< Mhubiri 2 >

1 Nikasema moyoni, “Njoo, na nitakujaribu kwa kwa furaha. Kwa hiyo furahia.” Lakini tazama, huu nao ulikuwa ni upepo wa muda.
Kai tah ka lungbuei ah, “Cet laeh lamtah, nang te kohoenah neh kan noem eh. Te dongah hnothen te a hmuh dae te khaw a honghi he.
2 Nikasema juu ya kicheko, “Ni wazimu,” na kuhusu furaha, “Yafaa nini?”
Nueihbu te ka yan tih kohoenah neh, ‘Banim a saii he,” ka ti.
3 Nikajipeleleza moyoni mwangu katika jinsi ya kutimiza hamu yangu kwa mvinyo. Nikaruhusu akili yangu iongozwe na hekima ingawa bado nilikuwa nikishikilia ujinga. Nilitaka kutafuta jambo lililo jema kwa wanadamu kufanya chini ya mbingu wakati wa siku za maisha yao.
Ka lungbuei khuikah tah ka saa he misurtui neh dangrhoek ham, ka lungbuei he cueihnah neh hmaithawn ham, a hingnah khohnin tarhing la vaan hmuikah a saii uh te, hlang ca rhoek ham mebang a then khaw ka hmuh hil, lunghmangnah te tuuk hamla ka yaam.
4 Nilitimiza mambo makubwa. Nilijenga nyumba kwa ajili yangu na kupanda miti ya mizabibu.
Ka bibi ka rhoeng sak tih kamah ham im ka sak, kamah hamla misur ka phung.
5 Nilitengeneza bustani na viwanja; nikapanda aina zote za matunda ndani yake.
Kamah hamla dum neh khotu ka tawn tih a khuiah thing thaih boeih ka tue.
6 Nikatengeneza mabwawa ya maji ili kumwagilia msitu mahali miti ilikuwa imepandwa.
Duup thing aka poe te tui suep hamla kamah loh tuibuem ka saii.
7 Nilinunua watumwa wa kiume na wa kiume; nilikuwa na watumwa waliozaliwa katika ikulu yangu. Pia nikawa na makundi makubwa na wanyama wa kufugwa, zaidi ya mfalme yeyote aliyetawala kabla yangu katika Yerusalemu.
salpa neh salnu khaw ka lai tih im kah cacah khaw ka taengah om. Saelhung saelrhoi neh boiva khaw kamah taengah muep om tih, ka mikhmuh ah Jerusalem kah aka om boeih lakah yet.
8 Pia nilijikusanyia fedha na dhahabu, hazina ya wafalme na majimbo. Nikapata waimbaji wanaume na wanawake kwa ajili yangu, na kufurahia kutoka kwa wana wa wanadamu, masulia na wanawake.
Kamah hamla cak neh sui khaw, manghai lungthen neh paeng ka calui coeng. Kamah ham aka hlai, aka hlai rhoek khaw, hlang capa kah omthenbawnnah la rhoiding khaw ka khueh.
9 Hivyo nikawa mkuu na tajiri kuliko wote waliokuwa Yerusalemu kabla yangu, na hekima yangu ilikuwa ndani yangu.
Jerusalem ah ka rhoeng tih ka mikhmuh kah aka om boeih lakah ka lawn. Kai cueihnah khaw ka khuiah cak.
10 Lolote ambalo macho yangu yalikitamani sikuyazuia. Sikuuzuia moyo wangu katika furaha yeyote, kwa sababu moyo wangu ulifurahi katika katka kazi yangu zote na furaha ilikuwa ni tunu kwa kazi zangu zote.
Ka mik loh a hoe boeih tah ka hloh moenih. Ka lungbuei te kohoenah cungkuem lamloh ka hloh moenih. Ka thakthaenah cungkuem khuiah pataeng ka lungbuei a kohoe. He ni ka thakthaenah cungkuem dongah kai kah khoyo la a om.
11 Kisha nikatazama matendo yote ambayo mikono yangu iliyokwisha kuyatimiliza na juu ya kazi niliyokuwa nimeifanya, lakini tena, kila kitu kilikuwa ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo. Hakukuwa na faida chini ya jua.
Ka kut loh a saii bangla ka bibi boeih khaw, thakthaenah te khaw ka hoihaeng coeng. Te te saii hamla ka thakthae akhaw a honghi neh khohli doinah boeih ni he. Te dongah khomik hmuikah he rhoeikhangnah moenih.
12 Kisha nikageuka kuipambanua hekima, na upumbavu na ujinga. Kwa maana ni kitu gani mfalme anayekuja baada yangu afanye, ambacho hakijafanyika?
Cueihnah hmuh hamla anglatnah neh lunghmangnah khaw ka mael thil. Oepsoeh la a saii pah phoeiah manghai hnukah aka pawk te mebang hlang nim?
13 Kisha nikaanza kuelewa kwamba hekima ina faida kuliko upumbavu, kama nuru ilivyo bora kuliko giza.
Vangnah he hmaisuep lakah rhoeikhangnah a om bangla cueihnah he lunghmangnah lakah rhoeikhangnah om tila ka hmuh.
14 Mwenye hekima hutumia macho yake katika kichwa chake kuona mahali anakoenda, lakini mpumbavu hutembea katika giza, ingawa ninafahamu kuwa mwisho wa aina moja umetunzwa kwa kila mmoja.
