en effet vous le savez, connaissant qu’aucun fornicateur, ou impur, ou cupide (qui est un idolâtre), n’a d’héritage dans le royaume du Christ et de Dieu.
6 Mtu yote asikudanganye kwa maneno matupu, kwa sababu ya mambo haya hasira ya Mungu inakuja juu ya wana wasiotii.
Que personne ne vous séduise par de vaines paroles; car, à cause de ces choses, la colère de Dieu vient sur les fils de la désobéissance.
7 Hivyo usishiriki pamoja nao.
N’ayez donc pas de participation avec eux;
8 Kwa kuwa ninyi mwanzo mlikuwa giza, lakini sasa mmekuwa nuru katika Bwana. Hivyo tembeeni kama watoto wa nuru.
car vous étiez autrefois ténèbres, mais maintenant vous êtes lumière dans le Seigneur; marchez comme des enfants de lumière
9 Kwa kuwa matunda ya nuru yanajumuisha uzuri wote, haki na ukweli.
(car le fruit de la lumière [consiste] en toute bonté, et justice, et vérité),
10 Tafuta kile kinacho furahisha kwa Bwana.
éprouvant ce qui est agréable au Seigneur.
11 Usiwepo ushiriki katika kazi za giza zisizo na matunda, badala yake ziweke wazi.
Et n’ayez rien de commun avec les œuvres infructueuses des ténèbres, mais plutôt reprenez-les aussi;
12 Kwa sababu mambo yanayofanywa na wao sirini ni aibu sana hata kuyaelezea.
car les choses qu’ils font en secret, il est honteux même de les dire.
13 Mambo yote, yanapofichuliwa na nuru, huwa wazi,
Mais toutes choses, étant reprises par la lumière, sont manifestées; car ce qui manifeste tout, c’est la lumière;
14 kwa kuwa Kila kitu kilichofichuliwa kinakuwa nuruni. Hivyo husema hivi, “Amka, wewe uliyelala, na inuka kutoka wafu na Kristo atang'aa juu yako.”
c’est pourquoi il dit: « Réveille-toi, toi qui dors, et relève-toi d’entre les morts, et le Christ luira sur toi ».
15 Hivyo iweni makini jinsi mtembeavyo, siyo kama watu wasio werevu bali kama werevu.
Prenez donc garde à marcher soigneusement, non pas comme étant dépourvus de sagesse, mais comme étant sages;
16 Ukomboeni muda kwa kuwa siku ni za uovu.
saisissant l’occasion, parce que les jours sont mauvais.
17 Msiwe wajinga, badala yake, fahamuni nini mapenzi ya Bwana.
C’est pourquoi ne soyez pas sans intelligence, mais comprenez quelle est la volonté du Seigneur.
18 Msilewe kwa mvinyo, huongoza kwenye uharibifu, badala yake mjazwe na Roho Mtakatifu.
Et ne vous enivrez pas de vin, en quoi il y a de la dissolution; mais soyez remplis de l’Esprit,
19 Zungumzeni na kila mmoja wenu kwa zaburi, na sifa, na nyimbo za rohoni. Imbeni na sifuni kwa moyo kwa Bwana.
vous entretenant par des psaumes et des hymnes et des cantiques spirituels, chantant et psalmodiant de votre cœur au Seigneur;
20 Daima toa shukrani kwa mambo yote katika jina la Kristo Yesu Bwana wetu kwa Mungu Baba.
rendant toujours grâces pour toutes choses, au nom de notre seigneur Jésus Christ, à Dieu le Père;
21 Jitoeni wenyewe kila mmoja kwa mwingine kwa heshima ya Kristo.
étant soumis les uns aux autres dans la crainte de Christ.
22 Wake, jitoeni kwa waume zenu, kama kwa Bwana.
Femmes, soyez soumises à vos propres maris comme au Seigneur;
23 Kwa sababu mume ni kichwa cha mke, kama Kristo alivyo kichwa cha kanisa. Ni mwokozi wa mwili.
parce que le mari est le chef de la femme, comme aussi le Christ est le chef de l’assemblée, lui, le sauveur du corps.
24 Lakini kama kanisa lilivyo chini ya Kristo, vilevile wake lazima wafanye hivyo kwa waume zao katika kila jambo.
Mais comme l’assemblée est soumise au Christ, ainsi que les femmes le soient aussi à leurs maris en toutes choses.
25 Waume, wapendeni wake zenu kama vile Kristo alivyolipenda kanisa na akajitoa mwenyewe kwa ajili yake.
Maris, aimez vos propres femmes, comme aussi le Christ a aimé l’assemblée et s’est livré lui-même pour elle,
26 Alifanya hivyo ili liwe takatifu. Alilitakasa kwa kuliosha na maji katika neno.
afin qu’il la sanctifie, en la purifiant par le lavage d’eau par [la] parole;
27 Alifanya hivi ili kwamba aweze kujiwasilishia mwenyewe kanisa tukufu, pasipo na doa wala waa au kitu kifananacho na haya, badala yake ni takatifu lisilo na kosa.
afin que lui se présente l’assemblée à lui-même, glorieuse, n’ayant ni tache, ni ride, ni rien de semblable, mais afin qu’elle soit sainte et irréprochable.
28 Kwa njia ile ile, waume wanatakiwa kuwapenda wake zao kama miili yao. Yule ampendae mke wake anajipenda mwenyewe.
De même aussi, les maris doivent aimer leurs propres femmes comme leurs propres corps; celui qui aime sa propre femme s’aime lui-même.
29 Hakuna hata mmoja anayechukia mwili wake. Badala yake, huurutubisha na kuupenda, kama Kristo pia alivyolipenda kanisa.
Car personne n’a jamais haï sa propre chair, mais il la nourrit et la chérit, comme aussi le Christ l’assemblée:
30 Kwa kuwa sisi ni washiriki wa mwili wake.
car nous sommes membres de son corps, – de sa chair et de ses os.
31 “Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na ataungana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja”.
« C’est pour cela que l’homme laissera son père et sa mère et sera joint à sa femme; et les deux seront une seule chair ».
32 huu ulikuwa umefichika. Lakini ninasema kuhusu Kristo na kanisa.
Ce mystère est grand; mais moi je parle relativement à Christ et à l’assemblée.
33 Walakini, kila mmoja wenu lazima ampende mke wake kama mwenyewe, na mke lazima amheshimu mumewe.
Toutefois, que chacun de vous aussi en particulier aime sa propre femme comme lui-même; et quant à la femme, qu’elle craigne son mari.

< Waefeso 5 >