< Torati 15 >

1 Kila mwisho wa kila miaka saba, mnapaswa kufuta madeni.
Septītā gada galā tev būs turēt atlaišanu.
2 Hii ni tabia ya ukombozi. Kila mkopeshaji atafuta kile alichompa jirani yake, hata dai kutoka kwa jirani yake au ndugu yake kwa sababu ufutaji wa madeni wa Yahwe umetangazwa.
Šāda nu ir tā atlaišana, ka ikvienam aizdevējam būs atlaist, ko tas savam tuvākam aizdevis; tam nebūs spiest savu tuvāko nedz savu brāli, jo Tam Kungam atlaišana ir izsaukta.
3 Kutoka kwa mgeni mnaweza kudai; lakini kwa chochote chenu kilicho na ndugu yenu mnapaswa mkitoe.
No svešinieka atprasi, bet kas tev pie tava brāļa, to lai tava roka atlaiž.
4 Hata hivyo, pasiwepo maskini miongoni mwenu (kwa kuwa Yahwe kwa hakika atawabariki kwenye nchi ambayo anawapa kama urithi kumiliki)
Lai jel nav nabagu tavā starpā; jo Tas Kungs svētīdams tevi svētīs tai zemē, ko Viņš, Tas Kungs, tavs Dievs, tev dos iemantot par īpašumu,
5 kama peke yenu mnasikiliza kwa bidii sauti ya Yahwe Mungu wenu, kuzishika amri zote ambazo anawaamuru leo.
Ja tu tikai Tā Kunga, sava Dieva, balsi klausīsi, turēdams visus šos baušļus, ko es tev šodien pavēlu.
6 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu atawabariki, kama alivyowaahidia; mtakopesha mataifa mengi, lakini hamtaazima; mtaongoza juu ya mataifa mengi, lakini hayatawaongoza ninyi.
Jo Tas Kungs, tavs Dievs, tevi svētīs, tā kā Viņš tev runājis; tad tu aizdosi daudz tautām, bet tu neaizņemsies, un tu valdīsi pār daudz tautām, bet viņām pār tevi nebūs valdīt.
7 Kama kuna mtu maskini miongoni mwenu, moja wa ndugu zenu, ndani ya malango yenu yoyote kwenye nchi yenu ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, msifanye migumu mioyo yenu wala kufunga mkono wenu toka kwa ndugu yenu,
Kad tavā starpā būs nabags, kāds no taviem brāļiem kādos vārtos tavā zemē, ko Tas Kungs, tavs Dievs, tev dos, tad tev nebūs apcietināt savu sirdi, nedz aizslēgt savu roku priekš sava nabaga brāļa;
8 Lakini mnapaswa hakika kufungua mkono wenu kwake na hakika mkopeshe yeye vya kutosha hitaji lake.
Bet atvērdams atver viņam savu roku un aizdodams aizdod viņam, cik viņam vajag savā trūkumā, kas trūkst.
9 Muwe makini kutokuwa na wazo ovu au potovu katika moyo wenu, kusema, “Mwaka wa saba, mwaka wa ukombozi u karibu; ili kwamba msiwe wachoyo kuhusiana na ndugu zenu maskini na haumpi chochote; anaweza kumlilia Yahwe kuhusu nyie, na itakuwa dhambi yenu.
Sargies, ka tavā sirdī nav blēdības, ka tu nesaki: septītais gads, tas atlaišanas gads, ir tuvu, un tava acs būtu ļauna pret savu brāli, kas nabags, un tu viņam nedod; tad viņš par tevi brēks uz To Kungu, un tas tev būs par grēku.
10 Mnapaswa kwa hakika mmpe, na moyo wenu hampaswi kuhuzunika wakati mnampa, kwa sababu kurudishiwa kwa Yahwe huyu Mungu wenu atawabariki katika kazi zenu zote na katika chochote mnaweka mkono wenu.
Dod viņam labprāt, lai tava sirds nav ļauna, kad tu viņam dod, jo tādēļ Tas Kungs, tavs Dievs, tevi svētīs visā tavā darbā un pie visa, kur tu savu roku pieliksi.
11 Kwa kuwa maskini kamwe hatakoma kuishi katika nchi, kwa hiyo nakuamuru wewe na kusema, “Unapaswa kwa hakika ufungue mkono wako kwa ndugu yako, kwa mhitaji wako, na kwa maskini wako katika nchi yako.
Jo tur nabagu netrūks tai zemē, tādēļ es tev pavēlu un saku: atvērdams atver savu roku savam brālim, kas top spaidīts un ir nabags tavā zemē.
