< Torati 25 >

1 Iwapo kutakuwa na malumbano kati ya wanaume na wakaenda mahakamani, na waamuzi wakawahukumu, basi watamwachilia mtakatifu na kumhukumu muovu.
Kad starp vīriem ir kāda ķilda un tie ies priekš tiesas, tad soģiem tos būs tiesāt un taisno taisnot un netaisno notiesāt.
2 Iwapo mwanamume mwenye hatia anastahili kupigwa, basi muamuzi atamfanya alale chini na kupigwa mbele zake kwa idadi iliyoamriwa kulingana na kosa lake.
Un ja tas vainīgais sitienus pelnījis, tad lai soģis tam liek mesties zemē, un klāt būdams tam liek sitienus dot ar skaitu pēc viņa vainas.
3 Muamuzi anaweza kumpatia mapigo arobaini, lakini hapaswi kuvuka idadi hiyo; kwa maana akivuka idadi hiyo na kumpiga kwa mapigo mengi zaidi, basi Muisraeli mwenzako atakuwa kaaibishwa mbele ya macho yenu.
Četrdesmit sitienus lai tam liek dot; Ne vairāk, lai, ja to vēl vairāk sistu pāri par to, tavs brālis nekļūst nicināts tavās acīs. -
4 Haupaswi kumfunga punda wako pua na mdomo anapokuwa akilima shamba lako.
Vērsim, kas labību min, tev nebūs purnu apsiet.-
5 Iwapo kaka wanaishi pamoja na mmoja wao akafariki bila kuwa na mwana, basi mke wa marehemu hatakiwi kuolewa na mtu nje ya familia. Badala yake, kaka yake mumewe anapaswa kulala naye na kumchukua kuwa mke wake na kutekeleza wajibu wa kaka wa mume kwake.
Kad brāļi kopā dzīvo un viens no tiem mirst un tam dēla nav, tad tā mirušā sievai nebūs (par sievu) tapt citam kādam svešam vīram, bet tā vīra brālis lai pie viņas ieiet un to ņem par sievu, un tai dara, kas vīra brālim pienākas.
6 Hii ni kwamba mtoto wa kwanza atakayezaliwa arithi chini ya jina la kaka yake mwanamume aliyefariki, ili jina lake lisiangamie ndani ya Israeli.
Un to pirmdzimušo, ko viņa dzemdēs, viņam būs likt sava nomirušā brāļa vārdā, lai viņa vārds no Israēla netop izdeldēts.
7 Lakini kama mwanamume hataki kumchukua mke wa kaka yake awe wake, basi mke wa kaka yake anapaswa kwenda malangoni mpaka kwa wazee na kusema, “Kaka wa mume wangu amekataa kuwajibika kwa niaba ya jina la kaka yake humu Israeli; hataki kufanya wajibu wa kaka wa mume kwangu”.
Bet ja šim vīram nepatīk ņemt sava brāļa sievu, tad lai tā brāļa sieva iet pie tiem vecajiem vārtos un lai saka: mans vīra brālis liedzās savam brālim celt vārdu iekš Israēla; viņš man negrib darīt, kas vīra brālim pienākas.
8 Kisha wazee wa mji wake wanapaswa kumuita na kuzungumza naye. Lakini tuseme atasisitiza na kusema, “Sitaki kumchukua”.
Tad lai pilsētas vecaji viņu aicina un uz viņu runā; ja tad viņš pastāv un saka: man nepatīk viņu ņemt; -
9 Basi mke wa kaka yake anatakiwa kuja kwake mbele ya wazee, kumvua ndara zake miguuni mwake, na kumtemea usoni. Anapaswa kumjibu na kusema, “Hivi ndivyo kinachofanyika kwa mwanamume asiyetaka kujenga nyumba ya kaka yake”.
Tad lai viņa brāļa sieva iet pie viņa priekš vecaju acīm, un lai viņam novelk kurpi no kājas un lai viņam spļauj vaigā; un lai viņa atbild un saka: tā lai notiek tam vīram, kas negrib uzcelt sava brāļa namu.
10 Jina lake Israeli litaitwa, “Nyumba ya mtu aliyevuliwa ndara zake”.
Un viņa vārds iekš Israēla taps nosaukts baskājas nams. -
11 Iwapo wanamume wamepigana wao kwa wao, na mke wa mmoja wao kaja kumkomboa mumewe dhidi ya yule aliyempiga, naye akanyosha mkono wake na kumshika sehemu za siri,
Kad vīri viens ar otru kaujās, un tā viena sieva pieiet izglābt savu vīru no viņa sitēja rokas un izstiepj savu roku un sagrābj viņa kaunumu,
12 basi unapaswa kuukata mkono yake; jicho lako halipaswi kuwa na huruma.
Tad tev to roku viņai būs nocirst, - lai tava acs nežēlo. -
13 Haupaswi kuwa na mizani ya uzito tofauti katika mfuko wako, mkubwa na mdogo.
Tev nebūs divējādu svaru turēt savā kulē, lielu un mazu.
14 Hautakiwi kuwa na vipimo tofauti ndani ya nyumba yako, vikubwa na vidogo.
Tev nebūs divējādu pūru turēt savā namā, lielu un mazu.
15 Unatakiwa kuwa na uzito kamili na wa haki; unatakiwa kuwa na vipimo kamili na vya haki, ili siku zako ziwe ndefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupatia.
Lai tev ir pilnīgs un taisns svars lai tev ir pilnīgs un taisns mērs, ka tu ilgi dzīvo tai zemē, ko Tas Kungs, tavs Dievs, tev dos.
16 Kwa maana wote wanaofanya vitu hivi, wote wanaovunja haki, ni chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
Jo ikviens, kas to dara, ikviens, kas netaisni dara, tas Tam Kungam, tavam Dievam, ir negantība. -
17 Kumbuka ni jambo gani Amaleki alichofanya kwako barabarani ulipokuwa ukitoka Misri,
Piemini, ko Amalekieši tev darīja ceļā, kad izgājāt no Ēģiptes zemes.
18 jinsi alivyokutana na wewe barabarani na kuwashambulia kati yenu kwa nyuma, wale waliokuwa wamelegea nyuma, mlipokuwa dhaifu na kuchoka, hakumheshimu Mungu.
Kā viņi tev pretī cēlās ceļā, un tev kāva tos pakaļējus, visus nespēcīgos aiz tevis, kad tu biji piekusis un noguris, un tie nebijās Dievu.
19 Kwa hiyo, Yahwe Mungu wako atakapowapa pumziko kutoka kwa maadui zako kila sehemu, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia kumiliki kama urithi, hautakiwi kusahau kuwa unapaswa kufuta kumbukumbu ya Waamaleki chini ya mbingu.
Kad nu Tas Kungs, tavs Dievs, tev būs devis dusu no visiem taviem ienaidniekiem visapkārt tai zemē, ko Tas Kungs, tavs Dievs, tev dos par īpašumu iemantot, tad Amalekiešu piemiņu tev būs izdeldēt no pasaules. Neaizmirsti to.

< Torati 25 >