< Torati 28 >

1 Utakaposikiliza kwa makini sauti ya Yahwe Mungu wako ili kwamba ushikilie amri zake zote ambazo nakuamuru leo, Yahwe Mungu wako atakuweka juu ya mataifa yote ya ulimwengu.
Tihnin kah kai loh nang kang uen a olpaek boeih he vai hamla na ngaithuen tih BOEIPA na Pathen ol te na hnatun la na hnatun atah nang te BOEIPA na Pathen loh diklai namtom rhoek boeih soah a sang la ng'khueh.
2 Baraka hizi zote zitakuja kwako na kukupita, kama utasikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako.
He yoethennah cungkuem he nang soah ha thoeng vetih nang te n'kae bitni. Na Pathen BOEIPA ol te na hnatun mak atah.
3 Utabarikiwa ndani ya mji, na utabarikiwa shambani.
Khopuei khuiah na yoethen vetih, kohong ah na yoethen ni.
4 Matunda ya mwili wako yatabarikiwa, na matunda ya ardhi yako, na matunda ya wanyama wako, ongezeko la ng’ombe wako, na wachanga wa mifugo wako.
Na bungko khuikah na thaihtae khaw, na khohmuen cangthaih khaw, na rhamsa ca khaw, na saelhung saelca khaw, suentae boiva a yoethen ni.
5 Kitabarikiwa kikapu chako na chombo cha kukandia.
Na vaihang neh na vaidambael khaw a yoethen ni.
6 Utabarikiwa utakaporudi ndani, na utabarikiwa utakapotoka nje.
Na kun na ael vaengah na yoethen vetih koep na thoeng vaengah khaw na yoethen ni.
7 Yahwe atasababisha maadui zako wanaoinuka dhidi yako kupigwa chini mbele yako; watajitokeza dhidi yako kwa njia moja lakini watakimbia mbele zako kwa njia saba.
Nang aka tlai thil na thunkha rhoek te BOEIPA loh a voeih vetih na mikhmuh ah yawk sut ni. Longpuei pakhat neh nang taengla ha khoong uh cakhaw na mikhmuh ah longpuei parhih la rhaelrham uh ni.
8 Yahwe ataamuru baraka kuja kwako katika maghala yako na katika kila unapoweka mkono wako; atakubariki katika nchi anayokupatia.
Na khai dongkah neh na kut thuengnah boeih dongkah yoethennah te BOEIPA loh nang hamla a uen vetih BOEIPA na Pathen loh nang ham a khueh khohmuen ah yoethen m'paek ni.
9 Yahwe atawaimarisha kama watu waliotengwa kwa ajili yake, kama alivyoapa kwenu, iwapo mtashikilia amri za Yahwe Mungu wenu, na kutembea katika njia zake.
BOEIPA na Pathen kah olpaek te na ngaithuen tih a longpuei ah na pongpa atah nang taengkah a toemngam vanbangla BOEIPA loh amah kah pilnam cim la nang n'thoh ni.
10 Watu wote wa ulimwengu wataona ya kwamba mmeitwa kwa jina la Yahwe, nao watawaogopa.
BOEIPA ming neh nang ng'khue te diklai pilnam rhoek loh boeih a hmuh uh vaengah nang te n'rhih bitni.
11 Yahwe atakufanya kuwa na mafanikio sana katika matunda ya mwili wako, katika matunda ya ng’ombe zako, katika matunda ya ardhi yako, katika nchi aliyoapa kwa mababu zako kuwapatia.
Na bungko thaihtae dongah BOEIPA loh hnothen nen khaw, na rhamsa ca nen khaw, nang taengah paek hamla BOEIPA loh na pa rhoek taengah a toemngam tangtae khohmuen kah na lohmuen thaihtae nen khaw nang m'baecoih sak bitni.
12 Yahwe atafungua kwako ghala lake la mbingu kuruhusu mvua juu ya ardhi katika muda sahihi, na kubariki kazi zote za mikono yako; utakopesha kwa mataifa mengi, lakini wewe hautakopa.
BOEIPA loh vaan kah a thakvoh then te nang ham hang ong vetih amah tue vaengah na khohmuen ah khotlan han tueih ni. Te vaengah na kut thueng boeih te yoethen m'paek ni. Namtom a yet cangpu na hlah vetih cangpu na rhong la na om mahpawh.
