< Torati 29 >

1 Haya ni maneno ambayo Yahwe alimuamuru Musa kuwaambia watu wa Israeli katika nchi ya Moabu, maneno ambayo yaliongezwa katika agano alilolifanya pamoja nao kule Horebu.
To so besede zaveze, ki jo je Gospod zapovedal Mojzesu, da jo z Izraelovimi otroki sklene v moábski deželi, poleg zaveze, ki jo je z njimi sklenil na Horebu.
2 Musa aliwaita Waisraeli wote na kuwaambia, “Mmeona kila kitu ambacho Yahwe alifanya mbele ya macho yenu katika nchi ya Misri kwa Farao, kwa watumishi wake wote, na kwa nchi yake yote –
Mojzes je klical vsemu Izraelu in jim rekel: »Videli ste vse, kar je Gospod storil pred vašimi očmi v egiptovski deželi faraonu in vsem njegovim služabnikom in vsej njegovi deželi,
3 mateso makubwa ambayo macho yenu yaliona, ishara, pamoja na ile miujiza mikubwa.
velike preizkušnje, ki so jih videle tvoje oči, znamenja in tiste velike čudeže.
4 Lakini mpaka leo Yahwe hajawapatia moyo wa kufahamu, macho ya kuona, au masikio ya kusikia.
Vendar vam Gospod do tega dne ni dal srca, da zaznate, oči, da vidite in ušesa, da slišite.
5 Nimewaongoza kwa miaka arobaini jangwani; mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na ndala zenu hazikuchakaa miguuni mwenu.
Jaz sem vas štirideset let vodil po divjini. Vaša oblačila se na vas niso postarala in tvoj čevelj na tvojem stopalu se ni postaral.
6 Hamkula mkate wowote, na wala hamkunywa divai yoyote au kinywaji chochote chenye ulevi, ili kwamba muweze kujua kuwa mimi ni Yahwe Mungu wenu.
Niste jedli kruha niti pili vina ali močne pijače, da bi lahko spoznali, da jaz sem Gospod, vaš Bog.
7 Mlipokuja mahali hapa, Sihoni, mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani, walikuja dhidi yetu kutupiga, na tukawapiga.
In ko ste prišli na ta kraj, sta Sihón, kralj v Hešbónu in bašánski kralj Og, prišla ven zoper nas v bitko in mi smo ju udarili.
8 Tulichukua ardhi yao na kuwapa kama urithi Wareubeni, kwa Wagadi, na kwa nusu ya kabila ya Manase.
Zavzeli smo njuno deželo in jo izročili v dediščino Rubenovcem, Gádovcem in polovici Manásejevega rodu.
9 Kwa hiyo shikilia maneno ya agano hili na kuyatenda, ili ufanikiwe katika kila kitu ufanyacho.
Varujte torej besede te zaveze in jih izvršujte, da boste lahko uspevali v vsem svojem delu.
10 Nyie wote, mnasimama leo, mbele ya Yahwe Mungu wenu; machifu wenu, makabila yenu, wazee wenu, na maafisa wenu – wanaume wote wa Israeli,
Vsi izmed vas ta dan stojite pred Gospodom, vašim Bogom: vaši poveljniki vaših rodov, vaše starešine in vaši častniki, z vsemi Izraelovimi možmi,
11 watoto wenu, wake zenu, na wageni ambao wamo miongoni wa kambi yenu, kutoka kwa yule anayekata mbao zenu mpaka kwa yule atekaye maji.
vaši malčki, vaše žene in tvoj tujec, ki je v tvojem taboru, od sekalca tvojega lesa, do prinašalca tvoje vode,
12 Mpo hapa ili kwamba muingie katika agano la Yahwe Mungu wenu na katika kiapo ambacho Yahwe Mungu wako anafanya na wewe leo,
da bi vstopil v zavezo z Gospodom, svojim Bogom in v njegovo prisego, ki jo je Gospod, tvoj Bog, ta dan sklenil s teboj,
13 ili kwamba awafanye leo kuwa watu wake, na kwamba aweze kuwa Mungu kwa ajili yako, kama alivyonena kwako, na kama alivyoapa kwa mababu zako, kwa Abrahamu, kwa Isaka na kwa Yakobo.
da bi te ta dan lahko osnoval za svoje ljudstvo in da bi ti bil on lahko Bog, kakor ti je rekel in kakor je prisegel tvojim očetom, Abrahamu, Izaku in Jakobu.
14 Kwa maana ninafanya agano hili na kiapo hiki sio na wewe tu –
Niti te zaveze in te prisege ne sklepam samo s teboj,
15 pamoja kila mtu aliyesimama hapa pamoja nasi leo mbele ya Yahwe Mungu wetu – bali na wale ambao hawapo pamoja nasi leo pia.
temveč s tistim, ki ta dan stoji tukaj z nami pred Gospodom, svojim Bogom in tudi s tistim, ki ga ta dan ni tukaj z nami
16 Unajua jinsi tulivyoishi katika nchi ya Misri, na jinsi tulivyopenya miongoni mwa mataifa ambao uliwapita.
(kajti veste, kako smo prebivali v egiptovski deželi in kako smo prišli skozi narode, mimo katerih ste šli
17 Mmeona sanamu zao zinazokera zilizotengenezwa kwa mbao na mawe, fedha na dhahabu, ambazo zilikuwa miongoni mwenu.
in ste videli njihove ogabnosti in njihove malike, les in kamen, srebro in zlato, ki so bili med njimi)
18 Hakikisha hakuna kati yenu mwanamume, mwanamke, ukoo, au kabila ambaye moyo wake unamuacha Yahwe Mungu wetu leo, ili kwenda na kuabudu miungu ya mataifa hayo. Hakikisha hakuna kati yenu mzizi utakaozaa nyongo na pakanga.