Hlang cueih kah a mik tah a lu khuiah om dae aka ang tah hmaisuep ah pongpa. Te dongah amih boeih te a hmatoeng pakhat loh a mah tila ka ming van.
15 Kisha nikasema moyoni mwangu, “Kinachotokea kwa mpumbavu, ndicho kitachotokea na kwangu. Hivyo kuna utofauti gani kama mimi ni mwenye hekima sana?” Nikahitimisha moyoni mwangu, “Huu pia ni mvuke tu.”
Ka lungbuei khuiah tah, “Kai khaw aka ang kah hmatoeng bangla kamah m'mah. Te dongah metlam ka cueih tih ka hoeikhang?” ka ti. Te vaengah ka lungbuei nen tah, “He khaw a honghi coeng ni,” ka ti.
16 Kwa kuwa mwenye hekima, kama mpumbavu, hakumbukwi kwa muda mrefu. Katika siku zijazo, kila kitu kitakuwa kimesahauliwa. Mwenye hekima hufa kama navyokufa mpumbavu.
Aka ang bangla aka cueih ham khaw kumhal duela poekkoepnah om mahpawh. Oepsoeh la khohnin aka pai boeih dongah a hnilh pawn ni. Aka cueih khaw aka ang bangla duek aya?
17 Hivyo nikauchukia uhai kwa sababu kazi zote zilizofanyika chini ya jua zilikuwa mbaya kwangu. Hii ni kwa sababu kila kitu ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
Te dongah hingnah te ka hmuhuet coeng. Khomik hmuikah a saii bitat he kai ham tah thae coeng. A cungkuem he a honghi neh khohli doinah mai ni.
18 Nikachukia yote niliyoyatimiza, ambayo nilikuwa nimekwisha yafanya chini ya jua kwa sababu ni lazima niyaache kwa mtu anaye kuja baada yangu.
Ka thakthaenah boeih he ka hmuhuet coeng. Khomik hmuikah thakthaekung la ka om. Te te ka hnukah aka om hlang ham ni ka khueh eh.
19 Na ni nani ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu? Ila atakuwa msimamizi juu ya kila kitu chini ya jua ambayo kazi yangu na hekima yangu imeyajenga. Huu pia ni mvuke.
Ulong a ming huek? Lunghmang khaw hlangcueih om nim? Tedae ka thakthaenah boeih te a taemrhai hae ni. Te nen te ka thakthae tih te nen te ka cueih dae khomik hmuiah tah te khaw a honghi mai ni.
20 Kwa hiyo moyo wangu ukaanza kukata tamaa juu ya kazi zote nilizozifanya chini ya jua.
Te dongah ka lungbuei he talsae la ka mael puei. Khomik hmuiah thakthaenah cungkuem neh ka thakthae.
21 Kwa kuwa kunaweza kuwa na mtu anayefanya kazi kwa hekima, ufahamu, na umahili, lakini ataacha kila kitu alichonacho kwa mtu ambaye hajafanya chochote. Huu nao ni mvuke na hatari kubwa.
Hlang bangla cueihnah neh, mingnah neh, thoemthainah neh thakthaenah la om. Tedae amah ham aka thakthae pawt hlang te khaw a khoyo a paek. He khaw a honghi neh thae tangkik mai.
22 Kwa maana ni faida gani mtu hupata ambaye hufanya kazi kwa juhudi na kujaribu moyoni mwake kutimiza kazi zake chini ya jua?
A thakthaenah cungkuem dong neh a lungbuei kah kohnek dongah khaw hlang hamla balae aka om? Anih te khomik hmuikah thakthaekung la om.
23 Kila siku kazi yake ni maumivu na masikitiko, hivyo wakati wa usiku roho yake haipumziki. Huu pia ni mvuke.
A khohnin te nganboh, a bibi khaw konoinah boeih ni. Khoyin ah pataeng a lungbuei ip pawh. He khaw amah la a honghi ni.
24 Hakuna jambo jema kwa mtu yeyote zaidi ya kula na kunywa na kuridhika na kile kilichochema katika kazi yake. Nikaona kwamba ukweli huu unatoka kutoka mkononi mwa Mungu.
A caak tih a ok bangla hlang ham hnothen a om moenih. Tedae a hinglu a hmuh te ni a thakthaenah khui lamloh hnothen la a om. He khaw Pathen kut lamkah ni tila ka hmuh.
25 Kwa kuwa ni nani anaweza kula au anaweza kupata furaha yoyote tofauti na Mungu?
Kai lamkah rhamvoel ah unim aka ca thai tih unim aka tawn bal?
26 Kwa kuwa kwa kila anayemfurahisha yeye, Mungu humpa hekimana ufahamu ba furaha. Ingawa, kwa mwenye dhambi humpa kazi ya kukusanya na kutunza ili kwamba ampe mtu anayempendeza Mungu. Huu pia ni sawa na mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
Amah mikhmuh kah aka then hlang te tah cueihnah, mingnah neh kohoenah khaw a paek. Tedae aka tholh te tah Pathen mikhmuh kah aka then taengah paek hamla, coi hamla, calui hamla bibi a paek. He khaw a honghi neh khohli doinah mai ni.

< Mhubiri 2 >