13 Yahwe atakufanya kuwa kichwa, na sio mkia; utakuwa juu tu, na hautakuwa chini, iwapo utaisikiliza amri za Yahwe Mungu wako ambazo ninakuamuru leo, ili kuzishikilia na kuzitenda,
BOEIPA na Pathen kah olpaek, tihnin ah kai loh nang kang uen he na hnatun tih vai hamla na ngaithuen atah BOEIPA loh nang te a lu la ng'khueh vetih a mai la na om mahpawh. A soii calik bueng la na om vetih a laedil ah na om mahpawh.
14 na usipogeuka kinyume na maneno yoyote ninayokuamuru leo, kulia kwako wala kushoto kwako, na kufuata miungu mingine na kuwatumikia.
Tihnin ah kai loh nang kang uen olka he pakhat khaw banvoei bantang la mangthung tak boeh. A taengah thothueng hamla pathen tloe hnukah na cet ve.
15 Lakini usiposikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako, na kushikilia amri zake zote na sheria zake ninazokuamuru leo, basi laana hizi zote zitakuja kwako na kukupita.
BOEIPA na Pathen ol te na hnatun pawt cakhaw a olpaek neh a khosing boeih he vai ham neh ngaithuen ham tihnin ah kai nang kang uen coeng dongah tahae kah rhunkhuennah rhoek he nang soah boeih thoeng vetih nang te n'kae van bitni.
16 Utalaaniwa utakapokuwa mjini, na utalaaniwa utakapokuwa shambani.
Khopuei khuiah thaephoei thil la na om vetih khohmuen ah khaw thaephoei thil la na om ni.
17 Kitalaaniwa kikapu chako na chombo chako cha kukandia.
Na vaihang neh na vaidambael te thae a phoei thil coeng.
18 Litalaaniwa tunda la mwili wako, tunda la ardhi yako, ongezeko la ng’ombe wako, na wachanga wa mifugo.
Nang kah bungko thaihtae neh lohmuen cangthaih khaw, saelhung saelca neh suentae boiva khaw thae a phoei thil ni.
19 Utalaaniwa utakaporudi, na utalaaniwa utokapo.
Na caeh vaengah thaephoei thil la na om vetih na pawk vaengah khaw thaephoei thil la na om ni.
20 Yahwe atatuma laana juu yako, kuchanganyikiwa, na shutuma katika kila jambo uwekalo mikono yako, hadi utakapoangamizwa, na hadi utakapotoweka haraka kwa sababu ya matendo yako maovu ambayo utakuwa umenitelekeza mimi.
Na kut thuengnah boeih dongah BOEIPA loh nang soah tapvoepnah, soekloeknah neh olthae kaling te han tueih ni. Te te kai nan hnoo uh vaengah na khoboe thaenah hmai ah koeloe na mitmoeng hil neh na milh hil ah na saii.
21 Yahwe atafanya pigo likung’ang’anie mpaka kukuangamiza kutoka katika nchi utakayoenda kumiliki.
BOEIPA loh nang te duektahaw neh m'ben vetih pang hamla na kun thil na khohmuen lamloh nang ng'khah ni.
22 Yahwe atakushambulia kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa homa, kwa uvimbe, na kwa kiangazi na jua kali, na kwa upepo mkali na ukungu. Hivi vitakufukuza hadi uangamie.
BOEIPA loh nang te kositloh, satloh, a phing, takling, cunghang, dung, mawn neh ng'ngawn vetih na milh van hilah nang te n'hloem ni.
23 Mbingu zilizo juu ya vichwa vyenu zitakuwa shaba, na ardhi chini yenu itakuwa chuma.
Na lu sokah vaan te rhohum la, nang hmuikah diklai ke thicung la poeh ni.
24 Yahwe atafanya mvua ya ardhi yako kuwa unga na vumbi, kutoka mbinguni vitashuka kwako, hadi utakapoangamizwa.
Na khohmuen kah khotlan te BOEIPA loh tangdik la a khueh vetih na mit na moeng duela vaan lamkah laipi loh nang ah m'vuei ni.
