< Torati 18 >

1 Makuhani, ambao ni Walawi, na makabila yote ya Lawi, hayatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israel; wanapaswa kula dhabihu ya Yahwe iliyotengenezwa kwa moto kama urithi wao.
Priesteriem, Levitiem, visai Levja ciltij lai nav nedz daļas nedz mantības līdz ar Israēli; lai tie ēd no Tā Kunga uguns upuriem un no Viņa mantas daļas.
2 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Yahwe ni urithi wao, kama alivyosema nao.
Un mantības lai tiem nav savu brāļu vidū, Tas Kungs ir viņu mantība, itin kā Viņš uz tiem runājis.
3 Hii ni sababu ya makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, kama itakuwa ng'ombe au kondoo: wanapaswa kutoa kwa kuhani bega, mashavu mawili, na sehemu za ndani.
Šī nu lai ir tā priesteru tiesa no tiem ļaudīm, no tiem, kas kādu upuri upurē, lai tas ir vērsis vai avs; priesterim lai dod pleci, abus žokļus un kuņģi.
4 Mazao ya kwanza ya nafaka zako, mvinyo wako mpya, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, unapaswa umpe.
Savas labības, sava vīna un savas eļļas pirmajus, un pirmajus no savu avju cirpšanas tev būs viņam dot.
5 Kwa kuwa Yahwe Mungu wako amemchagua kutoka kwenye makabila yote yako kusimama kutumika kwa jina la Yahwe, yeye na wana wake milele.
Jo Tas Kungs, tavs Dievs, viņu ir izredzējis no visām tavām ciltīm, lai tas stāv un kalpo Tā Kunga vārdam, viņš un viņa dēli visu mūžu.
6 Kama Mlawi anatoka kati ya miji yenu nje ya Israel yote kutoka ambapo anaishi, na utamani kwa moyo wake wote kuja katika eneo Yahwe atachagua,
Un ja kāds Levits nāk no kādiem Israēla vārtiem, kur viņš piemīt, un nāk, tā kā viņa dvēselei tīk, uz to vietu, ko Tas Kungs izredzēs,
7 basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake kama ndugu zake wote Walawi wanafanya, wanaosimama mbele ya Yahwe.
Un kalpo Tā Kunga, sava Dieva, vārdā, kā visi viņa brāļi, tie Leviti, kas tur Tā Kunga priekšā stāv,
8 Wanapaswa kuwa na mgao wa kufanana wa kula, badala ya kile kinachokuja kutokana na mauzo ya urithi wa familia yake.
Tad lai tie ēd līdzīgu daļu, pāri par viņu ienākumu no tēvu puses.
9 Wakati mmekuja katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, mnapaswa kujifunza kuangalia machukizo ya mataifa.
Kad tu nāc tai zemē, ko Tas Kungs, tavs Dievs, tev dos, tad tev nebūs mācīties darīt pēc šo pagānu negantībām.
10 Pasipatikana miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
Lai tavā starpā netop atrasts, kas savam dēlam vai savai meitai liek iet caur uguni, neviens zīlnieks, ne burvis, ne pūšļotājs, ne riebējs,
11 yeyote aongeae na wafu, au yeyote aongeae na roho.
Ne vārdotājs, ne pareģis, ne pesteļu cienītājs, nedz miroņu vaicātājs.
12 Kwa yeyote afanyae mambo haya ni chukizo kwa Yahwe; ni kwa sababu ya machukizo haya ambayo Yahwe Mungu wenu anawaondosha mbele zenu.
Jo visi, kas to dara, Tam Kungam ir negantība, un šīs negantības dēļ Tas Kungs, tavs Dievs, tos izdzen tavā priekšā.
13 Mnapaswa kuwa wakamilifu mbele ya Yahwe Mungu wenu.
Bezvainīgam tev būs būt Tā Kunga, sava Dieva, priekšā.
14 Kwa mataifa haya ambayo mtayafukuza kusikiliza wale wafanyao uchawi na uganga; lakini kwenu, Yahwe Mungu wenu amewakataza ninyi kufanya hivyo.
Jo šās tautas, ko tu izdzīsi, cienī burvjus un zīlniekus, bet tev tā neklājās; tev Tas Kungs, tavs Dievs, tā nav devis.
15 Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii kutoka miongoni mwenu, mmoja wa ndugu zenu, kama mimi. Mnapaswa kumsikiliza.
Pravieti, kāds es esmu, Tas Kungs, tavs Dievs, tev cels no tava vidus, no taviem brāļiem, - tam jums būs klausīt.
16 Hiki ndicho mlichouliza kutoka kwa Yahwe Mungu wenu huko Horebu katika siku ya kusanyiko, kusema, “Acha tusisikie tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, wala tutakufa.”
Pēc visa tā, ko tu esi lūdzies no Tā Kunga, sava Dieva, Horebā, sapulces dienā, sacīdams: es vairs negribu dzirdēt Tā Kunga, sava Dieva, balsi, un negribu vairs redzēt šo lielo uguni, ka nemirstu.
17 Yahwe alisema nami, “Kile walichosema ni kizuri.
Tad Tas Kungs uz mani sacīja: tas ir labi, ko tie runājuši.
18 Nitamwinua nabii kwa ajili yao kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe. Nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, na ataongea nao yote niliyowakuamuru.
Es tiem celšu pravieti, kāds tu esi, no viņu brāļu vidus, un Es likšu Savu vārdu viņa mutē, un viņš runās uz tiem visu, ko Es tam pavēlēšu.
19 Itakuwa kama yeyote hatasikia maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu, nitalitaka kwake.
Un ja kāds neklausīs Maniem vārdiem, ko viņš runās Manā Vārdā, no tā Es to prasīšu.
20 Lakini nabii ambaye anazungumza neno kwa kiburi kwa jina langu, neno ambalo sijamuamuru kusema, au ambaye anayezungumza kwa jina la miungu mingine, huyo nabii atakufa.
Bet tas pravietis, kas iedrošinājās runāt Manā Vārdā, ko Es tam neesmu pavēlējis runāt, vai ja tas citu dievu vārdā runās, šim pravietim būs mirt.
21 Hivyo ndivyo unapaswa kusema katika mioyo yenu: “Tutagunduaje kuwa ujumbe ambao Yahwe hajazungumza?
Ja tu tad savā sirdī sacīsi: kā lai pazīstam to vārdu, ko Tas Kungs nav runājis? -
22 Mtagundua ujumbe ambao Yahwe amezungumza pindi nabii azungumzapo kwa jina la Yahwe. Kama hiyo haitokei wala kufanyika, basi hicho ni kile ambacho Yahwe hajazungumza na nabii amezungumza kwa kiburi, na hampaswi kumuogopa.
Kad tas pravietis Tā Kunga Vārdā runās, un tas vārds nenotiek un nenāk, - tad šis ir tas vārds, ko Tas Kungs nav runājis, tas pravietis to ir aplam runājis, tāpēc nebīsties no viņa.

< Torati 18 >