< Torati 8 >

1 Mnapaswa kuyashika maagizo yote ninayowapa leo, ili kwamba mweze kuishi na kuongezeka, na kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu.
You shall observe to do all the commands which I charge you today, that you may live and be multiplied, and enter in and inherit the land, which the Lord your God sware [to give] to your fathers.
2 Mtakumbuka akilini njia zote ambazo Yahwe Mungu amewaongoza miaka hii arobaini kwenye jangwa, ili kwamba apate kuwanyenyekeza, ili kwamba awajaribu kujua nini kilikuwa ndani ya mioyo yenu, kama mungeweza kuyashika maagizo yake au hapana.
And you shall remember all the way which the Lord your God led you in the wilderness, that he might afflict you, and try you, and that the things in your heart might be made manifest, whether you would keep his commandments or no.
3 Aliwanyenyekeza, na kuwafanya kuwa na njaa, na kuwalisha manna, ambayo hamkuijua na ambayo baba zenu hawakuijua. Alifanya hivyo kuwafanya nyie kujua si kwa mkate tu watu wanaishi, badala ni kwa chochote hutoka kwenye kinywa cha Yahwe kwamba watu wanaishi.
And he afflicted you and straitened you with hunger, and fed you with manna, which your fathers knew not; that he might teach you that man shall not live by bread alone, but by every word that proceeds out of the mouth of God shall man live.
4 Mavazi yenu hayakuchanika na kudondoka, na miguu yenu haikuvimba kipindi cha miaka hiyo arobaini.
Your garments grew not old from off you, your shoes were not worn from off you, your feet were not [painfully] hardened, behold! these forty years.
5 Mtatafakari katika mioyo yenu kuhusu, namna, kama mtu anavyo mwadibisha kijana wake, hivyo Yahwe Mungu wenu anawadibisha ninyi.
And you shall know in your heart, that as if any man should chasten his son, so the Lord your God will chasten you.
6 Mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, ili kwamba mweze kutembea katika njia zake na kumheshimu.
And you shall keep the commands of the Lord your God, to walk in his ways, and to fear him.
7 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi ya vijito vya maji, visima na chemchemi, vitiririkavyo kwenda kwenye mabonde na miongoni mwa milima,
For the Lord your God will bring you into a good and extensive land, where there are torrents of waters, and fountains of deep places issuing through the plains and through the mountains:
8 nchi ya ngano na shayiri, mizabibu, mtini, na komamanga; nchi mizeituni na asali.
a land of wheat and barley, [wherein are] vines, figs, pomegranates; a land of olive oil and honey;
9 Ni nchi ambayo mtakula mkate bila kupungukiwa, na ambapo mtaenda bila chochote; nchi ambayo mawe yametengenezwa kwa chuma, na kutokana na milima mtaweze kuchimba shaba.
a land on which you shall not eat your bread with poverty, and you shall not lack any thing upon it; a land whose stones are iron, and out of its mountains you shall dig brass.
10 Mtakula na kushiba, na mtambariki Yahwe Mungu wenu kwa nchi nzuri ambayo amewapa.
And you shall eat and be filled, and shall bless the Lord your God on the good land, which he has given you.
11 Iweni makini kwamba msimsahau Yahwe Mungu wenu, na kwamba msipuuzie maagizo yake, hukumu zake, na sheria zake ambazo ninakuamuru leo,
Take heed to yourself that you forget not the Lord your God, so as not to keep his commands, and his judgements, and ordinances, which I command you this day:
12 vinginenyo unapokula na ukashiba, na wakati unajenga nyumba nzuri na kuishi ndani zao.
lest when you have eaten and are full, and have built goodly houses, and lived in them;
13 Na muwe makini wakati makundi yenu na mifugo yenu ikiongezeka, na wakati wa fedha zenu na dhahabu zenu zikiongezeka, na vyote mlivyonavyo kuongezeka,
and your oxen and your sheep are multiplied to you, and your silver and your gold are multiplied to you, and all your possessions are multiplied to you,
14 basi kwamba mioyo yenu iliniuliza juu ya kumsahau Yahwe Mungu wenu-aliyewaleta kutoka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
you should be exalted in heart, and forget the Lord your God, who brought you out of the land of Egypt, out of the house of bondage:
15 Usimsahau yeye aliyewaongoza kupitia jangwa kuu na la kutisha, ambako ndani yake kulikuwa na nyoka wa moto na nge, na pitia nchi yenye kiu ambako hapakuwa na maji, ambaye yeye alileta maji toka kwenye mwamba wa jiwe.
who brought you through that great and terrible wilderness, where [is] the biting serpent, and scorpion, and drought, where there was no water; who brought you a fountain of water out of the flinty rock:
16 Ambaye aliwalisha kwenye jangwa kwa manna ambayo mababu zenu hawakuijua, ili kwamba awajaribu, kufanya uzuri kwenu mwishoni-
who fed you with manna in the wilderness, which you knew not, and your fathers knew not; that he might afflict you, and thoroughly try you, and do you good in your latter days.
17 lakini mnaweza kusema mioyoni mwenu, Nguvu yangu na mkono wangu wa uweza umepata utajiri huu wote.
Lest you should say in your heart, My strength, and the power of mine hand have wrought for me this great wealth.
18 Lakini mtamkumbuka akilini Yahwe Mungu wenu, kwa kuwa ni yeye awapae ninyi nguvu ya kupata utajiri, ili kwamba aweze kuanzisha agano lake aliloapa kwa baba zenu, kama ilivyo leo.
But you shall remember the Lord your God, that he gives you strength to get wealth; even that he may establish his covenant, which the Lord sware to your fathers, as at this day.
19 Itakuwa kwamba, kama mtamsahau Yahwe Mungu wenu na kuwaendea miungu mingine, kuibudu, na kuiheshimu, nashuhudia kinyume dhidi yenu leo kwamba mtateketea.
And it shall come to pass if you do at all forget the Lord your God, and should go after other gods, and serve them, and worship them, I call heaven and earth to witness against you this day, that you shall surely perish.
20 Kama mataifa ambayo Yahwe anatengeneza kuyaangamiza mbele yenu, hivyo mtaangamia, kwa sababu hamkusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu.
As also the other nations which the Lord God destroys before your face, so shall you perish, because you listened not to the voice of the Lord your God.

< Torati 8 >