< Torati 13 >

1 Kama miongoni mwenu ainuka nabii au muota ndoto,
اگر در میان تو نبی‌ای یا بیننده خواب ازمیان شما برخیزد، و آیت یا معجزه‌ای برای شما ظاهر سازد،۱
2 na kama anawapa ishara au maajabu, na kama ishara au maajabu yanatokea, kama alivyozungumza kwenu na kusema, “Ebu tuifuate miungu mingine, ambayo hatuijui, na tuiabudu.
و آن آیت یا معجزه واقع شود که از آن تو را خبر داده، گفت خدایان غیر راکه نمی شناسی پیروی نماییم، و آنها را عبادت کنیم،۲
3 Usisikilize maneno ya nabii huyo, au kwa huyo muota ndoto, kwa kuwa Yahwe Mungu wako anakujaribu kujua kama unampenda Yahwe Mungu wako kwa moyo wako wote na roho yako yote.
سخنان آن نبی یا بیننده خواب را مشنو، زیرا که یهوه، خدای شما، شما را امتحان می‌کند، تا بداند که آیا یهوه، خدای خود را به تمامی دل وبه تمامی جان خود محبت می‌نمایید؟۳
4 Mtatembea baada ya Yahwe Mungu wenu, mheshimu, mzishike amri zake, na mtii sauti yake, na mtamwabudu na kushikamana naye.
یهوه خدای خود را پیروی نمایید و از او بترسید، واوامر او را نگاه دارید، و قول او را بشنوید و او راعبادت نموده، به او ملحق شوید.۴
5 Nabii huyo au muota ndoto atauwawa, kwa sababu amezungumza uasi dhidi ya Yahwe Mungu wenu, ambaye aliwaleta toka nchi ya Misri, na aliyewakomboa kutoka nyumba ya utumwa. Hivyo nabii anataka kuwaondoa katika njia ambayo Yahwe Mungu wenu aliwaamuru kutembea. Kwa hiyo weka mbali maouvu kutoka kwenu.
و آن نبی یابیننده خواب کشته شود، زیرا که سخنان فتنه انگیز بر یهوه خدای شما که شما را از زمین مصر بیرون آورد، و تو را از خانه بندگی فدیه داد، گفته است تا تو را از طریقی که یهوه خدایت به توامر فرمود تا با آن سلوک نمایی، منحرف سازد، پس به این طور بدی را از میان خود دور خواهی کرد.۵
6 Tuseme kwamba ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako, au binti yako, au mke wa karibu nawe, au rafiki yako ambaye ni kama roho yako, kukushawishi kwa siri na kusema, “Acha tuende na tukaabudu miungu mingine ambayo hatujazijua, wala wewe wala mababu zako-
و اگر برادرت که پسر مادرت باشد یا پسر یادختر تو یا زن هم آغوش تو یا رفیقت که مثل جان تو باشد، تو را در خفا اغوا کند، و گوید که برویم وخدایان غیر را که تو و پدران تو نشناختید عبادت نماییم،۶
7 Miungu yeyote ya watu ambayo imewazunguka, karibu nanyi au mbali kutoka, kutoka mwisho wa dunia kwenda mwisho mwingine wa dunia.
از خدایان امتهایی که به اطراف شمامی باشند، خواه به تو نزدیک و خواه از تو دورباشند، از اقصای زمین تا اقصای دیگر آن،۷
8 Usimkubali au kumsikiliza. Wala macho yako yasione huruma, wala hautamuacha akiba au kumficha.
او راقبول مکن و او را گوش مده، و چشم تو بر وی رحم نکند و بر او شفقت منما و او را پنهان مکن.۸
9 Badala yake, utamuacha hakika; mkono wako utakuwa wa kwanza kumuua, na badae mkono wa watu wote.
البته او را به قتل رسان، دست تو اول به قتل اودراز شود و بعد دست تمامی قوم.۹
10 Mtamponda mpaka kufa kwa mawe, kwa sababu amejaribu kuwaondoa kutoka kwa Yahwe Mungu wenu, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri, nje ya nyumba ya utumwa.
