< Danieli 8 >

1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Belshaza, mimi Danieli niliona maono (baada ya maono ya awali yaliyonipata).
В третата година от царуването на цар Валтасара видение ми се яви, на мене Даниила, подир онова, което бе ми се явило по-напред.
2 Nilipokuwa nikiangalia katika ndoto, niliona kwamba nilikuwa katika mji wa Shushani wenye ngome katika jimbo la Elamu. Niliona katika ndoto kuwa nilikuwa karibu na mfereji wa Ulai.
Видях във видението, (а когато видях, бях в замъка Суса, който е в областта Елам; и когато видях във видението бях при потока Улай),
3 Nilitazama juu na nikaona mbele yangu kondoo dume lenye mapembe mawili, limesimama pembeni mwa mfereji. Pembe moja lilikuwa refu kuliko jingine, lakini pembe ndefu ilikuwa inakua pole pole kuliko ile fupi na pembe fupi ilirefuka na kuizidi nyingine.
прочее повдигнах очите си и видях, и, ето, стоеше пред реката един овен, който имаше два рога; роговете бяха високи, но единият по-висок от другия; и по-високият беше израснал по-после.
4 Niliona kondoo mme akiishambulia magharibi, kisha kaskazini, na baadaye kusini; hakuna mnyama mwingine aliyeweza kusimama mbele yake. Hakuna yeyote aliyeweza kumwokoa yeyote katika mkono wake. Alifanya chochote kile alichokitaka, na alikuwa mtu mkubwa sana.
Видях, овенът че бодеше към запад, към север, и към юг; и никой звяр не можеше да устои пред него, и нямаше кой да избави от силата му; но постъпваше по волята си, и се носеше горделиво.
5 Na nilipokuwa natafakari juu ya haya, niliona beberu akitoka magharibi, na kuvuka katika uso wa dunia yote, akikimbia kwa kasi kana kwamba hakuonekana kama aligusa ardhini. Mbuzi huyo alikuwa na pembe kubwa katikati ya macho yake.
А като размишлявах, ето, козел идеше от запад по лицето на целия свят, без да се допира до земята; и козелът имаше бележит рог между очите си.
6 Alienda mpaka kwa kondoo aliyekuwa na pembe mbili, nilikuwa nimemwona kondoo dume amesimama katika ukingo wa mfereji na mbuzi alikimbia kumwelekea kondoo dume kwa hasira kali.
Той дойде до овена, който имаше двата рога, който видях да стои пред потока, и завтече се върху него с устремителната си сила.
7 Niliiona mbuzi ikija karibu na kondoo. Mbuzi alikuwa na hasira na kondoo, alimpiga kondoo na alizivunja pembe zake mbili. Kondoo hakuwa na nguvu za kusimama mbele zake. Mbuzi alimgonga kondoo akaanguka chini na akamkanyaga. Hapakuwa na yeyote wa kumwokoa kutoka katika nguvu zake.
И видях, че се приближи при овена и се разсвирепи против него, и като удари овена счупи двата му рога; и нямаше сила в овена да устои пред него; но го хвърли на земята и го стъпка; и нямаше кой да отърве овена от силата му.
8 Ndipo mbuzi alikua akawa mkubwa, lakini alipokuwa na nguvu, pembe kubwa ilivunjwa, na katika sehemu yake zilichipuka na kukua pembe nne kubwa zilizochomoza kuelekea pepo nne za mbingu.
За това, козелът се възвеличи много; а когато заякна, големият му рог се счупи, вместо който излязоха четири бележити рога към четирите небесни ветрища.
9 Kutoka katika pembe moja ilichipuka pembe nyingine, ilikuwa ndogo hapo awali, lakini baadaye ilikuwa pembe kubwa upande wa kusini, na mashariki, na katika nchi ya uzuri.
И из единия от тях излезе един малък рог, който наголемя твърде много към юг, към изток и към славната земя.
10 Pembe ilikuwa kubwa na matokeo yake iliinua vita dhidi ya jeshi la mbinguni. Baadhi ya jeshi na nyota kadhaa zilitupwa chini duniani, na zilikanyagwa.
Той се възвеличи дори до небесната войска, и хвърли на земята част от множеството и от звездите и ги стъпка.
11 Alizidi kuwa mkubwa, mkubwa kama kamanda wa jeshi la kimungu. Sadaka za kuteketezwa za kila siku ziliondolewa mbali na yeye, na sehemu yake takatifu zilitiwa unajisi.
Да! Възвеличи се дори до началника на множеството, и отне от него всегдашната жертва; и мястото на светилището му се съсипа.
12 Kwasababu ya uasi, pembe ya mbuzi ilipewa jeshi, na sadaka za kuteketezwa zitasitishwa. Pembe itautupa ukweli chini ardhini, na itafanikiwa katika kila jambo ilifanyalo.
И множеството биде предадено нему заедно с всегдашната жертва, поради престъплението им; и той тръшна на земята истината, стори по волята си, и успя.
13 Kisha nilimsikia mtakatifu mmoja akiongea na mtakatifu mwingine akamjibu, “Mambo haya yatadumu kwa muda gani, maono haya ya sadaka ya kuteketezwa, dhambi ile iletayo uharibifu, ukabidhiajia wa sehemu takatifu, na jeshi la mbinguni kukanyagwa?