12 Kama ndugu yako, ni mwebrania wa kiume au mwebrania wa kike, ameuzwa kwako na anakutumikia kwa miaka saba, basi katika mwaka wa saba unapaswa umwache aende zake huru.
Kad tavs brālis tev būs pārdots, Ebrejs vai Ebrejiete, tad lai viņš tev kalpo sešus gadus, bet septītā gadā tev būs viņu svabadu atlaist no sevis.
13 Unapomwacha aende zake huru, usimwache aende mkono mtupu.
Un kad tu viņu svabadu atlaidi, tad neatlaid viņu tukšu.
14 Unapaswa kwa ukarimu hutoe kwake kutoka mifugo yako, kutoka pura iliyo chini, na kinu chako cha mvinyo. Kama Yahwe Mungu wako alivyokubariki, unapaswa umpe yeye.
Apdāvinādams apdāvini to no sava ganāmā pulka, no savas klēts un no sava vīna spaida; ar ko Tas Kungs, tavs Dievs, tevi svētījis, no tā tev būs viņam dot.
15 Unapaswa kukumbuka kwamba ulikuwa mtumwa kwenye nchi ya Misri, na kwamba Yahwe Mungu wako alikukomboa; kwa hiyo ninakuamuru leo kufanya hivi.
Un piemini, ka tu esi bijis kalps Ēģiptes zemē, un ka Tas Kungs, tavs Dievs, tevi atpestījis, tāpēc es tev šodien pavēlu šās lietas.
16 Itakuwa kwamba kama atasema kwako, “Sitaenda mbali yako; kwa sababu anakupenda na nyumba yako, na kwa sababu ni mzuri kwako,
Bet ja viņš uz tevi sacīs: es no tevis negribu aiziet, tāpēc ka viņš tevi un tavu namu mīl, ka tam labi klājās pie tevis.
17 basi unapaswa kuchukua uma na msukumo kupitia sikio lake kwenye mlango, na atakuwa mtumwa wako milele. Na pia kwa mtumwa wako wa kike utafanya vilevile.
Tad ņem īlenu un piedur viņa ausi pie durvīm, tad tas tev būs par kalpu mūžīgi; tāpat dari savai kalponei.
18 Isionekane kuwa vigumu kwako kumwachia aende zake huru, kwa sababu amekutumikia kwa miaka sita na amekupa mara mbili udhamani wa mtu aliyeajiriwa. Yahwe Mungu wako atakubariki katika yote unayofanya.
Lai tev grūti nenākas viņu atlaist svabadu no sevis, jo sešus gadus viņš tev nokalpojis divkārtīgu algādža algu; tad tevi Tas Kungs, tavs Dievs, svētīs pie visa, ko tu darīsi.
19 Wazao wote wa kwanza wa kiume katika wanyama na mifugo wako unapaswa uwatenge kwa Yahwe Mungu wako. Hautafanya kazi na mzao wa kwanza wa wanyama wako wala kumnyoa mzao wa kwanza wa mfugo wako.
Ikvienu pirmdzimto, kas dzimst no tavām govīm un avīm, to tēviņu tev būs svētīt Tam Kungam, savam Dievam; ar savas govs pirmdzimto tev nebūs strādāt, un savu avju pirmdzimto tev nebūs cirpt.
20 Unapaswa umle mzaliwa wa kwanza mbele ya Yahwe Mungu wako kila mwaka katika eneo ambalo Yahwe atachagua, wewe na nyumba yako.
Tā Kunga, sava Dieva, priekšā tev un tavam namam to būs ēst ikgadus tai vietā, ko Tas Kungs izredzēs.
21 Kama ina kasoro yoyote- kwa mfano, kama ni kilema au kipofu, au ana kasoro yoyote- haupaswi kumtoa dhabihu kwa Yahwe Mungu wako.
Bet ja tam kāda vaina, ka ir vai klibs vai akls, jeb ja ir cita kāda ļauna vaina, tad tev to nebūs upurēt Tam Kungam, savam Dievam.
22 Utamla ndani ya malango yako; mtu asiye najisi na aliye najisi ni sawa unapaswa kula, kama ungekula paa au kulungu.
Savos vārtos to ēdat, nešķīstais un šķīstais kopā, itin kā stirnu un kā briedi.
23 Pekee haupaswi kunywa damu yake; unapaswa kuimwanga damu yake juu ya ardhi kama maji.
Tikai viņa asinis tev nebūs ēst, tās tev būs izliet zemē kā ūdeni.

< Torati 15 >