< Waefeso 4 >

1 Kwa hiyo, kama mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mtembee sawasawa na wito ambao Mungu aliwaita.
И тъй, аз, затворник за Господа, моля ви да се обхождате достойно на званието, към което бяхте призовани,
2 Muishi kwa unyenyekevu mkuu na upole na uvumilivu. Mkichukuliana katika upendo.
със съвършено смирение и кротост, с дълготърпение, като си претърпявате един друг с любов,
3 Fanyeni bidii kuutunza umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
и се стараете в свръзката на мира да упазите единството в Духа.
4 Kuna mwili mmoja na Roho moja, kama ambavyo pia mlikuwa mmeitwa katika uhakika wa taraja moja la wito wenu.
Има едно тяло и един Дух, както и бяхте призовани към една надежда на званието ви:
5 Na kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
един Господ, една вяра, едно кръщение
6 na Mungu mmoja na Baba wa wote. Yeye yuko juu ya yote, na katika yote na ndani ya yote.
един Бог и Отец на всички, Който е над всички, чрез всички и във всички.
7 Kwa kila mmoja wetu amepewa kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristo.
А на всеки от нас се даде благодат според мярката на това, което Христос ни е дал
8 Ni kama maandiko yasemavyo: “Alipopaa juu sana, aliongoza mateka katika utumwa. Akatoa vipawa kwa watu.”
Затова казва:
9 Ni nini maana ya, “Alipaa,” isipokuwa kwamba alishuka pia pande za chini za dunia?
(А това "възлезе" що друго значи, освен че бе и [по-напред] слязъл в местата по-долни от земята.
10 Yeye ambaye alishuka ni mtu yuleyule ambae pia alipaa mbali juu ya mbingu zote. Alifanya hivi ili uwepo wake uwe katika vitu vyote.
Тоя, Който е слязъл е същият, Който и възлезе по-горе от всичките небеса, за да изпълни всичко).
11 Kristo alitoa vipawa kama hivi: mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji, na waalimu.
И Той даде едни да бъдат апостоли, други пророци, други пък благовестители, а други пастири и учители,
12 Alifanya hivi kuwawezesha waumini kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo.
за делото на служението, за назиданието на Христовото тяло, с цел да се усъвършенствуват светиите;
13 Anafanya hivi hadi sisi sote tufikie umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu. Anafanya hivi hadi tuweze kukomaa kama wale waliofikia kimo kamili cha Kristo.
докле всички достигнем в единството на вярата и на познаването на Божия Син в пълнолетно мъжество, в мярката на ръста на Христовата пълнота;
14 Hii ni ili kwamba tusiwe tena kama watoto, tusirushwerushwe huku na huko. Ili kwamba tusichukuliwe na kila aina ya upepo wa fundisho, kwa hila za watu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka.
за да не бъдем вече деца, блъскани и завличани от всеки вятър на учение, чрез човешките заблуди, в лукавство, по измамителни хитрости;
15 Badala yake, tutaongea ukweli katika upendo na kukua zaidi katika njia zote ndani yake ambaye ndiye kichwa, Kristo.
но, действуващи истинно в любов, да порастнем по всичко в Него, Който е главата, Христос,
16 Kristo ameunganisha, kwa pamoja, mwili wote wa waumini. Umeungamanishwa pamoja na kila kiungo ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe katika upendo.
от Когото цялото тяло, сглобявано и свързано чрез доставяното от всеки става, според съразмерното действие на всяка една част, изработва растенето на тялото за своето назидание в любовта.
17 Kwa hiyo, nasema hili, na nawasihi katika Bwana: Msitembee tena kama watu wa mataifa wanavyotembea katika ubatili wa akili zao.
Прочее, това казвам и заявявам в Господа, да не се обхождате вече, както се обхождат и езичниците, по своя суетен ум,
18 Wametiwa giza katika mawazo yao. Wamefukuzwa kutoka katika uzima wa Mungu kwa ujinga ulio ndani yao kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao.
помрачени в разума, и странни на живота от Бога поради невежеството, което е в тях, и поради закоравяването на сърцето им;
19 Hawajisikii aibu. Wamejikabidhi wenyewe kwa ufisadi katika matendo machafu, katika kila aina ya uchoyo.
които, изгубили чувство, са се предали на сладострастие, да вършат ненаситно всякаква нечистота.
20 Lakini, hivi sivyo mlivyojifunza kuhusu Kristo.
Но вие не сте така познали Христа;
21 Nadhani kwamba mmesikia kuhusu yeye. Nadhani kwamba mmekuwa mkifundishwa katika yeye, kama tu ukweli ulivyo ndani ya Yesu.
понеже сте чули, и сте научили от Него, (както е истината в Исуса),
22 Lazima mvue mambo yote yanayoendana na mwenendo wenu wa zamani, utu wa zamani. Ni utu wa zamani unaooza kwa sababu ya tamaa za udanganyifu.
да съблечете, според предишното си поведение, стария човек, който тлее по измамителните страсти,
23 Vueni utu wenu wa zamani ili kwamba mfanywe upya katika roho ya akili zenu.
да се обновите в духа на своя ум,
24 Fanyeni hivi ili muweze kuvaa utu mpya, unaoendana na Mungu. Umeumbwa katika haki na utakatifu wa kweli.
и да се облечете в новия човек, създаден по образа на Бога в правда и светост на истината.
25 Kwa hiyo, weka mbali udanganyifu. “Ongeeni ukweli, kila mmoja na jirani yake,” kwa sababu tu washirika kwa kila mmoja kwa mwenzake.
Затова, като отхвърлите лъжата, говорете всеки с ближния си истина; защото сме части един на друг.
26 Mwe na hasira, lakini msitende dhambi.” Jua lisizame mkiwa katika hasira zenu.
Гневете се, но без да съгрешавате; слънцето да не залезе в разгневяването ви;
27 Msimpe Ibilisi nafasi.
нито давайте място на дявола.
28 Yeyote aibaye lazima asiibe tena. Badala yake ni lazima afanye kazi. Afanye kazi yenye manufaa kwa mikono yake, ili kwamba aweze kumhudumia mtu aliye na hitaji.
Който е крал, да не краде вече, а по-добре да се труди, като върши с ръцете си нещо полезно, за да има да отделя и на този, който има нужда
29 Kauli mbaya isitoke kinywani mwenu. Badala yake, maneno lazima yatoke katika vinywa vyenu yafaayo kwa mahitaji, kuwapa faida wale wanaosikiliza.
Никаква гнила дума да не излиза от устата ви, но онова, което е добро, за назидание според нуждата, за да принесе благодат на тия, които слушат;
30 Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu. Ni kwa Yeye kwamba mmewekewa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
и не оскърбявайте Светия Божий Дух, в когото сте запечатани за деня на изкуплението,
31 Lazima muweke mbali uchungu wote, ghadhabu, hasira, ugomvi, na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. Iweni wema ninyi kwa ninyi.
всякакво огорчение, ярост, гняв, вик и хула, заедно с всяка злоба да се махне от вас;
32 Mwe na huruma. Msameheane ninyi kwa ninyi, kama vile Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.
а бивайте един към друг благи, милосърдни; прощавайте си един на друг, както и Бог в Христа е простил на вас.

< Waefeso 4 >