Тогава чух един свет да говори; и друг свет рече на тогоз, който говореше: Докога се простира видението за всегдашната жертва, и за престъплението, което докарва запустение, когато светилището и множеството ще бъдат потъпквани?
14 Aliniambia, “Itadumu kwa jioni na asubuhi zipatazo 2, 300. Baada ya hapo, mahali patakatifu patawekwa sawa.”
И каза ми: До две хиляди и триста денонощия; тогава светилището ще се очисти.
15 Wakati mimi Danieli, nilipoona maono, nilijaribu kuyaelewa. na hapo mbele yangu alisimama yule aliyeoneakana kama mtu.
И когато аз, аз Даниил, видях видението, поисках да го разбера. И, ето, застана пред мене нещо като човешки образ;
16 Niliisikia sauti ya mtu ikiita katikati ya kingo za mfereji wa Ulai. Alisema, “Gabrieli, msaidie mtu huyu kuelewa maono.”
и чух човешки глас, който извика изсред бреговете на Улай и рече: Гаврииле, направи тоя човек да разбере видението.
17 Basi alikuja karibu na mahali niliposimama. Na alipokuja, niliogopa na nilisujudia hadi chini. Aliniambia,”Fahamu, mwana wa mtu, kwamba maono ni kwa ajili ya wakati wa mwisho.”
И така, той се приближи дето стоях; и когато дойде аз се уплаших и паднах на лицето си; а той ми рече: Разбери, сине човешки; защото видението се отнася до последните времена.
18 Alipokuwa anaongea na mimi, nilipata usiingizi mzito nikiwa nimelala kifudifudi. Kisha alinishika na kunisimamisha.
И като ми говореше, аз паднах в несвяст с лицето си на земята; но той се допря до мене и ме изправи.
19 Akaniambia, “Tazama, nitakuonyesha kile kitachotokea baadaye katika kipindi cha ghadhabu, kwasababu maono haya yanahusu wakati wa mwisho uliopangwa.
И рече: Ето, аз ще те науча що има да се случи в последните гневни времена; защото видението се отнася до определеното последно време.
20 Na kuhusu kondoo mme uliyemwona, yule mwenye pembe mbili - ni wafalme wawili wa Umedi na Uajemi.
Двата рога на овена, които си видял, са царете на Мидия и на Персия.
21 Mbuzi dume ni mfalme wa Ugiriki. Pembe kubwa katikati ya macho yake ni mfalme wa kwanza.
Буйният козел е гръцкият цар; и големият рог между очите му е първият цар.
22 Na kuhusu pembe iliyovunjika, ambayo katika nafasi yake pembe zingine nne zilichipuka - hizi ni falme nne zitakazoinuka kutoka katika taifa lake, lakini hazitakuwa na nguvu kubwa.
А дето се строшил той и излезли четири вместо него, значи, че четири царе ще се издигнат от тоя народ, но не със сила като неговата.
23 Katika siku zijazo za falme hizo, wakati ambapo wahalifu watakuwa wamefikia kikomo chao, mfalme mwenye uso katili, na yeye mwenye akili sana, atainuka.
И в послешните времена на царуването им, когато беззаконниците стигнат до върха на беззаконието си, ще се издигне цар с жестоко лице и вещ в лукавщини.
24 Nguvu zake zitakuwa kubwa, lakini si kwa nguvu zake mwenyewe. Atakuwa wa kustaajabisha kwa kile atakachokuwa anakiharibu; atafanya na kufanikiwa. Atawaangamiza watu wenye nguvu, watu miongoni wa watakatifu.
И силата му ще бъде голяма, но не като силата на другия; и ще погубва чудесно, ще успява и върши по волята си, и ще поквари силните и светите люде.
25 Ataufanya udanganyifu usitawi chini ya mkono wake kwasababu ya ujanja wake. Atawaangamiza watu wengi bila kutegemea. Atainuka pia hata kinyume cha Mfalme wa wafalme, na atavunjwa, lakini si kwa mkono wowote wa binadamu.
Чрез коварството си ще направи да успява измамата в ръката му, ще се надигне в сърцето си, и ще погуби мнозина в спокойствието им; ще въстане и против Началника на началниците; но ще бъде смазан, не с ръка.
26 Maono kuhusu jioni na asubuhi ulizoambiwa ni ya kweli. Lakini uyafunge maono haya, kwa kuwa yanahusu siku nyingi za wakati ujao.
А казаното видение за денонощията е вярно; все пак обаче запечатай видението, защото се отнася до далечни дни.
27 Ndipo mimi, Danieli nilichoka sana na nikalala nikiwa dhaifu kwa siku kadhaa. Kisha nikainuka na nikaenda kufanya kazi za mfalme. Lakini nilikuwa nimetishwa sana na maono, na hapakuwa na mtu yeyote aliyeweza kuyaelewa.
Тогава аз Даниил премрях, и боледувах няколко дни; после станах и вършех царевите работи. А чудех се за видението, защото никой не го разбираше.

< Danieli 8 >