< Mhubiri 12 >

1 Pia mkumbuke Muumba wako katika siku za za ujana, kabla ya siku za ugumu hazijaja, na kabla ya miaka haijafika utakapo sema, “Mimi sina furaha katika hizo,”
Pamiętaj więc o swoim Stwórcy w dniach swojej młodości, zanim nastaną złe dni i przyjdą lata, o których powiesz: Nie podobają mi się.
2 fanya hivi kabla ya nuru ya jua na mwezi na nyota havijawa giza, na mawingu kurudi baada ya mvua.
Zanim zaćmią się słońce, światło, księżyc i gwiazdy, a chmury powrócą po deszczu.
3 Huo utakuwa wakati ambapo mlinzi wa ikulu atatetemeka, na wanaume imara wameinama, na wanawake wanao saga kukoma, kwa sababu ni wachache, na wale wanao chungulia dirishani hawaoni vizuri tena.
W dzień, w którym trząść się będą stróże domu i pochylą się silni mężczyźni, ustaną mielący, gdyż będzie ich mało, i zaćmią się patrzące przez okna;
4 Huo utakuwa wakati ambao milango imefungwa katika mtaa, na mlio wa kusanga kukoma, wakati wanaume watasitushwa kwa mlio wa ndege, na wimbo wa sauti ya wasichana kukoma.
I zamkną się drzwi na ulicę, gdy odgłos mielenia osłabnie, gdy będzie się wstawać na głos ptaków i przycichną wszystkie córki śpiewające.
5 Utakuwa wakati ambapo watu wataogopa vilivyoinuka na hatari iliyoko barabarani, na wakati ambapo mlozi utachanua maua, na wakati panzi watakapokokotana wenyewe, na wakati ambapo hamu za asili zitakaposhindwa. Kisha mtu aenda katika nyumba yake ya milele na waombolezaji watelemka mitaani.
Gdy też będą się bać wysokich miejsc i lękać na drodze, [gdy] zakwitnie drzewo migdałowe i szarańcza będzie ciężka i pragnienie ustanie, bo człowiek idzie do [swego] wiecznego domu, a płaczący będą chodzić po ulicach;
6 Mkumbuke Muumba wako kabla ya kamba ya fedha kukatwa, au bakuli ya dhahabu kupasuka, au gudulia kuvunjwa kwenye chemuchemi, au torori la maji kuvunjika kisimani,
Zanim się zerwie srebrny sznur i stłucze złota czasza, nim rozbije się dzban u źródła i złamie się koło przy studni.
7 kabla mavumbi kurudia mahali yalipotoka, na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.
Wtedy proch powróci do ziemi, jak nią był, a duch powróci do Boga, który go dał.
8 Kama ukungu wa mvuke,” asema mwalimu, kila kitu ni mvuke upoteao.
Marność nad marnościami – mówi Kaznodzieja – wszystko to marność.
9 Mwalimu alikuwa na hekima na aliwafundisha watu maarifa. Alisoma na kuazimu na kutunga mithali nyingi katika mpangilio.
A poza tym, że Kaznodzieja był mądry, uczył lud wiedzy; rozważał, badał i ułożył wiele przysłów.
10 Mwalimu alitafuta kuandika kwa kutumia vithibitisho dhahiri, maneno ya kweli yaliyo wima.
Kaznodzieja starał się znaleźć słowa przyjemne i napisał to, co jest dobre – słowa prawdy.
11 Maneno ya watu wenye hekima ni kama mchokoo. Kama misumari ilivyogongomewa kwa undani, ndivyo yalivyo maneno ya mabwana katika mkusanyiko wa mithali zao, ambayo yamefundishwa na mchungaji mmoja.
Słowa mądrych są jak ościenie i jak gwoździe wbite przez tych, którzy je złożyli, i pochodzą od jednego pasterza.
12 Mwanangu kuwa makini na kitu zaidi, utengezaji wa vitabu vingi, ambacho hakina mwisho, na kusoma kwingi huleta uchovu mwilini.
Ponadto, mój synu, przyjmij przestrogę z tych [słów]: Pisaniu wielu ksiąg nie ma końca, a wiele nauki męczy ciało.
13 Mwisho wa jambo baada ya kila kitu umesikika, ni kwamba ni lazima umche Mungu na kushika amri zake, kwa kuwa huu ndilo jukumu lote la mwanadamu.
Wysłuchaj podsumowania wszystkiego: Bój się Boga i przestrzegaj jego przykazań. Ponieważ to jest cały [obowiązek] człowieka.
14 Kwa kuwa Mungu ataleta kila tendo hukumuni, pamoja na kila kitu kilichofichika, kizuri au kibaya.
Bóg przywiedzie bowiem każdy uczynek na sąd, nawet każdą rzecz utajoną, czy dobrą, czy złą.

< Mhubiri 12 >