< Torati 29 >

1 Haya ni maneno ambayo Yahwe alimuamuru Musa kuwaambia watu wa Israeli katika nchi ya Moabu, maneno ambayo yaliongezwa katika agano alilolifanya pamoja nao kule Horebu.
Ovo su rijeèi zavjeta koji zapovjedi Gospod Mojsiju da uèini sa sinovima Izrailjevijem u zemlji Moavskoj, osim zavjeta koji je uèinio s njima na Horivu.
2 Musa aliwaita Waisraeli wote na kuwaambia, “Mmeona kila kitu ambacho Yahwe alifanya mbele ya macho yenu katika nchi ya Misri kwa Farao, kwa watumishi wake wote, na kwa nchi yake yote –
I sazva Mojsije sve sinove Izrailjeve i reèe im: vidjeli ste sve što uèini Gospod na vaše oèi u zemlji Misirskoj Faraonu i svijem slugama njegovijem i svoj zemlji njegovoj,
3 mateso makubwa ambayo macho yenu yaliona, ishara, pamoja na ile miujiza mikubwa.
Kušanja velika, koja vidješe oèi tvoje, one znake i èudesa velika.
4 Lakini mpaka leo Yahwe hajawapatia moyo wa kufahamu, macho ya kuona, au masikio ya kusikia.
Ali vam ne dade Gospod srca, da razumijete, ni oèiju, da vidite, ni ušiju, da èujete do ovoga dana.
5 Nimewaongoza kwa miaka arobaini jangwani; mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na ndala zenu hazikuchakaa miguuni mwenu.
I vodih vas èetrdeset godina po pustinji; ne ovetšaše haljine vaše na vama, niti obuæa tvoja ovetša na nogama tvojima.
6 Hamkula mkate wowote, na wala hamkunywa divai yoyote au kinywaji chochote chenye ulevi, ili kwamba muweze kujua kuwa mimi ni Yahwe Mungu wenu.
Hljeba ne jedoste, ni piste vina i silovita piæa, da biste poznali da sam ja Gospod Bog vaš.
7 Mlipokuja mahali hapa, Sihoni, mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani, walikuja dhidi yetu kutupiga, na tukawapiga.
I kad doðoste na ovo mjesto, izide Sion car Esevonski i Og car Vasanski pred nas u boj; i pobismo ih.
8 Tulichukua ardhi yao na kuwapa kama urithi Wareubeni, kwa Wagadi, na kwa nusu ya kabila ya Manase.
I uzesmo zemlju njihovu, i dadosmo je u našljedstvo plemenu Ruvimovu i plemenu Gadovu i polovini plemena Manasijina.
9 Kwa hiyo shikilia maneno ya agano hili na kuyatenda, ili ufanikiwe katika kila kitu ufanyacho.
Zato držite rijeèi ovoga zavjeta i tvorite ih, da biste napredovali u svemu što radite.
10 Nyie wote, mnasimama leo, mbele ya Yahwe Mungu wenu; machifu wenu, makabila yenu, wazee wenu, na maafisa wenu – wanaume wote wa Israeli,
Vi stojite danas svi pred Gospodom Bogom svojim, glavari od plemena vaših, starješine vaše i upravitelji vaši, svi ljudi Izrailjci,
11 watoto wenu, wake zenu, na wageni ambao wamo miongoni wa kambi yenu, kutoka kwa yule anayekata mbao zenu mpaka kwa yule atekaye maji.
Djeca vaša, žene vaše, i došljak koji je u vašem okolu, i onaj koji ti drva sijeèe, i onaj koji ti vodu nosi.
12 Mpo hapa ili kwamba muingie katika agano la Yahwe Mungu wenu na katika kiapo ambacho Yahwe Mungu wako anafanya na wewe leo,
Da pristaneš na zavjet Gospoda Boga svojega i na kletvu njegovu, koju uèini s tobom danas Gospod Bog tvoj,
13 ili kwamba awafanye leo kuwa watu wake, na kwamba aweze kuwa Mungu kwa ajili yako, kama alivyonena kwako, na kama alivyoapa kwa mababu zako, kwa Abrahamu, kwa Isaka na kwa Yakobo.
Da te danas postavi sebi za narod i da ti on bude Bog, kao što ti je rekao i kao što se zakleo ocima tvojim, Avramu, Isaku i Jakovu.
14 Kwa maana ninafanya agano hili na kiapo hiki sio na wewe tu –
I ne s vama samima èinim ovaj zavjet i ovu kletvu;
15 pamoja kila mtu aliyesimama hapa pamoja nasi leo mbele ya Yahwe Mungu wetu – bali na wale ambao hawapo pamoja nasi leo pia.
Nego sa svakim koji danas stoji ovdje s nama pred Gospodom Bogom našim, i sa svakim koji nije danas ovdje s nama.
16 Unajua jinsi tulivyoishi katika nchi ya Misri, na jinsi tulivyopenya miongoni mwa mataifa ambao uliwapita.
Jer vi znate kako smo živjeli u zemlji Misirskoj, i kako smo prošli kroz narode kroz koje smo prošli.