da ne bi bilo med vami moža ali ženske ali družine ali rodu, katerega srce se ta dan obrača od Gospoda, našega Boga, da gre in služi bogovom teh narodov, da ne bi bilo med vami korenine, ki obrodi žolč in pelin
19 Wakati mtu huyo anaposikia maneno ya laana hii, atajifariji moyoni mwake na kusema, “Nitakuwa na amani, ingawa natembea katika ukaidi wa moyo wangu”. Hii itaangamiza ubichi pamoja na ukavu.
in zgodi se, ko sliši besede tega prekletstva, da se blagoslovi v svojem srcu, rekoč: ›Imel bom mir, čeprav hodim v zamisli svojega srca, da žeji dodajam pijanost.‹
20 Yahwe hatamsamehe, lakini badala yake, hasira ya Yahwe na wivu wake utambanika mtu huyo, na laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki vitakuwa juu yake, na Yahwe ataliondoa jina lake kutoka mbinguni.
Gospod mu ne bo prizanesel, temveč se bosta potem Gospodova jeza in njegova ljubosumnost kadili zoper tega človeka in vsa prekletstva, ki so zapisana v tej knjigi, bodo legla nanj in Gospod bo njegovo ime izbrisal izpod neba.
21 Yahwe atamuweka kando kwa ajili ya maafa kutoka katika makabila yote ya Israeli, kwa kuzingatia laana zote za agano ambazo zimeandikwa katika kitabu hiki cha sheria.
Gospod ga bo izmed vseh Izraelovih rodov oddvojil v zlo, glede na vsa prekletstva zaveze, ki so zapisana v tej knjigi postave,
22 Kizazi kifuatacho, watoto wako watakaoinuka baada yako, na mgeni atakayekuja kutoka nchi ya mbali, watazungumza watakapoona mapigo juu ya nchi hii na magonjwa ambayo Yahwe ameyafanya yawe –
tako da bodo rekli prihajajočemu rodu tvojih otrok, ki bodo vstali za vami in tujcu, ki bo prišel iz daljne dežele, ko bodo videli nadloge te dežele in bolezni, ki jih je Gospod položil nanjo
23 na watakapoona kuwa nchi yote imekuwa salfa na chumvi ichomayo, ambapo hakuna kitu kipandwacho au kuzaa matunda, ambapo hapaoti mmea wowote, kama anguko la Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu, ambayo Yahwe aliangamiza katika ghadhabu na hasira yake –
in da je njegova celotna dežela žveplo, sol in gorenje, da ta ni posejana niti ne vzbrsti niti nobena trava ne raste na njej, kakor razdejanje Sódome, Gomóre, Adme in Cebojíma, ki jih je Gospod uničil v svoji jezi in v svojem besu.
24 watasema kwa pamoja na mataifa mengine, “Kwa nini Yahwe amefanya hili katika nchi hii? Joto ya hasira hii kali inamaanisha nini?”
Celo vsi narodi bodo rekli: ›Zakaj je Gospod tako storil tej deželi? Kaj pomeni gorenje te velike jeze?‹
25 Kisha watu watasema, “Ni kwa sababu walitelekeza agano la Yahwe, Mungu wa mababu zao, alilofanya nao alipowatoa kutoka Misri,
Potem bodo možje rekli: ›Ker so zapustili zavezo Gospoda, Boga svojih očetov, ki jo je z njimi sklenil, ko jih je privedel ven iz egiptovske dežele,
26 na kwa sababu waliondoka na kutumikia miungu mingine na kuzisujudu, miungu ambayo hawakujiua na ambayo hakuwapatia.
kajti šli so in služili drugim bogovom in jih oboževali, bogovom, ki jih niso poznali in ki jim jih on ni dal
27 Kwa hiyo hasira ya Yahwe imewaka dhidi ya nchi hii, ili kuleta juu yake laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki.
in Gospodova jeza je bila vžgana zoper to deželo, da nadnjo privede vsa prekletstva, ki so zapisana v tej knjigi.
28 Yahwe amewang’oa kutoka nchini kwao kwa hasira, kwa ghadhanu, na kwa ghadhabu kali, na kuwatupa katika nchi nyingine, leo.
Gospod jih je v jezi izkoreninil iz njihove dežele, v besu, v velikem ogorčenju in jih vrgel v drugo deželo, kakor je to ta dan.‹
29 Mambo ya siri ni ya Yahwe Mungu wetu pekee; lakini mambo yaliyofichuliwa ni ya kwetu milele pamoja na wazawa wetu, ili tufanye maneno yote ya sheria hii.
Skrivne stvari pripadajo Gospodu, našemu Bogu, toda tiste stvari, ki so razodete, pripadajo nam in našim otrokom na veke, da lahko storimo vse besede te postave.

< Torati 29 >