25 Yahwe atakusababishia upigwe mbele ya maadui zako; utawafuata kwa njia moja dhidi yao lakini utakimbia mbele zao kwa njia saba. Utapelekwa huku na kule miongoni mwa falme za nchi.
Nang te BOEIPA loh n'tulh vetih na thunkha rhoek kah mikhmuh ah na paloe ni. Anih te longpuei pakhat neh na paan cakhaw anih mikhmuh lamkah loh longpuei parhih neh na rhaelrham vetih diklai ram tom taengah ngaihuetnah la na om ni.
26 Mzoga wako utakuwa chakula kwa ndege wote wa angani na kwa wanyama wa ulimwengu; hakutakuwa na mtu wa kuwatisha.
Na rhok khaw vaan kah vaa boeih neh diklai rhamsa kah a caak la om vetih hawt uh mahpawh.
27 Yahwe atawashambulia na majipu ya Misri na vidonda, kiseyeye na mwasho ambazo hautapona.
BOEIPA loh nang te Egypt kah buhlut, tungueh, rhilcolh, phai, vinhna neh ng'ngawn vetih na hoeih thai mahpawh.
28 Yahwe atakushambulia kwa ukichaa, kwa upofu, pamoja na kuchanganyikiwa kwa akili.
BOEIPA loh nang te pavai neh, mikdael neh, thinko lungmitnah neh ng'ngawn ni.
29 Utapapasa papasa mchana kama kipofu apapasavyo usiku, na hautafanikiwa katika njia zako; daima utakandamizwa na kuporwa, na hakutakuwa na mtu wa kukuokoa.
Khohmuep khuiah mikdael loh a phatuem bangla khothun lung ah khaw aka phatuem la na om vetih na longpuei te thaihtak mahpawh. Na hing tue khui boeih ah hlang kah a hnaemtaek neh a rheth ham koi bueng la na om vetih aka khang om mahpawh.
30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamkamata na kumbaka. Utajenga nyumba lakini hautaishi ndani mwake; utapanda shamba la mizabibu lakini hautafurahia matunda yake.
Yuu na bae cakhaw hlang tloe loh a ih a ih puei vetih im na sa cakhaw a khuiah na om hae mahpawh. Misur na phung cakhaw na uem hae mahpawh.
31 Ng’ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako, lakini hautakula nyama yake; punda wako atachukuliwa kwa nguvu mbele yako na hatarejeshwa kwako. Kondoo wako watapewa maadui zako, na hautakuwa na mtu wa kukusaidia.
Na vaito khaw na mikhmuh ah a ngawn suidae na ca mahpawh. Na laak te na mikhmuh ah hang rhawth vetih namah taengla ha bal mahpawh. Na boiva te na thunkha taengla a paek vetih nang aka rhun te om mahpawh.
32 Watoto wa kiume na mabinti zako watapewa kwa watu wengine; macho yako yatawatafuta siku nzima, lakini yatashindwa kwa shauku juu yao. Hakutakuwa na nguvu mikononi mwako.
Na capa rhoek neh na canu rhoek te pilnam tloe taengla a paek te na mik loh a hmuh ni. Te vaengah amih te hnin takuem ngaidam cakhaw na kut loh Pathen taengla pha mahpawh.
33 Mavuno ya ardhi yako na ya kazi yako yote – taifa usilolijua litayatafuna; daima utaonewa na kugandamizwa,
Pilnam loh na khohmuen cangthaih neh na thaphu boeih han caak te na ming. Hnin takuem hnaemtaek neh neet koi bueng la na om ni.
34 ili upatwe na wazimu kwa yale utakayoona yakitendeka.
Na mikhmuh kah a hmuethma te na hmuh vaengah pavai la na coeng ni.
35 Yahwe atakushambulia kwenye magoti na miguu kwa majibu makali ambayo hutaweza kupona, kutoka chini ya miguu yako mpaka juu ya kichwa chako.
Khuklu neh phai dongkah buhlut thae neh BOEIPA loh nang ng'ngawn vetih na kho khopha lamloh na luki duela na hoeih thai mahpawh.
36 Yahwe atawachukua pamoja na mfalme ambaye mtakuwa mmemuweka juu yenu kwa taifa ambalo hamjalijua, wala nyie au mababu zenu; kule mtaabudu miungu mingine ya mbao na mawe.
