< Torati 10 >

1 Kwa wakati ule Yahwe alisema kwangu, 'Chonga mbao mbili za mawe kama zile za kwanza, na njoo kwangu huku juu ya mlima, na utengeneze sanduku la mbao.
Chuin Pakaiyin kaheng ah hiti hin aseiyin, Songpheng ni masanga toh kibang chat hin choiyin chule thingkong khat phatah in sem inlang asunga khum ding ahi. Hiche na ding chun molchunga kahenga hung kaltouvin.
2 Nitaandika kwenye mbao maneno ambayo yalikuwa kwenye mbao za kwanza ulizozivunja, na utaziweka ndani ya sanduku.
Hiche songpheng chunga chu masanga na sekeh chunga thucheng kijih bang banga kajih lut ding, hichu thingkong sunga nakoi ding ahi.
3 Basi nilitengeneza sanduku la mbao za mikaratusi, na nikachonga mbao mbili za mawe kwa zile za kwanza, na nikaenda juu ya mlima, nikiwa na mbao mbili mkononi mwangu.
Keiman thinggi thingkong in kasem in chule amasanga bang bang in songpheng ni ka suitoh in ahi.
4 Aliandika kwenye mbao, kama maandishi ya kwanza, amri kumi ambazo Yahwe amesema nanyi kwenye mlima kutoka katikati mwa moto katika siku ya kusanyiko; ndipo Yahwe alilinipa mimi.
Chuin Pakaiyin avelin thupeh som hochu ajih lut in, keima eipetan ahi. Songpheng teni chu kakhut in kachoiyin, molchung lama kakal tou tan ahi.
5 Niligeuka na kushuka chini kutoka mlimani, na kuweka mbao ndani ya sanduku nililokuwa nimetengeneza; hapo zilikaa, kama Yahwe alivyoniamuru.”
Molchunga kon ka hung ki heisuh in, kitepna songpheng teni chu thingkong sunga kakoi tan, hichu Pakai thupeh banga kei man kabol ahi. Songpheng teni chu thingkong sunga aumtai.
6 (Watu wa Israeli walisafiri kutoka Beerothi ya Bene Jaakan kwenda Moserathi. Huko Aaroni alikufa, na huko alizikwa; Eleazar, mwana wake, alitumika katika ofisi ya ukuhani kwenye nafasi yake.
Israel mite chu Jaakan twikul muna kon in Moserah kiti Aaron kivuina muna chun akitol tauvin ahi. Achapa Eleazar chun thempu na atoh ahi.
7 Kutokea huko walisafiri kwenda Gudgodah, na kutoka Gudgodah kwenda Jotbathah, nchi yenye mikondo ya maji.
Hiche muna pat chun, Gudgodah mun ajon tauvin, aban'in Jotbathah hiche muna chu twisam tampi putna mun ahi.
8 Kwa wakati huo Yahwe alichagua kabila la Lawi kubeba sanduku la agano la Yahwe, kusimama mbele ya Yahwe kumtumikia na kubariki watu kwa jina lake, kama ilivyo leo.
Hichun Pakaiyin Levi insung mite chu thingkong pu dingin adei lhen tan, chuleh Pakai angsunga ding diu Pakai mina thempu na atoh diu ahi. Hiche hi amaho natoh ding ahi.
9 Kwa hiyo Lawi hawana sehemu wala urithi wa nchi pamoja na ndugu zake; Yahwe ni urithi wao, kama Yahwe Mungu wenu alizungumza naye)
Hiche jeh achu Israel mite lah’a Levi insung chu chenna ding gamtum neilouva um ahiuvin, Pakai hi amaho dinga agoulupenu leh Pakai, Pathen thempu kinbol dinga um ahitauve.
10 “Nilibaki kwenye mlima kama ilivyokuwa mara ya kwanza, siku arobaini na usiku arobaini. Yahwe alinisikiliza wakati huo pia; Yahwe hakutaka kukuangamiza.
Keiman amasa pena ding in, ‘Nisomli le jan somli molchunga Pakai henga kaum in, Pakaiyin avelin ka taona asang in nangho nahing hoi tauvin ahi.’
