< Torati 29 >

1 Haya ni maneno ambayo Yahwe alimuamuru Musa kuwaambia watu wa Israeli katika nchi ya Moabu, maneno ambayo yaliongezwa katika agano alilolifanya pamoja nao kule Horebu.
Voici les paroles de l’alliance que le Seigneur ordonna à Moïse de faire avec les enfants d’Israël dans la terre de Moab, outre l’autre alliance qu’il fit avec eux à Horeb.
2 Musa aliwaita Waisraeli wote na kuwaambia, “Mmeona kila kitu ambacho Yahwe alifanya mbele ya macho yenu katika nchi ya Misri kwa Farao, kwa watumishi wake wote, na kwa nchi yake yote –
Moïse donc appela tout Israël et leur dit: Vous, vous avez vu tout ce qu’a fait le Seigneur devant vous dans la terre d’Egypte, à Pharaon, à tous ses serviteurs et à toute sa terre,
3 mateso makubwa ambayo macho yenu yaliona, ishara, pamoja na ile miujiza mikubwa.
Les grandes épreuves qu’ont vues vos yeux, ces signes et ces prodiges considérables,
4 Lakini mpaka leo Yahwe hajawapatia moyo wa kufahamu, macho ya kuona, au masikio ya kusikia.
Et le Seigneur ne vous a pas donné jusqu’au présent jour un cœur intelligent, des yeux voyants et des oreilles qui peuvent entendre.
5 Nimewaongoza kwa miaka arobaini jangwani; mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na ndala zenu hazikuchakaa miguuni mwenu.
Il vous a conduits durant quarante ans à travers le désert: vos vêtements ne se sont pas usés, et la chaussure de vos pieds n’a pas été détruite de vétusté.
6 Hamkula mkate wowote, na wala hamkunywa divai yoyote au kinywaji chochote chenye ulevi, ili kwamba muweze kujua kuwa mimi ni Yahwe Mungu wenu.
Vous n’avez pas mangé de pain, vous n’avez pas bu de vin et de cervoise, afin que vous sussiez que c’est moi qui suis le Seigneur votre Dieu.
7 Mlipokuja mahali hapa, Sihoni, mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani, walikuja dhidi yetu kutupiga, na tukawapiga.
Et vous êtes venu en ce lieu, et Séhon, roi d’Hésébon, est sorti, ainsi que Og, roi de Basan, venant au-devant de nous pour le combat. Et nous les avons battus,
8 Tulichukua ardhi yao na kuwapa kama urithi Wareubeni, kwa Wagadi, na kwa nusu ya kabila ya Manase.
Et nous avons pris leur terre, et nous l’avons remise, pour la posséder, à Ruben, à Gad et à la demi-tribu de Manassé.
9 Kwa hiyo shikilia maneno ya agano hili na kuyatenda, ili ufanikiwe katika kila kitu ufanyacho.
Gardez donc les paroles de cette alliance, et accomplissez-les, afin que vous compreniez tout ce que vous faites.
10 Nyie wote, mnasimama leo, mbele ya Yahwe Mungu wenu; machifu wenu, makabila yenu, wazee wenu, na maafisa wenu – wanaume wote wa Israeli,
Vous êtes tous aujourd’hui devant le Seigneur votre Dieu, vos princes, vos tribus, les anciens et les docteurs, tout le peuple d’Israël,
11 watoto wenu, wake zenu, na wageni ambao wamo miongoni wa kambi yenu, kutoka kwa yule anayekata mbao zenu mpaka kwa yule atekaye maji.
Vos enfants et vos femmes, et l’étranger qui demeure avec vous dans le camp, excepté ceux qui coupent le bois, et ceux qui portent l’eau,
12 Mpo hapa ili kwamba muingie katika agano la Yahwe Mungu wenu na katika kiapo ambacho Yahwe Mungu wako anafanya na wewe leo,
Afin que tu entres dans l’alliance du Seigneur ton Dieu, et dans le serment que te fait aujourd’hui le Seigneur ton Dieu,
13 ili kwamba awafanye leo kuwa watu wake, na kwamba aweze kuwa Mungu kwa ajili yako, kama alivyonena kwako, na kama alivyoapa kwa mababu zako, kwa Abrahamu, kwa Isaka na kwa Yakobo.
Afin qu’il se suscite en toi un peuple, et que lui-même soit ton Dieu, comme il t’a dit, et comme il a juré à tes pères, Abraham, Isaac et Jacob.
14 Kwa maana ninafanya agano hili na kiapo hiki sio na wewe tu –
Et ce n’est pas pour vous seuls que moi, je fais cette alliance et je confirme ces serments,
15 pamoja kila mtu aliyesimama hapa pamoja nasi leo mbele ya Yahwe Mungu wetu – bali na wale ambao hawapo pamoja nasi leo pia.
Mais c’est pour tous ceux qui sont présents, et pour tous ceux qui sont absents.
16 Unajua jinsi tulivyoishi katika nchi ya Misri, na jinsi tulivyopenya miongoni mwa mataifa ambao uliwapita.
Car vous, vous savez de quelle manière nous avons habité dans la terre d’Egypte, et de quelle manière nous avons passé au milieu des nations, et qu’en les traversant,
17 Mmeona sanamu zao zinazokera zilizotengenezwa kwa mbao na mawe, fedha na dhahabu, ambazo zilikuwa miongoni mwenu.
Vous avez vu leurs abominations et leurs ordures, c’est-à-dire leurs idoles, du bois, de la pierre, de l’argent et de l’or, qu’ils adoraient.
