< Torati 3 >

1 Kisha tuligeuka na kwenda njia ya juu Bashani. Ogi, mfalme wa Bashani, alikuja na kutuvamia, yeye na watu wake wote, kupigana huko Edrei.
“Bashan longpuei la n'hooi uh tih n'caeh uh vaengah khaw Bashan manghai Oga neh a pilnam pum loh caemtloek neh mamih doe ham Edrei ah ha pawk.
2 Yahwe aliniambia mimi, “Usimuogope; kwa kuwa nimekupa ushindi dhidi yake na nimewaweka watu wake wote na nchi yake chini ya utawala wako. Utamfanya kama ulivyomfanya Sihoni, mfalme wa Amorites, aliyeishi Heshbon.
Te vaengah BOEIPA loh kai te, ‘Anih neh a pilnam pum khaw, a khohmuen khaw, na kut ah kam paek coeng. Anih te rhih boeh. Heshbon ah aka ngol Amori manghai Sihon taengkah na saii bangla anih taengah saii,’ a ti.
3 Kwa hiyo Yahwe Mungu wetu pia alitupa ushindi dhidi ya Ogi mfalme wa Bashani, na watu wake wote waliwekwa chini ya utawala wetu. Na tulimpiga mpaka kufa na hakuna yoyote wa watu wake walibaki.
Bashan manghai Oga neh a pilnam boeih te khaw mamih kut dongah mamih kah Pathen BOEIPA loh m'paek van coeng dongah rhaengnaeng a om pawt hil anih te n'tloek uh.
4 Tulichukua miji yake yote kwa wakati huo; hapakuwa na mji hata mmoja ambao hatukuchukua kutoka kwao: miji sitini - mikoa ya Argobi yote, ufalme wa Ogi Bashani.
Te vaeng tue ah a khopuei rhoek boeih te n'buem uh tih amih taeng lamloh n'loh mueh khorha pakhat khaw om pawh. Bashan ah Oga ram Argob paeng boeih he khopuei sawmrhuk lo.
5 Hii ilikuwa miji iliyoimarishwa na kuta ndevu, malango, na vizuizi, hii ilikuwa licha ya vijiji vingi sana vilivyokuwa havina kuta.
Tekah khopuei boeih kah vongtung tah cak tih thohkhaih neh thohkalh khaw sang. Khopuei khat bueng lamloh vangca hlang khaw muep ping.
6 Tuliviangamiza kabisa, kama tulivyofanya kwa Sihoni mfalme wa Heshbon, kabisa tuliangamiza kila mji- wanaume na wanawake na watoto wadogo.
Heshbon manghai Sihon taengkah n'saii uh bangla amih te khaw n'thup uh tih khopuei takuem kah huta tongpa neh camoe khaw n'thup uh.
7 Lakini ng'ombe wote na mateka ya miji, tilichukua kama mateka wetu.
Tedae rhamsa boeih neh khopuei rhoek kah kutbuem te tah mamih ham ni m'poelyoe uh.”
8 Kwa wakati huo tulichukua nchi kutoka kwenye mkono wa wafalme wawili wa Amorites, waliokuwa ng'ambo ya pili ya Yordani, kutoka kwenye bonde la Arnon kwenda mlima wa Hermoni,
“Te vaengah Jordan rhalvang Arnon soklong lamkah Hermon tlang duela aka om Amori manghai rhoi kut lamkah khohmuen te n'loh uh.
9 (Mlima wa Hermoni, Wasidonia huita Sirioni, na Wamorites huita Seniri)
Hermon te Sidoni rhoek loh Sirion a ti uh tih Amori rhoek loh Senir a ti uh.
10 na miji yote ya tambarare, yote Gileadi, na yote Bashani kupita njia yote ya Salekah na Edrei, miji ya ufalme wa Ogi huko Bashani”.
Tlangkol khopuei rhoek boeih neh Gilead boeih khaw, Bashan boeih Salkhah due khaw, Bashan ah Oga ram khopuei rhoek khuikah Edrei khaw n'loh uh.
