< Mhubiri 2 >

1 Nikasema moyoni, “Njoo, na nitakujaribu kwa kwa furaha. Kwa hiyo furahia.” Lakini tazama, huu nao ulikuwa ni upepo wa muda.
Es sacīju savā sirdī: nu tad, gribu baudīt priekus un redzēt labas dienas; bet redzi, arī tā ir niecība!
2 Nikasema juu ya kicheko, “Ni wazimu,” na kuhusu furaha, “Yafaa nini?”
Uz smiešanos es sacīju: tu esi neprātīga, un uz prieku: ko tu dari?
3 Nikajipeleleza moyoni mwangu katika jinsi ya kutimiza hamu yangu kwa mvinyo. Nikaruhusu akili yangu iongozwe na hekima ingawa bado nilikuwa nikishikilia ujinga. Nilitaka kutafuta jambo lililo jema kwa wanadamu kufanya chini ya mbingu wakati wa siku za maisha yao.
Tad es savā sirdī apņēmos, mielot savu miesu ar vīnu, un kamēr sirds uz gudrību dotos, arī baudīt ģeķību, tiekams es redzētu, kas cilvēku bērniem labi būtu, kas tiem jādara apakš debess savā dzīvības laikā.
4 Nilitimiza mambo makubwa. Nilijenga nyumba kwa ajili yangu na kupanda miti ya mizabibu.
Es darīju lielus darbus; es uzcēlu sev ēkas, dēstīju vīna dārzus;
5 Nilitengeneza bustani na viwanja; nikapanda aina zote za matunda ndani yake.
Es sev kopu dārzus un jaukas birzes un stādīju tur visādus augļu kokus.
6 Nikatengeneza mabwawa ya maji ili kumwagilia msitu mahali miti ilikuwa imepandwa.
Es sev izraku dīķus, no tiem slacināt birzi, kur koki zaļoja.
7 Nilinunua watumwa wa kiume na wa kiume; nilikuwa na watumwa waliozaliwa katika ikulu yangu. Pia nikawa na makundi makubwa na wanyama wa kufugwa, zaidi ya mfalme yeyote aliyetawala kabla yangu katika Yerusalemu.
Es pirku kalpus un kalpones, man bija arī dzimta saime un vēršu un avju lielāks pulks, nekā visiem, kas priekš manis bijuši Jeruzālemē.
8 Pia nilijikusanyia fedha na dhahabu, hazina ya wafalme na majimbo. Nikapata waimbaji wanaume na wanawake kwa ajili yangu, na kufurahia kutoka kwa wana wa wanadamu, masulia na wanawake.
Es sev arī sakrāju sudrabu un zeltu un dārgumus no ķēniņiem un valstīm. Es sev sagādāju dziedātājus un dziedātājas, un ko cilvēku bērni mēdz iekārot, sievas pār sievām.
9 Hivyo nikawa mkuu na tajiri kuliko wote waliokuwa Yerusalemu kabla yangu, na hekima yangu ilikuwa ndani yangu.
Un es paliku lielāks un lielāks un pieņēmos pār visiem, kas priekš manis bijuši Jeruzālemē, arī mana gudrība man palika.
10 Lolote ambalo macho yangu yalikitamani sikuyazuia. Sikuuzuia moyo wangu katika furaha yeyote, kwa sababu moyo wangu ulifurahi katika katka kazi yangu zote na furaha ilikuwa ni tunu kwa kazi zangu zote.
Un visu, ko manas acis iekāroja, to es tām neatrāvu; es neliedzu savai sirdij nekāda prieka; jo mana sirds priecājās par visu manu pūliņu, un šī bija mana daļa no visa mana pūliņa.
11 Kisha nikatazama matendo yote ambayo mikono yangu iliyokwisha kuyatimiliza na juu ya kazi niliyokuwa nimeifanya, lakini tena, kila kitu kilikuwa ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo. Hakukuwa na faida chini ya jua.
Tad es uzlūkoju visus savus darbus, ko manas rokas bija darījušas, un to pūliņu, ar ko es grūti biju pūlējies, un redzi, viss bija niecība un grābstīšanās pēc vēja, un labuma nav pasaulē.
12 Kisha nikageuka kuipambanua hekima, na upumbavu na ujinga. Kwa maana ni kitu gani mfalme anayekuja baada yangu afanye, ambacho hakijafanyika?
Un es griezos, redzēt gudrību un neprātību un ģeķību. Jo ko tas cilvēks (darīs), kas nāks pēc ķēniņa? to pašu, kas jau sen darīts.
13 Kisha nikaanza kuelewa kwamba hekima ina faida kuliko upumbavu, kama nuru ilivyo bora kuliko giza.
Un es redzēju, ka gudrība ir labāka nekā ģeķība, tā kā gaisma labāka nekā tumsība.
14 Mwenye hekima hutumia macho yake katika kichwa chake kuona mahali anakoenda, lakini mpumbavu hutembea katika giza, ingawa ninafahamu kuwa mwisho wa aina moja umetunzwa kwa kila mmoja.
