< Torati 21 >

1 Iwapo mtu amekutwa kauwawa ndani ya nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia kumiliki, kalala shambani, na haijulikani aliyemshambulia;
Ако в земята, която Господ твоят Бог ти дава да притежаваш, се намери някой убит, паднал на полето, и не се знае, кой го е убил,
2 basi wazee wenu pamoja na waamuzi wenu wanapaswa kutoka nje, na kupima katika miji ambayo inamzunguka yule aliyeuawa.
тогава старейшините ти и съдиите ти да излязат и измерят разстоянието до градовете, които са около убития;
3 Kisha wazee wa mji ulio karibu na mwili wa marehemu wanapaswa kuchukua mtamba kutoka kwenye kundi la mifugo, ambaye hajawahi kutumikishwa, wala kubebeshwa nira.
и старейшините на града, който е най-близо до убития, да вземат юница, с която не е работено и която не е теглила ярем;
4 Kisha wanapaswa kumuongoza mtamba huyo mpaka chini ya bonde litiririkalo maji, bonde ambalo halijawahi kulimwa wala kupandwa, na mle bondeni wanapaswa kuvunja shingo ya mtamba huyo.
и старейшините на оня град да докарат юницата в някоя долина, гдето има текуща вода, долина която не е орана нито е сеяна, и там в долината да пресекат врата на юницата.
5 Makuhani, uzao wa Lawi, wanapaswa kuja mbele, kwa maana Yahwe Mungu wako amewachagua wamtumikie yeye na kutoa baraka katika jina la Yahwe na kuamua kila mtafaruku na ugomvi kwa neno lao.
Тогава да пристъпят свещениците, Ливиевите потомци, (понеже тях избра Господ твоят Бог да Му служат, и да благославят в Господното Име, и по тяхното обяснение да се съди всеки спор и всеки побой),
6 Wazee wote wa mji ulio karibu na mtu aliyeuawa wanapaswa kunawa mikono yao juu ya mtamba aliyevunjwa shingo bondeni;
и всичките старейшини от оня град, който е най-близо до убития, да умият ръцете си над закланата в долината юница,
7 na wanapaswa kutoa suhulisho juu ya jambo hilo na kusema, ‘Mikono yetu haijamwaga damu hii, wala macho yetu hayajaona suala hili.
и да проговорят, казвайки: Нашите ръце не са пролели тая кръв, нито са видели проливането нашите очи;
8 Tusamehe watu wako Israeli, Yahwe, ambao umewakomboa, na usiweke hatia juu ya umwagaji damu usio na kosa miongoni mwa watu wako Israeli.’ Kisha umwagaji damu utasamehewa kwao.
бъди милостив, Господи, на людете си Израиля, които си изкупил и не вменявай, на людете си Израиля кръв проляна без тяхна вина И кръвта ще им се прости.
9 Kwa njia hii utaweka mbali umwagaji damu usio na hatia miongoni mwenu, mtakapofanya yaliyo mema machoni pa YAHWE.
Така да заличиш изсред себе си проляната без твоя вина кръв, когато сториш това, което е право пред Господните очи.
10 Utakapokwenda kupigana vita dhidi ya maadui zako na Yahwe Mungu wako atakapokupa ushindi na kuwaweka chini ya mamlaka yako, na ukawachukua mbali kuwa mateka,
Когато излезеш да воюваш против неприятелите си, и Господ твоят Бог ги предаде в ръцете ти, и вземеш от тях пленници,
11 kama kati ya mateka ukamwona mwanamke mzuri, nawe ukamtamani na kutaka kujitwalia awe mke wako,
ако видиш между пленниците красива жена, и като я залюбиш пожелаеш да я вземеш за своя жена,
12 basi utamleta nyumbani kwako; atanyoa nywele zake na kukata kucha zake.
тогава да я заведеш у дома си; и тя да обръсне главата си, да изреже ноктите си
13 Kisha atazivua nguo alizokuwa amezivaa wakati alipochukuliwa mateka na atabaki nyumbani kwako na kuwaomboleza baba yake na mama yake kwa mwezi mzima. Baada ya hapo unaweza kulala naye na kuwa mume wake, naye atakuwa mke wako.