و او را به سنگ سنگسار نما تا بمیرد، چونکه می‌خواست تو را از یهوه، خدایت، که تو را از زمین مصر ازخانه بندگی بیرون آورد، منحرف سازد.۱۰
11 Israel yote itasikia na kuogopa, na haitaendelea kufanya aina ya uovu miongoni mwenu.
وجمیع اسرائیلیان چون بشنوند، خواهند ترسید وبار دیگر چنین امر زشت را در میان شما مرتکب نخواهند شد.۱۱
12 Kama utasikia yeyote anasema kuhusu moja ya miji yenu, kwamba Yahwe Mungu wenu anawapa kuishi ndani yake.
اگر درباره یکی از شهرهایی که یهوه خدایت به تو به جهت سکونت می‌دهد خبر یابی،۱۲
13 Baadhi ya wenzuni waovu wamewaacha miongoni mwenu na kuacha kwa mbali wakazi wa miji yao na kusema, “Acha tuende na kuabudu miungu mingine ambayo hamjaijua.
که بعضی پسران بلیعال از میان تو بیرون رفته، ساکنان شهر خود را منحرف ساخته، گفته اندبرویم و خدایان غیر را که نشناخته‌اید، عبادت نماییم،۱۳
14 Basi utaichunguza uthibitisho, kufanya utafiti na kuipeleleza kwa kina. Wakati unagundua kwamba ni kweli na hakuna shaka kwamba chukizo hilo lililofanyika miongoni mwenu, kisha utachukua hatua.
آنگاه تفحص و تجسس نموده، نیکواستفسار نما. و اینک اگر این امر، صحیح و یقین باشد که این رجاست در میان تو معمول شده است،۱۴
15 Utawashambulia hakika wenyeji wa mji huo kwa makali ya upanga. Utaangamiza kabisa na watu wote walio ndani yake, pamoja na mifugo yake, pamoja na makali ya upanga.
البته ساکنان آن شهر را به دم شمشیربکش و آن را با هرچه در آن است و بهایمش را به دم شمشیر هلاک نما.۱۵
16 Utakusanya nyara zote kutoka katikati mwa mitaa yake na utuunguza mji, pamoja na nyara zake zote - kwa kuwa Yahwe Mungu wako. Mji utakuwa mchungu wa uharibifu milele; haupaswi kujengwa tena.
و همه غنیمت آن را در میان کوچه‌اش جمع کن و شهر را با تمامی غنیمتش برای یهوه خدایت به آتش بالکل بسوزان، و آن تا به ابد تلی خواهد بود و بار دیگربنا نخواهد شد.۱۶
17 Hakuna hata kimoja kati ya vitu hivyo vimewekwa wakfu kwa ajili ya kuangamizwa vinapaswa kugadamana kwenye mkono wako. Hii inapaswa kuwa kesi, ili kwamba Yahwe atageuka kutoka kwenye ukali wa hasira yake, kumuonyesha rehema, kuwa na huruma kwako, na kukufanya wewe kuogezeka katika idadi, kama alivyoapa kwa baba zako.
و از چیزهای حرام شده چیزی به‌دستت نچسبد تا خداوند از شدت خشم خود برگشته، برتو رحمت و رافت بنماید، و تو را بیفزاید بطوری که برای پدرانت قسم خورده بود.۱۷
18 Atafanya hivi kwa sababu unasikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako, kuzishika amri zake ambazo ninakuamuru leo, kufanya kile kilicho sahihi mbele ya macho ya Yahwe Mungu wako.
هنگامی که قول یهوه خدای خودرا شنیده، و همه اوامرش را که من امروز به تو امرمی فرمایم نگاه داشته، آنچه در نظر یهوه خدایت راست است، بعمل آورده باشی.۱۸

< Torati 13 >