11 (Kwa mabaki ya Refaimu, mfalme Ogi pekee wa Bashani alikuwa amebaki. Tazama! Kitanda chake kilikuwa cha chuma. Hakuna huko Rabbah, ambako wazao wa Ammoni waliishi? Ilikuwa dhiraa tisa urefu na dhiraa nne upana, hiyo njia walitumia watu kupima.)
Te dongah Bashan manghai Oga bueng ni Rapha hlangrhuel la aka sueng. Te vaengah anih kah soengca thi soengca aih te hlang kah a dong la a daang te dong li neh a yun dong ko la Ammon koca rhoek kah Rabbah hmuen ah om pawt het a?”
12 “Hili eneo ambalo tulichukua kumiliki kwa wakati huo-kutoka Aroer, kwamba ni kwa bonde la Arnon, na nusu ya nchi ya mlima wa Gileadi, na miji yake-Nilimpa Reubenites na kwa Gadites.
“Te vaeng tue kah khohmuen m'pang te Arnon soklong kah Aroer neh Gilead tlang a rhakthuem neh khopuei rhoek te Reuben koca neh Gad koca taengah ka paek coeng.
13 Waliobaki wa Gileadi na Bashani yote, ufalme wa Ogi, Niliwapa nusu kabila la Manasseh: kwa wote wa Argob, na Bashani yote. (Eneo hilo linaitwa nchi ya Refaim)
Gilead kah a coih neh Oga ram Bashan pum te Manasseh koca rhakthuem taengah ka paek coeng. Bashan pum kah Argob paeng boeih he Rapha khohmuen la a khue.
14 Jair, mzao wa Manasseh, alichukuwa mkoa wote wa Argob, kuelekea mpaka wa Geshunites na wa Maacathites. Aliita mkoa hata Bashani kwa jina lake, Havvothi Jair, hadi leo.)
Manasseh capa Jair loh Argob paeng pum te Geshuri neh Maakathi khorhi duela a loh. Te dongah te rhoek te anih ming neh tihnin due, Bashan vangca, Jair a sui.
15 Nilimpa Gileadi kwa Machir.
Makir te khaw Gilead ka paek coeng.
16 Kwa Reubenites na kwa Gadites nilitoa eneo kutoka kwa Gileadi kuelekea bonde la Arnon- katikati mwa bonde ni mpaka wa eneo- na kuelekea mto wa Jabbok, ambao umepakana ni wazao wa Ammoni.
Tedae Gilead lamkah Arnon soklong due, khorhi soklong bangli neh Ammon koca rhoek kah khorhi Jabbok soklong duela,
17 Moja ya mipaka mingine pia ni tambarare ya bonde la mto wa Yordani, kutoka Chinnerethi kuelekea bahari ya Arabah(ambayo ni bahari ya Chumvi) kuelekea miteremko wa mlima wa Pisgah mashariki.
kolken neh Jordan khorhi khaw, Kinnereth lamkah kolken tuili, lungkaeh li neh khocuk Pisgah kah tuibah hmui rhoek khaw Reuben koca neh Gad koca taengah ka paek coeng.”
18 Nilikuamuru wewe kwa wakati huo, kusema, Yahwe Mungu wako amekupa nchi hii kuimiliki, wewe, wamaume wote wa vita, watapita wakiwa na silaha mbele ya ndugu zako, watu wa Israeli.
“Te vaeng tue ah ni nangmih te kang uen tih, ‘Na BOEIPA Pathen loh nangmih taengah m'paek khohmuen he pang hamla pumcum uh laeh. Israel ca rhoek tatthai hlang boeih long tah na manuca rhoek kah mikhmuh ah lan phai uh laeh,’ ka ti.
19 Lakini wake zenu, watoto wenu, na ng'ombe zenu (najua ya kuwa una ng'ombe wengi) watabaki katika miji yenu niliyowapa,
Tedae na yuu na ca rhoek neh na boiva te tah ka ming vanbangla boiva khaw muep a yet oeh pueng dongah nangmih ham kam paek na khopuei rhoek ah te om uh mai saeh.
