< Torati 14 >

1 Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
'Sons ye [are] to Jehovah your God; ye do not cut yourselves, nor make baldness between your eyes for the dead;
2 Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
for a holy people [art] thou to Jehovah thy God, and on thee hath Jehovah fixed to be to Him for a people, a peculiar treasure, out of all the peoples who [are] on the face of the ground.
3 Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
'Thou dost not eat any abominable thing;
4 Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
'this [is] the beast which ye do eat: ox, lamb of the sheep, or kid of the goats,
5 kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
hart, and roe, and fallow deer, and wild goat, and pygarg, and wild ox, and chamois;
6 Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
and every beast dividing the hoof, and cleaving the cleft into two hoofs, bringing up the cud, among the beasts — it ye do eat.
7 Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
'Only, this ye do not eat, of those bringing up the cud, and of those dividing the cloven hoof: the camel, and the hare, and the rabbit, for they are bringing up the cud but the hoof have not divided; unclean they [are] to you;
8 Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
and the sow, for it is dividing the hoof, and not [bringing] up the cud, unclean it [is] to you; of their flesh ye do not eat, and against their carcase ye do not come.
9 Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
'This ye do eat of all that [are] in the waters; all that hath fins and scales ye do eat;
10 lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
and anything which hath not fins and scales ye do not eat; unclean it [is] to you.
11 Ndege wote safi mnaweza kula.
'Any clean bird ye do eat;
12 Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
and these [are] they of which ye do not eat: the eagle, and the ossifrage, and the ospray,
13 mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
and the glede, and the kite, and the vulture after its kind,
14 Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
and every raven after its kind;
15 na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
and the owl, and the night-hawk, and the cuckoo, and the hawk after its kind;
16 bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
the [little] owl, and the [great] owl, and the swan,
17 Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
and the pelican, and the gier-eagle, and the cormorant,
18 Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
and the stork, and the heron after its kind, and the lapwing, and the bat;
19 Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
and every teeming thing which is flying, unclean it [is] to you; they are not eaten;
20 Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
any clean fowl ye do eat.
21 Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
'Ye do not eat of any carcase; to the sojourner who [is] within thy gates thou dost give it, and he hath eaten it; or sell [it] to a stranger; for a holy people thou [art] to Jehovah thy God; thou dost not boil a kid in its mother's milk.
22 Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
'Thou dost certainly tithe all the increase of thy seed which the field is bringing forth year by year;
23 Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
and thou hast eaten before Jehovah thy God, in the place where He doth choose to cause His name to tabernacle, the tithe of thy corn, of thy new wine, and of thine oil, and the firstlings of thy herd, and of thy flock, so that thou dost learn to fear Jehovah thy God all the days.
24 Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
'And when the way is too much for thee, that thou art not able to carry it — when the place is too far off from thee which Jehovah thy God doth choose to put His name there, when Jehovah thy God doth bless thee; —
25 mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
then thou hast given [it] in money, and hast bound up the money in thy hand, and gone unto the place on which Jehovah thy God doth fix;
26 Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
and thou hast given the money for any thing which thy soul desireth, for oxen, and for sheep, and for wine, and for strong drink, and for any thing which thy soul asketh, and thou hast eaten there before Jehovah thy God, and thou hast rejoiced, thou and thy house.
27 Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
As to the Levite who [is] within thy gates, thou dost not forsake him, for he hath no portion and inheritance with thee.
28 Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
'At the end of three years thou dost bring out all the tithe of thine increase in that year, and hast placed [it] within thy gates;
29 na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.
and come in hath the Levite (for he hath no part and inheritance with thee), and the sojourner, and the fatherless, and the widow, who [are] within thy gates, and they have eaten, and been satisfied, so that Jehovah thy God doth bless thee in all the work of thy hand which thou dost.

< Torati 14 >