Namah neh namah soah na ludoeng na manghai te namah neh na pa rhoek a ming mueh namtom taengla BOEIPA loh n'thak koinih lungto thingngo pathen tloe ni tho na thueng hae eh.
37 Nawe utakuwa chanzo cha kitisho, mithali, na uvumi, miongoni mwa watu wote ambako Yahwe atakupeleka.
Tedae BOEIPA loh nang te m'vai vetih pilnam boeih taengah imsuep la, thuidoeknah la, thuinuetnah la na om ni.
38 Utaweka mbegu nyingi shambani, lakini utakusanya mbegu chache, kwa maana nzige itaziangamiza.
Lohma ah cangtii muep na khuen cakhaw kaisih loh a hnom vetih hah na coi ni.
39 Utapanda mashamba ya mizabibu na kuyapalilia, lakini hautakunywa divai yoyote, wala hautakusanya matunda yoyote, kwa maana funza watayala.
Misur na phung tih na thotat cakhaw, misurtui na o mahpawh. Phol loh a caak vetih na yoep mahpawh.
40 Utakuwa na miti ya mizeituni katika eneo lako, lakini hautajipaka mafuta yoyote juu yako, kwa maana mti wako wa mzeituni utaangusha matunda yake.
Na khorhi boeih ah nang hamla olive om cakhaw na olive te hul vetih situi khaw na hluk hae mahpawh.
41 Utakuwa na wana wa kiume na mabinti, lakini hawatabaki kuwa wako, kwani watachukuliwa mateka.
Capa canu na cun cakhaw tamna la cet uh vetih nang taengah om uh mahpawh.
42 Miti yako yote na matunda ya ardhi yako – nzige watajitwalia.
Na thingkung boeih neh khohmuen thaihtae te tungrhit loh a thok sak ni.
43 Mgeni aliye miongoni mwako atainuka juu zaidi yako juu na juu; wewe mwenyewe utashuka chini na chini.
Na taengkah yinlai loh nang soah a so, so la pongpa vetih nang te a dang dang la na suntla ni.
44 Atakukopesha, lakini hautamkopesha; atakuwa kichwa, nawe utakuwa mkia.
Nang taengah cangpu han hlah lat vetih nang loh anih cangpu na hlah thai mahpawh. Anih te a lu la om vetih nang te a mai la na om ni.
45 Laana hizi zote zitakujia juu yako na kukuandama na kukupita hadi utakapoangamizwa. Hii itatokea kwa sababu haukuisikia sauti ya Yahwe Mungu wako, ili kushikilia amri na maagizo yake aliyokuamuru.
A olpaek neh a khosing ngaithuen ham te nang kang uen lalah BOEIPA na Pathen ol te na ngai pawt atah he rhoek kah rhunkhuennah boeih he nang soah thoeng ni. Na mitmoeng duela nang n'hloem vetih n'tuuk ni.
46 Laana hizi zitakuwa juu yako kama ishara na miujiza, na juu ya uzao wako milele.
Kumhal ah namah ham neh na tii na ngan ham miknoek neh kopoekrhai la om uh ni.
47 Kwa sababu hukumuabudu Yahwe Mungu wako kwa shangwe na furaha moyoni mwako ulipokuwa na mafanikio,
Cangpai a khawk vaengah kohoenah thinko thennah neh BOEIPA na Pathen taengah tho na thueng pawh.
48 kwa hiyo utatumikia maadui ambao Yahwe atatuma dhidi yako; utawatumikia katika njaa, katika kiu, katika uchi, na katika umaskini. Ataweka mzigo wa chuma juu ya shingo yako hadi akuangamize.
Te dongah BOEIPA loh nang taengla na thunkha han tueih te khokha khui neh tuihalh khui ah, pumtling la, a cungkuem dongah kaktahnah neh na tho na tat ni. Nang te amah la na mitmoeng hil na rhawn dongah thi hnamkun han tloeng ni.
49 Yahwe ataleta taifa dhidi yako kutoka mbali, kutoka mwisho wa ulimwengu, kama tai arukaye kwa mhanga wake, taifa ambalo lugha yake hauelewi;
A ol na yakming pawh namtu, diklai khobawt khohla lamkah atha bangla aka ding namtu,
50 taifa lenye sura katili ambalo haliheshimu wazee na halionyeshi fadhila kwa wadogo.
maelhmai aka tlung, patong maelhmai aka dan pawt tih camoe aka rhen pawh namtu, te BOEIPA loh nang taengla hang khuen ni.