11 Yahwe alisema nami, “Inuka, nenda mbele ya watu uwaongoze katika safari yao; wataingia na kumiliki nchi ambayo niliapa kwa mababu zao kuwapa.'
Chuin Pakaiyin ka henga aseiyin, keiman napuluiteu khang apat peh dinga ka kitepna, gamlo din mipiho lamkai tan, ati.
12 Sasa, Israeli, Yahwe Mungu wenu ataka nini kwenu, isipokuwa hofu ya Yahwe Mungu wenu, kutembea katika njia zake zote, kumpenda yeye, na kumwabudu Yahwe Mungu wenu kwa moyo wenu wote na roho yenu yote.
Chule tun, Israel mite, Pakai, Pathen in nanghoa kona adei chu ipi ham? Pakaiyin nang hoa kona adeichu Pakai ging jing unlang chule Pakai lunglam jeng nabol diu, na lungthim pumpiuva Pakai lam jeng nakat diu ahi.
13 Kuzishika amri za Yahwe, na maagizo ambayo ninawaamuru ninyi leo kwa ajili ya uzuri wenu?
Chule tunia najah uva kasei, Pakai, Pathen akona thupeh chengse aboncha najui kimsoh kei diu ahi.
14 Tazama, kwa Yahwe Mungu wenu mbingu ni zake na mbingu za mbingu, dunia, vyote vilivyomo.
Veuvin! Chung sangpen leh leiset chunga thil ijakai jouse hi Pakai, Pathen a bou ahi.
15 Yahwe peke alichukua furaha kwa baba zenu ili kwamba awapende, na aliwachagua ninyi, wazao wao, baada yao, zaidi kuliko ya watu wengine wowote, kama afanyavyo leo.
Ajeh chu Pakaiyin napuluiteu ana ngailun hijeh achu, achilhahteu nangho jouse jong nam dang jouse sanga Pakaiyin na khohsah joh’u ahi.
16 Kwa hiyo basi wataili govi la mioyo yao, na msiwe wakaidi tena.
Hijeh chun na lungtah nauva kon in, na lung heiyun.
17 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu, ni Mungu wa miungu na Bwana wa bwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu na wakutisha, ambaye hapendelei yeyote na hapokei rushwa-
Ajeh chu Pakai le na Pathen uhi pathen jouse lah’a Pathen chung nung, pakai jouse lah’a Pakai chungpen ahi. Ki dangtah Pathen ahin, sihnei langneina beihel Pathen ahi.
18 Hutekeleza haki kwa yatima na wajane, na huonesha upendo kwa mgeni kwa kumpa chakula na mavazi.
Pakaiyin meithaiho leh chagaho angailun chule gamdangmi nalah uva chengho angailun, von ki-ah ding apeuvin ahi.
19 Kwa hiyo basi mpende mgeni; kwa kuwa mlikuwa wageni kutoka nchi ya Misri.
Hijeh chun nanghon jong kholjinmi na ngailut diu ahi, ajeh chu nangho jong Egypt gam'a kholjina hinkho na-namanu ahi.
20 Mtamche Yahwe Mungu wenu yeye mtamwabudu. Mtashikamana kwake, na kwa jina lake mtaapa.
Nanghon Pakai, na Pathen'u kin jeng nabol diu ahi. Kitepna ijakai Pakai min jenga nanei diu ahi.
21 Yeye ni sifa yenu, ni Mungu wenu, ambaye amefanya kwa ajili yenu haya mambo makuu na kutisha, ambayo macho yenu yameyaona.
Pakai ama bou Pathen ahin, chule Pakai bou choi-at dinga lom ahi. Ajeh chu ama bouvin thil kidang ijakai abol in, hichu namit tah uvin namu soh kei uve.
22 Baba zako walienda Misri kama watu sabini; sasa Yahwe Mungu wako amekufanya wewe kuwa wengi kama nyota za mbinguni.
Napu napate hou Egypt gam'a ache uchun amaho mi somsagi bou ahiuve. Hinlah tun nangho Pakai, Pathen in vana ahsi jat in na semdoh tauvin ahi.

< Torati 10 >