и, като съблече дрехите, в които е била пленена, да седи у дома ти да оплаква баща си и майка си цял месец; и подир това да влезеш при нея и да й бъдеш мъж, и тя да ти бъде жена.
14 Lakini usipofurahishwa naye, basi unatakiwa kumruhusu aondoke apendaye yeye. Lakini haupaswi kamwe kumuuza kwa fedha, pia haupaswi kumfanya kama mtumwa, kwa sababu umemdhalilisha.
Но ако не останеш доволен от нея, тогава да я изпратиш свободна; но да не я продаваш за пари, нито да я правиш робиня, защото си я обезчестил.
15 Iwapo mwanamume ana wake wawili na mmoja wao ampenda na mwingine kumchukia, na wote wamekwisha mzalia watoto –wote mwanamke mpendwa na mwanamke achukiwae –
Ако има някой две жени, едната любима, а другата нелюбима, и му народят деца - любимата и нелюбимата, и ако първородният син е на нелюбимата,
16 basi katika siku ambayo mwanamume atakapowarithisha mali zake wanawe, hapaswi kumfanya mwana wa mke ampendaye kuwa mzawa wa kwanza kabla ya mwana wa mke amchukiaye, ambaye ndiye mwana wa kwanza.
тогава в деня, когато дели между синовете си имота си, не бива да направи първороден сина на любимата наместо сина на нелюбимата, който е истинският първороден;
17 Badala yake, anapaswa kumtambua mwana wa kwanza, mwana wa mke asiyempenda, kwa kumpatia mara mbili ya mali zake; kwa maana huyo mwana ni mwanzo wa nguvu zake; haki za mzawa wa kwanza ni zake.
но да признае за първороден сина на нелюбимата и да му даде двоен дял от всичкия си имот; защото той е пръв плод на първородството.
18 Iwapo mwanamume ana mwana mkaidi na muasi ambaye hatatii sauti ya baba yake au sauti ya mama yake, ambaye, hata baada ya kurekebishwa, hatawasikia;
Ако има някой упорит и непокорен син, който не слуша думите на баща си или думите на майка си, и при все, че те го наказват, пак той ще да ги слуша,
19 basi baba yake na mama yake wanapaswa kumshika na kumleta mbele ya wazee wa mji na kwenye malango ya mji.
тогава баща му и майка му да го хванат и да го заведат пи старейшините на града му и при портата на местожителството му,
20 Wanapaswa kuwaambia wazee wa mji, “Huyu mwanetu ni mkaidi na muasi; hataki kusikia sauti zetu; ni mwasherati na pia ni mlevi’.
и да кажат на старейшините на града му: Тоя наш син е упорит и непокорен; не слуша думите ни, разблуден е и пияница.
21 Kisha wanaume wote wa mji wanapaswa kumpiga kwa mawe hadi kufa; nanyi mtaondoa uovu miongoni mwenu. Israeli yote itasikia juu ya hili na kuogopa.
Тогава всичките мъже от града му да го убият с камъни, та да умре; така да отмахнеш злото отсред себе си; и целият Израил ще чуе и ще се убои.
22 Iwapo mwanamume kafanya dhambi inayostahili kifo na kisha akauwawa, kwa kunyongwa juu ya mti,
Ако някой извърши престъпление, което заслужава смърт, и бъде умъртвен като го обесиш на дърво,
23 basi mwili wake haupaswi kubaki usiku kucha juu ya mti. Badala yake, unapaswa kuhakikisha unamzika siku hiyo; kwa maana yeyote anyongwaye amekwisha laaniwa na Mungu. Tii amri hii ili kwamba usitie najisi nchi ambayo Yahwe Mungu wako anawapatia kama urithi.
да не остане тялото му през цялата нощ на дървото, но непременно да го погребеш в същия ден; защото обесеният е проклет от Бога; така да не оскверниш земята, която Господ твоят Бог ти дава в наследство.

< Torati 21 >