51 Watakula wachanga wa ng’ombe wako na matunda ya ardhi yako hadi utakapoangamizwa. Hawatawaachia nafaka, divai mpya, au mafuta, wachanga wa ng’ombe au mifugo yako, hadi watakaposababisha kutoweka kwako.
Na mitmoeng duela na rhamsa ca neh na khohmuen thaihtae te han caak ni. Cangpai misur thai situi khaw nang hamla paih mahpawh. Nang kah saelhung saelca neh suentae boiva te a milh sak ni.
52 Watawazingira katika malango ya miji yenu, hadi kuta zenu ndefu na imara zitakaposhuka chini ardhini, kuta ambazo mliziamini. Watawazingira ndani ya malango ya miji yenu kotekote katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu amewapatia.
Nang kah hmuen sang vongtung neh na khohmuen tom kah na pangtung thil na vong cak loh tim hlan khuiah na vongka khui tom ah nang te n'daengdaeh vetih, BOEIPA na Pathen loh nang m'paek na khohmuen pum kah na vongka khui tom ah nang te n'daengdaeh ni.
53 Utakula tunda la mwili wako mwenyewe, nyama ya watoto wa kiume na binti zako, ambao Yahwe Mungu wako aliwapatia, katika uvamizi na katika dhiki ambayo adui zako wataweka juu yako.
Te vaengah na bungko thaihtae lamkah na capa neh na canu saa te na caak ni. Te te na thunkha loh nang soah a caeknah la vongup ah n'kilh dongah ni na Pathen BOEIPA loh nang taengah m'paek.
54 Mwanamume laini na mlegevu miongoni mwenu – atakuwa na wivu kwa kaka yake na kwa mkewe, na kwa watoto wowote waliosalia.
Na khuikah tongpa mongkawt hlangcong loh a manuca, a rhang kah a yuu neh a ca hlangrhuel la aka om te mat a mik ee ni.
55 Kwa hiyo hatawapatia kati yao nyama ya watoto wake ambayo ataenda kuila, kwa sababu hatabakiwa na chochote katika uvamizi na dhiki ambayo adui yako ataiweka juu yako ndani ya malango yote ya mji wako.
Na vongka pum kah vongup ah na thunkha loh nang te a caeknah la n'kilh vaengah ba pakhat khaw a coih pah mahpawh. Te dongah a ca saa te hnap a caak vetih hlang pae mahpawh.
56 Mwanamke laini na mlegevu miongoni mwenu, ambaye hatadiriki kuweka tako la mguu wake ardhini kwa sababu ya ulaini na maringo yake – atakuwa na wivu kwa mume kipenzi wake mwenyewe, kwa mtoto wake wa kiume, na kwa binti yake,
Na khuikah mongkawt nu neh a kho khopha te diklai dongah khueh ham aka noem pawh hlangcong khaw, pang a dok neh mueltuetnah lamloh a rhang dongkah a va taengah, a capa taengah, a canu taengah a mik lolh ni.
57 na kwa mtoto wake mchanga atakayetoka katikati ya miguu yake, na kwa watoto atakayewazaa. Atawala kwa siri kwa kukosa kitu kingine, katika uvamizi na dhiki ambayo adui yako ataweka juu yako ndani ya malango ya mji wako.
Na thunkha loh nang te na vongka khuiah a caeknah la n'kilh vaengah a kho laklo lamloh aka thoeng a casak neh a cun nawn amah ca pataeng vongup khuikah yinhnuk ah thincavat la boeih a caak ni.
58 Iwapo hautashika maneno yote ya sheria yaliyoandikwa katika kitabu hiki, ili kuheshimu jina hili tukufu na la kutisha, Yahwe Mungu wako,
A ming thangpom ham neh rhih ham aka om BOEIPA na Pathen rhih ham tahae kah cabu dongah a daek olkhueng ol boeih he vai hamla na ngaithuen pawt atah,
59 basi Yahwe atafanya mapigo yako kuwa ya kutisha, na yale ya wazao wako; yatakuwa mapigo makuu, ya muda mrefu, na magonjwa makali, ya muda mrefu.