Gudram acis stāv galvā, un ģeķis staigā tumsībā; bet es arī manīju, kā viņiem visiem vienāds liktenis.
15 Kisha nikasema moyoni mwangu, “Kinachotokea kwa mpumbavu, ndicho kitachotokea na kwangu. Hivyo kuna utofauti gani kama mimi ni mwenye hekima sana?” Nikahitimisha moyoni mwangu, “Huu pia ni mvuke tu.”
Tad es sacīju savā sirdī: kad man tāds pat liktenis kā ģeķim, kāpēc tad es tik pārlieku esmu dzinies pēc gudrības? Un es sacīju savā sirdī: Arī tā ir niecība.
16 Kwa kuwa mwenye hekima, kama mpumbavu, hakumbukwi kwa muda mrefu. Katika siku zijazo, kila kitu kitakuwa kimesahauliwa. Mwenye hekima hufa kama navyokufa mpumbavu.
Jo gudro tāpat mūžam nepiemin kā ģeķi; jo kas tagad ir, tas nākošā laikā viss top aizmirsts, un tāpat gudrais mirst kā ģeķis.
17 Hivyo nikauchukia uhai kwa sababu kazi zote zilizofanyika chini ya jua zilikuwa mbaya kwangu. Hii ni kwa sababu kila kitu ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
Tādēļ es ienīdēju šo dzīvību, jo es turēju par ļaunu, kas pasaulē notiek; jo viss tas ir niecība un grābstīšanās pēc vēja.
18 Nikachukia yote niliyoyatimiza, ambayo nilikuwa nimekwisha yafanya chini ya jua kwa sababu ni lazima niyaache kwa mtu anaye kuja baada yangu.
Es arī ienīdēju visu savu pūliņu, ar ko es biju nopūlējies pasaulē, ka man tas bija jāpamet cilvēkam, kas būs pēc manis.
19 Na ni nani ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu? Ila atakuwa msimamizi juu ya kila kitu chini ya jua ambayo kazi yangu na hekima yangu imeyajenga. Huu pia ni mvuke.
Jo kas zin, vai viņš būs gudrs vai ģeķis; un tomēr viņš valdīs pār visu manu darbu, ar ko esmu nopūlējies, un ko ar gudrību esmu padarījis pasaulē; arī tā ir niecība.
20 Kwa hiyo moyo wangu ukaanza kukata tamaa juu ya kazi zote nilizozifanya chini ya jua.
Tāpēc es griezos, ka mana sirds apnikusi atstātos no visa tā pūliņa, ar ko biju nopūlējies pasaulē.
21 Kwa kuwa kunaweza kuwa na mtu anayefanya kazi kwa hekima, ufahamu, na umahili, lakini ataacha kila kitu alichonacho kwa mtu ambaye hajafanya chochote. Huu nao ni mvuke na hatari kubwa.
Jo jebšu kas savu darbu ar gudrību un ziņu un pareizi dara, taču viņam sava daļa jāpamet citam, kas pie tā nav strādājis; arī tā ir niecība un liela nelietība.
22 Kwa maana ni faida gani mtu hupata ambaye hufanya kazi kwa juhudi na kujaribu moyoni mwake kutimiza kazi zake chini ya jua?
Kas tad cilvēkam atlec no visa viņa darba un viņa sirds pūliņa, ar ko viņš nopūlējies pasaulē?
23 Kila siku kazi yake ni maumivu na masikitiko, hivyo wakati wa usiku roho yake haipumziki. Huu pia ni mvuke.
Jo visas viņa dienas ir sāpes, un viņa darbs ir sirdēsti, arī naktī viņa sirds nedus; tā ir arīdzan niecība.
24 Hakuna jambo jema kwa mtu yeyote zaidi ya kula na kunywa na kuridhika na kile kilichochema katika kazi yake. Nikaona kwamba ukweli huu unatoka kutoka mkononi mwa Mungu.
Vai tad nebūs labāki cilvēkam, ka viņš ēd un dzer un savai dvēselei ļauj labumu baudīt pie sava pūliņa? Bet es esmu redzējis, ka arī tas nāk no Dieva rokas.
25 Kwa kuwa ni nani anaweza kula au anaweza kupata furaha yoyote tofauti na Mungu?
Kas gan var ēst un kas var ko baudīt bez Viņa?
26 Kwa kuwa kwa kila anayemfurahisha yeye, Mungu humpa hekimana ufahamu ba furaha. Ingawa, kwa mwenye dhambi humpa kazi ya kukusanya na kutunza ili kwamba ampe mtu anayempendeza Mungu. Huu pia ni sawa na mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
Jo cilvēkam, pie kā Viņam labs prāts, Viņš dod gudrību un atzīšanu un prieku, bet grēciniekam Viņš dod grūtumu, ka tas kopj un krāj un tomēr atstāj tam, pie kā Dievam labs prāts. Arī tā ir niecība un grābstīšanās pēc vēja.

< Mhubiri 2 >