17 Mmeona sanamu zao zinazokera zilizotengenezwa kwa mbao na mawe, fedha na dhahabu, ambazo zilikuwa miongoni mwenu.
I vidjeli ste gadove njihove i idole njihove od drveta i od kamena, od srebra i od zlata, koji su kod njih.
18 Hakikisha hakuna kati yenu mwanamume, mwanamke, ukoo, au kabila ambaye moyo wake unamuacha Yahwe Mungu wetu leo, ili kwenda na kuabudu miungu ya mataifa hayo. Hakikisha hakuna kati yenu mzizi utakaozaa nyongo na pakanga.
Neka ne bude meðu vama èovjeka ni žene ni porodice ni plemena, kojemu bi se srce odvratilo danas od Gospoda Boga našega da ide da služi bogovima onijeh naroda; neka ne bude meðu vama korijena na kom bi rastao otrov ili pelen,
19 Wakati mtu huyo anaposikia maneno ya laana hii, atajifariji moyoni mwake na kusema, “Nitakuwa na amani, ingawa natembea katika ukaidi wa moyo wangu”. Hii itaangamiza ubichi pamoja na ukavu.
I èuvši rijeèi ove kletve da se ne pohvali u srcu svom govoreæi: biæu miran ako uzidem za onijem što u srcu svom smislim, dodajuæi pijanstvo žeði.
20 Yahwe hatamsamehe, lakini badala yake, hasira ya Yahwe na wivu wake utambanika mtu huyo, na laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki vitakuwa juu yake, na Yahwe ataliondoa jina lake kutoka mbinguni.
Neæe Gospod oprostiti takome, nego æe se onda raspaliti gnjev Gospodnji i revnost njegova na takoga èovjeka, i pašæe na nj sva kletva koja je napisana u ovoj knjizi, i istrijebiæe Gospod ime njegovo pod nebom.
21 Yahwe atamuweka kando kwa ajili ya maafa kutoka katika makabila yote ya Israeli, kwa kuzingatia laana zote za agano ambazo zimeandikwa katika kitabu hiki cha sheria.
I odluèiæe ga Gospod na zlo od svijeh plemena Izrailjevijeh po svijem kletvama zavjeta napisanoga u knjizi ovoga zakona.
22 Kizazi kifuatacho, watoto wako watakaoinuka baada yako, na mgeni atakayekuja kutoka nchi ya mbali, watazungumza watakapoona mapigo juu ya nchi hii na magonjwa ambayo Yahwe ameyafanya yawe –
Tada æe govoriti potonji naraštaj, sinovi vaši koji nastanu iza vas, i došljak koji doðe iz daleke zemlje, kad vide zla u zemlji ovoj i bolesti, koje æe Gospod pustiti na nju,
23 na watakapoona kuwa nchi yote imekuwa salfa na chumvi ichomayo, ambapo hakuna kitu kipandwacho au kuzaa matunda, ambapo hapaoti mmea wowote, kama anguko la Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu, ambayo Yahwe aliangamiza katika ghadhabu na hasira yake –
Zemlju ovu opaljenu sumporom i solju, gdje se ne sije niti što nièe niti na njoj raste kaka biljka, kao gdje je propao Sodom i Gomor, Adama i Sevojim, koje zatr Gospod u gnjevu svojemu i u jarosti svojoj,
24 watasema kwa pamoja na mataifa mengine, “Kwa nini Yahwe amefanya hili katika nchi hii? Joto ya hasira hii kali inamaanisha nini?”
Govoriæe svi narodi: zašto uèini ovo Gospod od ove zemlje? kakva je to žestina velikoga gnjeva?
25 Kisha watu watasema, “Ni kwa sababu walitelekeza agano la Yahwe, Mungu wa mababu zao, alilofanya nao alipowatoa kutoka Misri,
I odgovaraæe se: jer odustaviše zavjet Gospoda Boga otaca svojih, koji uèini s njima kad ih izvede iz zemlje Misirske.
26 na kwa sababu waliondoka na kutumikia miungu mingine na kuzisujudu, miungu ambayo hawakujiua na ambayo hakuwapatia.
Jer idoše i služiše drugim bogovima i poklanjaše im se, bogovima kojih ne znaše i koji im ništa ne dadoše.
27 Kwa hiyo hasira ya Yahwe imewaka dhidi ya nchi hii, ili kuleta juu yake laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki.
Zato se Gospod razgnjevi na tu zemlju, i pusti na nju sva prokletstva zapisana u ovoj knjizi.
28 Yahwe amewang’oa kutoka nchini kwao kwa hasira, kwa ghadhanu, na kwa ghadhabu kali, na kuwatupa katika nchi nyingine, leo.
I istrijebi ih Gospod Bog iz zemlje njihove u gnjevu i u jarosti i u ljutini velikoj, i izbaci ih u drugu zemlju, kao što se vidi danas.
29 Mambo ya siri ni ya Yahwe Mungu wetu pekee; lakini mambo yaliyofichuliwa ni ya kwetu milele pamoja na wazawa wetu, ili tufanye maneno yote ya sheria hii.
Što je tajno ono je Gospoda Boga našega, a javno je naše i sinova naših dovijeka, da bismo izvršivali sve rijeèi ovoga zakona.

< Torati 29 >