BOEIPA loh na hmasoe khaw, na tiingan kah hmasoe khaw, hmasoe puei neh na muei a puel sak ni. Te vaengah tloh thae na kaem vetih na ngoi ni.
60 Ataleta juu yako mara nyingine magonjwa yote ya Misri ambayo ulikuwa unayaogopa; yatakung’ang’ania.
Nang taengla ha tlung vaengah na rhih Egypt tloh boeih te nang soah ham phoe sak ni.
61 Pia kila gonjwa na pigo ambalo halijaandikwa katika kitabu cha sheria hii, hayo pia Yahwe atayaleta juu yako hadi utakapoangamizwa.
Na mit na moeng duela olkhueng cabu dongkah a daek mueh tlohtat cungkuem neh hmasoe cungkuem te nang soah BOEIPA loh ham phoe sak ni.
62 Utabaki wachache kwa idadi, ingawa ulikuwa kama nyota wa mbinguni kwa idadi, kwa sababu haukuisikiliza sauti ya Yawhe Mungu wako.
BOEIPA na Pathen ol te na ngai pawt dongah vaan aisi bangla khawk na om uh cakhaw hlang sii la na cul ni.
63 Kama vile hapo awali Yawhe alivyofurahia juu yako na kutenda mema, na kuwazidisha, basi atafurahia juu yako kwa kufanya upotee na kwa kukuangamiza. Utang’olewa katika nchi utakayoenda kuimiliki.
BOEIPA loh nangmih khophoengpha sak ham neh ping sak ham a ngaingaih vanbangla nangmih te milh sak ham neh mitmoeng sak ham khaw BOEIPA a ngaingaih dongah pang hamla na kun thil khohmuen lamloh m'phuk ni.
64 Yahwe atakusambaza miongoni mwa watu wote kutoka mwisho mmoja wa dunia hadi mwisho mwingine wa dunia; huko utaabudu miungu mingine ambayo hujawajua, wewe wala mababu zako, miungu ya mbao na jiwe.
Diklai khobawt lamloh diklai khobawt duela pilnam tom taengah BOEIPA loh nang te n'taekyak bal vetih na pa rhoek neh namah long khaw na ming noek pawh lungto thingngo pathen tloe taengah tho na thueng ni.
65 Miongoni mwa mataifa haya hautapata utulivu, na hakutakuwa na pumziko chini ya miguu yako; badala yake, Yahwe atakupatia huko moyo wa kutetemeka, macho yanayofeli na nafsi inayoomboleza.
Namtom rhoek taengah hoep tlaih pawt vetih na khopha ham pataeng ngolbuel om mahpawh. Te vaengah BOEIPA loh nang te lungbuei lingloeng neh mik khahoeinah, hinglu yunghoepnah m'paek ni.
66 Maisha yako yataning’inia kwa mashaka mbele yako; utaogopa kila usiku na mchana na hutakuwa na uhakika kabisa maishani mwako.
Na hmailong ham khaw na hingnah loh ngaihuet ngaikaek la om vetih khoyin khothaih birhih hut la na hingnah khaw na tangnah tlaih mahpawh.
67 Asubuhi utasema, “Natamani ingekuwa jioni!” na jioni utasema, “Natamani ingekuwa asubuhi!” kwa sababu ya hofu mioyoni mwenu na vitu ambavyo macho yako italazimu kuona.
Na mik neh a hmuethma na hmuh vaengah na thinko kah birhihnah neh na birhih ni. Mincang pueng ah kholaeh ka pha venim na ti vetih hlaemhmah vaengah mincang ka pha venim na ti ni.
68 Yahwe atakuleta Misri mara nyingine kwa meli, kwa njia ambayo nilikuambia, “Hutaiona Misri tena”. Kule utajitoa kuuzwa kwa maadui zako kama watumwa wa kiume na kike, lakini hakutakuwa na mtu wa kuwanunua.
Nang taengah ka thui longpuei kah sangpho te hmuh hamla koep khoep boeh. BOEIPA loh nang Egypt la koep m'bal sak ve. Na thunkha rhoek taengah namah te salnu salpa la pahoi na yoi uh cakhaw n'lai uh mahpawh.

< Torati 28 >