< Mhubiri 10 >

1 Kama nzi walio kufa husababisha manukato kutoa harufu ya uozo, hivyo hivyo upumbavu kidogo hushinda hekima na heshima.
fly death to stink to bubble oil to mix precious from wisdom from glory folly little
2 Moyo wa mtu mwenye hekima huelekea kulia, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
heart wise to/for right his and heart fool to/for left his
3 Wakati mpumbavu anapotembea barabarani, fikira zake zina upungufu, ikithibitisha kwa kila mtu kwamba ni mpumbavu.
and also in/on/with way: road (like/as which/that fool *QK) to go: walk heart his lacking and to say to/for all fool he/she/it
4 Kama jaziba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe, usiache kazi yako. Utulivu unaweza kutuliza ukatili mkubwa.
if spirit: temper [the] to rule to ascend: rise upon you place your not to rest for healing to rest sin great: large
5 Kuna uovu niliouona chini ya jua, aina ya kosa ambalo huja kutoka kwa mtawala:
there distress: evil to see: see underneath: under [the] sun like/as unintentionally which/that to come out: come from to/for face: before [the] domineering
6 Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi, wakati watu walio faulu wanapewa nafasi za chini.
to give: put [the] folly in/on/with height many and rich in/on/with poverty to dwell
7 Nimewaona watumwa wakipanda farasi, na watu walio faulu wakitembea kama watumwa juu ya ardhi.
to see: see servant/slave upon horse and ruler to go: walk like/as servant/slave upon [the] land: soil
8 Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuja, nyoka anaweza kumuuma.
to search pit in/on/with him to fall: fall and to break through wall to bite him serpent
9 Yeyote achongaye mwawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.
to set out stone to hurt in/on/with them to break up/open tree: stick to endanger in/on/with them
10 Kama chuma bapa kisicho na makali, na mtu hainoi, kisha ni lazima atumie nguvu nyingi, lakini hekima hutoa faida kwa ufaulu.
if be blunt [the] iron and he/she/it not face to lighten and strength to prevail and advantage (to succeed *Qk) wisdom
11 Kama nyoka akiuma kabla hajafurahi, hivyo hakuna faida kwa mfurahishaji.
if to bite [the] serpent in/on/with not charm and nothing advantage to/for master: [master of] [the] tongue
12 Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma. Lakini midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe.
word lip wise favor and lips fool to swallow up him
13 Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu, ujinga hutoka, na mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya.
beginning word lip his folly and end lip: word his madness bad: evil
14 Mpumbavu huongeza maneno, lakini hakuna ajuaye kinachokuja. Ni nani ajuaye baada yake?
and [the] fool to multiply word not to know [the] man what? which/that to be and which to be from after him who? to tell to/for him
15 Jasho la wapumbavu huwavaa wao, hivyo hawajui hata barabara ya kwenda mjini.
trouble [the] fool be weary/toil him which not to know to/for to go: journey to(wards) city
16 Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
woe! to/for you land: country/planet which/that king your youth and ruler your in/on/with morning to eat
17 Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
blessed you land: country/planet which/that king your son: child noble and ruler your in/on/with time to eat in/on/with might and not in/on/with drunkenness
18 Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
in/on/with sluggishness to sink [the] rafter and in/on/with idleness hand to drip [the] house: home
19 Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.
to/for laughter to make food: bread and wine to rejoice life and [the] silver: money to answer [obj] [the] all
20 Usimlaani mfalme, hata katika akili, na usiwalaani wenye mali katika chumba chako cha kulala. Kwa kuwa ndege wa angani inaweza kuchukua maneno yako. Chochote kilicho na mabawa kinaweza kusambaza jambo.
also in/on/with knowledge your king not to lighten and in/on/with chamber bed your not to lighten rich for bird [the] heaven to go: take [obj] [the] voice and master: men (wing *QK) to tell word: thing

< Mhubiri 10 >