< Danieli 5 >

1 Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
Kong Belsazzar gjorde et stort Gæstebud for sine tusinde Stormænd og drak Vin med dem.
2 Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
Og paavirket af Vinen lod han de Guldkar og Sølvkar hente, som hans Fader Nebukadnezar havde ført bort fra Helligdommen i Jerusalem, for at Kongen og hans Stormænd, hans Hustruer og Medhustruer kunde drikke af dem.
3 Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
Man hentede da Guld— og Sølvkarrene, som var ført bort fra Helligdommen, Guds Hus i Jerusalem, og Kongen og hans Stormænd, hans Hustruer og Medhustruer drak af dem;
4 Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
og medens de drak Vin, priste de deres Guder af Guld, Sølv, Kobber, Jern, Træ og Sten.
5 Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
Men i samme Stund viste der sig Fingre af en Menneskehaand, som skrev paa Væggens Kalk i Kongens Palads over for Lysestagen, og Kongen saa Haanden, som skrev.
6 Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
Da skiftede Kongen Farve, hans Tanker forfærdede ham, hans Hofters Ledemod slappedes, og hans Knæ slog imod hinanden.
7 Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
Og Kongen raabte med høj Røst, at man skulde føre Manerne, Kaldæerne og Stjernetyderne ind; og Kongen tog til Orde og sagde til Babels Vismænd: »Enhver, som kan læse denne Skrift og tyde mig den, skal klædes i Purpur, Guldkæden skal hænges om hans Hals, og han skal være den tredje mægtigste i Riget.«
8 Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
Saa kom alle Babels Vismænd til Stede, men de evnede hverken at læse Skriften eller tyde den for Kongen.
9 Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
Da blev Kong Belsazzar højlig forfærdet, og han skiftede Farve; ogsaa hans Stormænd stod rædselslagne.
10 Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
Ved Kongens og hans Stormænds Raab kom Dronningen ind i Gildesalen, og hun tog til Orde og sagde: »Kongen leve evindelig! Lad ikke dine Tanker forfærde dig og skift ikke Farve!
11 Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
I dit Rige findes en Mand, i hvem hellige Guders Aand er, og som i din Faders Dage fandtes at sidde inde med Viden, Indsigt og en Visdom som selve Guderne, saa din Fader Nebukadnezar satte ham til Øverste for Drømmetyderne, Manerne, Kaldæerne og Stjernetyderne,
12 Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
eftersom en ypperlig Aand, Kundskab og Indsigt til at udtyde Drømme, raade Gaader og løse Knuder fandtes hos denne Daniel, hvem Kongen gav Navnet Beltsazzar. Lad derfor Daniel kalde, at han kan tyde det!«
13 Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
Saa førtes Daniel ind for Kongen. Og Kongen tog til Orde og sagde til ham: »Er du Daniel, en af de fangne Judæere, som min Fader Kongen bortførte fra Juda?
14 Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
Jeg har hørt om dig, at Guders Aand er i dig, og at du er fundet at sidde inde med Viden, Kløgt og ypperlig Visdom.
15 Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
Nu har Vismændene og Manerne været ført ind for mig for at læse denne Skrift og tyde mig den; men de evner ikke at tyde mig dette.
16 Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
Men jeg har hørt om dig, at du kan tyde Drømme og løse Knuder. Nu vel! Hvis du kan læse Skriften og tyde mig den, skal du klædes i Purpur, Guldkæden skal hænges om din Hals, og du skal være den tredje mægtigste i Riget.«
17 Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
Saa svarede Daniel Kongen: »Spar dine Gaver og giv en anden dine Foræringer! Men Skriften vil jeg læse og tyde for Kongen.
18 Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
Den højeste Gud, o Konge, gav din Fader Nebukadnezar Kongedømme, Magt, Herlighed og Ære;
19 Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
og for den Storheds Skyld, som han havde givet ham, frygtede og bævede alle Folk, Stammer og Tungemaal for ham; han dræbte, hvem han vilde, og lod leve, hvem han vilde; han ophøjede, hvem han vilde, og nedbøjede, hvem han vilde.
20 Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
Men da hans Hjerte blev hovmodigt og hans Aand stolt og overmodig, stødtes han fra Kongetronen, og hans Herlighed fratoges ham.
21 Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
Af Menneskenes Samfund blev han udstødt, og hans Hjerte blev som et Dyrs; han boede hos Vildæslerne, han maatte æde Græs som Kvæget, og af Himmelens Dug vædedes hans Legeme, til han skønnede, at den højeste Gud er Herre over Menneskenes Rige og kan ophøje, hvem han vil, til Hersker derover.
22 Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
Men du, Belsazzar, hans Søn, har ikke ydmyget dit Hjerte, skønt du vidste alt dette;
23 Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
du har hovmodet dig mod Himmelens Herre! Hans Hus's Kar har man hentet til dig, og du og dine Stormænd, dine Hustruer og Medhustruer drak Vin af dem; og du priste dine Guder af Sølv, Guld, Kobber, Jern, Træ og Sten, som hverken kan se eller høre eller fatte; men den Gud, som holder din Livsaande i sin Haand og raader over alle dine Veje, ham ærede du ikke.
24 Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
Derfor er denne Haand udsendt fra ham og Skriften der optegnet.
25 Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
Og saaledes lyder Skriften: Mené, mené, tekél ufarsín!
26 Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
Og Ordene skal tydes saaledes: Mené betyder: Gud har talt dit Riges Dage og gjort Ende derpaa.
27 'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
Tekél betyder: Du er vejet paa Vægten og fundet for let.
28 'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
Perés betyder: Dit Rige er delt og givet til Medien og Persien.«
29 Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
Saa blev Daniel paa Belsazzars Bud klædt i Purpur, Guldkæden hængtes om hans Hals, og man udraabte, at han skulde være den tredje mægtigste i Riget.
30 Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
Men samme Nat blev Belsazzar, Kaldæernes Konge, dræbt,
31 na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.
og Mederen Darius overtog Riget i en Alder af to og tresindstyve Aar.

< Danieli 5 >