20 mpaka Yahwe awape pumziko ndugu zenu, kama alivyo kwenu, mpaka wamiliki pia nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa ng'ambo ya pili Yordani, kisha mtageuka, kila mtu wenu, kwa mali zenu ambazo nimekwishawapa.
Nangmih bangla na manuca rhoek te BOEIPA loh a duem sak duela na BOEIPA Pathen loh amih taengah khohmuen a paek te amih loh Jordan rhalvang khaw a pang uh thil van coeng. Te dongah hlang he nangmih taengah kam paek vanbangla a rho taengla mael saeh.”
21 Nilimwamuru Yoshua kwa wakati huo, kusema, 'Macho yenu yameona yote yale Yahwe Mungu wenu amefanya kwa hawa wafalme wawili; Yahwe atafanya hivyo kwa falme zote kote mtakakoenda.
“Joshua khaw amah te vaeng tue ah ka uen tih, ‘Hekah manghai rhoi taengah na BOEIPA Pathen loh a saii boeih te na mik loh a hmuh coeng. Nang loh na kun thil ham ram boeih te khaw BOEIPA loh a saii ni.
22 Hamtawaogopa, kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ndiye atakaoawapigania.'
Nangmih hamla na BOEIPA Pathen loh a vathoh thil coeng dongah amih te rhih boeh,’ ka ti nah.”
23 Nilimsihi Yahwe kwa wakati huo, kusema,
“Amah te vaeng tue ah BOEIPA taengla ka bih tih,
24 'O Bwana Yahwe, umeanza kumuonesha mtumwa wako ukuu wako na mkono wako wa hodari; kwa kuwa nani mungu aliyeko huko mbinguni au duniani ambaye anaweza kufanya kazi zilezile kama ilivyofanya, na matendo yaleyale makuu?
‘Aw Boeipa, Yahovah nang loh na boeilennah neh na tlungluen kut te na sal taengah tueng sak hamla na tawn coeng. Nang kah bibi neh na thayung thamal bangla vaan neh diklai dongah mebang pathen long nim a saii thai bal.
25 Hebu niende juu, Ninakuoma, na nione nchi nzuri ambayo ng'ambo ya pili ya Yordani, ile nchi nzuri ya mlima, na pia Lebanoni.
Jordan rhalvang la bet ka lan mai saeh lamtah khohmuen then Lebanon tlang then te khaw ka hmu laem eh,’ ka ti nah.”
26 Lakini Yahwe alikuwa amenikasirikia mimi kwa sababu yenu, hakunisikiliza mimi. Yahwe alisema kwangu, “Hebu hii iwe ya kutosha kwako - usizungumze zaidi tena kwangu kuhusu jambo hili.
“Tedae nangmih kongah BOEIPA te kai taengah lungoe tih ka ol hnatun pawh. Te vaengah BOEIPA loh kai taengah, ‘Temah saeh ne nang te, hebang olka he kai taengah koep thui ham khoep boeh.
27 nenda juu ya kilele cha Pisgah na uinue macho yako magharibi, mashariki, kusini na mashariki; tazama kwa macho yako kwa kuwa hautaenda zaidi ya Yordani.
Pisgah som la luei lamtah tuitunli neh tlangpuei khaw, tuithim neh khocuk khaw na mik neh dan mai. Jordan he na mik neh na hmuh cakhaw na kat mahpawh.
28 Badala yake, mwelekeze Yoshua na kumtia moyo na kumuimarisha, kwa kuwa ataenda zaidi mbele ya watu, na atawasababisha kuirithi nchi ambayo mtaiona.
Tedae Joshua te uen lamtah talong khaw talong, duel khaw duel. Anih tah pilnam kah mikhmuh ah kat phai vetih na hmuh ham khohmuen te a pang ni,’ a ti.
29 Kwa hiyo tulibaki katika bonde mkabala mwa Beth Peor.
Te dongah ni Bethpeor imdan kah kolrhawk ah kho n'sak uh.”

< Torati 3 >