18 Hakikisha hakuna kati yenu mwanamume, mwanamke, ukoo, au kabila ambaye moyo wake unamuacha Yahwe Mungu wetu leo, ili kwenda na kuabudu miungu ya mataifa hayo. Hakikisha hakuna kati yenu mzizi utakaozaa nyongo na pakanga.
Que s’il y avait parmi vous un homme ou une femme, une famille ou une tribu dont le cœur est aujourd’hui détourné du Seigneur notre Dieu, en sorte qu’il aille et qu’il serve les nations, et qui soit parmi vous une racine produisant du fiel et de l’amertume;
19 Wakati mtu huyo anaposikia maneno ya laana hii, atajifariji moyoni mwake na kusema, “Nitakuwa na amani, ingawa natembea katika ukaidi wa moyo wangu”. Hii itaangamiza ubichi pamoja na ukavu.
Et que quand il aura entendu les paroles de ce serment, il se flatte en lui-même, disant: La paix sera avec moi, et je marcherai dans la perversité de mon cœur: alors que la racine bien abreuvée consume celle qui a soif,
20 Yahwe hatamsamehe, lakini badala yake, hasira ya Yahwe na wivu wake utambanika mtu huyo, na laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki vitakuwa juu yake, na Yahwe ataliondoa jina lake kutoka mbinguni.
Et que le Seigneur ne lui pardonne point; mais que sa fureur et son zèle contre cet homme jettent la fumée la plus épaisse; que toutes les malédictions qui sont écrites dans ce livre s’arrêtent sur lui; que le Seigneur efface son nom de dessous le ciel.
21 Yahwe atamuweka kando kwa ajili ya maafa kutoka katika makabila yote ya Israeli, kwa kuzingatia laana zote za agano ambazo zimeandikwa katika kitabu hiki cha sheria.
Et qu’il l’extermine pour jamais de toutes les tribus d’israël, selon les malédictions, qui sont contenues dans le livre de cette loi et de l’alliance.
22 Kizazi kifuatacho, watoto wako watakaoinuka baada yako, na mgeni atakayekuja kutoka nchi ya mbali, watazungumza watakapoona mapigo juu ya nchi hii na magonjwa ambayo Yahwe ameyafanya yawe –
Et la génération suivante et les enfants qui naîtront successivement, et les étrangers qui seront venus de loin, voyant les plaies de cette terre et les infirmités dont l’aura affligée le Seigneur,
23 na watakapoona kuwa nchi yote imekuwa salfa na chumvi ichomayo, ambapo hakuna kitu kipandwacho au kuzaa matunda, ambapo hapaoti mmea wowote, kama anguko la Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu, ambayo Yahwe aliangamiza katika ghadhabu na hasira yake –
En la brûlant par le soufre et par l’ardeur du sel, de sorte qu’elle ne soit plus semée, et qu’elle ne pousse plus aucune verdure, à l’exemple de la ruine de Sodome et de Gomorrhe, d’Adama et de Séboïm, que le Seigneur renversa dans sa colère et sa fureur,
24 watasema kwa pamoja na mataifa mengine, “Kwa nini Yahwe amefanya hili katika nchi hii? Joto ya hasira hii kali inamaanisha nini?”
Et toutes les nations diront: Pourquoi le Seigneur a-t-il fait ainsi à cette terre? qu’est-ce que cette immense colère de sa fureur?
25 Kisha watu watasema, “Ni kwa sababu walitelekeza agano la Yahwe, Mungu wa mababu zao, alilofanya nao alipowatoa kutoka Misri,
Et on leur répondra: Parce qu’ils ont abandonné l’alliance du Seigneur, qu’il a faite avec leurs pères, quand il les a retirés de la terre d’Egypte;
26 na kwa sababu waliondoka na kutumikia miungu mingine na kuzisujudu, miungu ambayo hawakujiua na ambayo hakuwapatia.
Et qu’ils ont servi des dieux étrangers, qu’ils les ont adorés, des dieux qu’ils ne connaissaient pas et auxquels ils n’appartenaient pas;
27 Kwa hiyo hasira ya Yahwe imewaka dhidi ya nchi hii, ili kuleta juu yake laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki.
C’est pour cela que la fureur du Seigneur s’est irritée contre cette terre, afin qu’il amenât sur elle toutes les malédictions qui sont écrites dans ce livre;
28 Yahwe amewang’oa kutoka nchini kwao kwa hasira, kwa ghadhanu, na kwa ghadhabu kali, na kuwatupa katika nchi nyingine, leo.
Et il les a chassés de leur terre dans sa colère, dans sa fureur et dans sa plus grande indignation, et il les a jetés dans une terre étrangère, comme il est entièrement prouvé aujourd’hui.
29 Mambo ya siri ni ya Yahwe Mungu wetu pekee; lakini mambo yaliyofichuliwa ni ya kwetu milele pamoja na wazawa wetu, ili tufanye maneno yote ya sheria hii.
Les choses cachées sont au Seigneur notre Dieu, celles qui sont manifestes, à nous et à nos enfants à jamais, afin que nous accomplissions toutes les paroles de cette loi.

< Torati 29 >